Mzozo wa DRC na Rwanda... Katika Dira ya Dunia TV Ijumaa 07/02/2025

  Рет қаралды 18,067

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
#DRC #Rwanda #m23 #Goma #tanzania #SADC #EAC #bbcswahili #bbcswahilileo #tshisekedi #kagame #samiasuluhu #samiasuluhuhassan #RUTO

Пікірлер: 37
@danwayne786
@danwayne786 3 сағат бұрын
Leonard Mambo Mbotela tutamkumbuka daima. Mungu amlaze mahala pema peponi.
@GesaMajogoro
@GesaMajogoro Сағат бұрын
Mungu ibarki African
@USALAMADRCONGO
@USALAMADRCONGO 5 сағат бұрын
Kwanini msi wahusishe pia Wachambuzi toka DRC? Wapo pia Wachambuzi wazuri sana, ila nashaanga kila wakati mna wahusisha Wachambuzi wasio juwa hali halisi ya kwenye Eneo la tukio
@ezekielezekiely8476
@ezekielezekiely8476 5 сағат бұрын
Viongozi wa Kiafrika,walivyo wanafiki hivi.kuna kitu kutafanyika hapo kweli,ni mashaka.hao wote ni madikteta kwa raia wao.kwa njia ya uchaguzi, reo inawezekana chooni tupate asali.itakuwa mara ya kwanza,wote hao ni wezi wa demokrasia.hiii!hamo sasa.
@AishaAssumani
@AishaAssumani 5 сағат бұрын
Mungu asaidiye waskirizane
@JedyKandul
@JedyKandul 4 сағат бұрын
Kuongea na m23 nisawa na kuuza nchi ya Kongo Kwa wanyarwanda wanamipagona Kongo
@LucySimba
@LucySimba 4 сағат бұрын
🙏🏼🙏🏼❤
@juliusmwaniki8984
@juliusmwaniki8984 4 сағат бұрын
Paul Kagame kama yeye ndiye ameleta taabu congo Mungu amwadhibu vibaya sana na jamii yake. Amani ni bora kuliko madini ya congo
@kevinrugenza1769
@kevinrugenza1769 3 сағат бұрын
Toka Kule wee,unauhakika??
@LucySimba
@LucySimba 4 сағат бұрын
Ombi langu ni kagame na shisekedi Wakae wasikilizane ili kuokoa Maisha ya Wa Congo Amani ipatikane katika Taifa hilo Asante umoja wa Mataifa Mungu Awe nanyi
@ngongosamuelapela81
@ngongosamuelapela81 2 сағат бұрын
Ni mambo ya inchi que Dieu nous viennent en aide
@omarykipepeo800
@omarykipepeo800 4 сағат бұрын
Allah ijalie congo
@WamburaThomas-s3u
@WamburaThomas-s3u 5 сағат бұрын
Mungu2 awasaidie alafu wakae wenyewe chini wazungumuze 🙏🙏🇹🇿🇹🇿🙏🇰🇪🙏🙏🇰🇪🇰🇪🙏
@thenostressteam3014
@thenostressteam3014 3 сағат бұрын
😢
@josephkajumulo1994
@josephkajumulo1994 2 сағат бұрын
Tuombe Mungu tu mazungumzo yaende vizuri baadae hii leo DSM!
@YohanaAyoub
@YohanaAyoub 4 сағат бұрын
Mungu awatetee ndugu zetu was Congo jamani
@silvadebaba9769
@silvadebaba9769 4 сағат бұрын
Tutaingia Rwanda bila kizuwizi na rwanda ita subir action
@kamrudinelias3922
@kamrudinelias3922 3 сағат бұрын
Vikwazo vya marekani sawa na kula karanga siku hizi, angalia nchi za north Korea, Iran, China, Russia na mengine mengi yalivyopata MAENDELEO na vikwazo vya marekani zikirundikana...marekani linazidi kupoteza umaarufu na marafiki duniani kwa kasi...
@silvadebaba9769
@silvadebaba9769 4 сағат бұрын
Est-ce que wazazi wa wa tutsi hao walio zaliwa congo Walikuwa na urai wa ki kongo?
@USALAMADRCONGO
@USALAMADRCONGO 4 сағат бұрын
Rais Felix, haja wai kataa kukutana na kuzungumza na Kagame, ispokuwa tu alisema hawezi zungumza na Askari wa M23. Kumbuka mkutano wa ivi mwisho wa angola, Félix alikiwepo ila kakataa kagame, na kuja kukubali ule wa EAC, ulio itiswa na Ruto, sababu Ruto wako pamoja na kagame. Ila huu wa SADC-EAC, Na amini kuna kitu kizuri tukacho kipata.
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 3 сағат бұрын
Rwanda inatengenezwa iwe kama izrael kujitanulia maeneo kwa manufaa ya wamarekani na England na magharibi yote
@USALAMADRCONGO
@USALAMADRCONGO 5 сағат бұрын
Rais Felix, haja wai kataa kukutana na kuzungumza na Kagame, ispokuwa tu alisema hawezi aungumza na Askari wa M23.
