MWIJAKU Amnyea DIAMOND kukataa Kwenda kwa HARMONIZE "ANADHARAU SANA"

  Рет қаралды 24,396

Rick Media

Rick Media

Ай бұрын

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZbin channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Пікірлер: 53
@user-pk1yl7zt8p
@user-pk1yl7zt8p 29 күн бұрын
Interview bila jina la Simba la masimba dangote bd haijakamlka ko sishangai kuona mwaija anabweka hovyo
@merinakassembe118
@merinakassembe118 28 күн бұрын
Jamani mwacheni wi is meambino by theway uzinduzi uluenda mbina bila wasafi hwbu tuache haya kwani ywye ni mungu tuacheni veaba us too much
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 26 күн бұрын
Umeonaeee
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 28 күн бұрын
Kwa albam ipi? eti watu wote fyuuuu mimi nitoe kabisa kwenye huo upuuzi
@VenasAbdallah
@VenasAbdallah 29 күн бұрын
Mwijaku ubarikiwe Sana kaka yangu ❤❤❤ , umesema ukweli Sana. 😊
@user-eq1vw5hx1q
@user-eq1vw5hx1q 27 күн бұрын
Kwanini asitaje wasanii wengine mpaka diamond jamani mkubwa nimkubwa tu mwacheni mond aitwe mond 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@CamweziKarrashnekov
@CamweziKarrashnekov 29 күн бұрын
Mond anasafiri kila wakati , nyiye mnaosubiriya kusafiri kwa mgongo wa mama mtasubiri sana . Safari ambayo hajaifanya mond niya kufa pekee . Mond alimualika kibangala shuti kwenye myaka 15 ya wasafi baba na wanae na wajuku wakutane kwa same steji alichokiandika tulikiona. Mond hana njaa wala shobo wito ambao mond hawezi kuukata hata awe anajambo gani la kufanya ni wito wa Mungu
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 29 күн бұрын
Sahihi kabisa mond kutokuhudhuria nyie kina wauma nn kwan hawez kuacha kuendelea na arakat zake muhm sanaaaaa et aje kuhudhuria jambo ambalo halina ulazima
@josephinekhayengushi38
@josephinekhayengushi38 29 күн бұрын
Mwijaku atari huna baya ❤❤❤nakubali
@bustabruce480
@bustabruce480 29 күн бұрын
Mwijaku tuaciye Simba wetu 🙌
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 28 күн бұрын
Tena atuachie simba wetu kabisa
@Nasibu.kiboko.yawarembo
@Nasibu.kiboko.yawarembo 29 күн бұрын
Kwanza kuanzia huyo anaye hoji ni pumbu t afu huyo wakipara naye nakaribia kumtowa bikra yake
@user-cy2kb4xf1y
@user-cy2kb4xf1y 29 күн бұрын
kwan ni lazima simba awepo
@makubaSamweli-vm3tu
@makubaSamweli-vm3tu 29 күн бұрын
Tumesha choka sitor za kumzungumzia simba la masimba hamwez kutrend kwanjia nyingine tofaut namkombozi wamzik wa bongo
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 28 күн бұрын
Dc
@BenedictJackson
@BenedictJackson 29 күн бұрын
Mnatia aibu sana jambo nilakwenu mnamtaja diamond mnashida Gani ninyi bila mondi Bado hamtrend mmheshimu sana huyu mwamba
@JustinHoran-bo7rr
@JustinHoran-bo7rr 24 күн бұрын
Mwamba gani mshamba tu huyo analolote
@BensonMuthui-zu4md
@BensonMuthui-zu4md 27 күн бұрын
Mwijaku n kuguru tu wadhan modi anaeza Toka Paris eti juu ya uziduzi wakishenzi jiheshm kaka
@melkizedck
@melkizedck 27 күн бұрын
Halo! Mabas mazur kweli kweli
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 29 күн бұрын
Ss mtu yupo zake France,, arudi aje huku.... Hhehehe
@iddihamisi1519
@iddihamisi1519 26 күн бұрын
❤❤
@Kakerluder
@Kakerluder 27 күн бұрын
Hio nyimbo kambaye ni Gospel mwijaku 😂😂😂😅
@PatrickMisana-xx3ct
@PatrickMisana-xx3ct 29 күн бұрын
Hii ng'ombe kwerii
@JackOchwele
@JackOchwele 27 күн бұрын
Look at the friends of Harmonize? What kind of album is that? Huyu kama anazidi kuzungukwa na akina Mwijaku haezi kuwa hata nominated kwa BET. Ati mama mana, wimbo gani huo?
@benjaminmartin4548
@benjaminmartin4548 26 күн бұрын
Sasa mnamtukana mwijaku amewakosea nini?
@Farida-jx5nz
@Farida-jx5nz 29 күн бұрын
Mwijaku shoga ww.....
@allyadam9796
@allyadam9796 29 күн бұрын
Hivi Ali kimba alienda mbona anaongolew mond😮😮
@ShakiraJumanne-ve4pw
@ShakiraJumanne-ve4pw 29 күн бұрын
Yan you Hana akil ajelwi bla mond awiishi
@meereggfd5574
