Ungana nasi muda huu; Askofu Mkuu Dr Josephat Gwajima anafundisha. Mungu akubariki sana
Пікірлер: 189
@LinaMusa-sv9ge29 күн бұрын
Mungu nisaidie nitoke na maarifa amen na nipokee niwezw kupambana na nguvu za giza zote amen
@jamesjosephm63584 жыл бұрын
Amen amen baba yangu kilasiku najifunza mengi ubalikiwe sana mtumishi
@onesmopaulmwacha5664 жыл бұрын
Wewe ni mtu ambaye Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa mno ..hivyo naomba Baba jamani usiende kwenye siasa ..waombee tu na kuwafundisha wanasiasa inatosha Baba ..Ahsante
@pericykiko61984 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako tu dear kiuhalisia Taifa linapendezwa liongozwe na wenye hofu ya Mungu
@estasage55063 жыл бұрын
@@pericykiko6198 Ni onyo tuu, kila Mamba na kifugo chake. Siasa ni playground ya ibilisi. Mara meetings nyingi mno, Mara hanasa, na kufwatana na hayo muda wa kufunga na kuomba haipatikane. Mitego nyingi. Najuwa mtumishi wa Mungu Dr Gwajima hawezi ingiya siasa pasipo kuzungumza na kupata maelekezo kutoka kwa Baba Mungu. Kama ikiwa nimtego Bwana atamuepusha nao. Kama mwanadamu, I miss him already. I know Pastor Amos is there but Moses was different from Josh.
@pericykiko61983 жыл бұрын
@@estasage5506 oooh inawezekana maana ibilis halali kwa ajili ya kutuwinda mmmmh
@estasage55063 жыл бұрын
@@pericykiko6198 True my dear. Myself don't understand why our God chosen bishop Gwajima will join the science. He helps more peoples worldwide as a man of God spiritually (which is important ) than being politician. Kama ni kujulikana, Mwenyezi Mungu amemujulisha dunia nzima, kama ni pesa, Yesu kristo wetu kamubariki. So, I don't understand. He could pray for them but not being a part. Sasa, hapo ndipo amejipeleka mwenyewe kwenye play ground ya muovu. I pray for his protection in Jesus Christ mighty name.
@pericykiko61983 жыл бұрын
@@estasage5506 hakuna kazi ngumu km kazi ya Mungu maana unawindwa kila mahali hata ukimuambia mtu achana na maweaving atakuambia kwani wewe Ni Mtakatifu yaani shetani anakuwinda binadamu nao hawashikiki wanapenda kubembelezwa Tena ukiteleza wanakucheka bt tujifunze kujishusha na kuombeana huenda ikawa wapo wengi tumekosea na yy akiwa mmoja wapo Basi Mungu atukumbushe tunapoomba tuwaombee warudi kwenye njia sahihi Amen
@matridalule64774 жыл бұрын
Nisipo msikiliza huyuu baba nais naumwa asante my dady Mungu aendelee kutumia baba
@rechomsuya3524 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Askofu napenda mafundisho yako na vitabu vizuri ulivyo andika mfano kitabu cha maombi ya kushindana
@KiKenya-lu1by10 ай бұрын
Ameen
@OmAn-jw4jt5 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu ni kweli wewe ni zawadi ya Tanzania sifa na utukufu zina Mungu wetu kwa zawadi hii ❤
@alicensabimana72933 жыл бұрын
Nilogoweni vipawa mumepewa Ajiri yangu mimi nasumbuswa na wacawi Kwa wingi Funguweni ayoyooote Kwa jina la Yesu Mimi nalogwa myaka makumi naaa
@gatoromuchee23674 жыл бұрын
Amen.tume fufuka ukweli.niombee Dr ngwajima nateswa na Marathi na mwanamke WA kisaudi arabia.nimemfanyia kazi miaka Kumi but thank you yake ni kunitumia jini.hope nitaweza kuishi Kwa jina la yesu
@hildpaul78233 жыл бұрын
Nyanyuka kwa jina ya yesu
@alicensabimana72933 жыл бұрын
Baba Mungu leo iyi nifunguriye fundo zote izi teleeee Kwa jina la Yesu
@lyimorobert17614 жыл бұрын
Like father like son Pastor Komba uko vizuri
@carolmuenicarolmueni45004 жыл бұрын
Man of God hiyo ibaada ya siku ya leo imenibariki sana barikiwa sana
@munahellensimbiro50674 жыл бұрын
Naomba sana muniombee nakosa raha ndani ya nafsi yangu na pamoja na hasira za karibi zisizo na msingi kitu kidogo nikiambiwa tu hasira ziko juu tafadhali sana niombeeni nibadilike
@hassankombo44754 жыл бұрын
Imekwisha kkkwasababu umeishajitambua na mungu akusaidie
@caphaessimukoko99784 жыл бұрын
Thank God for the wonderful message. God bless you richly.
