Naomba sanaaaa Nasib ubaki na hizo nywele unakua sawa sana
@elizabethmagambo97854 жыл бұрын
Kafanana na nilan
@geofreylucas94694 жыл бұрын
Akusikii huyo
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Kapendeza Diamond
@goldgrace77734 жыл бұрын
Kabsa
@hbh34364 жыл бұрын
Allah anampa mja mali vile anataka yeye mwenyewe Mungu. Mashallah, nasisi Allah atujalie tupate pesä. Aameen
@nafisaabdalla25994 жыл бұрын
amin ss wengine twazipata kwa shida izo lkni wenzetu wanazipata vizuri tu ndio maana kuzitumia hawazionei uchungu
@khamishabas24024 жыл бұрын
@@nafisaabdalla2599 una muomb mungu akup pesa kaziufny unazan utaziokt
@salmaseif87554 жыл бұрын
Amiiin
@amneynuhu74624 жыл бұрын
Ameen inshaallah
@agukagospel4 жыл бұрын
ebony what >? kzbin.info/www/bejne/q2exeYWNZpiVhJY
@nuraabdi13794 жыл бұрын
Nasibu ukiwa na nywele hizo unapendeza zaidi mashallah
@pillykupaza10984 жыл бұрын
Kweli hata mimi napenda akiwa na nywele hizo
@mariamkissiwa25494 жыл бұрын
Exactly
@brobabuu39734 жыл бұрын
Mnaona mbali sana,... nyie n wakali...
@daimually48654 жыл бұрын
Huwa anajichanganya tuu lkn mbona yupo pw naanajielewa kbs
@iammusic34044 жыл бұрын
HB🔥😘
@rachelmbeyu43854 жыл бұрын
Diamond style ya nywele imekutoa vizuri sana umependeza
@gloriaatupele90904 жыл бұрын
Kampuni zinazofirisika kaombeni msaada kwa mondi anachezea pesa kama karata huku nyie mwafunga ofc
@nawal31044 жыл бұрын
Gloria ATUPELE has I’ll oop p
@princessnthenya61514 жыл бұрын
Tena sana
@dorislema18144 жыл бұрын
kwel kuliko yale marac
@mwanahamisirashidi34393 жыл бұрын
Mwenyewe pesa sio mwenzenu jamani
@minzageorge14174 жыл бұрын
Mung nisamehe mm nimasikin baado naweka baando kila siku kuangalia ujinga namafanikio ya wenzang nakuzid kujitia umaskn zaid bola niwe natowa sadak ela yang Wenda nami mung ataniinuwa inshallah
@nyambogosunday90303 жыл бұрын
Ameen..
@stellambeca59134 жыл бұрын
Wow it's so colorful,,, D..... ana look fyn with those outfit,, classy 😍😍
@agneskadzo61053 жыл бұрын
Diamond Brother mzuri sana,ajua kuchangisha pesa za harus zirudi kimpango.. good Job Diamond
@barrysulty17564 жыл бұрын
Mashallah mungu awape zaidi na maelewano pia ndio muhimu awape na watoto wenye hekima na kufuata njia zilizonyoka, nangaalia nikiwa udachini!
@nunniznurcky97243 жыл бұрын
Kama umerudi kusebu zile pesa zilitajwa kwenye enteviw ya zamaradi gonga like😂🤣🤣👊
@irenemjema38953 жыл бұрын
Hahhahahahhaaha
@zuwenaalamini41583 жыл бұрын
Jaman mm narudia baada ndoa kuvunjika ngonga like Kama na wewe mbea Kama mimi
@dorcasarakaza3406 Жыл бұрын
Mm hapa😂😂😂
@charleskimanzi38183 жыл бұрын
Hairstyle ya mondi imeweza.,anakaa fiti sana na hiyo hair cut......