@meereggfd5574 29 күн бұрын
,😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@user-zv2ng6ov2k
@user-zv2ng6ov2k 29 күн бұрын
achana na simba we mubembe mwenzangu
@ElianaArsen
@ElianaArsen 27 күн бұрын
Aache ujinga huyu chawa,kwani kila tukio lazima mtu afike
@imaniLameck-fd4eb
@imaniLameck-fd4eb 27 күн бұрын
aliyekuzaa wewe anajuta
@HeriRamadan-qx2hk
@HeriRamadan-qx2hk 29 күн бұрын
Mwijaku unagongwa.
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 26 күн бұрын
Diamond ukojuu hawana Adabu nn kila mtu wanamambo yake bwana nyie vp
@73chengosaro4
@73chengosaro4 28 күн бұрын
harmonise ana sumbuliwa na wivu na utovu wa shukran --------------
@humphreykimaro8082
@humphreykimaro8082 26 күн бұрын
Muache Mondi apeperushe bendera ya Tanzania uko Paris wewe endelea kubweka apo mbwa ww
@MfaumeMaro
@MfaumeMaro 29 күн бұрын
Ok
@BlaiseNtambwe-lh5ui
@BlaiseNtambwe-lh5ui 19 күн бұрын
Harmonize ni msani mwenye hekima adabu sikama huyo wamsemae simba
@emmanuelsinkala6008
@emmanuelsinkala6008 29 күн бұрын
Yan bila kuandika jina diamond mmegundua watu hawaangalii,, Tafuteni content nyingine naye binadamu anakwazika pia.., mmezidi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 29 күн бұрын
Ndio mana tuko nyuma kimaendeleo, huyo mtu je analipa kodi Kwa wakati? yaani ukisikia Uswahili na Utanzania Ni huu, ameleta dharau Kwa nani? Alialikwa na SSH au Chinga? Ukitaka Kuishi vizuri hapa Duniani Ni kukubali kuishi na binadam wenzio hivyo walivyo na kama hukubaliani nao pita zako no like no comments hahahaha 🤣
@domingosjohnraissemaikomai7930
@domingosjohnraissemaikomai7930 29 күн бұрын
Siba dio nini analolote
@ManitoSyzzo
@ManitoSyzzo 29 күн бұрын
Mwijaku wewe auna akili
@mathewungani9724
@mathewungani9724 28 күн бұрын
Diamond ana Kosa gani?
@richardjoseph2921
@richardjoseph2921 28 күн бұрын
Nilijua tu tutaenda hapa kwenye hizi basi😂😂😂 maana kule koote ila Camera tu kuna jambo ilikuwa inaongea juu ya hizo basi. Na nilitaka niulize ila nikasema ngoja niangalie interviews. Yaan Interviews imeanza kuzungumzia mambo ya watu kama promo zingine tu na mwishowe promo tena ya mabasi dah.
@salimhassan3369
@salimhassan3369 29 күн бұрын
(1)David (2)Burna (3)Wizzy (4)Rema (5)Asake Show walizo piga awa East Africa mpaka sasa akuna ata mmoja ame Wai gusa zile stage zao ...kibongobongo tuna piga kelele na ukweli upo wazi..sifa tunazo wapa wasanii bdo ata robo..maoni tusitaftane 😂😅
@nasrakambimton9522
@nasrakambimton9522 29 күн бұрын
Acha ujiga kwaiyo ananafas afanyaje mama mwenyew alikuwa muda anao asingekuwa na muda ww mpuuzi kwaiyo ache kazi zake ajehapo kama rais anaonan naye mara Kwa mara acha mdom kama chuchungi
@danijafar3677
@danijafar3677 29 күн бұрын
Acha usenge wako ww kamwangalie tahmeed ndo utajua
@raphaelmwaura1648
@raphaelmwaura1648 29 күн бұрын
Ubwa koko wewe wenye wa adabu ni kaa wewe wapi simba atasfafirishwa na raisi hajawai ji shafilisha mkundu wewe maraya mweusi
@BrightVistaMedia
@BrightVistaMedia 28 күн бұрын
Sema yote ,Ukimaliza utakubali simba bora
@MussaWazili-bv6vx
@MussaWazili-bv6vx 29 күн бұрын
Mwijaku anafirwa mkunduni kkkkkkk
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 29 күн бұрын
Mjinga tu diamond sialikuwa safarini pia kila kitu majaliwa
@user-vn1sv5dq1t
@user-vn1sv5dq1t 29 күн бұрын
😂😂 wajinga aki n'a harmonize anafatana n'a siasa
Just try to use a cool gadget 😍
00:33
123 GO! SHORTS
Рет қаралды 85 МЛН
Каха ограбил банк
01:00
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 69 МЛН
KAMPISTA:SIMBA AKILI NYINGI WAWAINGIZA CHAKIKE YANGA
16:18
SPORTS MAX
Рет қаралды 6 М.
BEHIND THE GRAM MOM & DAUGHTER (KAJALA & PAULA) - EPISODE 2
31:09
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
🤷🏻‍♂️She Took His Skittles And Discolored Him😲🥴
0:33
BorisKateFamily
Рет қаралды 10 МЛН
Не плавайте тут!😨🌊
0:26
Взрывная История
Рет қаралды 4,4 МЛН
ВЕРНУЛИСЬ ИЗ ОТПУСКА... (@twoticketstosaradise - TikTok)
0:24