Asante mama mkuu wetu wa wilaya ya Nzega adivera bulimba
@alphoncewilliam4325 Жыл бұрын
Mko vizuri sana hongereni
@yusufmohamed88745 жыл бұрын
HONGERENI SANA DADA ZETU NINGESHAURI SERIKALI IKUFUNGULIENI GYM YA PAMOJA ILA MUWE WAKAKAMAVU ZAIDI.... KEEP IT UP... WE LOVE YOU GUYS 🇹🇿💪
@gideonkalumbu52205 жыл бұрын
Asante Sana Dada,Advera,umeiva Sasa Dada ndo maana ulipelekwa Mwanza.
@filbertnashon71605 жыл бұрын
Wanawake ni wanawake TU ata kma Ni Askari😀😀😀😀😀😀😀😀
@theresiakaruhanga11695 жыл бұрын
filbert nashon aliyesikia tusauti twa chiliku agonge like twende sawa😁😁
@wallesmdoe9164 Жыл бұрын
Huuuuuuuuwiiiiiii Yani pushap kumi hoi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@theresiakaruhanga11695 жыл бұрын
jamani mi sijaona mazoezi ila komedi ya aina furani😀😀
@tyiezboe5192 жыл бұрын
Mwanamke ni mwanamke tu daah😁😁
@jacksonedward2015 жыл бұрын
Maisha yanahitaji furaha. Mko vizuri Dada zetu na NI walinzi wetu wa amani. Wazi wazi pamoja sana
@salumally79495 жыл бұрын
Duh.... Nimecheka sana haaaa mmetisha mama Zangu maana si kwa mazoezi hayo...
@Ndu-wa.uroony25 жыл бұрын
Duuuh! Kweli Bongo muvi inazidi kukua .
@felixmagulu61424 жыл бұрын
Wote mnajenga nyumba moja, umoja na ushirikiano ni muhimu sana, Hongereni maafande.
@thamanihalisi11204 жыл бұрын
Mnaweza kweli. Ila ongezeni nguvu Mimi naona mnacheza mziki sio mazoezi ya kiaskari au kijeshi au kikomando.
@rahmajaffar794 Жыл бұрын
Wanawake wenzangu juhudi zaidi inahitajika kwenye mazoezi yenu kwa hapo kidogo wamenivutia hao magereza inawezekana wafungwa wanawachangamsha lakini polisi jitihada na seriousness inahitajika zaidi.
@coxmakolokocho3105 жыл бұрын
Hongereni xna mpo vzr tatizo moja tuu mmenenepa xna au sato za mwz zime wKubal dh! Nc
@rajabumbwana61815 жыл бұрын
jaman kuna wanajeshi na wafanyakazi jeshini, nadhan mmenielewa
@devotharwegasira85905 жыл бұрын
ahaaaaaaaaaaaaaa ,
@rajabumbwana61815 жыл бұрын
@@devotharwegasira8590 yap
@alihaji72015 жыл бұрын
Hahahaaaaaa
@munguaibarikitanzanianawat92545 жыл бұрын
Honger san
@saidmakumlo89305 жыл бұрын
Weng walikuwa walinzi wa Maanga kuangushia coz ndo zao😄😄😄😄😄
@maulidmfaume16525 жыл бұрын
Nmekuelew mkuu
@akshaydavid1594 жыл бұрын
Unaweza ukapiga full kozi na Bado usiive, suala la ukakamavu Ni mtu mwenyewe.
@ahmeidyoung24105 жыл бұрын
safi iyo
@juliussonga53535 жыл бұрын
Mko vizuri mama zetu,lakini ongezeni ukakamavu;muwe ngangari sanaaaa.Kombati za magereza nimezipenda sanaaaaa.Wapi wanawake JWTZ?
@jamesfrancis985 жыл бұрын
magereza always wako vizur coz wanatrainiwa vzur kupmbn na wafungwa watukutu ila hzo kjan tupu nothing
@akshaydavid1594 жыл бұрын
Na anayemkata mfungwa yeye anatrainiwa vibaya au?
@mwinulamwinula98715 жыл бұрын
mdogo mdogo we twayeya big up xana ma soldiers bado kuna kitengo kinaitwa special forces hicho bhana kizuri xana
@vladiminlenin88835 жыл бұрын
big up
@straitnews34415 жыл бұрын
Wanne sana need more of that
@kassimtanda73215 жыл бұрын
Naenda sana hii noma. Vizuri sana
@sarayohana36035 жыл бұрын
Nice
@sakinamubaraka12465 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁mashaa Allah
@FamelannesEg85625 жыл бұрын
wakakate vitunguu hao maana wameweza kucheza kanyaga tu sio mazoez😂😂😂
@dullahmudy22554 жыл бұрын
Asanteeni saaanaa...nchi ikiwa na amani raha saana tofaut na jeshi la Vietnam wamekomaa haoo..
