NEEMA CIZUNGU AFUNGUKA KUACHIKA NA MUME, KIFO CHA OSINACHI,MUZIKI WAKE

  Рет қаралды 22,336

Neema Cizungu

Neema Cizungu

2 жыл бұрын

NEEMA CIZUNGU AFUNGUKA KUACHIKA NA MUME, KIFO CHA OSINACHI,MUZIKI WAKE #call255672555095

Пікірлер: 125
@annajustin1945
@annajustin1945 2 жыл бұрын
Hakika niseme tu nyimbo zako zilitufungua Sana tukiwa tumelazwa hospital ya Mountmeru Arusha niliziweka kwenye simu yangu..tukawa usiku kabla hatujalala tunasikiliza hakika tulipokea uponyaji.. barikiwa sana mpendwa
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Amina,sifa kwa Mungu mkubwa
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 9 ай бұрын
Napenda namna huyu dada ana network na Mungu anayemtumikia.she never bores no matter what she sings.
@user-qg3tn4kq1p
@user-qg3tn4kq1p Ай бұрын
Umetu bariki sana kwa nyimbo nyumbani tunapo fata nyimbo zako, Mungu akutiye ngufu nakuku ongoza Pia, tunaku penda zaidi
@LadiaBushiri-ev2qg
@LadiaBushiri-ev2qg 6 ай бұрын
Une grande femme au grand coeur
@DinaRamadhani-qb3jw
@DinaRamadhani-qb3jw 4 ай бұрын
Amin Amin Amin 🙏🙏🙏!!!.
@TroupeLaPromesse
@TroupeLaPromesse 19 күн бұрын
Hongera sana mwimbaji wa Mungu
@samuelkombo3559
@samuelkombo3559 Жыл бұрын
Nous voulons ta parole pour notre ituri et l'est du Congo tout entièr ,my star Nelly i love your songs
@user-kh8kc4dz8n
@user-kh8kc4dz8n 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana dada 🙏🙏🙏❤️❤️❤️💪
@flozziewacharo314
@flozziewacharo314 Жыл бұрын
Nyimbo zako Huwa zanibariki sana,najua hunikumbuki lakini tulikuwa marafiki kitambo nilifanya kazi kwa kasanga twauza muziki wako,na ulikuwa unaishi tassia pale karibu na TelAviv.. Mungu azidi kukuinua dada yangu
@anitababyderickwasike7872
@anitababyderickwasike7872 9 ай бұрын
Barikiwa sana Neema nabarikiwa sana na nyimbo zako
@benedictmushagalusa9452
@benedictmushagalusa9452 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana sister neema. Natamani sana kuimba nawewe siku moja.
@germainebindu1097
@germainebindu1097 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤Asante kwako mjakazi wa Mungu umetubariki sana
@arminatemba5364
@arminatemba5364 2 жыл бұрын
Kwa kweli I know you neema cizungu from 2009 ninakufuatilia sana ila wimbo wa tumrudie mungu namshukuru umefanya remix inanibariki sana.
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Amina, ubarikiwe zaidi
@elizabethtabitha-us3qg
@elizabethtabitha-us3qg Жыл бұрын
I love this woman for free❤❤❤you are my mentor Neema
@chiefbenardos6459
@chiefbenardos6459 2 жыл бұрын
Sema nami is my favorite song of all time. So deep and touching.
