No video

NDUMBARO AFUNGUKA SAKATA LA YANGA NA MAGOMA : Tumieni MIFUMO Kumaliza TATIZO Ndani Ya YANGA

  Рет қаралды 43,672

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 65
@user-rj3cd2lh8w
@user-rj3cd2lh8w Ай бұрын
Tatizo ni vyombo vya habari kukurupuka na kupost mambo ambayo hawajayafanyia uchunguzi vizuri kama hili linaloendelea huyo anaedaiwa kushitaki amekanusha kufanya hivyo sasa swali ni nani aliyewapa taarifa wana habari mpaka wamepost na kuleta taharuki, hivi vyombo vya habari kuna siku vitaleta maafa makubwa
@AlexMbagata
@AlexMbagata Ай бұрын
Sheria za kiroho hapa ndipo zinahitajika kwa watu Hawa wanaoitwa waandishi wa Habari hakika.
@RachelBujuli
@RachelBujuli Ай бұрын
Kumwembe
@noahkamendu9081
@noahkamendu9081 Ай бұрын
Endeleeni kupost eti Simba kafungwa 6
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 Ай бұрын
Alafu Milard Ayo ni chombo kikubwa tunakiamini nacho kilipost mapema sn! Aibu sn
@DanielSinavangi
@DanielSinavangi Ай бұрын
Acheni siasi zisizo namaana katika soka la 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿 eshimu bendera za viongozi wakuu wanchi.Tanzania kwanza🇹🇿🙏
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Mimi ni Mshabiki wa Simba. Hii issue imekuzwa na waandishi wa Habari. Mzee Juma alikuwa amekaushia, sasa waandishi njaa wanaotaka umaarufu ndio wamelivalia njuga hasa MAULIDI KITENGE na wenzake Wasafi FM.
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 Ай бұрын
Kenya watuazime GE Z tuende kwa magoma
@piusngasa4201
@piusngasa4201 Ай бұрын
Huyo waziri mwenyewe ndo walewale ,njaa Tu zinamsumbua anataka pesa za Gsm
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Ай бұрын
Asikilize nn jinga limoja tu sema baadhi ya waaandishi wachochezi hasa oscar
@febiuskipokile5631
@febiuskipokile5631 Ай бұрын
Akiivuruga yanga amevuruga nchi, itabidi ahame nchi
@EmanuelMwambu
@EmanuelMwambu Ай бұрын
Wapo wengine ndani ya serikali wanachochea vurungu,na hawachukuliwi hatua zozote,Mara mo anaiibia timu,akipewa timu siku moja tu hawezi kuiendesha.
@MohamedUchungu
@MohamedUchungu Ай бұрын
Nchi hii kila mtu anakurupuka anaanzisha jambo ili atrendi na kweli anafanikiwa maana usimamizi wa viombo vya habari ni ziro
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Ай бұрын
Haiwezekani watu wengine watumie pesa zao halafu mtu mwingine aje aseme yeye anaishije. Kwa kweli watu kama hao hawatakiwi kabisa kwenye jamii. Wanapaswa kutafuta ya namna ya kuishi. Hacha hizo Edo Kumwembe watu wanatakiwa kufanya kazi na kuridhika na wanachopata kwa mujibu wa sheria siyo kuwa kupe mtu.
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Ай бұрын
Magoma mmoja tu..kaijambisha yangaa
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Ай бұрын
Osca ni jinga fulani hivi yeye ni vichekesho tu
@FredymaswiMwita-oj6gv
@FredymaswiMwita-oj6gv Ай бұрын
wana yanga. eee tutengee Gn z yetu,,,break ya kwanza kwa boya magoma, kama haachi,,
@user-sd9dg6ux9m
@user-sd9dg6ux9m Ай бұрын
Duh umenena mkuu watu hawaa galii maslah mapana bali wanajali maslahi binafsi
@AbshirMubaarack
@AbshirMubaarack Ай бұрын
Kila jambo linafaida na hasara yake.Faida za vyombo vya habari ni nyiiingi,ila hasara zake ndy km hiziii
@BennyTalimo
@BennyTalimo Ай бұрын
Kenya walifungiwa kwenda mahakamani
@yohanamyumpu
@yohanamyumpu Ай бұрын
Mzeee njaaa
@user-lb2jh4ss6v
@user-lb2jh4ss6v Ай бұрын
Kibalaka wasimba anasumbuka haiwezi yanga
@HappyClogShoes-hp9ho
@HappyClogShoes-hp9ho Ай бұрын
Waziei dunduka aliekachochea ya pacome
@AlfredRutaguza
@AlfredRutaguza Ай бұрын
Wew unahararisha ujinga wa kusema tukae na mpuuzi huyu
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u Ай бұрын
Muheshimiwa. Hapo. Tf. F. Na. Simba. Wanasababisha. Haya. Matatizo.
