NI UJUMBE KWA MCH GWAJIMA BWANA ASEMA UMEFANANA NA EFRAIMU MKATE USIOGEUZWA

  Рет қаралды 45,967

yerusalemu tv

yerusalemu tv

Күн бұрын

Mama mch.Angel Shubi

Пікірлер: 344
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 Жыл бұрын
Sema dada tupone. Asanye Mungu kwa kuturudi. Hakika haujaongea na Gwajima peke yake, asante kwa ujumbe na uniombee neema ya kumgeukia Mungu.
@JonasChungu-h7t
@JonasChungu-h7t Жыл бұрын
Kumbe siyo ujumbe kutoka kwa lilikuwa ni somo kupitia Gwajima hakikisha unapona wokovu wa mchanganyo kwa kanisa la leo, kesho na hata milele hauna nafasi na kweli upone
@solomonmwakac248
@solomonmwakac248 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu nadhani kwa Mungu hakuna saizi ya mutu wa kuonywa na Mungu mimi nashauri tumwombee Baba yetu Gwajima Kama ni ujumbe wake umsaidie Asante
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 Жыл бұрын
Usimwite mtu yeyote "Baba" duniani! Hususani kuhusiana na masuala ya kiimani ya Mungu. Tunaye Baba mmoja tu, ndiye Mungu Jehovah.
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Yes! Hata DAUDI mfalme alionywa na nabii wa MUNGU Nathan🎉
@nancynancynancyw4931
@nancynancynancyw4931 10 ай бұрын
Waombeeni wa chunganji wanakuanga na vita mingi sana maana shetani hatakangi wafaulu juu wanazima ufalme wake Mungu awatete na awalinde na yule muovu Amen
@james_romanos_tz
@james_romanos_tz 7 ай бұрын
Dada uko sawa kwa kile unachosema! Kumbuka Sio kila jambo ni Roho Mtakatifu kakufunulia wakati mwingine Ibilisi huo uwezo anao na umefunuliwa kwa ndoto au maono binafsi hayahusiani na Mungu kabisa.Mama jusi wa mashariki waliona nyota na kuifuata kwa kuwa nyota ile ilikuwa tofauti kabisa na nyota walizowahi kuona.Gwajima ni mtumishi mwenye kitu kikubwa sana ndani yake ambacho Mungu kaweka kwa ajili ya watu wake hivyo wewe na wenzio mmeona nyota kubwa sana ndani yake nia ni kuifutilia mbali maana mnatumia jina MUNGU kutuaminisha kwamba hayuko sahihi.Watumishi wengi sana wapo kwenye siasa ila wewe huwezi kuwasema wala Mungu wako hawezi kusema na wewe kwa ajili yao kwa sababu hawajabeba content ya kimungu ndani yao. Kwani hujui alikuwapo rwakatale!?,Mwigulu!?,Mch mtikila!? na wote ni wanasiasa wakubwa hujui? Mti wenye matunda zidi kuupiga mawe na nikushauri hebu muhubiri kristo acha kuhubiri watu maana watu hawatakupeleka mbinguni. Sikufahamu wala hunifahamu ila ninachoamini ukikuta mtu anamsema vibaya au kumtangaza tofauti mwingine basi ujue hapo nyuma mtu huyo amewahi kuwa msaada mkubwa sana kwake. Tafuta uthibitisho.
@kichaukatanzania4366
@kichaukatanzania4366 Жыл бұрын
Askofu Gwajima, ni kweli ni rafiki yangu, lakini leo anawahubiri wanadamu na CCM badala ya kumuinua Kristo. Siasa imechukua nafasi ya Bwana Yesu. Askofu angalia upendo wako wa kwanza kwa Yesu umepungua sana
@augustabisetsa5007
@augustabisetsa5007 Жыл бұрын
Gwajima humwelwi yuko vizuri kwa kazi maalumu wala hajajichanganya utamwelwa tu ,, hata ikuluina muhitaji YESU
@zainabuabdallahlindi
@zainabuabdallahlindi Жыл бұрын
Amen kubwa watu hawamweli
@masingijasalum1864
@masingijasalum1864 Жыл бұрын
Wewe huna kipimo chochote nyamaza,Mungu ndio mwenye kipimo halisi.isitoshe mdada huyu anaeleza alichopewa haijalishi unatoka Kwa Mungu ama la!ni lazima kujitafakari sisi ni binadamu tu ambazo twaweza kujificha Kwa wanadamu wenzetu lakini Kwa Mungu Kila kitu ni wazi.Mimi mwenyewe ni wazi mbele za Mungu na wanadamu wanaona nje tu!
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 5 ай бұрын
Ikulu inamuitaji YESU kweli
@AgathaKayombo-qq2xm
@AgathaKayombo-qq2xm 9 ай бұрын
Dada Mungu aliyeongea na wewe juu ya jambo hli basi aseme na wewe ni vipi utampata umpe hekima hii, namfahamu Mungu kiasi ila kwa hili dada naomba tumia hekima ya kumfikia mtumishi wa Mungu.
@Pastorsteverotali
@Pastorsteverotali Жыл бұрын
MIMI NAMPENDA SAANA MCH GWAJIMA SIPENDI ATOKE KATIKA NJIA YA BWANA NITAENDELEA KUMWOMBEA ABAKI IMARA KATIKA SHERIA ZA BWANA. TUUNGANE WOTE TUNAOMPENDA KWA KUMZUNGUKA KWA MAOMBI TU. NO ONE WHO IS PERFECT, OUR PERFECTION IS WITH OUR GOD. AMEN
@solomonmwakac248
@solomonmwakac248 Жыл бұрын
Amina KUBWA mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
Ameen tunapaswa kuwaombea na Sisi pia Kuombeana
@peterkyagila41
@peterkyagila41 Жыл бұрын
Gwajima baba yangu,ulimtesa sana shetani nilisikia kutoka kwa ushuhuda wa amieli katekela kwamba masonik walikushindwa,nikajivunia ww,.gwajima ludi ludi gwajima Nami nakuombea,,
@rerisamba
@rerisamba Жыл бұрын
Mimi pia na mpenda sana nani rafiki yangu lakini ni mjuavyo kwa hili hata siwezi kusubutu hata kumtumia kabisa
@JaneChissawilo-dr7nn
@JaneChissawilo-dr7nn Жыл бұрын
Ameen sana kabisa ndiyo kazi ya kanisa!
@elishamusa2437
@elishamusa2437 Жыл бұрын
Nakusihi Uachane na Masihi wa Bwana, Hata Daudi aliyekuwa Mfalme wa Israel hakuwahi kumnenea Mabaya Sauli Mfalme kama wewe unavyomnenea Baba Yetu aliye Mkuu kuliko Wote, Tafuta saizi yako Huyo sio saizi yako, Utauponza👏
@mariamsindano1953
@mariamsindano1953 Жыл бұрын
Achana na masihi wa Bwana sio sahizi yako.huyo
@christopherchisuligwe512
@christopherchisuligwe512 Жыл бұрын
Hiii sio vita ya kimwili MUNGU hutumia mtu yoyote amtakaye hakuna mwanadamu aliyekamili message send
@changuchake7406
@changuchake7406 Жыл бұрын
GWAJIMA NINANI MBELE YA MUNGU MNASEMA NI VIWANGO VINGINE AMEFUATA YA KAISARI MUNGU ANAMKUMBUSHA MNASEMANI MTU MKUBWA ATUMIE HEKIMA SAWA ENDELEENI KUKATAA UJUMBE ALIOLETEWA
@leonardmsafiri2199
@leonardmsafiri2199 Жыл бұрын
Mwizi tu kama wezi wengine
@leonardmsafiri2199
@leonardmsafiri2199 Жыл бұрын
​@@mariamsindano1953masihi atakuwa yule tapeli
@HamzaMagula
@HamzaMagula Жыл бұрын
Dhambi ambayo haitasamehewa no kumkufuru Roho Mtakatifu.Ivi kama ungeambiwa mama yako ni mchawi,jeungekas irika au ungefanya uchunguzi?Gwajima ni mtu wa kawaida mbele za Mungu .Hivyo ashukuru kwa kuwa Mungu anampenda.
@pastorjamesmwanakondoo531
@pastorjamesmwanakondoo531 Жыл бұрын
Gwajima ametumiwa na Mungu kukomesha chanjo ya corona na mambo mengi sana hata alie Anza kazi njema ndani yake ataitimiza
@kingdomgospel838
@kingdomgospel838 Жыл бұрын
Wewe bado ni mchanga sana kiutumishi na hata kiufahamu wa kiroho. NAMAANISHA HUWEZI KUSOMA NYAKATI ZA ROHONI. Kwa miaka mingi Askofu Gwajima amekuwa akiimba neno hili "NAIONA TANZANIA MPYA INAKUJA" na kwa nguvu amekuwa akiiombea na wakati mwingine anajiita "MR. TANZANIA" hata sisi tusio wana UFUFUO tunajua kinachoendelea rohoni lakini bahati mbaya yako wewe unaangalia alama za kimwili. KWASABABU HIYO UNAMWONA GWAJIMA MWANA CCM (mwanasiasa), UNAONA MENGI SANA KUTOKA KATIKA FIKRA ZAKO LAKINI SI KATIKA UHALISIA WA NJIA ALIYOPO GWAJIMA. Kutokana na muundo wa KATIBA ya nchi yetu uliopo sasa ni kwamba HUWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA KIUTAWALA BILA MWAMVULI WA CHAMA. Gwajima ameamua kuja kuiongoza Tanzania na ni lazima apitie mchakato wa kujiunga na chama chochote cha siasa NA AMECHAGUA CCM NA SIO DHAMBI CCM CHA MUHIMU HAPO NDIPO ALIONA ATAFIKIA MAONO YAKE KIRAHISI. Kuwa mwana CCM sio dhambi kama ambavyo kuwa chama cha upinzani sio kuwa njia ya kweli. KINACHO' MATTER HAPA NI MTU NA MAKUSUDI ULIYOYABEBA AMBAYO SIO LAZIMA UYATANGAZE MAPEMA...., Ukifanya hivyo haufiki popote. NAOMBEA GWAJIMA AENDELEE KUNYAMAZA HIVYO HIVYO ASIFUNGUE KINYWA CHAKE KWA KUWAJIBU 'WAJINGA' KAMA WEWE HALAFU AKAMWAGA UNGA HADHARANI. Kila mtu ameongelea swala la BANDARI ila kwasababu Gwajima hajaliongelea ndio mnaona yuko kinyume.????? Mbona yeye alipopinga chanjo wote walinyamaza na hamkuwalaumu walionyamaza.???? TATIZO LA WALOKOLE WAVIVU KUFIKIRI NA ASILIMIA KUBWA YA WALOKOLE WANASUMBULIWA NA VIFUNGO VYA AKILI NA KUFIKIRI. Nasema ninachojua kwasababu mimi ni Mchungaji na ninafanya sana huduma za ufungulivu (DELIVERANCE). ILE TU GWAJIMA KUSIMAMA MSTARI WA MBELE MARA KADHAA....., Tayari Walokole wameshajiseti kuakili kwamba Gwajima ni baba yao ambaye anawajibu wa kuwapa direction ya kila kinachotokea au kuendelea nchini. GWAJIMA BADO ANASAFARI NDEFU SANA KWA HII NCHI AMBAYO BWANA AMEIFANYA AKIBA NA MOJA YA LANGO YAKE YA NEEMA KWA MATAIFA MENGINE. BWANA ATATAWALA TAIFA HILI KWA MKONO WAKE MWENYEWE KUPITIA MTUMISHI WAKE (sio lazima awe Gwajima). Tunakoelekea huko mtawala wa juu kabisa wa nchi ATAKUWA MTUMISHI KAMILI WA KIMADHABAHU WA MUNGU ILI BWANA ALITIMIZE KUSUDI LAKE TANZANIA, AFRICA NA DUNIA NZIMA By PASTOR Kamage RF
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
Amen
@osiahmwakasala1646
@osiahmwakasala1646 Жыл бұрын
Ivi hamfaham mandiko Mungu hapangiwi mamma ya kufikisha ujumbe Kama Ni Mungu mwachieni mwenye ujumbe
@kimsi682
@kimsi682 Жыл бұрын
AMEN! Ninashuku sana hapa! Kile najua, Gwajima ajali vile wanasema! Anasonga mbele tu!
@kingdomgospel838
@kingdomgospel838 Жыл бұрын
Wewe bado ni mchanga sana kiutumishi na hata kiufahamu wa kiroho. NAMAANISHA HUWEZI KUSOMA NYAKATI ZA ROHONI. Kwa miaka mingi Askofu Gwajima amekuwa akiimba neno hili "NAIONA TANZANIA MPYA INAKUJA" na kwa nguvu amekuwa akiiombea na wakati mwingine anajiita "MR. TANZANIA" hata sisi tusio wana UFUFUO tunajua kinachoendelea rohoni lakini bahati mbaya yako wewe unaangalia alama za kimwili. KWASABABU HIYO UNAMWONA GWAJIMA MWANA CCM (mwanasiasa), UNAONA MENGI SANA KUTOKA KATIKA FIKRA ZAKO LAKINI SI KATIKA UHALISIA WA NJIA ALIYOPO GWAJIMA. Kutokana na muundo wa KATIBA ya nchi yetu uliopo sasa ni kwamba HUWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA KIUTAWALA BILA MWAMVULI WA CHAMA. Gwajima ameamua kuja kuiongoza Tanzania na ni lazima apitie mchakato wa kujiunga na chama chochote cha siasa NA AMECHAGUA CCM NA SIO DHAMBI CCM CHA MUHIMU HAPO NDIPO ALIONA ATAFIKIA MAONO YAKE KIRAHISI. Kuwa mwana CCM sio dhambi kama ambavyo kuwa chama cha upinzani sio kuwa njia ya kweli. KINACHO' MATTER HAPA NI MTU NA MAKUSUDI ULIYOYABEBA AMBAYO SIO LAZIMA UYATANGAZE MAPEMA...., Ukifanya hivyo haufiki popote. NAOMBEA GWAJIMA AENDELEE KUNYAMAZA HIVYO HIVYO ASIFUNGUE KINYWA CHAKE KWA KUWAJIBU 'WAJINGA' KAMA WEWE HALAFU AKAMWAGA UNGA HADHARANI. Kila mtu ameongelea swala la BANDARI ila kwasababu Gwajima hajaliongelea ndio mnaona yuko kinyume.????? Mbona yeye alipopinga chanjo wote walinyamaza na hamkuwalaumu walionyamaza.???? TATIZO LA WALOKOLE WAVIVU KUFIKIRI NA ASILIMIA KUBWA YA WALOKOLE WANASUMBULIWA NA VIFUNGO VYA AKILI NA KUFIKIRI. Nasema ninachojua kwasababu mimi ni Mchungaji na ninafanya sana huduma za ufungulivu (DELIVERANCE). ILE TU GWAJIMA KUSIMAMA MSTARI WA MBELE MARA KADHAA....., Tayari Walokole wameshajiseti kuakili kwamba Gwajima ni baba yao ambaye anawajibu wa kuwapa direction ya kila kinachotokea au kuendelea nchini. GWAJIMA BADO ANASAFARI NDEFU SANA KWA HII NCHI AMBAYO BWANA AMEIFANYA AKIBA NA MOJA YA LANGO YAKE YA NEEMA KWA MATAIFA MENGINE. BWANA ATATAWALA TAIFA HILI KWA MKONO WAKE MWENYEWE KUPITIA MTUMISHI WAKE (sio lazima awe Gwajima). Tunakoelekea huko mtawala wa juu kabisa wa nchi ATAKUWA MTUMISHI KAMILI WA KIMADHABAHU WA MUNGU ILI BWANA ALITIMIZE KUSUDI LAKE TANZANIA, AFRICA NA DUNIA NZIMA By PASTOR Kamage RF
@geraldremmy2472
@geraldremmy2472 Жыл бұрын
Sio kweli hata shetani pia ujigeuza kama malaika..hata mamayako au babaako hawezi kukuonya kwenye alaiki ya watu au marafiki zako huko ni kukosa hekima....mfuate hata yusuph alitaka kumuacha mariam kwa siri tuache kushabikia mambo..
@Christian_based
@Christian_based Жыл бұрын
Tumuombee sana Mtumishi huyu wa Mungu, kwasababu anamashambulizi na anakitu kikubwa wale tunaompenda tumuoombee, ukiweza kufunga funga omba, kwaajili yake Mchungaji Gwajima.
@Josephnoah63
@Josephnoah63 Жыл бұрын
Njaa tu hizo.. Gwajima ni JASUSI la mbinguni.. wew dada ndo umejichanganya na imani yako.. wew umetumwa na misukule
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Who are you to judge? Mwache mwenye mbingu aamue who is right and who is wrong 😭😭 ni Suleiman son of David tu aliyewza kuvaa hizo kofia mbili, yaani imani na Siasa, Lakini Baba yake David aliangukia dhambini
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Жыл бұрын
Gwajima ni shetani hana lolote
@wendomlahagwaolema6063
@wendomlahagwaolema6063 Жыл бұрын
Huyo dada keshafanya kazi aliyotumwa. Take it or leave it
@joycehaule9717
@joycehaule9717 3 ай бұрын
​@@MathewNathan-yb2bzTubu kaka
@HeavenElisafisha
@HeavenElisafisha 8 ай бұрын
Huyu mama alikuwa ufufuo na uzima na mume wake alitumwa kuanza huduma ya ufufuo na uzima ila huyu mama anashida fulani ambayo inamtesa sana.
@jacklinemoses2247
@jacklinemoses2247 6 ай бұрын
Nimemkumbuka huyu dada mume wake alitumwa alikuwa anaitwa mutashubirwa kweli huyu dada anashida akome kumuongelea baba yetu Dr JG
@EmmanuelJohn-t5k
@EmmanuelJohn-t5k Жыл бұрын
Ahsante Mtumishi wa Mungu. Mungu analo kusudi kubwa juu ya Askofu Gwajima. Taifa halina mtu wa Mungu kulisaidia kwa wakati huu. Uwepo wake katika nafasi hiyo, Mungu alimtumia akatusaidia na Colona, Uwepo wake Kuwa Askog na Mbunge, atalisaidia Taifa kutunga sheria nyepesi kwa watanzania. Ndie Kiongozi aliyeandaliwa na Mungu kuliongoza Taifa hili kiroho na kimwili. Wasiliana na Mungu tu vizuri Mtumishi. Daudi, Suleman, n.k walikuwa wafalme na waliongea na Mungu bila shaka yoyote.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
yupo mtumishi mwenye ujasiri wa ajabu sana anaitwa Mbarkiwa Mwakipesile. hiyo ameuvaa ushujaa wa ajabu hawaogopi kusema lolote ilimradi anaamini ni la kimungu. wanapiga kelele kubwa sana mchana na usiku. wapo pia kina mawakili Mwanukusi, Dr. Nshala, dkt Wilbroad Slaa, Media kama Sauti ya watanzania, Maria space nk. wanapiga kelele sana kuhusu kutetea rasilimali nk.
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
Ameeeeeeen
@janengaga2928
@janengaga2928 Жыл бұрын
Ukisikia ujumbe kutoka kwa mtumishi yeyote muulize MUNGU. usimnenee vibaya .kama huwezi muuliza MUNGU afadhali kunyamaza.