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen amen
@everlynewafubwa8676
@everlynewafubwa8676 2 жыл бұрын
I too it does bless me so much, l keep on listening to it repeatedly, blessed mommy 🥰
@empresszainah74
@empresszainah74 2 жыл бұрын
Sema nami bwana my all time worship song. God bless Cizungu
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen
@josuekalwani5725
@josuekalwani5725 2 жыл бұрын
Hongera sana dada angu yaan nyimbo zako zinanipa faraja sana nikiwa Congo vile vile nikiwa Congo nazipenda sana Zina inspire sana zaidi tenda mema na uende proud of you sister
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen,God bless you
@mathaasheri9641
@mathaasheri9641 2 жыл бұрын
Wneema nakupenda nyimbo zako zinanitia nguvu sana
@catejay9949
@catejay9949 6 ай бұрын
Msaada my favourite
@ElizabethManyero
@ElizabethManyero Ай бұрын
Mpe hi Papaa jozeee
@souzannahchombeofficiel2809
@souzannahchombeofficiel2809 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu maman Nelly
@shukurumwinami4958
@shukurumwinami4958 Жыл бұрын
neema. Umeongea fact ambayo kwako utaona kama ni kawaida, lakini umeokoa roho nyingi sana juu ya wanadamu juu ya NDOA. na ungekosea kujibu tu wako ambao wangesema mbona neema alisema na yeye hivi na ukajikuta wanaachanan na ndoa zao. lakini hili ni kweli hakuna ataye mwacha mume au mke mpaka kifo kiwatenganishe na ukivunja hapo ndipo tunasema kuwa unavijisababu vyako,. barikiwa sana msimamo i huu ALICHOKIUNGANISHA MUNGU MWANADAMU ASIKITENGANISHE. BARIKIWA
@catejay9949
@catejay9949 6 ай бұрын
Kuna wimbo wako napenda sana unaitwa Nani kama wewe ee Mungu wa Israel siupati you tube
@chandrackbirindwabonane2789
@chandrackbirindwabonane2789 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana maman Neema cizungu kwaiyo kazi Mungu akutiye nguvu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇨🇩
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina, Asante
@alainngashi6619
@alainngashi6619 2 жыл бұрын
Mama ubarikiwe sana na mimi piaya ni mwimbaji pamoja Na muke wangu ila nilipo sikiya usemi wako kwenye radio ume nijenga ubarikiwe
@anessabinery5654
@anessabinery5654 Жыл бұрын
Nampenda huyu dada jamani ni mpore mno
@user7619
@user7619 2 жыл бұрын
Neema rafiki yangu nimefurahi kukuona hapa. Wewe ni baraka kwangu tangu ukiwa Nairobi
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@m.gloria40
@m.gloria40 2 жыл бұрын
i really love that song ya sema nami it blesses me alot
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen
@mosesabi2617
@mosesabi2617 Жыл бұрын
Bwana Mungu! "UTAUTUMIA WAPI UMILELE?" (MUNGU ANATAKA KULIJENGA KANISA LAKE NDANI YA MOYO WAKO KWA SABABU HAKAI KATIKA HEMA ZILIZOTENGENEZWA NA WANADAMU !!!) MUDA UNAKIMBIA HARAKA SANA! Ikiwa una umri wa miaka sitini, unaweza kuwa na miaka mingine kumi na mitano ya kuishi! Ikiwa una umri wa miaka hamsini, unaweza kuwa na miaka ishirini na mitano iliyobaki! Ikiwa una miaka arobaini, unaweza kuwa na miaka mingine thelathini na mitano! Ikiwa una miaka ishirini na tano, unaweza kuwa na miaka hamsini nyingine ya kwenda! Ikiwa una miaka kumi na tano, unaweza kuwa na miaka sitini zaidi! 'Takwimu hizi zinadhania kwamba unaweza kuishi hadi umri wa miaka sabini na mitano. Hata hivyo, kuna mambo mawili kuhusu hili. Kwanza kabisa, hakuna uhakika kwamba utaishi muda mrefu hivyo. Unaweza kufa mapema zaidi ya hapo. Ikiwa umewahi kwenda makaburini, utakuwa umeona kwamba kuna makaburi ya watu wa umri tofauti: mwezi mmoja, mwaka mmoja, miaka mitano, miaka kumi na mitano, miaka ishirini, miaka thelathini, miaka hamsini, miaka sitini, na kadhalika. Ungechunguza kwa makini ungegundua kuwa kuna kaburi la mtu aliyekufa katika umri wako wa sasa. Wewe, kwa hivyo, sio mdogo sana kufa. Kifo kinaweza kuja ghafla. Hakuna haja ya kuwa na onyo zaidi. Umeonywa. Hata ikiwa una afya kamilifu, kuna sababu nyingi zinazoweza kukusababishia kifo cha ghafla: ajali ya ndege, ajali ya gari, sumu, kuanguka, na kadhalika. Haya yanaweza kupelekea katika maisha yako kwenyemwisho wa ghafla. Kwa hiyo haijalishi wewe ni mdogo kiasi gani au una afya kiasi gani. Kifo cha ghafla kinaweza kukujia hata kama una umri wa miaka kumi na tano tu.'
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162 2 жыл бұрын
So sweet and nice melod and informative...Go high and higher...stay blessed.
