Duu huyu mzee hafai hata kuushi duniani anapaswa ashuhulikie haraka iwezekanavyo maana alichokifanya hata kuku hawezi kufanya. INNALILAHI WAINA ILAHI RAJIUN
@mohdmbarouk84653 жыл бұрын
Mhhh mtihan kweli wazeee wetu hata Iman Aibu zimeondoka kabisa
@雪丽名字3 жыл бұрын
Kesi hizi kwa kweli wasitolewe nje maisha yao wazazi tunaumia
@rahimasaid47023 жыл бұрын
Huyo anyongwe mana inaonekana ameshanajisi wengi ndio maana asingemnajisi Hasbiya Allah Allah atamdhalilisha kama alivyo mdhalilisha mtoto watu looh!😭😭😭
@fatmajuma90653 жыл бұрын
Inauma sana Allah atuhifadhi ya rabiy
@kholaalmahrizi85253 жыл бұрын
jamani hata police kwenda kuchukuwa uthibitisho kwa wananchi hana gari
@salmaalkyumi60303 жыл бұрын
Mtihan wallahi
@mobincheba3 жыл бұрын
Umri kama huo baada ya kushkuru kuufikia ukarudi kwa Mungu ndo kwanza Unafanya Upuuzi uo
@topaviator3 жыл бұрын
Ndo ivo yani dah hili zee limelaanika
@sweetylove99183 жыл бұрын
Anaanzaje kushukuru uyu usikute mwanga analaana
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Tuseme hao wabakaji wanafanya kusudi au wamerogwa mana kila leo matangazo ndio hayo hayo au hawasikii taarifa hizo redion. .hebu wapigeni mapanga hao mapolis wote makhanisi eti na wabakaji ndio wao . Nyie wazanzibar waginga nyote washenz wakubwa. Mbona mwiz munamuuwa kwa kuiba kuku to au nguo - je hao wanao wanao waharibu maisha ya mtoto au nyote makhanisi
@nasser89nasser203 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayhi Raajiuun Mtu mzima hasidi inaonesha ndio mchezo wake lkn mwizi ni siku arubaini Mola amemfedhehi
@zwinaalhabsi6643 жыл бұрын
Wallah inaumiza sana mtt mdogo libabulizima lambaka mtt sawa na mjukuu wake halafu serikali yapuuzia wallah hatuwalaum raia kuchukua sheria mikononi mwao
@mariamkhatib53863 жыл бұрын
Mtu kashindwa na nauli ya mnazimmoja halafu akatoe ya mafuta hee
@jumamatao36283 жыл бұрын
Ngoja tuone huyu mzee kesi yke itafikia wpi, mana juzi kuna kijana alikuwa na kesi km hii na amefungwa miaka 70 ..
@fauziyaomar70902 жыл бұрын
Poleni
@zaytunhijja67713 жыл бұрын
Ttzo sheria z ubakaji zilowekwa nyepes Hao wabakaji wangekuwa wanakatwa izo sehemu zao bs wangepunguza
@fauziyaomar70902 жыл бұрын
Duh mtihani mzito pole
@fat-hiyakhatib81323 жыл бұрын
Moto kariako
@tumakassim62863 жыл бұрын
Dah!maisha haya
@khadijaa8153 жыл бұрын
Mtihani mtu unakupata na polic mtihani mpk gari watafutiwe
@utaani13 жыл бұрын
Lakini wakati wa uchaguzi wanakuwa nazo gari za kwenda kupiga watu na kuuwa watu na kubaka watu. Ila kwenye mambo muhimu hawana gari
@salmaalkyumi60303 жыл бұрын
Nao Mungu Atawahukumu
@othmanali74083 жыл бұрын
Hii inauma kiukweli . Allah atuhifadhi sisi na wenetu Amin
Jamani dunia haitutaki unyama huo Mungu anatuona duhf
@aliamar68073 жыл бұрын
Hii ndio shida tunayopata wananchi kwa hata police ambapo inaanza haki ,ni dharau, rushwa kupoteza mda bila kuangalia ukubwa wa tatizo, kwa ufupi wenye pesa ndio wanaothaminiwa na police
@user-pf9cd6zj1g3 жыл бұрын
Hukumu yake mzee kama huyo kama ni kweli auwawe
@تاتا-ن6ن3 жыл бұрын
Kabisa anyongwe
@ruqiyaruqiya31973 жыл бұрын
Kwakweli nikifungo tuu zamana wakipewa ndio matukio ayaishi wanazidi kutualibia watoto wetu
@alafasyprintingservices6603 жыл бұрын
Allah atujaalie khatima njema jamani dah hili tukio sio masihar jamani tulifikirien kw makin jamani
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Askari wenyewe wanahitaji elimu kubwaaa...kuna baadhi ya askari wanashirikiana katika kuficha makosa haya ya udhalilishaji.
