NDARO na LEONARDO wawekewa MKWANJA kwenye SHOW yao/MSHINDI kuondoka nao/NDARO ataka kususia SHOW...

  Рет қаралды 41,626

Rick Media

Rick Media

Күн бұрын

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZbin channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Пікірлер: 144
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 4 ай бұрын
Team ndaro Gonga like
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 4 ай бұрын
Leonardo master wa comedy TZ 💯🔥 (kwa mbili mbili kwa mbili mbili) kama huna D mbili huwez kuelewa 😂
@Fredmbawala-hq3pd
@Fredmbawala-hq3pd 4 ай бұрын
Nakubali Sana baba levo jambo ulilofanya liko good hawa vijamaa vinaleta makasiliko Kisa wanaugomvi on the stage hasa huyu ndaro kanajifanyafanya,,, km mmemdiss ndaro Weka like hapo maana anazingua kwenye press
@lukundolucas199
@lukundolucas199 3 ай бұрын
Sio msomi kwanza , Leonardo nimsomi kwanza ndo Mana anachekesha kisomi
@highman2839
@highman2839 4 ай бұрын
M naona Bora mmpe tu leornad kabisa kabla io Siku au wakuu mnasemaje
@NoelCharles-vu9zx
@NoelCharles-vu9zx 4 ай бұрын
Mm namkubali sana ndaro kwa kuwa hana mambo mengi na Wala haji feel sana kama Leonard
@Tulizombago7633
@Tulizombago7633 4 ай бұрын
Kama umekimbilia kuangalia comment umejua ndaro anapendwa sana gonga like apaaa
@RibinByamungu
@RibinByamungu 3 ай бұрын
Ndaro naku kubali sana ndugu yangu. Toka Congo
@fransyvedas9830
@fransyvedas9830 4 ай бұрын
Ndaro namkubali sana mzee wa kutest kwanza
@jeanbyelongo7830
@jeanbyelongo7830 4 ай бұрын
Mbona tuna wakubali wote 🇨🇩🇨🇩🇨🇩♥️♥️♥️
@gotardntambara9602
@gotardntambara9602 4 ай бұрын
Ndaro nakuombea sana pia nakuaminia kinoma
@yusuphmsigwa
@yusuphmsigwa 4 ай бұрын
Ndaro Jeshiii
@felicianboss6953
@felicianboss6953 4 ай бұрын
Leonardo -hata kama unajua usiongee sana kaza me nakukubali lakin unaongea sana ndaro mkimya mpaka raha kunasehemu zingine Leonardo unakaza sio kujichetua°
@Feel_better_stidio
@Feel_better_stidio 4 ай бұрын
Kinaongea kama mwajuma 😂
@juniorkamafa3391
@juniorkamafa3391 4 ай бұрын
Aliekua anaongea saana ni Ndaro..
@musamwambara6835
@musamwambara6835 4 ай бұрын
Ndaro anajiona ameshakua star kwann ukatae kuhojiwa na waandishi anapaswa kuelewa ukisha kua na jina hapa bongo lazima waandishi wawashindanishe so unatakiwa kuzoea maisha ya umaarufu dogo
@mtutulaclassic6207
@mtutulaclassic6207 4 ай бұрын
hivi nawewe unaamini unachokiona ni uhalisia
@Lilmbunah
@Lilmbunah 4 ай бұрын
Kila kitu unacho kiona hapo kime pangwa usiwe mshamba wa mitandao
@MariamuAmuri-dx9hz
@MariamuAmuri-dx9hz 4 ай бұрын
Ndaro 😊😊😊🎉🎉🎉🎉 kapita God bless you Ndaro
@MariamuAmuri-dx9hz
@MariamuAmuri-dx9hz 4 ай бұрын
6/8/2024 😊😊 ndaro
@KishoraKishoralimbu
@KishoraKishoralimbu 4 ай бұрын
Ndaro ana akili huyo kwanza ni anaenda na hesabu kila anachokifanya..