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen
@joycemanegabe9154
@joycemanegabe9154 2 жыл бұрын
Bwana akubariki dada Neema kizungu endelea mbele sana maman ❤
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Amina, Asante
@marilenebahombwa8639
@marilenebahombwa8639 2 жыл бұрын
Woooh quelle sagesse ! Dada Neema ubarikiwa sana Pamoja na familia yako ! Mungu azidi kukupaka mafuta yake pamoja na mmeo 🙏🙏
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@Jossywamatere2009
@Jossywamatere2009 2 жыл бұрын
My gospel minister Luv from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen,God bless you
@estasilivesta6245
@estasilivesta6245 2 жыл бұрын
Dad'a unaimba vizuli nabalikiwa sana na nyimbo zako
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@anemonembongo
@anemonembongo 2 жыл бұрын
Un beau couple et des vrais chantre de l’ eternel🧡🧡😭😭💕🔥🔥🙏🏾🙏🏾
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen
@geofreyngerenge367
@geofreyngerenge367 2 жыл бұрын
Amen dada Neema barikiwa sana
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina, Asante
@paulcosmas7941
@paulcosmas7941 2 жыл бұрын
Barkkiwa sana Neema Nelly, napenda sana nyimbo zako
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Asante, ubarikiwe
@bonanebagalwakabarati7651
@bonanebagalwakabarati7651 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Dada Nelly Cizungu hii imenibariki sana inanifanya ata kuomba
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@zawadisisto8188
@zawadisisto8188 2 жыл бұрын
Dadaangu nakuelewa vizuri sanaa tokea 2013 nakufutilia Sanaa
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
ubarikiwe
@agripinamheni5331
@agripinamheni5331 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana dada we love youuu
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Amen thank you
@elizabethbentil3100
@elizabethbentil3100 2 жыл бұрын
AMINA AMINA AMINA .
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@ujusimkadama3660
@ujusimkadama3660 2 жыл бұрын
God bless you sister
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen,pls share link hii kwa watu 20 Ili ku support huduma yangu
@priscillandanu8938
@priscillandanu8938 2 жыл бұрын
Wimbo huu ulitoa mahali kwa shimo la Giza last year,,nikapenda nikuongeleshe ila nambari nilipata ya kwako haikunisaidia,lakini liwalo nashukuru mungu wimbo huu ulihudumia sana,sema nami
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen, ubarikiwe saana
@rehemamkumbo2082
@rehemamkumbo2082 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu good wrk.
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina, Asante
@nellywanga8283
@nellywanga8283 2 жыл бұрын
C journaliste est vraiment problématique avec ses questions 🥰🥰, sinon j t'aime tellement ma sœur surtout ta chanson tumrudie mungu 🙌🤗🥰.🇨🇩🇨🇩🤩
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen amen
@pascalwembasafari2254
@pascalwembasafari2254 2 жыл бұрын
Asante Saana Maman Nyimbo zanobariki saana
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@stellanyota1955
@stellanyota1955 2 жыл бұрын
Barikiwa sana maman Nelly
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen amen
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 2 жыл бұрын
Really penda sana nyimbo zako "from the bottom of my heart"
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen God bless,pls share link hii kwa watu 20 Ili ku support huduma yangu
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 2 жыл бұрын
@@NeemaCizungu ameen!
@keathburhama
@keathburhama 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mwanangu kwa hekima kubwa Mungu amekupa.
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Amina
@onetoanotherglory2024
@onetoanotherglory2024 2 жыл бұрын
Congratulations sana
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Amen thankx
@olivierleoint6576
@olivierleoint6576 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kabisa
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina Asante
@bahatikarume3203
@bahatikarume3203 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mamy
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@christinamwakibolwa3000
@christinamwakibolwa3000 2 жыл бұрын
Neema hongera sana
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Asante
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Nakupenda da neema
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
ubarikiwe
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Amina
@byanjiraesther7222
@byanjiraesther7222 2 жыл бұрын
Bonjour ma grande soeur, tu m'inscrire beaucoup avec tes belles chansons, vision yangu nikuimba nawewe Siku moja 🙏🙏
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
ubarikiwe
@byanjiraesther7222
@byanjiraesther7222 2 жыл бұрын
Amen maman
@marthapeter8246
@marthapeter8246 2 жыл бұрын
Asaante sana hakika tuongee lugha ya mbingu
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@tatumwakitwange8369
@tatumwakitwange8369 Жыл бұрын
Waandishi wa habari mnachafua watu kichwa cha habari kingine maongezi mengine
@beatriceemali34
@beatriceemali34 2 жыл бұрын
Neema Cizungu tunakumiss sana Nakuru na kapsabet
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Asante saana
@beatriceemali34
@beatriceemali34 2 жыл бұрын
@@NeemaCizungu karibu kapsabet tena
@charityj.jalwinyi4438
@charityj.jalwinyi4438 2 жыл бұрын
Sijui kama nita fanikiwa kuimba pamoja na wewe mama Neema
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
njoo inbox
@charityj.jalwinyi4438
@charityj.jalwinyi4438 2 жыл бұрын
@@NeemaCizungu aje sasa?
