Yaan huyu jamaa napenda tu Anavyojiamini Sana. Mwijaku uko 💪💪👌👌
@salmaathuman91562 жыл бұрын
Harmonize acha upuuzi unaacha kufunga kwa ajili zinaa Fanya mambo yote usicheze na dini halafu kajala ni mkiristo
@lelarubea64052 жыл бұрын
Hamo unafanya makosa mwezi wa Ramadhan unaleta mambo ya zinaa
@sampachino51842 жыл бұрын
kweli kabisa
@elizamabongo23022 жыл бұрын
@@lelarubea6405 Go l l mungu hi
@fatchaz92762 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba huyu jamaa hampromote harmonize ila anamuharibia kwa mashabiki wake Huyu ndo mchawi mduanzi hana mpango kabisa .halafu huyu jamaa si nikibamia Ndo maana anaongea sana anamachungu huyu
Bora juma lokoke tushamjua ila huyu Anahasira .sio poa kuona wanaume kama wewe wanawatoto .mwijaku akisema anamtoto muangalieni lazima afanane naye ila akiwa hafanani nae sio wake
@alicenice17112 жыл бұрын
Dc kama Dc
@zeinababdi47572 жыл бұрын
Huyu harmonize anatafuta balaa, huyu kajala answerable hsts kumpa sumu akafa, what is wrong with him?
@maryamsaid32972 жыл бұрын
Hatamimi sijapenda kwakweli humwezi nikitukingine kabisa sijui babayake amejisikiaje
@jumakapola4192 жыл бұрын
Sasa na wewe usiwe msenge sana kumlazimisha mtu kufunga
@husseingabo54972 жыл бұрын
Mwijako kosa lake nini au nawe ndio wale wale
@husseingabo54972 жыл бұрын
Kwan huyo harmonize amekosa mwanamke had alazimishe Kwa jimama jitu Zima aache ushamba
@jumakapola4192 жыл бұрын
@@husseingabo5497 ya wasanii wetu wa tanzanian ni wapumbavu sana kazi yao kubwa kwenye mitandao ni kiki tu na kulilia makahaba mauza uchi tu
@zamibrahim30142 жыл бұрын
Eehhh mwijaku eti Hile style ya kudance kafundishwa na kajala 😄 🤣.
@WasafiGroup2 жыл бұрын
Maskini wa madegree anayeishi kwa mifuko mwenye hawajasoma kama yeye.... Njaa mbaya kweli,kwani degree hazikusaudi au vipi
@cleophasmkini10052 жыл бұрын
Huyu jama kenge kwel ha
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Kumbe ww unajuwa kila kitu
@salamakombo32572 жыл бұрын
Leo umeongea maneno mazima mwinjako dini
@mariamalongo88032 жыл бұрын
Mwijaku usimpoteshe Hamonize , walimdharilisha Na mapicha ya uchu dunia mzima acheni hiyo
@abuuyusra36642 жыл бұрын
Uko sahihi brother aache ayo mambo
@mesperesleonard46862 жыл бұрын
Jikaze mwanaume
@loganpoul2 жыл бұрын
Kajala alimpa jicho huyu mmakonde,
@Hawa-ed2hg2 жыл бұрын
Hatuitaki
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Wasaniìiì wote motoni wasipo tupu
@franccoz942 жыл бұрын
Harmonize kalukwa na akiri
@Worldwidetv9012 жыл бұрын
Really talks BABA WE 😂😂💥💥🔥
@eunicethoya60212 жыл бұрын
DC anajiamini hadi anakera, nampenda sana
@Tarzan_cat2 жыл бұрын
Hafungi alaf gym mapema tu
@stn48732 жыл бұрын
Ngaiiiii Utamu....
@christineoyigo35462 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mussanaftari8702 жыл бұрын
Mwijaku hauna hakiri kwa sababu, 1 wewe unaipongeza selekali huku unaiponda. diamond ni msani mkubwa