@RemmisonSangatiti
@RemmisonSangatiti 4 ай бұрын
Leonardo anaujua sana Ila ttzo lake anaonekan. Anajivuna sana anajiskia
@lukundolucas199
@lukundolucas199 3 ай бұрын
Jamani hajivuni mbona
@ErickChristopher-rx6lq
@ErickChristopher-rx6lq 4 ай бұрын
Mm ni muha na Niko upande wa ndaro lakin ndaro anaonekana kabaha na kumuogopa Leonardo na ukwer ndaro hamuwezi leonardo
@MgayaTwebe
@MgayaTwebe 4 ай бұрын
Ndaro anashinda
@charlesmtitu5606
@charlesmtitu5606 4 ай бұрын
Leonard ni zaidi ya ndaro , ilo ndaro analijua na kukataa kushiriki yupo sahihi maana ni wazi atashindwa na linaweza likawa anguko lake bora akatae
@MgayaTwebe
@MgayaTwebe 4 ай бұрын
Ndaro m nakukubari kaka
@GodfreyKunambi
@GodfreyKunambi 4 ай бұрын
Leornaldo is the besty
@HamzaPresident-mt9mk
@HamzaPresident-mt9mk 4 ай бұрын
Yani mtu yupo nyuma ya camera afu mnatuleteya kiki 👍👍
@WilliamSirya
@WilliamSirya 4 ай бұрын
Nakuombea bro niko nyuma yko japokua nko kenya I wish all the best❤❤❤❤
@BornloveMethods
@BornloveMethods 4 ай бұрын
Ndaro baba
@CharamKabul
@CharamKabul 4 ай бұрын
Ndaro ni mkali sana jamani
@Chriss_lo.
@Chriss_lo. 4 ай бұрын
Kama ni hivo nampa ndaro
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 4 ай бұрын
Babalevo bangi dula awe jaji kura zote atampa daro😂😂😂😂😂😂 kesi ya nyani unapeleka kwa ngedere😢😢😢😢
@HASHIM-rt4mf
@HASHIM-rt4mf 4 ай бұрын
Ndaaro ni bola huyo dogo hanakitu
@MathewBernard-j3p
@MathewBernard-j3p 4 ай бұрын
Ila mnajua kuingiza. Hasa ndaro, yaani kama ana bifu kweli na Leonardo
@drisakamwakitalima1937
@drisakamwakitalima1937 4 ай бұрын
Namkubali saana Leonardo lakini kwa hili shindano inatakiwa ndaro ashinde.
@kaingunashon-ph3wo
@kaingunashon-ph3wo 4 ай бұрын
We have😂😂😂 tuna mambo mengi ya kuja kuwambiaa😂😂😂
@hubertmwemezi8426
@hubertmwemezi8426 4 ай бұрын
Team Leonardo 🔥🔥
@AbdalahDullah
@AbdalahDullah 4 ай бұрын
Leornad ni master of comedy
@ngalenalojanjalo296
@ngalenalojanjalo296 4 ай бұрын
Mwanang Leonardo hmuezi ng'oo w mshamba Ndaroo☆•••Acha nianze kmzomea ndaro iii ooo waaa 😮😮😮
@hermanndongolo1550
@hermanndongolo1550 4 ай бұрын
😆😆😆😆
@j...876
@j...876 4 ай бұрын
Leodardo kinywa kita kuponza ndaro ni mkali sana!!