@brianaloyce86045 жыл бұрын
Mweeeeeh..... Kweli mtatukanyagaah,,,
@jp17805 жыл бұрын
Msosi mwingi bana bunguzen!
@wilsonkaseha20345 жыл бұрын
Hahaaaa hapa ndugu zangu kwa mazoezi inabidi muingeze juhudi labda kama mmeamua kutuburudisha tu kwa leo
@simonmartinekombe70315 жыл бұрын
Good
@coolruler68204 жыл бұрын
Ukitizama kwa makini utaona magereza ndo wakakamavu zaidi, wengine naona vifriji sana jamani punguzeni miili Iyo mpate wepesi
@kisulaabas26145 жыл бұрын
Hakuna anaeniliza hapo. 😂😂
@justinesagaya3715 жыл бұрын
Safi sana
@raheemahamees6410 Жыл бұрын
Mmenpe sn.
@wilsonjohn19195 жыл бұрын
Mnabahat sana mpo inchi yenye aman hayo sio mazoez kabisa naona mnakata viuno tu
@mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын
Vzuri sanaaa
@jumannekhalifa77615 жыл бұрын
jeshi la mageleza ninoma limewafunika wote lakini tukiludi nyuma mbona mazoezi yamegeuka disko mmmmmh
@jeremiahzacharia76555 жыл бұрын
Futa hii kitu sipendi michezo kama hii
@abouwaladnajib95205 жыл бұрын
Kweli tanzania hamuna habari
@cassyaugust45855 жыл бұрын
Leta yako
@abuushaakirayubu94765 жыл бұрын
Kazeni butiy sio mbaya akina mama mmetisha askari watanzania juuuuuuu
@bintisalma12635 жыл бұрын
jitahidini kuiga mifano ya asikari wa kichini lakin kwahapo bado miili munaiachia sana mkitoka depo ndobas zoezi ila mumejitahidi sana mama zetu na dada zetu
@andreajeremia4365 жыл бұрын
Kama umesikia uchaguzi mwezi wa 11,nikujue umakini wako hapa.!
@husseinnyomi61205 жыл бұрын
Hamna kitu hapo
@pilatoonlinetv96605 жыл бұрын
Maaskari gani mikundu kama dell la ice cream !! Bora hata magereza sio hao walio vaa bendela ya yanga na ccm😎
@maxmaizer46315 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@abuushaakirayubu94765 жыл бұрын
Waaoo pushapu hoyeeee
@shabanally18625 жыл бұрын
Mbwembwe nyngi ............
@fadhilfaza16694 жыл бұрын
Wapo vizuli
@captenndunga61995 жыл бұрын
Mi nilijua askar kweli kumbe bongo muv.
@AbubakariKisuju3 ай бұрын
Nyie police wa kike mnatakiwa mpelekwa urusi au Korea kaskazini
@ernestsinje95325 жыл бұрын
umeshiba sana punguzeni msosi wengi vibonge duh!
@Mozline15 жыл бұрын
Wametia aibu
@ongbackkidinindi82465 жыл бұрын
Hmn kitu isee
@J4UPro5 жыл бұрын
Magereza wapo vizuri
@ApostleMathayonnko5 жыл бұрын
Wanawake wanaweza usiwachukulie powa
@mjige90885 жыл бұрын
Polisi hawahitajiki kutoa vitisho kila nikiona polisi tz ni vitisho tu kama wako vitani zamani haikuwa hivi polisi walikuwa karibu na raia na bila vitisho kazi ya polisi ni kuchunga sheria law and order ni uniform iwe ragi ya blue kofia blue na nyeupe sio kofia rangi ya damu
@maidahassani13775 жыл бұрын
Wamekutisha na nini
@asifiwesolo1213 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂
@hajimohdaly37864 жыл бұрын
Nendeni uko mbwa wakubwa nyinyi na mtakufa na laana zenu kwa kosa la kuwazalilisha waisalamu
@zebedayoramadhani73835 жыл бұрын
Hawa wezi wazito
@haiticherie75935 жыл бұрын
Mwen renmen fanm yo.
@revocatusjohn6515 жыл бұрын
Hizo ni pushap au? Kweli haki sawa haipo
@amourhasaan72425 жыл бұрын
Hamnaa lolotee hapaa kazii kutuonesha viunoo tuu
@yohannanyamwanga27855 жыл бұрын
Yan kumbe asikari wa kike ndoo wanaongoza kua na kakario mkubwa
@alexchungu95055 жыл бұрын
Madawili
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Sasa hayo mazoezi au kucheza mziki
@ashrafunyarubamba66605 жыл бұрын
Wakapika tu nakuzaa hakuna kitu hapo
@daktar_kapaku_natural5295 жыл бұрын
Ndio nin sasa aah mnazingua
@manjaruujr46055 жыл бұрын
Maafande wana taarabu asee
@mosesnmousa55583 жыл бұрын
Bbona wazito hivi
@jumakapilima56745 жыл бұрын
They were not serious enough,,,,,,,,,,!!!!