@ALIKIBEJUMA-h7r
@ALIKIBEJUMA-h7r 2 сағат бұрын
Ni mambo ya ovyo kwa viongozi wote wa afrika ivi ujinga unao pitikana kongo kuna mtu asie juwa sasa kuna aja gani ya kukaa chini waelewane wakati wana jeshi wa inchi izo wanadayi wapo kongo kulinda amani naona ni ujinga mtupu akuna lolote
@josephkajumulo1994
@josephkajumulo1994 2 сағат бұрын
R.I.P Mzee Leonard Mambo Mbotela! Hakika ni huzuni kubwa kwa tasnia ya utangazaji katika juma hili!Kufuatia pia kifo cha mchambuzi maarufu wa siasa na diplomasia Ahmed Rajabu week hii huko London uingereza!!
@juliusjaliwa9887
@juliusjaliwa9887 4 сағат бұрын
Wachambuz mandazi, kwahio ninyi muko tayari kiseket akubaliaane na maamuzi yoyote yale ambayo itatolewa hapo hata kama haya maslai kwa wacongo? Chombo cha wamluki hamna lolote
@silvadebaba9769
@silvadebaba9769 4 сағат бұрын
Jibu nihapana nikusema congo ina mamlaka yote 100% yakufanya jisi inavyo jisikia. d'autre chose, mambo ya congo inausu nini kagame kuleta vita kwetu congo
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 3 сағат бұрын
Me nadhani hao M23 wanapaswa kupigwa na kusambaratisha kabisa makundi yote ya wahuni wanapora mali na kubadirisha na silaha ili wacongo wawe huru na nchi yao pia nchi zungine majirani waende kongo kujumuika na wenziwao wa huko
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 3 сағат бұрын
Hivi mtanzania akizaliwa Malawi kutokana na wazazi kwenda Malawi kimajukumu na badae wazazi kufariki au kurudi kwao nawe kubaki Malawi ni lazima uanzishe uhasi kwa kuwa umezaliwa Malawi ikiwa wazazi ni tz?
@josephkajumulo1994
@josephkajumulo1994 2 сағат бұрын
Halafu huyu Trump cjui yukoje asee? Yaan kila siku ni mtu wa kuleta taharuki tu Duniani asee! Cyo mtu poa kabsaa huyu mzee
@josephkajumulo1994
@josephkajumulo1994 2 сағат бұрын
Hivi vikwazo vya Trump kwa ICC nadhani nyuma yake ipo Israel hasa ukizingatia hv majuzi tu waziri mkuu wa Israel alifanya ziara huko USA.
@albertmushambarhwa6416
@albertmushambarhwa6416 4 сағат бұрын
17:58
@VumiMoise
@VumiMoise 5 сағат бұрын
M23 niwanyarwanda Rwanda sio wo kongo ao
@MargaretMathiote
@MargaretMathiote 5 сағат бұрын
Banyamulenge
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 3 сағат бұрын
Rwanda inatengenezwa iwe kama izrael kujitanulia maeneo kwa manufaa ya wamarekani na England na magharibi yote
@silvadebaba9769
@silvadebaba9769 4 сағат бұрын
Jibu nihapana nikusema congo ina mamlaka yote 100% yakufanya jisi inavyo jisikia. d'autre chose, mambo ya congo inausu nini kagame kuleta vita kwetu congo
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Alhamisi 06/02/2025
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 31 М.
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
COP29: Climate Finance at Scale for Global Decarbonization
1:23:54
E-axes Forum on Climate Change, Macro and, Finance
Рет қаралды 12 М.
Trump: Marekani itaidhibiti Gaza  DiraTV Jumatano 05/02/2025
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 28 М.
NestJs Course for Beginners - Create a REST API
3:42:09
freeCodeCamp.org
Рет қаралды 1,7 МЛН
SADC na EAC wakutana kuhusu DRC
8:31
BBC News Swahili
Рет қаралды 12 М.
M23 waandaa mkutano Goma
8:44
BBC News Swahili
Рет қаралды 62 М.
GEOMETRIC DEEP LEARNING BLUEPRINT
3:33:23
Machine Learning Street Talk
Рет қаралды 384 М.
Mzozo DRC: Fahamu madini ndani ya simu yanayochochea mgogoro
3:11
BBC News Swahili
Рет қаралды 9 М.
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.