@lukundolucas199
@lukundolucas199 3 ай бұрын
Pole saaana kwani hujaona mshindi
@Msindo.Famiry.Korogwe
@Msindo.Famiry.Korogwe 4 ай бұрын
Jamn, tuongeeni ukweli, ndaro namkubari ila siyo kwa leonard uyuui jamaa n moto kila cripu ana mpya Arfu anamalizia kama hauja d Mbili uwezi kuekewa
@Zpauljr994
@Zpauljr994 4 ай бұрын
Ndaro mjeshi kikofia you are the best
@deblacktz2981
@deblacktz2981 4 ай бұрын
Huwezi shindana na Leonardo we muha
@johnchitete
@johnchitete 4 ай бұрын
Huu mchezo nimesha ushtukia kitambo Hapo hao jamaa wa White skim ndo wanatafuta hela kwakutumia vipaji vya hao vijana Hamna bitu wala nini Kila kitu hapo kimetengenezwa tu
@gillandrobert
@gillandrobert 4 ай бұрын
Mm nawakubali wote wawili hatar bora itokee draw ili wasigombane
@FredrickJohho
@FredrickJohho 4 ай бұрын
Kazi nzuri inaonekana hupaswi kuogofya Bro
@Babulaotv
@Babulaotv 4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 good
@hanifakassim8036
@hanifakassim8036 4 ай бұрын
Leonard nikafiki kamekaaa kiongo ongo ndio maana akinenepi
@lumo9999
@lumo9999 4 ай бұрын
Ila mnajua kuigiza nyie watu😂😂😂 asee hii mmeifanya kama kweli vile😂😂😂 noumaa😂sana
@BaltazaryAssenga
@BaltazaryAssenga 4 ай бұрын
Leonardo anajua ❤❤❤ ndaro pia ana fanya vizuri ila kwangu mm Leonardo
@ZainabuIdrisa
@ZainabuIdrisa 4 ай бұрын
Fundi majumba ndani ya jumba
@DotoByamungu
@DotoByamungu 4 ай бұрын
Kamtu kame konda hadi uso ila mdomo bwana ni ashura
@HenryPaul-zm6pf
@HenryPaul-zm6pf 4 ай бұрын
Ndaro atashinda
@lukundolucas199
@lukundolucas199 3 ай бұрын
Mbona hajashinda sasa
@RemmisonSangatiti
@RemmisonSangatiti 4 ай бұрын
Leonardo anajua kuchekesha Ila anazngua sana anaonekan mkolof
@lazarofredy
@lazarofredy 4 ай бұрын
Leonardo is the best ndaro mwenyewe anaonekana anaogopa mwingine mpeni tu leonardo
@lusakejackson1515
@lusakejackson1515 4 ай бұрын
@Ndaro ashauliwe atulie. Comedian hapaswi kuw na hasira krahis ivo anatushangaz sana
@LetdiscussBusiness
@LetdiscussBusiness 4 ай бұрын
Hii ni promoshen ya show hakuna ugomvi afu wamefanya bora sana asey
@LamwaiMfinanga
@LamwaiMfinanga 4 ай бұрын
yan kuna sura ukiziona tu zna chekesha aisee Tx dulla unaznguaga sana 😂😂😂
@japhetmwangwa2145
@japhetmwangwa2145 4 ай бұрын
Leonardo huyo Ni fundi wa mafundi 😁😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑👑👑👑👑
@fredrickLuoga-zb5ib
@fredrickLuoga-zb5ib 4 ай бұрын
Mwanangu ndaro
@Josephkp629
@Josephkp629 4 ай бұрын
Let me go 😂nikamchukue ila c e o
@WilliamSirya
@WilliamSirya 4 ай бұрын
Ndaro baba lao😂😂😂😂😂
@issahaji8715
@issahaji8715 4 ай бұрын
Yan hayo maneno unajua asa km ni kiki baba levo ameitengeneza ndaro na leornAdo hawana bifu
@kenedytheonest2798
@kenedytheonest2798 4 ай бұрын
wanatofautiana settings kila mmoja anapoweza kufanya vizuri, kwa uchekeshaji wa kisomi Leonardo ana content za kufikirika saana Ndaro mzuri kuchekesha kitaani kwa watu wasosikiliza content kwa umakin huwez kuelewa kama huna D 2