@juliusejulius6704
@juliusejulius6704 Ай бұрын
inakuhusu nn
@user-ur9um5zm7h
@user-ur9um5zm7h Ай бұрын
Mkutano uliowachagua hawa vipngozi waliopo kama si viongozi halali, Basi huo mkutano pia haukuwa halali na wao walio andaa hawakuwa halali.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Ай бұрын
Mzee Magoma komaa na kaza hapo hapo kama mzungu wa sauzi na ndege yetu.
@hassankheri7593
@hassankheri7593 Ай бұрын
kwaiyo ndo kombe lenu ilo Makolo mzee magoma😂😂
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Ай бұрын
SHERIA KALI ZIWEKWE DHIDI YA VYOMBO VYA HABARI,HAWA NDIO VYANZO VYA CHOKOCHOKO
@krispinkomba4606
@krispinkomba4606 Ай бұрын
Mm naamini hata hawa wachambuzi wangemsikiliza Magoma hata wasingechambua hivyo!!
@FrancisBogori
@FrancisBogori Ай бұрын
Saidia kiongozi na huyo magoma achukuliwe hatua
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA Ай бұрын
WAKATI VIJANA WANATAKA MANGUNGU. AONDOKE , HATUKUSIKIA HIZI BUSARA....ALI KAMWE ANASEMA KILA , SIMBA WAKIGOMBANA WAO FURAHA....
@minazsaid2470
@minazsaid2470 Ай бұрын
Kumbukeni huyu ni Simba damu hawezi kuipenda Yanga hta iweje
@gregory6165
@gregory6165 Ай бұрын
Kwani ameongea nini kibaya
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 Ай бұрын
Yanga inawakilisha nchi???
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Ай бұрын
Shida tff niwatu wasiyo tenda haki pamoja nahao bmt rushwa ninyingi kazi yao kupindisha sheria ndiyo maawanachama wanakimbilia mahakamani wakatafute haki.
@proisolution7166
@proisolution7166 Ай бұрын
WAZIRI SHERIA HAIKUPI NGUVU KAMA WAZIRI WA MICHEZO KUTOA MAAMUZI,CSE NAONA MAGAZETI AU REDIO HUWA MNAZIFUNGIA,HATA KAMA NI TCRA HUWA MNASHINIKIZA,JE MAGOMA KAMA MAGOMA KWA INTEREST ZA MICHEZO HUNA MAMLAKA NAYE?
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu Ай бұрын
Uongozi ahutaki kuwasikiliza.
@lekinyaurey5772
@lekinyaurey5772 Ай бұрын
Mbona mgogoro wa Simba wazili ajaongea Leo anaongeaaa nnnnn sasa aunayeye ni yanga
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 Ай бұрын
Kama vile ulikuwa akilini mwangu. Mgogoro wa Simba waliiachia Simba yenyewe itatue hakuna statement ya waziri kama hii. Tusiwe na double standard timu zote ni zetu na ndizo zinazoipaisha taswira ya nchi kimataifa tuache ushabiki panapokuwa na tatizo tumsaidie kupata muafaka.
@djfunk255
@djfunk255 Ай бұрын
C watoke tu waje kwetu Simba.
