MWANZO MWISHO: MAALIM SEIF ALIVYOONDOLEWAKATIKA KONGAMANO

  Рет қаралды 81,933

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

Күн бұрын

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Hairath Haroub
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 109
@OnlyRuky
@OnlyRuky 5 жыл бұрын
Hivi huu uonevu mpaka lini? Jamanii??? Ila ck sh. Ikigeuka AllahuAkbari Hakuna cha ccm Hakuna cha Police wala nini.
@professamuddy5407
@professamuddy5407 4 жыл бұрын
Uelewa ni kazi kubwa sanaa! Na kujitolea sio kazi ndogo! Ila kulaumu ni kazi nyepes na haihitaji kufundishwa. Wenye kujitahidi wapo pamoja na MWENYEEZ MUNGU.
@saadeabuub2997
@saadeabuub2997 5 жыл бұрын
Wallah maalim anawatoa kijasho na mnatapatap tatizo nini na muko kwenye serekali
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
Sasa ndo hapo basi
@bakarihamisi5638
@bakarihamisi5638 4 жыл бұрын
Saade Abuu b kweli
@khamisjuma4691
@khamisjuma4691 5 жыл бұрын
Message from USA popote.lipo.tupo.malim. one freedom
@princesaha3262
@princesaha3262 5 жыл бұрын
CCM waoga sana. Sijui kwa nini wamuogopa sana SIMBA wa nyika,lkn watashindwa tuu.
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
👍👍👍
@hhonest9553
@hhonest9553 5 жыл бұрын
Kwaheri ukoloni,kwaheri uhuru.Asiejua maana haambiwi maana.Huu ni ushenzi mtupu unaofnywa kwa lengo la kuwatisha wazanzibar na kuwaongoza pasipo ujasiri wakuhoji.
@Omanomanoman-zw5un
@Omanomanoman-zw5un 5 жыл бұрын
Lakini hata wakimchukuwa kashatoa dongo moja kwa mridhi wa firauna dhalim mmoja huyo sheni Allah ish-allah atamlinda maalim na wote wenye kuitetea Zanzibar wetu
@jumayusuf1694
@jumayusuf1694 5 жыл бұрын
Mrith wa firauna? Au unaropoka tu
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tatukhatibu317
@tatukhatibu317 5 жыл бұрын
dogo kampiga nani ?naona limemrudia mwenyewr
@jumayusuf1694
@jumayusuf1694 5 жыл бұрын
@@tatukhatibu317 umeona
@fatmakhamis1018
@fatmakhamis1018 5 жыл бұрын
kaeni mkijua allah hakuumba siasa za vyama huu niuzushi uliletwa tuu laitii tungali ambana na siasa ya allah ambayo ni kalimatu laa ilaha ilallah muhammad rasuula allah bas sote twende pendana tukashikamana na tukahurumiana ila kwa vile tuna fuata matamanio ya dunia bas hiii hali haito isha mpaka tutapo rudi kwa allah kwa sote
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 4 жыл бұрын
Fact
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 жыл бұрын
Diria namkubali sana
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Safi sana polisi!!!
@alibell5246
@alibell5246 3 жыл бұрын
Dah
@jumayusuf1694
@jumayusuf1694 5 жыл бұрын
Siasa zitawasambaratishaa zifateni m nnachoona hapo wanyonge ndo uumia cjamuona kiongozi wa kweli mwenye nia ya dhati na Zanzibar hiii wote wanachumia matumbo yao
@hdhdhdhdhdhd6933
@hdhdhdhdhdhd6933 5 жыл бұрын
Umeongea kweli
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
👍👍👍
@user-vm3je9qt9z
@user-vm3je9qt9z 5 жыл бұрын
Ah .mm naonatena niangalie2 maana hichi kipi au hizama tulionayo ina fanana naile ya firanu haina tofauti
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 5 жыл бұрын
Nyote washenzi wamoja kazi yenu kupiga hela to.
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Kabisaaa!!!!!!