@alisonchelele50525 жыл бұрын
Mpendeza sn ila mmenona sana
@abrahamhassan3515 жыл бұрын
Hahaha ndio iliyobakia nchi inakwenda taratibu muda sio mrefu inakuwa kama zimbabwe mamae
@immahkobeh76205 жыл бұрын
kichekesho
@rodgersgingila93675 жыл бұрын
hzo push up walipga course lakn hao..waliangushia kozi
@erickkagisa34705 жыл бұрын
Hamna kitu hapa mnadharirisha tu
@rodgersgingila93675 жыл бұрын
hakuna jeshi hapo..laini sana...
@ibrahimaziz71585 жыл бұрын
Dah watu wanafaidi bwan
@munguaibarikitanzanianawat92545 жыл бұрын
Nini
@rajabmnyimwa31265 жыл бұрын
Safi sana, morale is high
@leonardmrope95285 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@bonifacebwiremateko91425 жыл бұрын
Alaaah
@abeidmasaka69185 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo mabonge nyanya hayo hawana ukakamavu wwte mshachanganyikiwa na diamond nyie 😀😀😀😀
@philiposhilingi41685 жыл бұрын
Abeid Masaka askari wetu wapunguze unene
@tanzaniashinyanga4545 жыл бұрын
Hapa hakuna askari absolutely.
@michaelmchodo28625 жыл бұрын
Nao wanaendaga vitani?
@donjanimajani85285 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo
@josephmuchiri31804 жыл бұрын
Kwa hali hii af mumfananishe simba?
@francisnyaji50005 жыл бұрын
Aisee iyo mizigo hatari duu
@jambojambo67275 жыл бұрын
amna kitu apo
@albertchamafwa66095 жыл бұрын
Paredi na simu kweli
@alphoncewilliam4325 Жыл бұрын
😂😂🎉🎉
@boniphacetabu29035 жыл бұрын
Mimi nadhani sheria ya JKT iendelezwe wawe wananyoa vipara hayo mawigi kofia hazipendezi vichwani.
@emmanuellubadisha31705 жыл бұрын
boniphace tabu😂😂😂😂
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
Tuko Na Amani Atuko Vitani Kwaivo Kueni Na Furaa Kwasababu Nawashangaa Sana Watu Wanaochukia Furaa Yenu Uku Wakijua Tanzania Atuko Vitani Jamani Tuko Na Amani Vita Ikiingia Hata Raiya Tutaingia Vitani Sio Asikari Pekee Kwenye Amani Ndo Wao Wanakua Wao Nasisi Tunakua CC Kwasababu Ya Amani Vita Sio Kitu Kidogo Na Ukizani Kazi Ya Asikari Tuwaonao Pekee Kwaivo Hata Wewe Mtanzania Usiojua Mro Wa Kesho Ni Asikari Pia Acheni Kuwachukia Wadada Wetu Waacheni Wafurai Awapo Vitani Apo Nchi Iko Na Amani Kwanini Wakunje Sura Kama Kmba
Ukakamavu wa wanawake majeshi yote unafanana dadaangu, usitudanganye wakati tunafahamu, hakuna cha JW Wala Nini.
@allymadunda79315 жыл бұрын
Kikubwa uzima.
@rizikihamisi89545 жыл бұрын
Tz yani kila kitu nibalaa ..mmh kenya mbona akuna vitu kama hivi hovyoo
@josephgomalo415 жыл бұрын
Kwani Kenya ndio reference point ya Tz? Hadi wafanye Wakenys ndio Tz wafanye? Acha upumbavu aisee.. motivation ni kitu kizuri pia kwa askari na sio lazima wakunje uso muda wote..! Isitoshea hata wakati wa vita watu wanazaa.. we vipi?
@rizikihamisi89545 жыл бұрын
Joseph Gomalo mmh mumezidi kila kitu kwa mtandao hovyoo bt simakosa yenu
@martinemifuko715 жыл бұрын
Riziki Hamisi kwani hapa ni kenye au unawashwa
@omarysalumumuzic91395 жыл бұрын
Makelele kama watoto wa chekechea....
@freymuch71125 жыл бұрын
Penda hiyo afande!
@ashritaabdallah64745 жыл бұрын
Nataka mke askari jamani
@hassaname35344 жыл бұрын
Zaifu sana
@mundhirhemed64954 жыл бұрын
Hizo push up Kama unakatika viuno
@captenndunga21025 жыл бұрын
Sijaona wa kunikamata hapo.. namvuta manyonyo mpaka ajione amenyonyesha siku nzima.