@Ambagaye
@Ambagaye Ай бұрын
Kwa sheria za FIFA, migogoro ya michezo haiamriwi mahakamani; Magoma na wenzie walitakiwa wapeleke malalamiko yao TFF na BMT kabla ya kwenda CAF na huenda hadi FIFA, siyo mahakamani. Hapo pole pole Tanzania inainyemelea Kenya katika kupigwa ban na FIFA
@johnamos8651
@johnamos8651 Ай бұрын
Huo si mgogoro wa michezo mnajua baadhi ya watu hamjaelewa nn huu mgogoro na nn Magoma analalamika ama kweli Watanzania tuamke. “furaha isikufanye usahau au kupuuzia haki yako Kwa mtu anayekupa furaha au raha, utakuja kulia kuliko kicheko” bongo lala tuamke na hata baadh ya viongozi serikalin hufanya hivi. Magoma hili swala ni la utawala, katiba na utendaji haliwez kwenda FIFA mzee hata mahakama inatoa hukumu. Sasa mawakili, wanasheria na jaji unataka kuniaminisha ujinga wako kuwa hawajui sheria na mipaka Yao mpaka waliamue hili. ? Usiropoke bhana
@Ambagaye
@Ambagaye Ай бұрын
@@johnamos8651 Haki gani; yaani Magoma hajui maana ya representation. Kwani tunapotuma madiwani kutuchagulia meya tunatukuwa tumepoteza haki yetu ya kuchagua Meya? Yeye analalamikia representation ya watu watano katika tawi na kudai ati hao 95 wananyimwa haki yao. Mjinga sana huyo, amezoewea vilabu vya watu wachache wanaoweza kukutana wote pwamoja, hana ujuzi na organization kubwa zinazoongizwa kwa repreresentation. Kuhusu mgogogoro FIFA inazuwuia migogoro yote ya kimchezo na kiongozi kwenye vilabu isipokuwa criminal offences ndizo zinazopelekwa mahakamani tu
@fidelisjoseph-tt9zl
@fidelisjoseph-tt9zl Ай бұрын
Heshimu maahakama na maamuzi yake
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 Ай бұрын
Hivi kweli waziri huu Ni mgogoro?!?! Kama kiongozi unasema mgogoro kwa mtu ambaye si meanachama
@gregory6165
@gregory6165 Ай бұрын
Kwaiyo wewe unaona ni nini? Maamuzi ya maakama si yametaka uongozi wa yanga ung'olewe
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
Wewe ni kolo nini?​@@gregory6165
@user-xu3dx7vv8w
@user-xu3dx7vv8w Ай бұрын
Kujitambua ni muhimu sana sasa Edo yuko kwenye position ya kusema tofauti na hivyo
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
@kiboshokiboshomungumkubwa7789 Ай бұрын
Wakaanzishe timu yao watuachie timu yetu
@SaimonMakin-wo1oo
@SaimonMakin-wo1oo Ай бұрын
Wewe hiyo yanga ni yako
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
@kiboshokiboshomungumkubwa7789 Ай бұрын
@@SaimonMakin-wo1oo ya mama yako
@yuzoooyuso583
@yuzoooyuso583 Ай бұрын
Mnatukana Nini?kwani magoma si mwanachama wa yanga?mabaya mnapenda yawe Simba tuu ndio furaha yenu Sasa Mungu ameyarudisha kwenu vyura ondoeni ubabaishaji kwenye club.leo Magoma mnamuona mjinga lakini ipo siku mtamuona anaakili na nyinyi ndio mtakua wajinga
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 Ай бұрын
Kama nyie mnavyomuona mjinga Mangungu ipo siku mtamuona ana akili😂😂
@piusngasa4201
@piusngasa4201 Ай бұрын
Wewe waziri umeiona migogoro ya yanga Tu sio ,ushabiki mandazi unakusumbua wewe
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Ай бұрын
#Yanga Hii ..... tafuta asili yake utaelewa......
@JumaKifo
@JumaKifo Ай бұрын
bongo nyoso!!
@BenjaminShilikale-i1h
@BenjaminShilikale-i1h Ай бұрын
wewe muongo Sana
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 Ай бұрын
Walikuwa wanamzalu magoma wangemsikiliza wasingefika hapo waondeke tu
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc Ай бұрын
Alizulumiwa Kwa lipi? Unakichaa wewe! Yule mzee analipi?
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Ай бұрын
Iyo kuishije ndiyo maisha yalivyo popote duniani... Huwezi kukaa kiboya tu mahali kama Hao bendera Fata upepo.. Maisha ya mjini lazima ujue unakaa wapi kama watu hawaelewi unafyatua betri kama hivi 😂😂😂😂
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 Ай бұрын
Matusi si suruhu yanga mkae na wazee muondoe kesi mahakamani ,vinginevyo yanga mtafungiwa na Wenye Mpira FIFA
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 Ай бұрын
Ndicho mnachokiwaza
@deusjoseph8554
@deusjoseph8554 Ай бұрын
Edo we nimjinga sanaa na ww ndo mchonganishi,,,, Magoma kwenye yanga ninan?? Ninyi ndo mnao chochea
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 28 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 3,8 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,5 МЛН
SHEIKH KIPOZEO AMLIPUA MZEE MAGOMA YANGA| USIHUSISHE DUA NA MAMBO YAKO
9:24
BABA LEVO ANUNUA VIWANJA 19  / AMSHIRIKISHA WAZIRI SILAA
3:58
Wasafi Media
Рет қаралды 6 М.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 28 МЛН