From zanzbr.... Mzee said checheiiii hakika upo very smart nakukubali sana mzee said unaongea kwa umakini na ukweli kabisa... Mm mshabik wa yanga lkn nakukubali sana mzee said..... nakuomba uje tena zanzbr tunakukubali sana
@JohnNdege-t1m3 ай бұрын
❤😢Unanifurahisha sana mzee saidi nimecheka sana Eeeee😅😢 muumba mbingu na aridhi nilindie huyu mzeee wetu aminaaaaaa
Changamba asante sana kumleta Mzee Saidi lei hii na kiingereza cha kutufurahisha leo mafansi wake.Mbavu zangu mzee Saidi 😂😂😂🎉🎉🎉🎉 wewe mwisho makosa,popotas eti papa. Ubarikiwe sana mzee saidi .
@Shadia5443 ай бұрын
😂😂Mzee saidi jamaniii leo kafurahii huyoo asante chagamba kwa kumleta mzee saidi LIKE 10 KWA mzee saidi jamaniii ❤😂
@sefukijazi61803 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@BS1263 ай бұрын
@shadia544 😂😂😂😂😂🎉🎉 Mzee side bwana 😅
@JosephEnea-yx8rl3 ай бұрын
Shadia544 uchelewagi kusema uwezi ishi bila mzee saidi 😂😂😂😂😂Leo nipo
@Shadia5443 ай бұрын
@@JosephEnea-yx8rl kweli siwezi ishi bila ya mzee saidi wangu 🤣🤣🤣
@JosephEnea-yx8rl3 ай бұрын
@@Shadia544 Nina wifu miyee uwiiiii 😂😂😂
@HassanEnericko-h3h3 ай бұрын
Nakubari mzee said hivi ulimutowa wap❤❤❤
@HusseinKalamba3 ай бұрын
Jamani mbona hamnipi like zangu Leo washabiki wenzangu wa Mzee saidi
@errydeo88653 ай бұрын
Zikusaidie nini
@Deny8593 ай бұрын
ww chagamba uyu mzee Said atatuwua kwa vicheko😂😂😂simba❤# nguvo moja💪
@RabsonSalmon-ys7bf3 ай бұрын
Hiiiii kabooooooo hiiiiii kabooooooo🎉🎉 uyu Mzee bana
@RahmaMohamedi-yg7mi3 ай бұрын
Jomn napenda chagamba anavyocheke jomn 😂😂😂
@Wami-Sababisho3 ай бұрын
Mzee Saidy ana Madini mengi sana kichwani
@JohnsonAmos-py3wf3 ай бұрын
daah mzee said unafanya watu tu enjoy sana jamanii😂😂😂❤❤🎉
@bujabestonlinetv3 ай бұрын
Ndugu zangu ninawazo kama tunafurahishwa na mzee zaidi ebu tu mu surprise zawadi kama unaungana nami gongo like 👇🏾
@elishagregory15953 ай бұрын
analipwa na M-generation(T) insurance
@HildaadrianMsindo3 ай бұрын
Sema tumpe nn said😂😂
@lamecksebyiga16303 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huyu Mzee leo kaniua mbavu, Kingereza chake sio poa😂😂
@cristamelahashimu36793 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 Mzee Saidi Mungu akutunze uishi Sana unanifurahisha Sana hahahaaa 😂😂😂😂
Mzee Saidi jameni, hicho Kizungu hapana😂. Potatoes ni viazi Pawpaw ni papai Tomatoes ni nyanya Onions ni Vitunguu
@davidstephano17723 ай бұрын
Chagamba unatuburudisha sana mashabiki ukiwa na huyo mzee said,hapo kwenye kitunguu nimeparudia mara 8,ni kicheko tu
@AugustinoKanga3 ай бұрын
Mzee saidi weeeee
@MuzihirAmisseSalimo-r5d3 ай бұрын
Kama unakubali like apo❤❤❤
@LucyPeter-d2m3 ай бұрын
Ni kweli manyoni majambazi walikuwa kulwa na doto mzee saidi unajuaa sana
@MariaPaschal-z1t3 ай бұрын
Mzee xaid anaburudixh Kwa kwer anapaxws aw comedy toxha
@MuzihirAmisseSalimo-r5d3 ай бұрын
Mbona wa simba Awakuchukua mpila kuweka kwenye nyavu
@othmanhamad78873 ай бұрын
Side km side🤣🤣🤣
@nurdinmfamau34933 ай бұрын
Mzee Said Weka Naakiba Yamaneno. Timuu Yenyewe Aieleweki .
@GodloveLauwo3 ай бұрын
Nilikuwa natafuta line mpk
@ShafiiGama-h3m3 ай бұрын
Chagamba , ww ni mwana habari mshawishi miraji muwe mnachambua pia mechi za uingereza na za laliga hii kwa faidai yenu
@jescaodingo95643 ай бұрын
Mzee Said msema ukweli
@FredyDoto-jk8ud3 ай бұрын
Side kama Side Mzee Said atakuletea SANDA nyumbani kwako
@VeronicaNyondo3 ай бұрын
Mzee said haya 😂😂
@mlalihealthcenter3 ай бұрын
saidii huyo no mbambamba
@Yassin-z6o3 ай бұрын
Kaamua kuliweka mwenyewe bahati mbaya.
@jeansindayigaya12573 ай бұрын
Mze saidi 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@usatoenglandvegas40463 ай бұрын
Popota papayo😂😂😂😂
@DenisSanga-bj5ud3 ай бұрын
Tunaongezq siku za kuishi kwa kumsikiliza Mzee Said
@omaraonasir43613 ай бұрын
Wanaosema goli la baleke ni offside,waangalie mechi ya Leo ya union Berlin Vs Frankfurt Leo acheni ushabiki wa kijinga
@amanilupembe97883 ай бұрын
Mwamba namkubaro sana
@Fundirichie13 ай бұрын
Jifunze ufundi wa kuteneza simu kwa fundi richie bofya logo yangu hii ya RI ujifunze zaidi
@VictorBugobola3 ай бұрын
Upo wap Kaka unipe coz napenda Sam kuwa fund bro❤
@Fundirichie13 ай бұрын
@VictorBugobola nipo MULEBA
@idanysedrc12003 ай бұрын
Matobolwa 😃😃😃hayo ni maviaz yaliochemshwa na kumenywa badae yanaanikwa yakikauka ndio matobolwa
@MonaMbalike3 ай бұрын
Kwani chagamba izo nywele apo wamekukwangua au
@hafidhichai91653 ай бұрын
MIMI SHABIK WA YANGA SISIKILIZAGI UCHAMBUZI WWT UNAOHUSI SIMBA ILA HUYU MZEE NDOPEKEE NINAEMSIKILIZA IWE ANAONGELEA SIMBA AU YANGA NAMKUBALI SANA SABABU ANAONGEA MPIRA SIO USHABIKI