@msemakweli3713 жыл бұрын
Leo siku yangapi? Wazanzibar mnamuongelea huyu mzee. Serikali iko wapi? Kwani yeye tupo juu ya sheria ya serikali ya Zanzibar??? Mimi mtanzania imaniuma sana nikisikia wazee kama hawa bado mnawaogopa. Lakini naamini serikali ya Hosen Mwinyi kama ya Magufuli , hilo Zee litakamatwa na sheria itachuku mkondo wake.
@nasser89nasser203 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi Mwinyi tunakuomba utusaidie suala la udhalilishaji wa wanawake na watt usilinyamazie
@somoh75893 жыл бұрын
Hii maskini mototo washemegi yangu huyu mdogo babu zima hili limeniuma sans na bububu hapana kituo cha polis pana urafiki tu kituo like hakifai wafukuzwe kazi hao
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Imepigwa Simu na nani?
@雪丽名字3 жыл бұрын
Masheha wote wanaotoa karatasi ya dhamana bc wao ndio wapelekwe kituoni waone jinsi ugumu unakuwaje .mana na wao pia wanachangia kwa nn watowe karatasi ya dhamana wakati Raisi anasema masuala ya udhalilishaji yamekosa dhamana .masheha nao wachunguzwe, na askari wa vituoni nao pia wachunguzwe hawana uwadilifu.
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Hao Askari wenyewe wanataka hizo pesa tu na wala hawana jengine. Ivi wewe Askari mushaambiwa Gari tayari lakini masaa matatu yanapita bado? Nakwambia Askari wetu wenyewe wanamatatizo Wallahi naapa kwa hili. Kama umeyasikikiza vizuri haya maelezo ya huyu kaka anayezungumza Askari wanashiriki katika mambo haya ya udhalikishaji.
@theroots27433 жыл бұрын
Hapo sheria ichukue mkondo wake kwa udhalilishaji pamoja na hao polisi kufunguliwa mashtakana na kufukuzwa kazi
@salmaelhinai8333 жыл бұрын
Huyo mzee ni hasidi haoni km ni kitukuu chake
@safiayussuf93083 жыл бұрын
Turushieni no tuwasaidie ps za dawa
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
Dah babu ana wake watatu lakini bado afanya upuuzi dawa yake huyu ahasiwe tu huko jela na muhali tunao jitu kama hilo bado watu walitizama tu
@hajimohamed70073 жыл бұрын
Tatizo la polis ukienda na tatizo basi ujuwe unaenda kujiongezaea tatizo mana ukienda kushtaki kesi ukihitajika upelelezi gharama zote u atakiwa utowe wewe pia mwisho unaambiwa uwape hela ya vocha ilimradi usiende umeibiwa ukadhan utafanikiwa kwa kwenda polisi nakule wanaenda kukuibia tana
@mursalsaid33273 жыл бұрын
Huyo raia chukueni Sheria mikononi mwenu wakati munaamjua . serikali wameshindwa.acheni story hizo sio suluhisho.hilo .mnyongeni.huyo
@ahmedjuma26743 жыл бұрын
Zanzibar nimtihan raisi wa Zanzibar lisimamie hili
@topaviator3 жыл бұрын
Huyu mtangazaji analia au vp
@khamisjuma76163 жыл бұрын
Kama ni kweli basi huyo ni mchawi .kateni kichwa tu hana faida huyo mzee
@muzneali3873 жыл бұрын
Hivi Polisi hakuna gari???
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Ukimuuwa mbakaji utakwenda jela na ukiuwa mwiz huwendi jela na mbakaji akibaka hafungwi . Hebu wakamateni muwakate uume au mzamisheni chupa na yeye
@jumamngwali28363 жыл бұрын
Aibu police hata gari basi
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Yeye kapigiwa Simu na nani? Huyo Askari ni shidaaaa. Unapoenda na matatizo yako Askari wanadharau kubwa mnooo. Mimi kuna siku nitawachana hata mbele ya Rais kisha nimuone Askari aniletee shida aone. Wallahi anapiga Albadri saba tuu. Unasikia majibu ya Askari aliyoyajibu kwa huyu kaka. Halafu chukuweni Simu munapoenda vituoni na murikodi mazungumzo ya Askari pale munapozungumza naoo.
Kata kitendea kazi tu halafu waachiliwe huru wajenge taifa. Jela watatia hasara serikali.