@elizabethtarmo71764 жыл бұрын
naomba nikusaidie kwa sehemu kwa shida yako tunaweza kuwasiliana kwa namba 0767690260
@NancyNaomi-od6ng6 ай бұрын
Namshukuru Mungu Kwa maubiri ya kunivuta karibu sana na Mungu ningependa sana unikumbuke Kwa maombi dhidi vifungo nipangacho hakifaulu naishi maisha kupanguka Kila wakati hivi natamani kuimba nyimbo ambazo niliziandika miaka kumi na Tano zilizo pita Wala Bado nisaidie pliz natokea kenya
@faithkavete29674 жыл бұрын
Mtumishi wa yesu niombee npo Kenya nina umri wa miaka 29.maisha yangu yote sina hamu ya mwanaume hata kidogo. Nafanya masterbation, natamani kuacha lakini nashindwa. Niombee.
@josephkaka69634 жыл бұрын
Tuma no yako 0757275885 wsp
@trophainamagogwa79664 жыл бұрын
Yesu akufungue kabisa,mastubation kwa mwanamke??kweli shetani amekufunga
@mtuwasaayangu66514 жыл бұрын
Pole unaenda kupokea uponyaji wako kwa jina la Yesu hilo ni pepo
@faithkavete29674 жыл бұрын
@@mtuwasaayangu6651 amen
@الوردالورد-ز4غ4 жыл бұрын
Chukua namba hapo kwa screen ya Bishop Gwajima
@gracenyangusi62303 жыл бұрын
Very true Bishop. Adui wa nyumbani ni mbaya sana
@سادهمحمد-ه5ت4 жыл бұрын
Thanks lody axntee Baba kwa somo zuri pia nahitaji maombi Zaid nilimfanya mahusiano na mtu kumbe Ni wakala na kaz yke nikitoa kafala ss ana nifuatilie ili anitoe kafala Baba nipo nchi za kiarabu jina Mrs Felix mwakyusa axntee Baba nisaidie Nina familia nimeiacha TANZANIA nisaidie Baba na MUNGU akubariki na ABARIKI neno lakw
@reginamukama73334 жыл бұрын
Nimesaiidika kwa Chanel nimefahamu namna ya kuomba. Naona wivu wengine wanenapo kwa lugha. Mungu Roho Mtakatifu anijalie
@raphaelsalimenya51044 жыл бұрын
Pokea kunena kwa JINÀ LA YESU
@lilyabel23204 жыл бұрын
Mungu akubariki baba mchungaji Gwajima, na barikiwa na mafundisho yako. Yesu kristo aendelee kukutunza.
@raphaelsalimenya51044 жыл бұрын
Amen MTU WA MBINGUNI
@harunisalingo1374 Жыл бұрын
Amen Baba Askofu,Unanisaidia sana.
@suzanthomas90434 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia haijalishi mbweha wanapiga kelele kiasi gani
@viddamgeneka88814 жыл бұрын
Hakuna wa kufanana na Mungu baba wa mbinguni.
@newadsong73233 жыл бұрын
A men. Bishop. Mungu. Hakubariki. Sana. Kwa Maombi. Uliomba. .nlikuwa na. Mapepo. Yakaondoka. Kupitiae. Kutambika. Nashukuru. Kwa. Maombi. Yako
@newadsong73233 жыл бұрын
Bishop. Naomba. Uniombe. Sana nisirudi. Yuma
@wycliffeojijo35604 жыл бұрын
Amen amen and amen bishop I pray to meet you one day.from Saudi Arabia
@esterdonald54972 жыл бұрын
Amen, be blessed,
@edwinmalila86032 жыл бұрын
Baba Askofu vifundo vimefunga wakristo wengi bila kujifahamu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@graceufufuo15024 жыл бұрын
Very true Bishop wanaokuzunguuka ndiyo wanaokuroga
@godfreynghwasa85624 жыл бұрын
Ameen Baba hakika tumebarikiwa
@BabyRas59274 жыл бұрын
Amen ...Asante Mungu Wngu
@eriantawumenya32574 жыл бұрын
Nawapendasan muchungaje kabs wew unaongeaukweli natamani kufika katika kanisa RAUFUFUO nauzima japo mimi ni murundi ningekua nawuwezo ningefeka kwako mimi bado ni kijana mudogo
@MaryamMaryam-e1w Жыл бұрын
Mtumishi Bwana Yesu Asifiwe nashukuru naomba msaada wa maombi mana hofu imenitawa naumia sana naomba msaada
@frolacharles67884 жыл бұрын
Aminaaaaa Mungu Akubariki sana Mchungaji
@DeborahJacob-q1oАй бұрын
Ubarkiwe nakupata saaan daddy amee
@doctorzero-dj5xg3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii, natamani ningekuwa jirani .
