Mwenyekiti wa Bravo ametangaza nafasi za ajira 600 nje ya Nchi huku akiwataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo
Пікірлер: 26
@ukhutyruuyuu339427 күн бұрын
Nashida na kazi lakin sijasoma nimeishia la Saba
@japhetchirimi Жыл бұрын
Asante mama Samia Suluhu Hassan kwa kutukumbuka wanao pia tunashukuru Mzee kwa fursa ya ajira kupitia AL-MARAI
@ameirmanzi26842 жыл бұрын
Ivi kwa Tanzania kuna nini vijana ajira hawana leo inatokea wanazuwia mbona Kenya Uganda Ethiopia wanazitumia Sana nafas za nje
@omamomanhelena9433 Жыл бұрын
Aslm aleyku naomba no zenu Kwa mawasiliano
@gabrielcna8201 Жыл бұрын
Hebu nitaxamie kazi ya ufundi ujenzi nje ya nchi kama Rwanda sauthi africka Namibia mozambikyu
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Sema mlizuiwa na mwendazake alaaniwe huko aliko yule mzee sijui kama ni binadamu wa kawaida
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Mwendazake alaaniwe yule mzee alizuia kila kitu Yan alaaniwe huko aliko
@peacemwesiga5 ай бұрын
Wewe unayelaani nawe utalaanowa na kizaxi chako kama unadiriki kutikana mtu ambaye ametangulia mbele za haki je wewe uko salama !! ?mrudie Mungu wako kaombe toba.
@busholaseseko49052 жыл бұрын
Nchi gani
@westmanmoses5412 жыл бұрын
Saudi Arabia
@DavidYusuph-hd9xw9 ай бұрын
Naitaji kaA
@brunompolle14042 жыл бұрын
Toeni contact ili kuweza kufika kwa urahisi huko ofisini kwenu
@NasrahMohhamed2 ай бұрын
Mawasiliano ya simu
@Official-Songa2 ай бұрын
Mwaka huu hakuna ajira tena
@AnnoyedBooks-kn5pm5 ай бұрын
Wew ulisema mzee alizuia kazi za nje siku ukienda ukapata mateso nd 4:19 io utajua mwarabu siondugu yako ❤
@honoratharaymond-vm3jh11 ай бұрын
Ndugu yangu mr Abas Lumumba kubwa sana ofisi yenu ipo kwenye jengo gani au karibu nanini au nipate namba zenu nipaulizie
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Safi sana
@peacemwesiga5 ай бұрын
Jamani mnaotuma ms za kaxi tangulizeni neno kwanza naomba naomba ni ishara ya nidhamu.ili kufanikisha jambo.sio nataka kazi!!!nataka namba!! HATA BARUA HUWA NI YA MAOMBI KHA😮
@user-kr7ux2dw5l2 ай бұрын
Tunaomba mawasiliano
@mariamushi6411 Жыл бұрын
Jamani mbona mnapendelea umri tunaomba muongeze umri hata miaka arobaini basi iwe ndiyo mwisho tafadhali sana