Рет қаралды 724
In Christ we have life & life in abundance
Mwokozi wetu anatupa furaha duniani,
(mwonokia wetu, Twi , nthinguru niautukenagia)
atuongoza kwa neema na anatushibisha.
(Mututongeria ni atûmaga tunyira nii utugi )
Tazama, yupo pamoja nasi, neema haitaisha kamwe!
(Tegeni, Ngai ee amwe natwi, utugi buria bitithiraga )
Haleluya, haleluya, haleluya, Amen!
Ni vema kumpenda Mungu aliyetukomboa,
(Nii bwega kwendana na Ngai uria watwonokirie)
vizuri kuwa mtu wake, sitapotea
kamwe.
(Nii nkanya kumutungatira gitumi atintiga)
Furaha yetu itabakia, ikiwa vyote vingetoweka.
(Giiiikeno, gietu nakio gituure, kinya muthiro Jwa nthinguru iji )
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!
Ikiwa giza mara nyingi, na jua
likifichwa,
(Muundu Jwa tumana, riua nario ria kunikirwa)
na tukijaribiwa huku twajuwa ni kwa mda.
(Twatirimana na Magerio tumenye jakathira)
Mbinguni hatutaona kamwe huzuni wala machozi tena.
(Iguru tuti-iithikiiria kairi kana turira methori ringi)
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!
Na tusisumbukie tena chakula wala nyumba,
(Bûkaithangîka nii biakuria, kana ikaaro bienu)
maana vyote twavipata kwa ne’ma yake Mungu.
( nii-untu into nii bia Ngai tuejagwa na maagi)
Njiani yote atuongoza aichukuwa mizingo yetu.
(Njirene niatutongeretie, akamatite mirigo yetu)
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!
Ikiwa vema huku chini kutegemea Yesu,
(Twonaga mawega nthinguru Gweterera Mwathaani)
furaha gani huko juu kuona uso wake.
(Iguru ndiuria tugakena atia kwonana na Jesu)
Tutaiona furaha tele, na utukufu hautaisha,
(Tukoojurua gikeno na ukumio bwa Mwathani buria butithira)
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!