@zainathcuwimigishazchelsea21134 жыл бұрын
MashaAllah M MUNGU awazidishie, nasi ALLAH aturuzuku pia
@zaitunikweka9794 жыл бұрын
Daimond nyoa ivyo ivyo u akuwa smat vizur good🤝
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Kweli anapendeza sana
@zaitunikweka9794 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 sana
@mwambafamily4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hIqxiX19r8h5ZsU
@kulwapeleka11634 жыл бұрын
SANAAA
@heraldloshi18644 жыл бұрын
Zaituni Kweka ,Ni kweli👍🏾👍🏾
@thomaschristian7694 жыл бұрын
Dah eeh Mungu nione na mimi baba walau nipate tu hata kodi tu na pesa ya kuendesha maisha 😭😭😭 Nisingependa niwe na utajiri mwingi kama wa Nasibu mimi nipate tu zile za kuendeshea maisha
@prossonassoro525 Жыл бұрын
Uhakika
@monicapeter90658 ай бұрын
Achana nao tuu hapo ni kufuru tuu maana Kuna maskin hawana hata ya kununua unganwa uji wenyew wanatamba nazo ujinga tuuu
@ramadhanmbalamulah67874 жыл бұрын
Jamani punguzeni sifaa mm natafta hata elfu 5 nyi mnachezea yaan duh: Inshahalah
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Freemason ndg yangu
@hashimhashimmuimbehadimoyo11643 жыл бұрын
Angalieni msijikweze msije kwezwa
@khazinak90833 жыл бұрын
Amjengee babaake nyumba nzuri pesa mwisho zitayayuka km moto kuwa na mapenzi na watu wote unawasaidia maskini msaidie baba yko m.mungu atakupa kher zsidi
@issangyabertha57414 жыл бұрын
Mwanamke anatamaa yapesa sanaaaaa
@peterokalo96324 жыл бұрын
I always like diamond for one thing his original smiley 😃 always showing truly happiness face
@hahmadhabibu20764 жыл бұрын
This man is rich rich...that's why..see how they are battling with money
@franksichula26624 жыл бұрын
P
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Kwanza hii siyo sahihi tambueni kwamba kuna watu wana wtt hawajui kesho watakula nini??mambo ya kutunza pesa kwa style hiyo ipigwe marufuku watafute njia nyingine ya kutunzana angalieni nchi jirani za kiafrika hakuna mambo hayo, kama unayo hela au huna maisha yanaenda kuliko hivi kuonyesha mashindano badala ya kuomba uje uishi vema kwenye ndoa
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Ni nani asiyejua kuwa Diamond ana hela na anasaidia watu wengi na Mungu ampe zaidi na zaidi
@nelsonkalengamulunda18912 жыл бұрын
@@hahmadhabibu2076 BYE
@user-xh7vw4kk7o3 жыл бұрын
Nice sherehe japo jini mkata kamba alingiya kati from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦❤️❤️❤️❤️
@sailatobias43434 жыл бұрын
Kama mungu angekua anagombaniwa hivi ingekuwa laha sana 💞🙏🤲🤲
@bjzee19813 жыл бұрын
Huyu jamaa hakua fala kumbe Alisha wasoma namba kitambo. Mwanamke alitaka mipesa apite hivi. Nani mwingine ana angalia baada ya Esma kuachwa. Kamati roho chafu tujuane 😂
@maestrojayysule56604 жыл бұрын
Jana mm hapa tunagombana na Bos wangu kwa elfu tano .angalau nipate kula .wenzetu pesa wanazifanya kama karata
@johncavishe3534 жыл бұрын
Hahahaha noma sanaaa
@brobabuu39734 жыл бұрын
tupambane kutafuta pesa bana..
@happynessmarki27804 жыл бұрын
maestro jayysule daaaa achaaaaa tu maisha hayaa
@brobabuu39734 жыл бұрын
@@happynessmarki2780 balaa tupu dada
@eurozbsimoniz68664 жыл бұрын
😂😂😂
@tabikanini29204 жыл бұрын
Waaa bibi harusi anapenda pesa waaa ona anavyotabasamu hadi anashika pesa
@chidybizz86844 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@officialmrtop10184 жыл бұрын
Nani asopenda pesa?
@ALIALI6184 жыл бұрын
Wewe hupendi pesa jamani
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Sasa unataka ashike nini?