@estherngaro4894 жыл бұрын
Mmmmh Mungu staki kucheleweshwa kwa jina la Yesu
@kmotivation11302 жыл бұрын
Bishop UInajua kiukweli Unajua Mungu Akutunze
@We2k76 ай бұрын
Nyiyi fundo fundo fundo vyote maali pote pote pote ndani yangu nawa fyatuwa na bombe kutoka kwa Mungu Baba kwa jina la Yesu Christu wa Nazarethi .
@HanifaJuma-e2g9 ай бұрын
Navuka kwa jina la YESU
@evangelistedominique8002 жыл бұрын
Mungu akubariki zaidi ,kwa kadiri unavyo nipa maarifa kila mara .Wewe ni Baraka kwangu sana
@elizabethkasimila97714 жыл бұрын
AMEN AMEN KWA MAMLAKA YA JINA YESU NATOKA NA LAZIMA NISHENDE KWENYE UBUNGE KATIKA JINA LA YESU
@highzacknnko96852 жыл бұрын
Ameeeen ubunge wa jimbo gani,
@abigaellcharess63704 жыл бұрын
Ubarikiwe mnoo 🙏baba
@marthaaron73184 жыл бұрын
Amen,najungamanisha na madhabahu katika jina la Yesu
@nesielias3174 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana
@catherinemuoka132211 ай бұрын
Amen apostle watching from kenya
@mosesagrey35904 жыл бұрын
Amina
@princes6045 Жыл бұрын
Nakata mafundo yote ya kichawi kwa jina la Yesu
@rosemukuri13273 жыл бұрын
Maman ajambo Sikunyingi Alindwe na kubarikiwa Mwana Weee Good sunday
@MirriamMeshach-j2c2 ай бұрын
Kweli saana
@janetjanet86694 жыл бұрын
Ameni ameni mtumishi wa mungu niko na shida niombee
@We2k76 ай бұрын
Kwajina la YESUS CHRISTO WA NAZARETHI. Aciya MEMOIRE AKIRI etc.... Rudisha Sifa kwa MUUMBA
@MaryamMaryam-e1w Жыл бұрын
Naomba msaada wa mawasiliano baba
@Shalom20184 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, nabarikiwa sana na mafundisho yako.kwa muda wa mwaka mzima natafuta mawasiliano yako sikuwahi kukupata,nimetuma mesej kwenye watsap kama tatu nikiomba nataka niongee na wewe ila haikuwezekana mesej zangu hazijibiwi,pia kwenye messenger.nipo nje ya nchi
@We2k710 ай бұрын
Amen Alléluia Amen
@roberthenerico59633 жыл бұрын
God give you strong power bishop gwajima one day I will meet you
@alicensabimana72934 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba Nakubenda
@josephmutemi74944 жыл бұрын
Nakupenda Mtumishi wa Bwana
@jackiemaggy24842 жыл бұрын
Ameeeeeen ubarikiwa sana man of God
@suzanthomas90434 жыл бұрын
Nakupenda baba yangu Dr Josesephat Gwajima
@johnfund13604 жыл бұрын
0 l0lllll0ll000
@tinaadongo54474 жыл бұрын
My couch may God bless you and live longer in Jesus mighty name
@wisdomasajilepstv.34694 жыл бұрын
amen
@vivahofficial90664 жыл бұрын
Ameen man of God
@DanielKawaya-pe5ox5 ай бұрын
Jamani nipeni namwa ya baba yangu gwajima Nimemupenda kweli uyu baba haishi milele ni le Congo
@alicensabimana72934 жыл бұрын
Masikiyo wanatobowa Imebadirishwa Woooga kuzugumuza muwatu wengi yoteeee ni history Nimengi
@faithkioko6894 жыл бұрын
Ameeeeeen God bless you Bishop
@marykombe21893 жыл бұрын
Aksante askofu mungu akubariki sana.Aksante kwa mafundisho mazuri.
