Amejibu= amejaibu😂 this one can be a good singer jinsi alivyo anza kuimba he is the best nimuombe aingiye kwenye music ataimba vizurisana naatabariki Watu Sana katika jina la Yesu Kristo ❤❤️♥️🇨🇩
@SophlaJackson-nt1nc9 ай бұрын
Safii ndalo uko vizuri maelezo yako
@emasonnziliye86359 ай бұрын
Ndaro muha huy anajua kujieleza🥳🥳
@herifilms9 ай бұрын
Pamoja sana🔥🔥🔥🔥
@BAHATIKIBA-ul6wx9 ай бұрын
Never Dissapoint Ndaro🎉🎉🎉🎉
@tomprs2559 ай бұрын
Never disappoint East Africa
@muvyatijuniormj33998 ай бұрын
TX Dullah amempa irene ushauri wa uhakika na kiunyamaaa,inabidi msichana apewe kazi
@MwanadiaSaidАй бұрын
Ndaro apo umewabeba sanA wenzako awajui kujieleza
@kimanimuikamba47147 ай бұрын
Hii squad ni hatari.. Alafu uongeze steve mweusi.. Matata sanaa😂
@SophlaJackson-nt1nc9 ай бұрын
eti ela frani yaku msumbua mtu we toka hapo yaani bado saana mme jaa njaa tuu posho zamwezi izo kwenye ma KZbin watu wanajua tafuta pesa mpaka kwenye kifo uenda watu Wasinielewe nini Namanisha
@princeemmanuelsanga40993 ай бұрын
Sa mbn nikimuangalia dula nacheka sijui nacheka nn
@levygasper74388 ай бұрын
Dullah hapo ndo umenikosha mwana umetaja Burundi kwr mwakani show umeandaliwa mwanangu
@esterdoriye83778 ай бұрын
Nampendaga chard 😊😊😊😊
@user-ws5sd8wf1t8 ай бұрын
Swala lakubadilisha nyimbo tune mpk melodies makanisa mengine mpk lines hilijambo nilakwelinalinaboa
@user-lz9vr6xn9k4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@evelnjuma18343 ай бұрын
😂😂😂😂😂 jaman mchungaj 😂😂😂😂
@marhamephrahym2759 ай бұрын
Ila masatu yuko cool sana i feel jealous kwa bby wake😂
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
Haijapendeza sana, uwezo wa kwenye video zsnu haujaendana na kwenye interview hata kidogo.
@grannyboy36069 ай бұрын
Interview sio comedy
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
@@grannyboy3606 hiyo interview yenyewe umeielewa!?. Tuache kutazama mambo kwamtazamo wa kitoto. Unajua maana ya Interview. Uliza swali moja kisha mpe uhuru mtu wa kujielezea na wengine wapewe maelekezo kabla ya kuanza kuwa wasiingiliane katika mahojiano. Mmoja akijibu wengine wanatulia mpaka mwingine aulizwe. Lakini hawa wanaingiliana kama wapomtaani wanapiga stori. Sisi tuliokua enzi za kufatilia vipindi vya habari vya redio tunajua nini lengo na maana ya mahojiano. Sio hizi zenu za kukurupuka kurupuka
@user-bi7wf4nz2d9 ай бұрын
Acha uchawii
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
@@user-bi7wf4nz2d hakuna mchawi zaidi ya shabiki mbumbumbu anaweza kukutoa ktk mstari mnyoofu. Nikisema mimi mwenye akili timamu inatosha. Wataacha uzembe katika kazi hakuna kitu cha maana walichokifanya hapo. Bora wangeita mtu mmoja tu akahojiwa kwa upana akafunguka. Hii EATV inajifanya ya vijana kumbe ya wahuni wa vijiweni. Kaangalie interview za SnS. Mtu anaulizwa maswali ya akili na anapewa muda wa kujibu kwa akili
@adrianorayner65519 ай бұрын
Huo ni wivu
@kisangatz10359 ай бұрын
Wabongo bwana mukipata shida munatusumbuwa sana kwa vibakuri endereeni muwe munatunza hayo maneno
@michaeltheophile70359 ай бұрын
Bubu anaitwa maneno😂😂😂 nakubali
@uredipeter4129 ай бұрын
Duuuhh Dada mrembo pink, nakubali mtumishi
@user-jp1ve5hn1v6 ай бұрын
Tx alivyojikaza na hiyo headphone😂😂😂
@Pierre-de-lubu9 ай бұрын
Ni zamu ya T e k c 😂😂😂😂
@NuhuMetson-mt1vc9 ай бұрын
Nmekubal san wanang
@muvyatijuniormj33998 ай бұрын
TX Dullah amempa irene ushauri wa uhakika na kiunyamaaa,inabidi msichana apewe kazi
@SophlaJackson-nt1nc9 ай бұрын
eti ela frani yaku msumbua mtu we toka hapo yaani bado saana mme jaa njaa tuu posho zamwezi izo kwenye ma KZbin watu wanajua tafuta pesa mpaka kwenye kifo uenda watu Wasinielewe nini Namanisha
@muvyatijuniormj33998 ай бұрын
TX Dullah amempa irene ushauri wa uhakika na kiunyamaaa,inabidi msichana apewe kazi