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Nilijua nimeona peke yangu
@T5Gold4 жыл бұрын
this is the original diamond we used to see in ''mbagala'' and ''kamwambie''
@wahiduitsverycommentmane54214 жыл бұрын
Esmaa una kiherehere Kama vilee wachagua mitumba soko kuu tulia bibii utachokwa pesa sio kituu utajiri sio kituu ulizaliwa ukavikuta na utaviacha muombee munguu akufanyie wepes wa ndoa na usiende kutixhia wake wenzaa na izo malii wahexhimu na uwe mwanamkee wa mfanoo
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Hee kumbe kuna wake wenzie waliotangulia wala hatakaa huyo kaenda kuwa kivuruge
@josephinejoseph97024 жыл бұрын
Diamond nibalaa kiukweli nimependa pia umetokelezea sana gonga like kama unaona katokelezeaa
@standfortherefugeeafrica4 жыл бұрын
Mr. Simba Diamond naomba kabisa uweze kiimarisha my talents please kwakuwa wewe ndie BABA LAO Tanzania and beyond.
@valeriachipeta7744 жыл бұрын
Kumependeza sana na mmependeza sana pia. Wenye wivu wajinyongeeeee
@monicapeter90658 ай бұрын
Mfyuuuuuu we mwenyew chawa tuuu
@iammusic34044 жыл бұрын
Isipoingia on trending hii ki2 utube wachawi👌 Trust me
@juliethgervas31944 жыл бұрын
Bi harusi alikuwa na wengee😂😂😂hatulii
@enockmaige89362 ай бұрын
Mungu nitumiku na mm walau niwe na uhakika tu a kula hata chakula Cha kawaida
@janeshigami87694 ай бұрын
Esma.... pole sana.
@naomimabula26604 жыл бұрын
Rizika na chako ulichonacho, uctamani vya watu, cz hujui asili yake.
@tanzaniatouristsattraction16224 жыл бұрын
Kweli kabisa ukijua zinapotoka unaweza tapika
@thomasponera60184 жыл бұрын
Umeongea vizur, sema huyu aliyekuja kusema kutapika. Ni wivu unamsumbua
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Hata maandiko yanasema hivyo
@dukeofkisii4 жыл бұрын
True
@njemasaid5814 жыл бұрын
kweli kabisa
@mzalendomzalendo25674 жыл бұрын
Daah bibi harusi yuko kwenye pesa tuu anachunga pesa
@aisaonlinetv88094 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@rehellongo91253 жыл бұрын
Naombeni elfu moja tuuuu
@nurudinehamimu56584 жыл бұрын
Mond nakukubali lakini hichokitendo Alla akipendez jifunze kabra mwenyezimungu aja zaririsha. Take care
@standfortherefugeeafrica4 жыл бұрын
Watali Tanzania Mr. Simba Mungu aweze kukurefushia misha ndugu yangu, kweli wewe huwa unani kuna kwa kweli Maisha yako kwako Mungu kwisha kupasulia njia kabisa. CEO and Film Producer Alex Bucunga Mr. Inzi Fly.
@mohamednoti71194 жыл бұрын
Wanaume wenzangu tutafute pesa aisee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Akili kichwani,Mungu rohoni, pesa mfukoni alafu makaratasi.
@monicapeter90658 ай бұрын
Kikubwa napata ya kula na kunywa zngne hzo ztaishia kutuzwa bank tuu Afu yang hata iwe ndog inanitosha na inanifarij maana naitafuta kwa njia sahihi ya KUMPENDEZA mungu
@sadickrajabu2974 жыл бұрын
Naungana na nei kweli mungu yupo na nikweli watu wote no sawa ,dini ni zaukweli au nazo uongo nashindwa pata jibu mungu gawa liziki sawa kunawatu wanalala nje wanateseka kwa kukosa pesa ila kunawatu unawabariki mpaka watu wanashindwa kuamini km mungu yupo kweli
@daughterofziontv5304 жыл бұрын
I love this family nasib baba Lao 😍😍😍😍
@zuhurakilua71634 жыл бұрын
Bi harusi ana kihele hele jamani
@chulitolove66484 жыл бұрын
Bando lenyewe ninalo tumia kuangalia aya mamilioni yanayomwagwa apa shida... Nikalale tu.... Congratulations esma😍
@hawaomary40842 жыл бұрын
Hahahahaaaaaa! Nimekupenda buleee
@ijueimanikatoliki9804 жыл бұрын
Nashauri wasiwasahau pia YATIMA na WAJANE pamoja na WAGONJWA wasiojiweza MUNGU ATAWABARIKI ZAIDI
@barakabahati43154 жыл бұрын
Bt mond anasaidia sana
@vanessastafford51204 жыл бұрын
Sio siku yao
@witomsafiri4 жыл бұрын
Kama na wewe umesikia current badala ya currency gonga like.