@fatmamohamed1099
@fatmamohamed1099 5 жыл бұрын
mmh napita
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 4 жыл бұрын
Huyu ndie kiongozi mweye busa na kiongozi mwenye kukubalika na ndio kiongozi tunaemkubali wengi
@hussenraahid692
@hussenraahid692 4 жыл бұрын
Hussen rashid
@professamuddy5407
@professamuddy5407 4 жыл бұрын
Ni haramu kukata tamaa kwenye jambo la kheeri. Na kheeri haimtafuti mtu ila inatafutwa.
@albassamjjamali9205
@albassamjjamali9205 5 жыл бұрын
Simbaaa
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
Yangaa
@albassamjjamali9205
@albassamjjamali9205 5 жыл бұрын
@@mwanaidiramadhan3919 😂😂😂😂
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 5 жыл бұрын
Akizeeka huwa kama paka
@albassamjjamali9205
@albassamjjamali9205 5 жыл бұрын
@@zuwenasaid9707 na paka je ?
@bakarihamisi5638
@bakarihamisi5638 4 жыл бұрын
Acheni mambo ya siasa kwasababu imekuwa nifitina nahiii wanao Fanya ccm ni dhuluma kubwa sana kwanza muhamedi sheni sio mzanzibar
@raykhanjumshe4458
@raykhanjumshe4458 3 жыл бұрын
Ikiwa Sheni sio mzanzibar na Seifu yy nani
@saadsalum3253
@saadsalum3253 5 жыл бұрын
Huyu ndio kidume cha siasa waliobakia nikupiga porojo tu ccm
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
👍👍👍
@hassanisulemani9035
@hassanisulemani9035 5 жыл бұрын
saad salum hiki nikipajI. vipi ataishi kwenye ulimwengu nanini atamjibu mungu. unafiki sumu mbaya sana. ibilisi wamtu nimtu huyu ibirisi.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 5 жыл бұрын
Wote madhwalim wakubwa walikua huko huko ccm na hakuna walichokua wakikifanya zaidi ya kujali matumbo yao. Wakishaachwa ndio wanauona udhwalim wanaoufanya wenzao wanabaki kupiga kelele, Na wakirejeshwa wanasahau yote!
@abujuhaifah7461
@abujuhaifah7461 5 жыл бұрын
Maaalim wapendwa hasa hii ao viongozi waliopo apo ndio waaasisi wa zanzibar mzee moyo upo dah
@mirajiyahya8093
@mirajiyahya8093 3 жыл бұрын
Simba
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 4 жыл бұрын
Nyote lenu moja. Danganya toto to
@ridhwanmiraji1386
@ridhwanmiraji1386 4 жыл бұрын
Huyu mtu naamin anao uchungu na Zanzibar maana kama asingekuwa na uchungu na Zanzibar wasinge hangaika naye maana hao wanao tamani Zanzibar iwe mkoa hakamatwi we sema tuh tufute neno nchi ya Zanzibar tuweke mkoa wa Zanzibar utapewa headline za vyombo vya habari vyote na utalindwa mpaka unafika mwisho ila sema Zanzibar haitafutika na n nchi utajuta
@ismailhassan5662
@ismailhassan5662 4 жыл бұрын
Mbona ccm wakipanga mamboyao hakuna anae waingilia huu niuonevu mbayasana polisi mnatumika vibaya sana.
@salmaothuman9762
@salmaothuman9762 5 жыл бұрын
Huyu mzee apumzike na hayo mambo kwa sasa
@saidhamad7504
@saidhamad7504 4 жыл бұрын
Usimpangie
@tatualmazrui5945
@tatualmazrui5945 3 жыл бұрын
Washenzingwa tu
@mumybhay6561
@mumybhay6561 5 жыл бұрын
anahangaikaàaa tùuuuuu.
@thomasruhende503
@thomasruhende503 5 жыл бұрын
Akome 😀😀😀
@hassanisulemani9035
@hassanisulemani9035 5 жыл бұрын
Thomas Ruhende kusoma siku faulu jikwamueni utumwa kutoka akilini mwenu wapi mlitoka wapi mna kwenda
@abuubakarsaidi9568
@abuubakarsaidi9568 5 жыл бұрын
Thomas Ruhende v
@yunusjuma4340
@yunusjuma4340 5 жыл бұрын
Wazungu makafiri na wote wanapendana huu ni ubinafsi wa kundi fulani tu lisilokuwa na huruma na kundi jengine
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 5 жыл бұрын
Uyu ni kamanda au Aqustino mrema, Et silaha mabomu niini. 😁
@yusrabebito7686
@yusrabebito7686 5 жыл бұрын
So mfumo wa vyama vingi tulieni tunataka nani mbabe na uyo mbabe ajiandae tu coz uongozi ni jukumu kubwa enyi wanadam tengezeni akhera achen ya dunia
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 5 жыл бұрын
Kwenda hawezi kwa ufisadi mamae
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Kabisaaa!!!!
