Mtaambiwa kutoka hadharani kutoa taarifa haiko katika kanuni. Pelekeni mapingamizi ndivyo sheria inavyosema.
@AyubuChacha-u6u12 сағат бұрын
Kijana kiongoz pinga kazi maana wewe si kama anayejiita mchungaj kumpe yeye ni mchungaj wa kutukana watu eti kisa amehama chama mtu kaongoza miaka 10 tena anataka kufia uongozin kutolewa tu anahama na kuishi na matusi tuu.
@sautikuu21215 сағат бұрын
Huyu jamaa ni mwanachadema na mpinzani kabisa sio kama kina msigwa.