@rizlambajuni4 жыл бұрын
😂wengine wamelike bila kujua unaamaanisha nini🙄
@rizlambajuni4 жыл бұрын
Ila me nimekuelewa😂😂😂
@khadijamzee27394 жыл бұрын
Nilifikiri nimesikia peke yangu
@rizlambajuni4 жыл бұрын
Khadija Mzee 😂😂😂
@eppiemodest4 жыл бұрын
Una like bila kujua kama yuko kwenye grammar. English anaijua Mond juuuuu
@siriyangu47244 жыл бұрын
Mashallah yani leo nacbu umependeza kiukweli na izo nywele wacha mambo ya kusonga
@shancyskitchen30444 жыл бұрын
Diamond Ni Mjanja Sana😁Anamtafutia Dada Yake Mtaji Wa Kwa Shemeji
@saumsalim99664 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@VibextazSports4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mneXm4psdrSif68
@kondeboyplatnumz17704 жыл бұрын
vf
@jizomontana18993 жыл бұрын
😆😆😆 mamae
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Kwelii kabisa
@japhetalex9714 жыл бұрын
Mwenyez mungu n mwema hakika ipo sku tulio chini tutainuliwa kama hawa alivyo kwisha wainua inshallah
@rommyabduly60364 жыл бұрын
Inshaaalaah
@aishatanzania11944 жыл бұрын
Daaa😭😭😭 inshallah habib mungu wetu sote🙏🙏🙏🤦🏿♂️🤦🏿♂️
@japhetalex9714 жыл бұрын
Hakika hana hiyana
@ummoislam48324 жыл бұрын
Bi harusi nae anapenda pesa kama mcheza kamare
@aminamarie23874 жыл бұрын
🙆😂😂😂😂
@brobabuu39734 жыл бұрын
@@aminamarie2387 Hahhah ata mimi pesa nazipenda kwa kweli
@aishatanzania11944 жыл бұрын
@@brobabuu3973 😋😋😋🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
@brobabuu39734 жыл бұрын
@@aishatanzania1194 ww hupendi naona 😂
@janemusumba8204 жыл бұрын
Kabisa na kiherehere
@popoweumambo80574 жыл бұрын
Kindly put some English Subtitles pliz we love u bt language is a barrier !!I still watched to the end bt cant understand wat u saying to yo sis and inlaw
@NiraSaire4 жыл бұрын
Its a money battle, Simba started by putting on some foreign money, The pound, the USD, the Indian Rupia, and he was complaining that the opponent is only putting Randi which is not as valuable.. at last they agreed that when Simba puts they should provide Randi of the same amount! At last they gave up! But the last guy came and say he is ready for Tanzanian shillings battle
@gracegenadio82914 жыл бұрын
Very sorry dear
@tasianaantoni64774 жыл бұрын
Unatisha simba
@mtimkavu60624 жыл бұрын
Bora ulivyokosa kuelewa maana ungeingiwa na Tamaa bure
@Wilma29753 жыл бұрын
Who else is here after Esma’s interview? 😆
@nicholauspeter94543 жыл бұрын
me baby
@reuben93803 жыл бұрын
Me tooo🤠🤠🤠🤠🤠🤠
@elizabethsakina99873 жыл бұрын
Here I am
@agnesmwanzia77953 жыл бұрын
Me
@jospinlionel.8323 жыл бұрын
Hahahah
@leonardpeter98273 жыл бұрын
Walikuja kurudia kuangalia baada ya kusikia maji yamezidi unga
@iammusic34044 жыл бұрын
Kula pesa mama kaka unae ila respect mmeo napunguza macho kwenye pesa😂😂😂🔥😘
@nasramakau61394 жыл бұрын
Kwakweli jamani mana bi harusu macho kodo
@farajajuddy43913 жыл бұрын
Kwakweli macho kwenye pesa
@nuraabdi13794 жыл бұрын
Diamond naomba unifundishie mwanangu shule ameanza fom1 uwezo sina fungu lako utalikuta Kwa Allah anania ya kusoma sana naomba msg hii ikufikie ulipo inshaallah
@D-Man.B-Free4 жыл бұрын
Mtafute in DM Instagram au upige simu kwenye the switch show...