@khadijamakame2596
@khadijamakame2596 3 жыл бұрын
Km kwenda hawezi kampe japo matako yako afante kigari pumbavuuu
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 3 жыл бұрын
@@khadijamakame2596 koma weeh kampe yako wew au ya mama ako nimpe matako yang mie hujui kama yeye mwenyew matako mabovuu yashaoza kwa mfiroooo au anakufira kikongwe changu
@khadijamakame2596
@khadijamakame2596 3 жыл бұрын
Koma weye kharamu ya balozi mwana izaya wee nyie laanatu tunawajua kufirwa kutombwa ndo kazi yenu kwani uko kwenye ccm weye wafuatia siasa wafuati kifiro tu ngurue ulokosa machunga weee
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 3 жыл бұрын
@@khadijamakame2596 nyie mnafata nini kwenye act nyie na raisii wenu nyotee mnafirwa aoooooooo vifiroooooooooooooooooo mbeeeeeeeeeeeee
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 5 жыл бұрын
Wacha niendelee kusoma comment
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 5 жыл бұрын
Kwa nn limevunjwa hawakukata kibali au ?
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 5 жыл бұрын
Dhulma
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
Haidumu
@jumaali2438
@jumaali2438 3 жыл бұрын
Youtubu
@abuanmarabubakar
@abuanmarabubakar 5 жыл бұрын
Sasa hii habar si ya kitambo , mbona ivi lakn nyie waandishi au mumekosa habar ?
@omarkhamis6335
@omarkhamis6335 5 жыл бұрын
Abubakar Abuanmar ndugu hiyo nileo
@rizikisalum9678
@rizikisalum9678 5 жыл бұрын
Hii ilitokea jana mchana
@chidiboy5815
@chidiboy5815 4 жыл бұрын
Huyu bbu seifu naona porojo tu dilo analolijuwa
@oscarezekiel1826
@oscarezekiel1826 5 жыл бұрын
Awa polisi wanatumika kuliko condom
@ummialey6391
@ummialey6391 4 жыл бұрын
Hakuna mwanzo uso. Mwisho mkapa. Yupo wapi. Na hao. Wanaojifia madaraka. Wataondoka tu
@raiyanmohd918
@raiyanmohd918 4 жыл бұрын
Kwanini serikali itishwe na mtu mmoja Kuna nini chama tawala kinachoendelea
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Жыл бұрын
Unahashuo weweee
@sulymansalymaly3859
@sulymansalymaly3859 5 жыл бұрын
Msg sent hawakuwezi wimbi zito hili
@biramsakh9212
@biramsakh9212 5 жыл бұрын
Znz io yenye chuki bainayao.
@mauidmussa4142
@mauidmussa4142 5 жыл бұрын
Mjinga.tu huyo asitafute kutudanganya mpaka leo
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 786 М.
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?
19:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 74 М.
Maalim Seif azungumzia utata wa siasa Zanzibar
4:18
BBC News Swahili
Рет қаралды 106 М.
TAZAMA WATU WALIVYO ZIMIA NA KUANGUKA WAKIMLILIA "MAALIM SEIF SHARIF
10:26
KAMATI YA MARIDHIANO SIX MAALIM SEIF HOTUBA BWAWANI 2010 KUTANGAZWA UCHAGUZI
10:55
HISTORIA YA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD/KIONGOZI MWENYE MSIMAMO USIOYUMBA
15:09
EXCLUSIVE: AMANI KARUME ATEMA CHECHE, AFUNGUKA SAKATA LA BANDARI
25:11
Daily News Digital
Рет қаралды 63 М.
BURIANI MAALIM SEIF: Wanangu Kwaherini
3:43
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 109 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН