Hii nimeipenda, Mwijaku cjawahi kumuunga mkono ila kwa hili Akili sanaaaa
@shuwehaharuna6309 Жыл бұрын
Leo ndio nasikia dubai ni Africa
@rosemarymunyi5035 Жыл бұрын
Ni waziri sasa
@KasimJuma-e2o10 ай бұрын
Apo ni chawa ana mgoga chawa duuu noma sana
@user-pd8gx8ff6w Жыл бұрын
Waliyokusafirisha wamepata hasara sana sana, unadhalilisha wasomi wabongo hii
@allymohammedothman6593 Жыл бұрын
Eti ulaya ulaya😂😂😂 mkoshaa choo ulaya ndio super star wa bongo kwa hali hii dah noma kweli 😢😢😢
@mwakwelisaid3152 Жыл бұрын
Ety ulimpa rizki ak kwan ww umekuwa mungu
@samniza1763 Жыл бұрын
Mnapenda watumia wamasai huku nje, hao mnaojaribu kuwauzia biashara zenu, wakishajua jinsi mnavyosapoti wanaonyanyasa wamasai wazungu watasusa! poleni.
@rutashobyanovath1116 Жыл бұрын
Kama nakuelewa hivi
@ROZITHOMAS-y4q11 ай бұрын
Mie nakupongeza. Saka maokoto kaka. Wengine wanakusema lakini umewapita kimaisha. We mwenyewe unajua unachokifabya. We endelea na yako usiangalie mtu
@PilliPilli-r8g Жыл бұрын
Mwenye Namba ya mwijaku anisaidie kuna mteja huku wa nyumba
@edwardleonard7402 Жыл бұрын
Huna akili ww
@mohamedmohamud9691 Жыл бұрын
Lakini kilichonishangaza ni kwamba nilitizama Video ya vile kunguni imejaa mji wa Paris. Yaani si Kwa daladala au Taxi, sio kwenye ma Hoteli za ki fahari Wala kwenye speed train. Sasa swali nililojiuliza ni kwamba mbona wizara inayohusika ya France hawakuchukua hatua kabla kunguni kuenea kiasi hicho? Something must be wrong somewhere!!!