@SamuelKashindi
@SamuelKashindi 3 ай бұрын
Nani ambaye alishindaka ? Naitaji kujuwa plz
@DanielMollel-mi4yg
@DanielMollel-mi4yg 4 ай бұрын
Wenye D mbili kamwe uwezi mwelewa Leonardo coz anatumia IQ kubwa kwenye comedy especially stending comedy✍✍✍✍✍
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 4 ай бұрын
Mko vzr mnajua kutngeneza trick sana
@HawaJuma-cp2dn
@HawaJuma-cp2dn 4 ай бұрын
Chibaba wangu ndaro
@ramadhanijuma2691
@ramadhanijuma2691 4 ай бұрын
Hahaha dakika ya 7sekunde ya 9 ndaro anaongea kuna mkono upande wa Leonard unamsukuma Leonard😅😅😅
@Smart_package
@Smart_package 4 ай бұрын
Kumbe Kampuni yenyewe ni baba levo 😅😅😅😂😂
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 4 ай бұрын
Leonard ucjali wakerewe cc huwa tunaanza na upole kwa kumheshimu kila mtu baada ya hapo tutafanya ya kwetu kwa kumwambia bb
@MarthaAlly-y7s
@MarthaAlly-y7s 4 ай бұрын
Mwanaume haongei ongei nina wasiwasi na ww leonady pengine sio riziki huwezi kunyamaza kama muimba taarabu
@ramadhanyoungki6207
@ramadhanyoungki6207 4 ай бұрын
Uyo .comedy
@SamwelMnaga
@SamwelMnaga 4 ай бұрын
Baba levo mnaleta ngumi kwenye maisha ya ela😅😅😅😅😅😅
@Carloshamis
@Carloshamis 3 ай бұрын
Ndaro anawatu ww Leonardo atamfikia wap,,,
@NicolausMathias-e3h
@NicolausMathias-e3h 2 ай бұрын
Leonardo punguza Peche unazdiwa kila ktu, alafu unajua na maneno meng.
@musaamos2431
@musaamos2431 3 ай бұрын
Leonard anazingua
@OmarySamata
@OmarySamata 4 ай бұрын
Uyo jamaa asipo jilekebisha atapotea hii ni zalau kubwa sana wakati wao waandishi wa abari ndio watuwao wakalibu
@johmziwanda985
@johmziwanda985 4 ай бұрын
Hivi kuna mtu aliesoma pcm ajui hesabu za leornado? Mbna watz wngi wnamshangaa wkt mi naona kawaida tu🤔🤔
@jorammalley1574
@jorammalley1574 4 ай бұрын
wewe umesoma PCM aya sas 35*155=
@KelvinConorard
@KelvinConorard 4 ай бұрын
Apreciate uwez wa mwingin iyo wanawez wachache
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 4 ай бұрын
Sio wot wanajua wewe, acha uchizy 😂
@stephanocyrilo1384
@stephanocyrilo1384 4 ай бұрын
Hesabu ni ugonjwa wa taifa mkuu ndio maana
@SteveneJoshua-eh7kv
@SteveneJoshua-eh7kv 4 ай бұрын
Hesabu ya kwenye calculator au.
@OscarMuhumenya-yc4ot
@OscarMuhumenya-yc4ot 4 ай бұрын
Ndaro ntakuja kukushabikia ww
@ELEONE2023
@ELEONE2023 4 ай бұрын
Waliosema ndaro ni mkali msijisahau nyote😂😂
@djbegge_tz
@djbegge_tz 4 ай бұрын
Ndaro umezingua...hukuonesha nidham hata kidogo....tumia akili ndaro
@bilallemba1919
@bilallemba1919 4 ай бұрын
Anaanza kuvimba
@Fran3pen
@Fran3pen 4 ай бұрын
Wote ni wakali saana ila bro ndaro sijapenda kukataa kuhojiwa
@issahaji8715
@issahaji8715 4 ай бұрын
Hahh yani hawa wanatafuta kiki tu hawajagombana
@DotoByamungu
@DotoByamungu 4 ай бұрын
Mbona ka Leonard kana jikubali sanaa
