NAMNA 20 AMBAZO MTU ANAWEZA KULOGWA: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: 28.06.2020

  Рет қаралды 126,309

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

Күн бұрын

Ungana nasi muda huu; Askofu Mkuu Dr Josephat Gwajima anafundisha. Mungu akubariki sana

Пікірлер: 189
@LinaMusa-sv9ge
@LinaMusa-sv9ge 29 күн бұрын
Mungu nisaidie nitoke na maarifa amen na nipokee niwezw kupambana na nguvu za giza zote amen
@jamesjosephm6358
@jamesjosephm6358 4 жыл бұрын
Amen amen baba yangu kilasiku najifunza mengi ubalikiwe sana mtumishi
@onesmopaulmwacha566
@onesmopaulmwacha566 4 жыл бұрын
Wewe ni mtu ambaye Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa mno ..hivyo naomba Baba jamani usiende kwenye siasa ..waombee tu na kuwafundisha wanasiasa inatosha Baba ..Ahsante
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako tu dear kiuhalisia Taifa linapendezwa liongozwe na wenye hofu ya Mungu
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
@@pericykiko6198 Ni onyo tuu, kila Mamba na kifugo chake. Siasa ni playground ya ibilisi. Mara meetings nyingi mno, Mara hanasa, na kufwatana na hayo muda wa kufunga na kuomba haipatikane. Mitego nyingi. Najuwa mtumishi wa Mungu Dr Gwajima hawezi ingiya siasa pasipo kuzungumza na kupata maelekezo kutoka kwa Baba Mungu. Kama ikiwa nimtego Bwana atamuepusha nao. Kama mwanadamu, I miss him already. I know Pastor Amos is there but Moses was different from Josh.
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
@@estasage5506 oooh inawezekana maana ibilis halali kwa ajili ya kutuwinda mmmmh
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
@@pericykiko6198 True my dear. Myself don't understand why our God chosen bishop Gwajima will join the science. He helps more peoples worldwide as a man of God spiritually (which is important ) than being politician. Kama ni kujulikana, Mwenyezi Mungu amemujulisha dunia nzima, kama ni pesa, Yesu kristo wetu kamubariki. So, I don't understand. He could pray for them but not being a part. Sasa, hapo ndipo amejipeleka mwenyewe kwenye play ground ya muovu. I pray for his protection in Jesus Christ mighty name.
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
@@estasage5506 hakuna kazi ngumu km kazi ya Mungu maana unawindwa kila mahali hata ukimuambia mtu achana na maweaving atakuambia kwani wewe Ni Mtakatifu yaani shetani anakuwinda binadamu nao hawashikiki wanapenda kubembelezwa Tena ukiteleza wanakucheka bt tujifunze kujishusha na kuombeana huenda ikawa wapo wengi tumekosea na yy akiwa mmoja wapo Basi Mungu atukumbushe tunapoomba tuwaombee warudi kwenye njia sahihi Amen
@matridalule6477
@matridalule6477 4 жыл бұрын
Nisipo msikiliza huyuu baba nais naumwa asante my dady Mungu aendelee kutumia baba
@rechomsuya352
@rechomsuya352 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Askofu napenda mafundisho yako na vitabu vizuri ulivyo andika mfano kitabu cha maombi ya kushindana
@KiKenya-lu1by
@KiKenya-lu1by 10 ай бұрын
Ameen
@OmAn-jw4jt
@OmAn-jw4jt 5 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu ni kweli wewe ni zawadi ya Tanzania sifa na utukufu zina Mungu wetu kwa zawadi hii ❤
@alicensabimana7293
@alicensabimana7293 3 жыл бұрын
Nilogoweni vipawa mumepewa Ajiri yangu mimi nasumbuswa na wacawi Kwa wingi Funguweni ayoyooote Kwa jina la Yesu Mimi nalogwa myaka makumi naaa
@gatoromuchee2367
@gatoromuchee2367 4 жыл бұрын
Amen.tume fufuka ukweli.niombee Dr ngwajima nateswa na Marathi na mwanamke WA kisaudi arabia.nimemfanyia kazi miaka Kumi but thank you yake ni kunitumia jini.hope nitaweza kuishi Kwa jina la yesu
@hildpaul7823
@hildpaul7823 3 жыл бұрын
Nyanyuka kwa jina ya yesu
@alicensabimana7293
@alicensabimana7293 3 жыл бұрын
Baba Mungu leo iyi nifunguriye fundo zote izi teleeee Kwa jina la Yesu
@lyimorobert1761
@lyimorobert1761 4 жыл бұрын
Like father like son Pastor Komba uko vizuri
@carolmuenicarolmueni4500
@carolmuenicarolmueni4500 4 жыл бұрын
Man of God hiyo ibaada ya siku ya leo imenibariki sana barikiwa sana
@munahellensimbiro5067
@munahellensimbiro5067 4 жыл бұрын
Naomba sana muniombee nakosa raha ndani ya nafsi yangu na pamoja na hasira za karibi zisizo na msingi kitu kidogo nikiambiwa tu hasira ziko juu tafadhali sana niombeeni nibadilike
@hassankombo4475
@hassankombo4475 4 жыл бұрын
Imekwisha kkkwasababu umeishajitambua na mungu akusaidie
@caphaessimukoko9978
@caphaessimukoko9978 4 жыл бұрын
Thank God for the wonderful message. God bless you richly.