@marykombe21893 жыл бұрын
NAVUNJA KWA JINA LA YESU
@agneskomba48654 жыл бұрын
Amen
@jasonchoi14263 жыл бұрын
Blessings Bishop
@tinaadongo54474 жыл бұрын
It's true bishop nowh how can I adept iffy cause this are my home people because me i
@Star-qf7ls4 жыл бұрын
Asante Bishop God bless you
@germainndayishimiye86844 жыл бұрын
Mungu akujaze tena nguvu
@newadsong73233 жыл бұрын
A. Postoli. Nahitangi. Maombi. Mimi. nimefugwA. Na. Wachawi. Na. Sina. Raha. Inchi. Ya. Saudi Arabia
@eben_ezer88532 жыл бұрын
Kabisa Baba kimya ni dawa 🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
@ProphetJaphetSangana8 ай бұрын
Barikiwe sana from ruvuma mbinga
@rithersospeterkati23032 жыл бұрын
Nataaa kwa jina la Yesu. AMEN AMEN Baba
@lucykanuti61384 жыл бұрын
Tafuta kwa jina la Yesu kristo
@beatricemwamini2044 Жыл бұрын
Amina Kubwa.
@JohnLewa-p6v Жыл бұрын
One day I will meet this man
@صربوخهالصرابيخ3 жыл бұрын
Amen baba angu 🙏🌹🌹
@pyelesyagamwamengo78114 жыл бұрын
Barikiwa kwa elim kubwa
@newadsong73233 жыл бұрын
A. Men. Apostoli. Mungu. Hakubariki. Sana
@violetteredateresaviolet94684 жыл бұрын
Oh my God, na Israel iseme kweli
@daudinjoolay58882 жыл бұрын
Barikiwa
@bumijamkumbwa1732 Жыл бұрын
Tunakuwa huru Sasa kabisa Kwa Damu na Kwa Jina la Yesu aliye hai...
@rosemukuri13273 жыл бұрын
Amen alléluia Amen Napoteya Mubarikiwe
@getrudasanga5747 Жыл бұрын
Amna
@newadsong73233 жыл бұрын
A men. Hata. nimefugwA USO. Wangu. Nahitangi. Maombi
@alicensabimana72933 жыл бұрын
Vunja vifungo na leo iyiii vivunjiswe Baba chika caisse iyooo Sifa Kwa Mungu. Ni mengi
@gloryjohn21684 жыл бұрын
Ameeeen
@maryann24632 жыл бұрын
Iyi ujumbe ni yangu Leo 2022
@yusuphsanga44293 жыл бұрын
BABA UKO JUU SANA TUNA KUTEGEMEA KWANZIA MAFUNDISHONI ADI KUTETEA WANA NCH WAKO WOTE,UKO JUU HAD NDAN YA BUNGE NIVEMA UNGEKUWA M MBUNGE WA MIKOA YOTEEE,KWAMAANA WENGINE WAMEKALIA PESA TO BUNGENI.
@mariemwaidi61033 жыл бұрын
Amen baba unikupuke ku maombi
@gracemahugi22604 жыл бұрын
Amina Mungu akubariki mtumishi
@amurumtuya6554 жыл бұрын
AMEN
@alturaif53672 жыл бұрын
Amen, Amen🙌🙌🙌🙌🙌
@erastosanga1694 Жыл бұрын
MUNGU WANGU HAKIKA UNATENDA, YESU ANAWEZA, TUOKOE WAJA WAKO TUMEFUNGWA SANA,TUNATESEKA SANA
@nehemiahnzowa3572 жыл бұрын
Nakuelewa Sana mheshimiwa
@esteredward69802 жыл бұрын
Rahasana kusikiliza mambo ya yesu
@سادهمحمد-ه5ت4 жыл бұрын
Kwa jina la YESU achia hatua za mafanikio yangu ktk kina la YESU KRISTO MAombolezo Sura 3
@tinaadongo54474 жыл бұрын
Because for me I have no problem with them from my cantry from my district and I can not hate them all so what can I do bishop for this case
@marykombe21893 жыл бұрын
Amina bishop nimefurahi sana kwa hili somo linanielimisha na kunifungua.
@rev.musabalalarogersmusabalala2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kupitia hapa
@happynessmsonde83393 жыл бұрын
Kwajina la Yesu natoka navifungo vinakatika.
@mikastevenwahenga105 Жыл бұрын
Amen amen BABA
@carolinenakirutimana15592 жыл бұрын
Sasa pastor unaishi mahali gani ile nifika uniombee Na mimi .