@mosesabi2617
@mosesabi2617 Жыл бұрын
"UTAUTUMIA WAPI UMILELE?" (MUNGU ANATAKA KULIJENGA KANISA LAKE NDANI YA MOYO WAKO KWA SABABU HAKAI KATIKA HEMA ZILIZOTENGENEZWA NA WANADAMU !!!) MUDA UNAKIMBIA HARAKA SANA! Ikiwa una umri wa miaka sitini, unaweza kuwa na miaka mingine kumi na mitano ya kuishi! Ikiwa una umri wa miaka hamsini, unaweza kuwa na miaka ishirini na mitano iliyobaki! Ikiwa una miaka arobaini, unaweza kuwa na miaka mingine thelathini na mitano! Ikiwa una miaka ishirini na tano, unaweza kuwa na miaka hamsini nyingine ya kwenda! Ikiwa una miaka kumi na tano, unaweza kuwa na miaka sitini zaidi! 'Takwimu hizi zinadhania kwamba unaweza kuishi hadi umri wa miaka sabini na mitano. Hata hivyo, kuna mambo mawili kuhusu hili. Kwanza kabisa, hakuna uhakika kwamba utaishi muda mrefu hivyo. Unaweza kufa mapema zaidi ya hapo. Ikiwa umewahi kwenda makaburini, utakuwa umeona kwamba kuna makaburi ya watu wa umri tofauti: mwezi mmoja, mwaka mmoja, miaka mitano, miaka kumi na mitano, miaka ishirini, miaka thelathini, miaka hamsini, miaka sitini, na kadhalika. Ungechunguza kwa makini ungegundua kuwa kuna kaburi la mtu aliyekufa katika umri wako wa sasa. Wewe, kwa hivyo, sio mdogo sana kufa. Kifo kinaweza kuja ghafla. Hakuna haja ya kuwa na onyo zaidi. Umeonywa. Hata ikiwa una afya kamilifu, kuna sababu nyingi zinazoweza kukusababishia kifo cha ghafla: ajali ya ndege, ajali ya gari, sumu, kuanguka, na kadhalika. Haya yanaweza kupelekea katika maisha yako kwenyemwisho wa ghafla. Kwa hiyo haijalishi wewe ni mdogo kiasi gani au una afya kiasi gani. Kifo cha ghafla kinaweza kukujia hata kama una umri wa miaka kumi na tano tu.' Kuna kipengele kingine chake. Fikiria kwa muda. Je, kuna ugonjwa wowote katika mwili wako? Inaweza kuwa ugonjwa wa moyo, ini, mapafu au figo. Unaweza kuwa na saratani au ugonjwa mwingine wowote mbaya, lakini dalili bado hazijaonekana kwako. Ugonjwa wowote kati ya haya unaoweza kuwa na na unaojua au unao na usiojua unaweza kuharakisha ukuaji wake na kuchukua maisha yako katika masaa au sikuchache! Huenda hivi karibuni ukakutana na umilele. Inaweza kutokea mapema kuliko vile unavyofikiria. Pili, hata kama ulihakikishiwa maisha hadi ufikie sabini na tano bado una miaka mingapi ya kuishi? Muda unakwenda kwa kasi kubwa. Hata kama unafikiri kwamba bado una miaka hamsini ya kwenda, hiyo inaweza kutoweka hivi karibuni. Miaka iliyobaki kwako leo ni michache kuliko ilivyokuwa jana na kesho itakuwa michache bado. Kila dakika inayopita inakupeleka karibu na kifo. Wewe ni mtu unaekufa! Ulianza kufa kwenye siku yako ya kuzaliwa ya kwanza!
@psosarara
@psosarara 2 жыл бұрын
Naomba u-upload wimbo wa sadaka za sifa.
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Asante
@bahatizuberi9265
@bahatizuberi9265 2 жыл бұрын
Mtangazaji hutulii kwenye kiti
@maswamills3161
@maswamills3161 2 жыл бұрын
Inapendeza Sana ukimtumikia MUNGU Na ukiwa na ndoa .heshima inakuwa ×100, .Eti wengine wanaachana na waume zao alafu wanafungua makanisa!!! Wanatendwa kwa akili na shetani wanashindwa hata kutambua. Kuwa Mchungaji au Muhubiri lazima uachane na mume wako Tena wa Ndoa!????
