Katika Kizazi hiki cha mziki wa asaili ntemi upo juuu sana
@saracheyo88614 жыл бұрын
Kweli binadamu hawana jema
@thomasb7114 жыл бұрын
Mungu akuzidishie unaelimisha sana, hua naflahia sana nyimbo zako,
@johnsamson64354 жыл бұрын
Kazi nzuli sana, kalibu na mwanza uje utubuludishe
@abuumikazo1923 жыл бұрын
Haujawahi kuniangusha mkuu
@khadijashaban1202 жыл бұрын
Kweli kabisa kakangu Songa mbele
@josephmaganga73514 жыл бұрын
Nyimbo kali sana hongera sana ntemi omabala
@issakajonasi22354 жыл бұрын
Jamaa unakera xn kw ubora wa nyimbo zko mpk unaboa Broooh 💯💯💯 kiufupi unaweza na unajua☑
@issakasili51813 жыл бұрын
safi sana sauti mayai dogo langu,
@benjaminkadissa15028 ай бұрын
FROM DSM TZ ❤❤ NAKUSIKILIZA EN NATAMAN NIKUONE MZEE IWILL BE COMING TO KAHAMA SOON ..NIKUONE KIVUTIO CHETU WASUKUMA
@issakasili51813 жыл бұрын
ngoja muala usome, uko vzr sana sana
@kamswekekaseko462 жыл бұрын
Unatisha piga kazi karibu morogoro
@jameskigalu40863 жыл бұрын
Nakukubali Sana Kaka yang
@ngwanakangwa3 жыл бұрын
Asante sana ndugu
@ngwanakangwa4 жыл бұрын
Ni Muda wa Muziki Mzuri 💣💣
@thomasb7114 жыл бұрын
Ndo nimeipata saiv, nakufatilia sana nyimbo zaku ntemi wa mabala, kalibu mwamala nzenga,
@pogbabundala87584 жыл бұрын
Sana kaka tuanataka kaz nzuur zaid achana na wapga kelel
@geugeu4933 жыл бұрын
Hongera Sana blood
@Eng.NM82524 жыл бұрын
Nazkubal san nyimbo zako Ntemi🙏🙏
@dottoherman Жыл бұрын
Nakubali sana ntemi omabala
@Patomrwanja3 жыл бұрын
Hongera Sana ntemi wa mabala
@lucymashamba15714 жыл бұрын
Safi sana kaka
@annamichael53563 жыл бұрын
Kwm.
@saracheyo88614 жыл бұрын
Nemo nsoga ntemi shilunguja machalo
@salomeandrew41484 жыл бұрын
Nakupata bro nikiwa Oman muscat
@nasibutv87104 жыл бұрын
bonge moja la ngoma broo tupo p1
@yonalddeogratius2924 жыл бұрын
You are speaking 100% realy life ntemii, nyimbo zilzopita, zinazokuja zote kali hongera saana, sasa hapa inabidi niandae special flash ya mziki wako tu , ili nkianza kusikiliza ziwe zinapishana jumbe, bits, na majina ndani ya nyimbo ila sautii ile ileee, tishaaaa saaana.
@hamismsafiri60424 жыл бұрын
Awesome brother
@pogbabundala87584 жыл бұрын
Nakubar hujawah kuniangusha ndo maana sku zoote huwaga nasema hakuna alie juu yako kwa asili uko no1 amin kama huishiw utamu pga kaz by shabk wako mkubwa from KAGONGWA
@kamswekekaseko462 жыл бұрын
Usibaduli uimbaji utapotea
@simondeus1743 жыл бұрын
Tunazdi.kukuombea
@esterester54904 жыл бұрын
Du hawana jema
@vanisisarah18773 жыл бұрын
I’m in love with your song every time
@kishimbamusic51164 жыл бұрын
Kaza buti Mzee!
@ngwanakangwa4 жыл бұрын
Aminia mzee
@jumabunzari83783 жыл бұрын
Ndugu Kati ya wasanii wa nyimbo za kisukuma we ni Bora kwangu,,
@minoyakitata8694 жыл бұрын
Safi sana kijana ninakupata vizur nikiwa Nairobi kenya
@ngwanakangwa4 жыл бұрын
Asante sana
@minoyakitata8694 жыл бұрын
@@ngwanakangwa karibu sana kwetu matala karatu maana wanakuja wasanii wa kisukuma akina budagala mbona wewe hauhawahi kuja kwetu why
@ngwanakangwa4 жыл бұрын
Karatu Arusha au?
@minoyakitata8694 жыл бұрын
@@ngwanakangwa ndy baba karibu sana wadau wako tupo
@differentmusic39484 жыл бұрын
keep up bro
@ngwanakangwa4 жыл бұрын
I do bro!!
@eugeniaritte97712 жыл бұрын
Kwakweli wengne ni binadamu tu kwasababu wana damu maana hkn zuri ht ungefanya nni ?
@matesomereka7311 Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana huo wimba unanifaliji sana kupitia shida na tabu tunazokumbana nazo kwa maisha ya kibinadamu big up