@elizabethtarmo7176
@elizabethtarmo7176 4 жыл бұрын
naomba nikusaidie kwa sehemu kwa shida yako tunaweza kuwasiliana kwa namba 0767690260
@NancyNaomi-od6ng
@NancyNaomi-od6ng 6 ай бұрын
Namshukuru Mungu Kwa maubiri ya kunivuta karibu sana na Mungu ningependa sana unikumbuke Kwa maombi dhidi vifungo nipangacho hakifaulu naishi maisha kupanguka Kila wakati hivi natamani kuimba nyimbo ambazo niliziandika miaka kumi na Tano zilizo pita Wala Bado nisaidie pliz natokea kenya
@faithkavete2967
@faithkavete2967 4 жыл бұрын
Mtumishi wa yesu niombee npo Kenya nina umri wa miaka 29.maisha yangu yote sina hamu ya mwanaume hata kidogo. Nafanya masterbation, natamani kuacha lakini nashindwa. Niombee.
@josephkaka6963
@josephkaka6963 4 жыл бұрын
Tuma no yako 0757275885 wsp
@trophainamagogwa7966
@trophainamagogwa7966 4 жыл бұрын
Yesu akufungue kabisa,mastubation kwa mwanamke??kweli shetani amekufunga
@mtuwasaayangu6651
@mtuwasaayangu6651 4 жыл бұрын
Pole unaenda kupokea uponyaji wako kwa jina la Yesu hilo ni pepo
@faithkavete2967
@faithkavete2967 4 жыл бұрын
@@mtuwasaayangu6651 amen
@الوردالورد-ز4غ
@الوردالورد-ز4غ 4 жыл бұрын
Chukua namba hapo kwa screen ya Bishop Gwajima
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 3 жыл бұрын
Very true Bishop. Adui wa nyumbani ni mbaya sana
@سادهمحمد-ه5ت
@سادهمحمد-ه5ت 4 жыл бұрын
Thanks lody axntee Baba kwa somo zuri pia nahitaji maombi Zaid nilimfanya mahusiano na mtu kumbe Ni wakala na kaz yke nikitoa kafala ss ana nifuatilie ili anitoe kafala Baba nipo nchi za kiarabu jina Mrs Felix mwakyusa axntee Baba nisaidie Nina familia nimeiacha TANZANIA nisaidie Baba na MUNGU akubariki na ABARIKI neno lakw
@reginamukama7333
@reginamukama7333 4 жыл бұрын
Nimesaiidika kwa Chanel nimefahamu namna ya kuomba. Naona wivu wengine wanenapo kwa lugha. Mungu Roho Mtakatifu anijalie
@raphaelsalimenya5104
@raphaelsalimenya5104 4 жыл бұрын
Pokea kunena kwa JINÀ LA YESU
@lilyabel2320
@lilyabel2320 4 жыл бұрын
Mungu akubariki baba mchungaji Gwajima, na barikiwa na mafundisho yako. Yesu kristo aendelee kukutunza.
@raphaelsalimenya5104
@raphaelsalimenya5104 4 жыл бұрын
Amen MTU WA MBINGUNI
@harunisalingo1374
@harunisalingo1374 Жыл бұрын
Amen Baba Askofu,Unanisaidia sana.
@suzanthomas9043
@suzanthomas9043 4 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia haijalishi mbweha wanapiga kelele kiasi gani
@viddamgeneka8881
@viddamgeneka8881 4 жыл бұрын
Hakuna wa kufanana na Mungu baba wa mbinguni.