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Amina asante. Kwa maoni hayo
@olivierleoint6576
@olivierleoint6576 2 жыл бұрын
Baraka sur baraka
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amen amen
@veronicajoseph4069
@veronicajoseph4069 2 жыл бұрын
Nakupenda sanaa, nakuangalia ww ata Dunia inikatae nitabakia na ww, ndiyo wimbo ninao upenda sanaaa
@furahamushabo9369
@furahamushabo9369 2 жыл бұрын
Dada unakasauti kazuri kakuvutia wanje
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@davidmudage8986
@davidmudage8986 2 жыл бұрын
Asante kwa kuwezeshwa hekima
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina
@christinentinyari8882
@christinentinyari8882 2 жыл бұрын
unapendwa sana na wakenya
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Asante saana wakenya,nawapenda pia Mimi ndugu yenu
@bahatishomari290
@bahatishomari290 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada Neema; umeelewa vizuri Neno la Mungu kuhusu ndoa. Hata wachungaji wanaowafungisha mara mbili wana ndoa kwa sababu hiyo hiyo ambayo Biblia imetaja kihususa yaani uzinzi;watawajibika! Mathayo 19:8,9;Waroma7:2,3; 1Wakorintho 7:39;mengineyo watu wanafanya mapendezi yao wenyewe na si kulingana na maandiko. Barikiwa mpendwa!
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
amina, ubarikiwe
@patrickmajaliwa3911
@patrickmajaliwa3911 2 жыл бұрын
Mama wabariki moyo wangu sana nafatilia kazi zako kwa ukaribu na umakini nikiwa mombasa panic ya Kenya 🇰🇪.
@michelinenyota7097
@michelinenyota7097 Жыл бұрын
Amen . Mungu akuongoze kwa yote
@puritarimo6868
@puritarimo6868 Жыл бұрын
Ubarikiwe mama Neema cinzungu, Nakupenda saana na na penda Sana huhuduma yako
@joshuaalsel5828
@joshuaalsel5828 2 жыл бұрын
Bahadhi ya waimbaji wanaimba nyimbo za injili, wanahubiria watu ila wanashindwa kujihubiri nakubadilika, ila hii interview ime ni prouve kuwa umeokoka pia nimeona hekima flani ndani ya commenti.
@NeemaCizungu
@NeemaCizungu 2 жыл бұрын
Amina
@tatumwakitwange8369
@tatumwakitwange8369 Жыл бұрын
Waandishi wa habari mnachafua watu kichwa cha habari kingine maongezi menngine
neema cizungu - nimebaki na wewe  [Live performance] RHIC
9:41
Restoration Of Hearts International Church (RHIC)
Рет қаралды 13 М.
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 147 МЛН
BISHOP Dr EZRA ASSUMANI na SIASA CONGO NA ITURI
19:02
Efo tv online
Рет қаралды 820
HAIKA MSHIU .song SEMA NA MIMI BWANA,   TUMWABUDU MUNGU
7:50
HAIKA MSHIU
Рет қаралды 26 М.
MAPITO BY NEEMA CIZUNGU
7:36
Neema Cizungu
Рет қаралды 317 М.
THE BEST 8 SONGS(FULL HD) OF NEEMA CIZUNGU DVD
44:08
Neema Cizungu
Рет қаралды 44 М.
Part 2: Upendo Nkone aimba na kuwaombea wanaopitia Wakati Mgumu
32:36
Martha mwaipaja ( Upandacho Utavuna
6:23
Martha Mwaipaja
Рет қаралды 54 М.
WEWE UNASEMA UNAOGOPA KUOA HALAFU UNAKULA KWA WAKE ZA WATU "PASTOR MGOGO
1:19:25
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 506 М.
TUMRUDIE MUNGU-NEEMA CIZUNGU SMS SKIZA 9868498 to 811
6:25
Neema Cizungu
Рет қаралды 267 М.
Мужчина С Золотыми Руками 💪
0:42
EpicShortsRussia
Рет қаралды 2,2 МЛН
1❤️ #shorts
0:24
Saito
Рет қаралды 61 МЛН
Не поймаю говоришь? ;)
0:55
BORODA TV
Рет қаралды 6 МЛН
谁能救救小宇宙?#火影忍者 #佐助 #家庭
0:43
火影忍者一家
Рет қаралды 9 МЛН
Как в моей семье едят КЛУБНИКУ 😂🍓 #shorts
0:43
Владислав Шудейко
Рет қаралды 1,9 МЛН
红尘为救闺蜜使出了浑身解数
0:39
侠客红尘
Рет қаралды 7 МЛН