@AnthonyManyonge-qj9wz
@AnthonyManyonge-qj9wz 4 ай бұрын
Namco Bali sana Ronaldo seal camera
@FatumaBakari-ye6tl
@FatumaBakari-ye6tl 4 ай бұрын
Huo mpambano ni linii jamn😀😀😀😀😀 3×3 😀😀😀
@Jayboy_billions_
@Jayboy_billions_ 4 ай бұрын
3×3 😂😂😂😂
@hussenihamisi2862
@hussenihamisi2862 4 ай бұрын
Tuwa shindanishe baba lv na mwijaku nan zaid😅😅
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 4 ай бұрын
Atakaeshinda hapo mpelekeni kwa eliud akajifunze
@FURAHA_NI_HAKI_YAKO
@FURAHA_NI_HAKI_YAKO 4 ай бұрын
Ila Leonardo
@HafssaMbwambo
@HafssaMbwambo 4 ай бұрын
Sasa watakua wanachekesha watu kwa kusemana tuu na sio vinginevyo
@abubakarmwachuo1337
@abubakarmwachuo1337 4 ай бұрын
Huyo ndaro ajua hamuezi huyo boy
@tediciousndunguru1283
@tediciousndunguru1283 4 ай бұрын
Kwahy gar alichukua mbele ya nani
@chidaga_tz5653
@chidaga_tz5653 4 ай бұрын
ndaro anajiona kabx atakavyopigwa
@YusuphLyatenga
@YusuphLyatenga 4 ай бұрын
Wanatengeneza bifu tuh hawa
@ronaldowilson8165
@ronaldowilson8165 4 ай бұрын
Ndaro wewe unajua.Achana na huyu mwenye mifupa ya mbavu kama majina ya kwenye baburi
@brothermuadhwam890
@brothermuadhwam890 4 ай бұрын
Oya ndaro ni mkali bana
@keshenidaniel770
@keshenidaniel770 4 ай бұрын
Mkuu wa machawa Tanzania
@EzekielDebora-cd2ib
@EzekielDebora-cd2ib 4 ай бұрын
Ndarooo
@swadatimmbaga7435
@swadatimmbaga7435 4 ай бұрын
Leonardo kwanza kiswahili imenyooka
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 4 ай бұрын
Manatugawa mbona Ndaro na Leonardo wote wakali
@OfficialMsemwa
@OfficialMsemwa 4 ай бұрын
Ndro
@OmmyDseven
@OmmyDseven 4 ай бұрын
😂😂😂3+3😂😂😂😂
@danieljoseph273
@danieljoseph273 4 ай бұрын
Ndaro ninomaaa moto wakuotea mbali
@Baira240
@Baira240 4 ай бұрын
Leonard ajiamini ile 100
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 4 ай бұрын
Iyo kiki la tangazo lao hao..Amna ugomvi hapo..ilo changa
@TweveSinkonde
@TweveSinkonde 4 ай бұрын
Ndaro lazima atachemka tuu
@MICHAELWILLIAM-p7h
@MICHAELWILLIAM-p7h 4 ай бұрын
Leonardo fundi
@salimkigarimbwe4911
@salimkigarimbwe4911 4 ай бұрын
Km munataka kuwapa pesa wapeni sio kuwashindanisha hao jamaa wote wakali na hapaswi kushindana
@EmmanuelZenda-ji5gc
@EmmanuelZenda-ji5gc 4 ай бұрын
Mzee wanatengeneza promo ili wapate ela usiamini unachokiona mkuu.
@JimyMnyama
@JimyMnyama 4 ай бұрын
Hakunaa kuwapa hela ya bure lazima wafanyee kazii na hio ndo kazii yenyewee
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 18 МЛН
Tazama Chief Odemba Akimhoji  Maswali Magumu Kamanda Muliro
28:34
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
Tutorial Crazy Magic trick 🤣 🤣 🤣
1:00
dumenicus
Рет қаралды 36 МЛН
тгк - hahalivars
0:48
HAHALIVARS
Рет қаралды 2,5 МЛН
Дед наказал НАГЛЕЦА 🔥 #сериал #фильм
0:51
Топ по Ивановым
Рет қаралды 1,3 МЛН
😅Я и петь могу #сериал #кино #фильмы #камеди
0:28
Царь Фильмов🎬
Рет қаралды 1,4 МЛН