@newadsong7323
@newadsong7323 3 жыл бұрын
A men. Bishop. Mungu. Hakubariki. Sana. Kwa Maombi. Uliomba. .nlikuwa na. Mapepo. Yakaondoka. Kupitiae. Kutambika. Nashukuru. Kwa. Maombi. Yako
@newadsong7323
@newadsong7323 3 жыл бұрын
Bishop. Naomba. Uniombe. Sana nisirudi. Yuma
@wycliffeojijo3560
@wycliffeojijo3560 4 жыл бұрын
Amen amen and amen bishop I pray to meet you one day.from Saudi Arabia
@esterdonald5497
@esterdonald5497 2 жыл бұрын
Amen, be blessed,
@edwinmalila8603
@edwinmalila8603 2 жыл бұрын
Baba Askofu vifundo vimefunga wakristo wengi bila kujifahamu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@graceufufuo1502
@graceufufuo1502 4 жыл бұрын
Very true Bishop wanaokuzunguuka ndiyo wanaokuroga
@godfreynghwasa8562
@godfreynghwasa8562 4 жыл бұрын
Ameen Baba hakika tumebarikiwa
@BabyRas5927
@BabyRas5927 4 жыл бұрын
Amen ...Asante Mungu Wngu
@eriantawumenya3257
@eriantawumenya3257 4 жыл бұрын
Nawapendasan muchungaje kabs wew unaongeaukweli natamani kufika katika kanisa RAUFUFUO nauzima japo mimi ni murundi ningekua nawuwezo ningefeka kwako mimi bado ni kijana mudogo
@MaryamMaryam-e1w
@MaryamMaryam-e1w Жыл бұрын
Mtumishi Bwana Yesu Asifiwe nashukuru naomba msaada wa maombi mana hofu imenitawa naumia sana naomba msaada
@frolacharles6788
@frolacharles6788 4 жыл бұрын
Aminaaaaa Mungu Akubariki sana Mchungaji
@DeborahJacob-q1o
@DeborahJacob-q1o Ай бұрын
Ubarkiwe nakupata saaan daddy amee
@doctorzero-dj5xg
@doctorzero-dj5xg 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii, natamani ningekuwa jirani .
@estherngaro489
@estherngaro489 4 жыл бұрын
Mmmmh Mungu staki kucheleweshwa kwa jina la Yesu
@kmotivation1130
@kmotivation1130 2 жыл бұрын
Bishop UInajua kiukweli Unajua Mungu Akutunze
@We2k7
@We2k7 6 ай бұрын
Nyiyi fundo fundo fundo vyote maali pote pote pote ndani yangu nawa fyatuwa na bombe kutoka kwa Mungu Baba kwa jina la Yesu Christu wa Nazarethi .
@HanifaJuma-e2g
@HanifaJuma-e2g 9 ай бұрын
Navuka kwa jina la YESU
@evangelistedominique800
@evangelistedominique800 2 жыл бұрын
Mungu akubariki zaidi ,kwa kadiri unavyo nipa maarifa kila mara .Wewe ni Baraka kwangu sana
@elizabethkasimila9771
@elizabethkasimila9771 4 жыл бұрын
AMEN AMEN KWA MAMLAKA YA JINA YESU NATOKA NA LAZIMA NISHENDE KWENYE UBUNGE KATIKA JINA LA YESU
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Ameeeen ubunge wa jimbo gani,
@abigaellcharess6370
@abigaellcharess6370 4 жыл бұрын
Ubarikiwe mnoo 🙏baba
@marthaaron7318
@marthaaron7318 4 жыл бұрын
Amen,najungamanisha na madhabahu katika jina la Yesu
@nesielias317
@nesielias317 4 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana
@catherinemuoka1322
@catherinemuoka1322 11 ай бұрын
Amen apostle watching from kenya
@mosesagrey3590
@mosesagrey3590 4 жыл бұрын
Amina
@princes6045
@princes6045 Жыл бұрын
Nakata mafundo yote ya kichawi kwa jina la Yesu
@rosemukuri1327
@rosemukuri1327 3 жыл бұрын
Maman ajambo Sikunyingi Alindwe na kubarikiwa Mwana Weee Good sunday
@MirriamMeshach-j2c
@MirriamMeshach-j2c 2 ай бұрын
Kweli saana
@janetjanet8669
@janetjanet8669 4 жыл бұрын
Ameni ameni mtumishi wa mungu niko na shida niombee
@We2k7
@We2k7 6 ай бұрын
Kwajina la YESUS CHRISTO WA NAZARETHI. Aciya MEMOIRE AKIRI etc.... Rudisha Sifa kwa MUUMBA
@MaryamMaryam-e1w
@MaryamMaryam-e1w Жыл бұрын
Naomba msaada wa mawasiliano baba