@chocolatebaby85332 жыл бұрын
Ao polisi nd wenye dhambi namb 1 alaf unasikia wanakwend makka kwa fedh za haramu kaz yao rushwa tu na kubabaisha kesi
@muzneali3873 жыл бұрын
Saa nyingine Polisi wanapenda kulaumiwa sasa hapo wanafanya uchunguzi gani? Zaidi ya uchunguzi wa kitaalam alifanya daktari au Ndio njia za rushwa? Muheshiwa IGP kiangalie hicho kituo cha POLISI BUBUBU kinaharibu sifa nzuri ya JESHI LA POLISI
@aishaaisharagp9381 Жыл бұрын
Kituo cha Bububu hakifai mbona kinamaovu yote
@aishaaisharagp9381 Жыл бұрын
Kituo chabububu nirushwa kwenda mbele
@dulabori99223 жыл бұрын
Askari polisi ungja mtihani mtupu bora mtuhumiwa umpige panga afilie mbali ufungwe wewe mzazi kuliko kuwaachia polisi
@ramadhanally32403 жыл бұрын
Kama dhamana ni haki ya mtuhumiwa bac police hawakua na makosa
@tatotato39143 жыл бұрын
Kabs Yan Wana ufala haw
@shamisjamal83923 жыл бұрын
Kwasasa makos km hy hayatakua n zamana soo
@zaytunhijja67713 жыл бұрын
Hahahahaaaa s yakucheka
@husseinkonz51923 жыл бұрын
Inaonyesha huyu babu anatumia ulevi sio bure
@safiayussuf93083 жыл бұрын
Tunakuomba mwihishimiwa Rais. Hawa maduwi wa kubaka watto. Wapate Adhabu km Bara. Na wasipewe dhamana. Hawa ni wauwajii.
@mobincheba3 жыл бұрын
Nasema hivi police bado hawajui majukumu yao
@fatmasaid97653 жыл бұрын
Huyo mtu ni wakufungwa afie jela maluuni mmoja
@ismailjuma36923 жыл бұрын
Mh
@mamiyfeiy3 жыл бұрын
Washenziiiiiii sanaaaaaa
@sultannassor97563 жыл бұрын
dawayao hao nikipigo tu akibaka mtu apewe kichapo
@kholaalmahrizi85253 жыл бұрын
watu kama hawa dawa yao ni kunyongwa tu
@utaani13 жыл бұрын
Watu wanachukua advantage kuwashingiza uwongo wanaume, ukiwa mwanamme humpendi unapanga uwongo unamfungisha kirahisi ukisema kalala na na mtoto mdogo au kakubaka hata ikiwa ni uwongo.
@muzneali3873 жыл бұрын
Utaani Mpumbavu mkubwa wewe na daktari pia kamsingizia inaonywesha na wewe umo kundini sasa unamtetea mwanachama mwenzio
@mamitomamita62843 жыл бұрын
SUBHANA ALLAH
@sabraham53083 жыл бұрын
Jeshi la polisi,linachelewesha kesi kwa makusudi?,kuna nini hapa,rushwa,uzembe,kwanini asipelekwe mahakamani,akamalizikia rumande kwanza,waziri wa tamiseni,aliingilie hili haraka,ipatikane haki.
@madinaomar6793 жыл бұрын
Rais tunakuomba wasaidie hawa wanyongee, tumezichoka hiz kes unguja
@tim5hos8463 жыл бұрын
Hakuna hata Dawa noma zanzibar
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Subhannallah huu mtihani mkubwa viongo kuanzia polisi mawaziri wabunge wakuu wamkowa mashekha uadilifu upite nawakumbusha maisha ya dunia ni mafupi mtaenda kuulizwa na allah tusomeni kwa mtume muhammad tusomeni kwa abuu baka swadik tusomeni kwa omar bin hatwaab hawa ndio wakuwafuata jee mnafuata nyayo zao mtaenda kuulizwa jitahidi kuwa waadifu allah atawasaidia
@utaani13 жыл бұрын
Kwanza utawezaje mtoto wako kumuwachia na watu wengine. Unazaa kisha huwezi kulea mtoto wako nyie wanawake watu wa ajabu sana. Huna muda hata wa kukaa na watoto wenu. Kazi ujinga tu muda wenu wote munatumia kuchat na kuongea na simu mambo yenu ya kijinga
@mariasaid60533 жыл бұрын
Umeelewa lkn kasema alienda mazkon ndo akamuacha kwa jiran
@zenjibartvonline26223 жыл бұрын
Huyo halijamkuta
@utaani13 жыл бұрын
@@mariasaid6053 hata akienda wapi nenda na mtoto wako, usimuwachie mtu mtoto wako. Ukimuwachia mtu mtoto wako atambaka tu
@utaani13 жыл бұрын
@@zenjibartvonline2622 umewezaje kumzaa mtoto wako kama huwezi kumshughulikia na kwenda nae unapoenda wewe mzazi
@zaytunhijja67713 жыл бұрын
Inaonesha hujazaa ww mpuuzi mmoja huyo mtoto kwan ni tako kiasi ambacho kila sehem unaenda nae