@partnersah88024 жыл бұрын
Mfuate insta pia dada yangu. Mpaka Tiktok utume ujumbe huu kila siku. Naamini atauona dada yangu. Ata shule ya mil 1 kwa mwaka anaweza msaidia. Mwenyezi Mungu akuongoze na ufanikiwe na afanikiwe mwanao pia
@teychriss32484 жыл бұрын
Safi!
@aminamarie23874 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakujaaliya umpate akusaidiye Kwa uwezo wa Allhah
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Naamin inawezekana mond anajitoa sana
@sarahmawby92244 жыл бұрын
Leo family imependeza Sana yaani kuvaa dangote family Leo mmevaa vizuri hadi queen Darleen mtaalam wa kuchapia mavazi Leo katoboa. .mama D umependeeee saana na wanao wote... Sijamuona Mzee Abdul jamani
@annthecook94273 жыл бұрын
Am here after Esma interview
@elizabethsakina99873 жыл бұрын
Same🤣🤣🤣🤣😭
@getrudemusimbi61153 жыл бұрын
😂😂😂 after break up
@marysaituni45843 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@elizabethcharzy71753 жыл бұрын
😂😂😂oh my god
@joslinmalongo46623 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@francisruambothetechnician4 жыл бұрын
Tatizo wabongo wengi humu kwenye comment mna wivu, kila mtu anafuraahi kwa alichonacho ww kama huna uwezo kama wao usihumie roho acha maneno mabaya, acha hisia mbaya, waache wafanye walichojaariwa, wengine wanasema wanakufuru mara kuna masikini sasa yy ashindwe kuishi maisha yake sababu ya maisha ya watu wengine. Acheni ushamba wabongo.
@emmanuelmchomvu26764 жыл бұрын
Jaman tafuteni hela, ooh saidia watto yatima Kwan amesaidia wangp ad leo???? Acha wafanye Kama wamepewa hela jmn,Shda zk wew n familia yk, Omba Mungu akupe hekima n pumzi yote tutayaacha apa duniani.......
@iyanivan54574 жыл бұрын
Jamni naomben namba za Diamond....
@mgayaatanas94934 жыл бұрын
Ume nyowa vizuri sana safi
@baimarrajahbuayan62374 жыл бұрын
Kufuru Kwa wenye nazo, wengine walala njaaa, mungu jamaniii 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
@allyhussein51923 жыл бұрын
Naomba kuuliza hivi hili sebene linalopigwa hapa mwanzo ni la msanii gani
@whatif..69614 жыл бұрын
Mi nimemuona Aristote tu hapo😂😂😂😂
@bigbossmanbossman69464 жыл бұрын
Nikiskia million nimeshtuka nilidhani ni mita ya hapa kwetu kumbe mita huko ni 46k za hapa home 😂😂😂😂
@allymngwaya13694 жыл бұрын
Sasa hizo 46K za hapo kwako wewe unazo?.