@Shalom2018
@Shalom2018 4 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, nabarikiwa sana na mafundisho yako.kwa muda wa mwaka mzima natafuta mawasiliano yako sikuwahi kukupata,nimetuma mesej kwenye watsap kama tatu nikiomba nataka niongee na wewe ila haikuwezekana mesej zangu hazijibiwi,pia kwenye messenger.nipo nje ya nchi
@We2k7
@We2k7 10 ай бұрын
Amen Alléluia Amen
@roberthenerico5963
@roberthenerico5963 3 жыл бұрын
God give you strong power bishop gwajima one day I will meet you
@alicensabimana7293
@alicensabimana7293 4 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba Nakubenda
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 4 жыл бұрын
Nakupenda Mtumishi wa Bwana
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 2 жыл бұрын
Ameeeeeen ubarikiwa sana man of God
@suzanthomas9043
@suzanthomas9043 4 жыл бұрын
Nakupenda baba yangu Dr Josesephat Gwajima
@johnfund1360
@johnfund1360 4 жыл бұрын
0 l0lllll0ll000
@tinaadongo5447
@tinaadongo5447 4 жыл бұрын
My couch may God bless you and live longer in Jesus mighty name
@wisdomasajilepstv.3469
@wisdomasajilepstv.3469 4 жыл бұрын
amen
@vivahofficial9066
@vivahofficial9066 4 жыл бұрын
Ameen man of God
@DanielKawaya-pe5ox
@DanielKawaya-pe5ox 5 ай бұрын
Jamani nipeni namwa ya baba yangu gwajima Nimemupenda kweli uyu baba haishi milele ni le Congo
@alicensabimana7293
@alicensabimana7293 4 жыл бұрын
Masikiyo wanatobowa Imebadirishwa Woooga kuzugumuza muwatu wengi yoteeee ni history Nimengi
@faithkioko689
@faithkioko689 4 жыл бұрын
Ameeeeeen God bless you Bishop
@marykombe2189
@marykombe2189 3 жыл бұрын
Aksante askofu mungu akubariki sana.Aksante kwa mafundisho mazuri.
@marykombe2189
@marykombe2189 3 жыл бұрын
NAVUNJA KWA JINA LA YESU
@agneskomba4865
@agneskomba4865 4 жыл бұрын
Amen
@jasonchoi1426
@jasonchoi1426 3 жыл бұрын
Blessings Bishop
@tinaadongo5447
@tinaadongo5447 4 жыл бұрын
It's true bishop nowh how can I adept iffy cause this are my home people because me i
@Star-qf7ls
@Star-qf7ls 4 жыл бұрын
Asante Bishop God bless you
@germainndayishimiye8684
@germainndayishimiye8684 4 жыл бұрын
Mungu akujaze tena nguvu
@newadsong7323
@newadsong7323 3 жыл бұрын
A. Postoli. Nahitangi. Maombi. Mimi. nimefugwA. Na. Wachawi. Na. Sina. Raha. Inchi. Ya. Saudi Arabia
@eben_ezer8853
@eben_ezer8853 2 жыл бұрын
Kabisa Baba kimya ni dawa 🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
@ProphetJaphetSangana
@ProphetJaphetSangana 8 ай бұрын
Barikiwe sana from ruvuma mbinga
@rithersospeterkati2303
@rithersospeterkati2303 2 жыл бұрын
Nataaa kwa jina la Yesu. AMEN AMEN Baba
@lucykanuti6138
@lucykanuti6138 4 жыл бұрын
Tafuta kwa jina la Yesu kristo
@beatricemwamini2044
@beatricemwamini2044 Жыл бұрын
Amina Kubwa.
@JohnLewa-p6v
@JohnLewa-p6v Жыл бұрын
One day I will meet this man
@صربوخهالصرابيخ
@صربوخهالصرابيخ 3 жыл бұрын
Amen baba angu 🙏🌹🌹
@pyelesyagamwamengo7811
@pyelesyagamwamengo7811 4 жыл бұрын
Barikiwa kwa elim kubwa
@newadsong7323
@newadsong7323 3 жыл бұрын
A. Men. Apostoli. Mungu. Hakubariki. Sana
@violetteredateresaviolet9468
@violetteredateresaviolet9468 4 жыл бұрын
Oh my God, na Israel iseme kweli
@daudinjoolay5888
@daudinjoolay5888 2 жыл бұрын
Barikiwa
@bumijamkumbwa1732
@bumijamkumbwa1732 Жыл бұрын
Tunakuwa huru Sasa kabisa Kwa Damu na Kwa Jina la Yesu aliye hai...
