Рет қаралды 74,809
Mary ameeleza safari yake ya kutimiza ndoto yake ya kupata Mzungu, alitoka mwanza kwenda Arusha kutafuta Mzungu. Alikutaka na wazungu wa honyo lakini mwisho akakutanana na ambae bi mume wake na sasa anaishi Belgium.
Alinyanyasika na kudharaulika sana na kuitwa maijina mengi mabaya kutoka kwa familia lakini aliwaacha mdomo wazi baada ya kufunga ndoa.
Thank you Mary for allowing this to be online
www.oda.international