@valeriachipeta7744 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 yuda kwa ela balaa anachekelea hadi mwisho. Umejua kunifurahisha
@nassorsada2134 жыл бұрын
Mwenzio akipat muombee kwa mung Chuk haz saidii chochot
@lilylily4354 жыл бұрын
Umeona alie pewa kapewa
@yuveshangaikoyuveshangaiko76873 жыл бұрын
K P
@yuveshangaikoyuveshangaiko76873 жыл бұрын
N
@zuwenaalamin89852 жыл бұрын
Jmn wote tuliorudia hii 2022 tujuane gonga like
@happymushi81974 жыл бұрын
Diamond umenyoa nywele umependeza sana
@Nelly_Kifano..20144 жыл бұрын
Esma anaziokota zikianguka 😂😂😂😂😂
@mwambafamily4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hIqxiX19r8h5ZsU
@gloryshimi96444 жыл бұрын
Mama Tee 😁😁😁😁😁😁😁
@getrudecharles62124 жыл бұрын
Dada kamsahau mume kweli pesa ni hatar
@ashuuyusuf39784 жыл бұрын
Mashallah raha
@frankmnale19004 жыл бұрын
Bob Utafirisika, achana na Mond ni kiwango kingine
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
kwani mond ana pesa nyingi sana.
@boazchibudenga78274 жыл бұрын
Cham kubwa
@saumsalim99664 жыл бұрын
@@msetikebwasi6895 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saumsalim99664 жыл бұрын
Frank umeongea ataka kushndana na Mondi na hyo akilala akiamka hela injaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@calvinloveambroce8424 жыл бұрын
yes diamond ni tajiri mkubwa sana kwasasa
@youareoneinamilliontv19504 жыл бұрын
Simba Kama Simba bip up to Diamond platnumz you are always on point. All the way from Zambia Western province
@snapboytz32873 жыл бұрын
Appreciated bro mondi, amini kwamba
@imanimussa40764 жыл бұрын
Bi harus acha kuonesha hisia zko ktk pesa
@siaammo11044 жыл бұрын
Hahahahaha
@salmaseif87554 жыл бұрын
Kweli kbs
@salumabdallah66804 жыл бұрын
Wee hujui kua pesa ni sabuni ya roho😂😂
@banoramachannel13714 жыл бұрын
Waaw Diamond
@lawrencesilas30504 жыл бұрын
Hakuna ndoa hapo...maigizo matupu...ila ndo tujifunze maisha ya anasa hayana baraka kwa Mungu bali ubatili mtupu..ndoa za siku hiz bas tu....
@lilianpaulbaganda29713 жыл бұрын
Nassibu mwenzio cna hata unga we unachezea hela kama karatas jmn
@user-ke9bg1dm9c2 ай бұрын
😂
@agnesvintan15384 жыл бұрын
Diamond umenyoa vzur safi kabisa👌👌👌
@obenitejailos70074 жыл бұрын
Tamaa ya pesa ya mwanamke inajionyesha wazi wazi
@festoedward2673 жыл бұрын
Ta6b
@victorkivuyo61263 жыл бұрын
HELA ZA WASANII HAZINA JASHO NDIYO SABABU WAKAFANYA MCHEZO NA HELA NA BIBI HARUSI ANAONYESHA NI MPENDA HELA SASA BASI MUME KUWA MAKINI USIFILISIKE,. MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI KARIBU KABISA NA MHESHIWA GAMBO
@AlexAlex-vp8yf4 жыл бұрын
IKO SIKU ZITAKWISHA NAMTAJUTA HAKIKA; Amen
@happymarco25254 жыл бұрын
Diamond nywel nzur so smart
@hasheemabby25834 жыл бұрын
😄😄😄 coment zetu maskini utazijua tu hoo mungu atawa onyesha hoo kasaidie wasio jiweza hoo hana heshima acheni hayo mambo tutafute pesa acheni mawazo mafupi
@yunaisamir20994 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@dg24594 жыл бұрын
😂😂😂
@hahmadhabibu20764 жыл бұрын
Bwahaha
@chancehoffmann90834 жыл бұрын
Umenena
@happyneslugutu316 Жыл бұрын
Mhhhhhhhhh jaman wapo vzr
@aadam7224 жыл бұрын
mtapasuka msambwa Mondi in a diffrent level. Simba mwacheni.