@rosemukuri1327
@rosemukuri1327 3 жыл бұрын
Amen alléluia Amen Napoteya Mubarikiwe
@getrudasanga5747
@getrudasanga5747 Жыл бұрын
Amna
@newadsong7323
@newadsong7323 3 жыл бұрын
A men. Hata. nimefugwA USO. Wangu. Nahitangi. Maombi
@alicensabimana7293
@alicensabimana7293 3 жыл бұрын
Vunja vifungo na leo iyiii vivunjiswe Baba chika caisse iyooo Sifa Kwa Mungu. Ni mengi
@gloryjohn2168
@gloryjohn2168 4 жыл бұрын
Ameeeen
@maryann2463
@maryann2463 2 жыл бұрын
Iyi ujumbe ni yangu Leo 2022
@yusuphsanga4429
@yusuphsanga4429 3 жыл бұрын
BABA UKO JUU SANA TUNA KUTEGEMEA KWANZIA MAFUNDISHONI ADI KUTETEA WANA NCH WAKO WOTE,UKO JUU HAD NDAN YA BUNGE NIVEMA UNGEKUWA M MBUNGE WA MIKOA YOTEEE,KWAMAANA WENGINE WAMEKALIA PESA TO BUNGENI.
@mariemwaidi6103
@mariemwaidi6103 3 жыл бұрын
Amen baba unikupuke ku maombi
@gracemahugi2260
@gracemahugi2260 4 жыл бұрын
Amina Mungu akubariki mtumishi
@amurumtuya655
@amurumtuya655 4 жыл бұрын
AMEN
@alturaif5367
@alturaif5367 2 жыл бұрын
Amen, Amen🙌🙌🙌🙌🙌
@erastosanga1694
@erastosanga1694 Жыл бұрын
MUNGU WANGU HAKIKA UNATENDA, YESU ANAWEZA, TUOKOE WAJA WAKO TUMEFUNGWA SANA,TUNATESEKA SANA
@nehemiahnzowa357
@nehemiahnzowa357 2 жыл бұрын
Nakuelewa Sana mheshimiwa
@esteredward6980
@esteredward6980 2 жыл бұрын
Rahasana kusikiliza mambo ya yesu
@سادهمحمد-ه5ت
@سادهمحمد-ه5ت 4 жыл бұрын
Kwa jina la YESU achia hatua za mafanikio yangu ktk kina la YESU KRISTO MAombolezo Sura 3
@tinaadongo5447
@tinaadongo5447 4 жыл бұрын
Because for me I have no problem with them from my cantry from my district and I can not hate them all so what can I do bishop for this case
@marykombe2189
@marykombe2189 3 жыл бұрын
Amina bishop nimefurahi sana kwa hili somo linanielimisha na kunifungua.
@rev.musabalalarogersmusabalala
@rev.musabalalarogersmusabalala 2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kupitia hapa
@happynessmsonde8339
@happynessmsonde8339 3 жыл бұрын
Kwajina la Yesu natoka navifungo vinakatika.
@mikastevenwahenga105
@mikastevenwahenga105 Жыл бұрын
Amen amen BABA
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 2 жыл бұрын
Sasa pastor unaishi mahali gani ile nifika uniombee Na mimi .
@newadsong7323
@newadsong7323 3 жыл бұрын
Mimi. nimefugwA. Hakiri. Zangu. Hata. Ndoa. Yangu. Himefugwa. Na. Wachawi
@wamburawamba6291
@wamburawamba6291 4 жыл бұрын
Nazikata kamba kwajina ra yesu
@sarahmnzava3608
@sarahmnzava3608 4 жыл бұрын
Ameeen
MUNGU ANAISHI: BISHOP GWAJIMA LIVE FROM DAR ES SALAAM: 19.07.2020
1:30:02
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 25 М.
MUOTA NDOTO HAFI MPAKA NDOTO YAKE ITIMIE | Bishop Dr Josephat Gwajima | 03.10.2021
2:12:33
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 125 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
JE, UNAJUA KWANINI VITU VYAKO VINAKWAMA?
55:30
Reality of Christ Church
Рет қаралды 120 М.
UKISHINDA MTIHANI HUU UTAFIKIA MAFANIKIO
58:07
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 35 М.
KULOGWA KUKOSA AKILI: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: 30.06.2020
2:16:15
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 17 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: KIVUKO CHA FAMILIA/FAMILY FERRY
1:41:06
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 45 М.
Baraka ya Mungu Hutajirisha | Bishop Dr Josephat Gwajima | 27.10.2021
2:56:19
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 14 М.
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 125 МЛН