@hassanimussa57764 жыл бұрын
Wanaume wenzangu,tutafute ela
@victortarimo19434 жыл бұрын
Tuzitafute kakaangu
@auntiemylee31574 жыл бұрын
Ongeza volume hawajackia
@gloriouslameck69094 жыл бұрын
😅😅😅😅
@anitamwehonge82874 жыл бұрын
😂😂😂👍
@rosedesdery70264 жыл бұрын
@@auntiemylee3157 mi nimesikia natafuta wa kubatle nae
@nancychissamo3794 жыл бұрын
Jmn diamond ana sifa hd anatia hasira kha!!!🤦🤦🤦🙆🙄. Hela hz mweh
@zabronadamsony8704 жыл бұрын
umeona we anaona anajifananishaa na wezake
@shabanjuma31453 жыл бұрын
Here yaan mpako nimechoka cc kupata laki ni kaz jaman hasa wanaume tutafutane pesa
@biubwaabdalla42934 жыл бұрын
Na mm nigaiyeni hizo pesa diamond niendeleze biashara yangu
@dorisfabian37034 жыл бұрын
Kwa raha zaooo hadi raha jamaniii na kawivu kamenijia tutafute pesa jamaniiiii
@hildascorner23274 жыл бұрын
😃😃
@lucialeonard26754 жыл бұрын
Kwan hii shereh ya ngap maana hela zilizo mwangwa kwenye shereh zilizopita n nying
@lugosemary333 жыл бұрын
Ni harusi ama kubeti mbona sielewi 😆😆
@maelezomaelezo90574 жыл бұрын
Kama kuna mtu ametaman awe kama simba like zake
@magretpeter99244 жыл бұрын
Mnapo fanya haya mkumbuke kuna yatima,wajane,na watu wenye mahitaji mbalimbali ambao wengine hata mlo mmoja ni shida muwakumbuke na hao kwani ktk hao ndio tunamuona mungu,na hao ndio watakao tufungulia mlango wa mbingu mungu tusaidie kila mtu afanye kwa uwezo wake kwa hawa watu.
@tubiajuma15424 жыл бұрын
Like zenu kwa aliemuona msimulizi wa story book jamal april
@Lamecksultan4 жыл бұрын
Mm bro namtafuta 😂😂
@VibextazSports4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mneXm4psdrSif68
@ZZz-np4ry2 жыл бұрын
Utulivu wa diamond jamani roho safi wasafi
@fredrickmatiku77832 жыл бұрын
Onesmo anabeba begi la pesa la kichwani ana mawazo anawaza kodi ya baba mwenye nyumba anailipaje mitihani hiii begi la bossi lina mapesa mimi mshahara mdogo
@ramadhanijuma42044 жыл бұрын
Hayakuwa maisha ya dunia ila ni starehe idanganyayo.
@hadijasalum63734 жыл бұрын
Exactly
@nurathissa14224 жыл бұрын
Naam na maisha ya dunia nimafupi sana
@ramadhanikasim74854 жыл бұрын
Unapo patanafac itumie
@hasheemabby25834 жыл бұрын
Ukitafuta pesa ukazipata hauta pata muda hata waku coment kwenye maisha ya wengine wala huwezi jua kama wanamkosea mungu tutafute pesa ndugu yangu
@vincentngesa79254 жыл бұрын
Nani kakudanganya Kuna maisha mengine hehehe ama ni waarabu
@ayshaayush85394 жыл бұрын
Bi harusi kiherehere huyo mmmh
@khdijaahmed84584 жыл бұрын
Umeonaeeh
@user-ui1qs9yl1nАй бұрын
NIMEMUONA RAY
@roseshilogile80913 жыл бұрын
Umetisha sana upāñde wa mke
@kaburaakbar48384 жыл бұрын
Simbaaaa tumia pesa baba lao umetafuta kwa shidaaaaaa kabisa mzee baba
@adijaniyonkuru97314 жыл бұрын
Sana ❤❤❤❤🔥🔥🔥
@user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын
Jamoon na ss wanyonge tujuwen hiyo ni zaid ya kufur