@aminitu3766
@aminitu3766 Жыл бұрын
Hakuna mjumbe wa Mungu apo huyo ni mbwa mwitu
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Жыл бұрын
Msimnene Vibaya Huyu Dada Anachokinena ni Kweli
@JaphetThabit
@JaphetThabit Жыл бұрын
Amina
@nestorygilbert6170
@nestorygilbert6170 Жыл бұрын
Janenganga mbona ameongea kwa usahihi kabisa Muulizen Mungu siyo kutukana
@emmrsrecords5933
@emmrsrecords5933 Жыл бұрын
Kwa kweli ili ni jambo la Dada aliye na ujumbe wa mtumishi wa Mungu na mtumishi wa Mungu. Nivibaya kunyosha kidole juu ya watumishi wa mungu kwasababu hatutakuwa salama. tu ipishe hasira ya Bwana. jambo hili la wapakwa mafuta sio saizi yetu, tukae kimya kwelikweli @@aminitu3766
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 5 ай бұрын
Tatizo amsomagi maandiko mnatumia fikila zenu MUNGU ametupa dunia tuitawale sasa sijajua MUNGU anajipinga au? We sema Gwajima ni raisi
@pastorjamesmwanakondoo531
@pastorjamesmwanakondoo531 Жыл бұрын
Baba askofu Gwajima kuwa mbunge tayari kaacha maono ila waganga kuwa wanasiasa ni sawa Mungu ameamua kutawala taifa kwa sura mtu unapo muona dr gwajima hapingwi Mungu yupo pamoja nae maandiko yanasema ninani awezae kuamuru jambo likawa kama Mungu hayuko pamoja nae baba akitamka yanatokea kwa kuwa Mungu yupo pamoja 5
@kingdomgospel838
@kingdomgospel838 Жыл бұрын
Wewe bado ni mchanga sana kiutumishi na hata kiufahamu wa kiroho. NAMAANISHA HUWEZI KUSOMA NYAKATI ZA ROHONI. Kwa miaka mingi Askofu Gwajima amekuwa akiimba neno hili "NAIONA TANZANIA MPYA INAKUJA" na kwa nguvu amekuwa akiiombea na wakati mwingine anajiita "MR. TANZANIA" hata sisi tusio wana UFUFUO tunajua kinachoendelea rohoni lakini bahati mbaya yako wewe unaangalia alama za kimwili. KWASABABU HIYO UNAMWONA GWAJIMA MWANA CCM (mwanasiasa), UNAONA MENGI SANA KUTOKA KATIKA FIKRA ZAKO LAKINI SI KATIKA UHALISIA WA NJIA ALIYOPO GWAJIMA. Kutokana na muundo wa KATIBA ya nchi yetu uliopo sasa ni kwamba HUWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA KIUTAWALA BILA MWAMVULI WA CHAMA. Gwajima ameamua kuja kuiongoza Tanzania na ni lazima apitie mchakato wa kujiunga na chama chochote cha siasa NA AMECHAGUA CCM NA SIO DHAMBI CCM CHA MUHIMU HAPO NDIPO ALIONA ATAFIKIA MAONO YAKE KIRAHISI. Kuwa mwana CCM sio dhambi kama ambavyo kuwa chama cha upinzani sio kuwa njia ya kweli. KINACHO' MATTER HAPA NI MTU NA MAKUSUDI ULIYOYABEBA AMBAYO SIO LAZIMA UYATANGAZE MAPEMA...., Ukifanya hivyo haufiki popote. NAOMBEA GWAJIMA AENDELEE KUNYAMAZA HIVYO HIVYO ASIFUNGUE KINYWA CHAKE KWA KUWAJIBU 'WAJINGA' KAMA WEWE HALAFU AKAMWAGA UNGA HADHARANI. Kila mtu ameongelea swala la BANDARI ila kwasababu Gwajima hajaliongelea ndio mnaona yuko kinyume.????? Mbona yeye alipopinga chanjo wote walinyamaza na hamkuwalaumu walionyamaza.???? TATIZO LA WALOKOLE WAVIVU KUFIKIRI NA ASILIMIA KUBWA YA WALOKOLE WANASUMBULIWA NA VIFUNGO VYA AKILI NA KUFIKIRI. Nasema ninachojua kwasababu mimi ni Mchungaji na ninafanya sana huduma za ufungulivu (DELIVERANCE). ILE TU GWAJIMA KUSIMAMA MSTARI WA MBELE MARA KADHAA....., Tayari Walokole wameshajiseti kuakili kwamba Gwajima ni baba yao ambaye anawajibu wa kuwapa direction ya kila kinachotokea au kuendelea nchini. GWAJIMA BADO ANASAFARI NDEFU SANA KWA HII NCHI AMBAYO BWANA AMEIFANYA AKIBA NA MOJA YA LANGO YAKE YA NEEMA KWA MATAIFA MENGINE. BWANA ATATAWALA TAIFA HILI KWA MKONO WAKE MWENYEWE KUPITIA MTUMISHI WAKE (sio lazima awe Gwajima). Tunakoelekea huko mtawala wa juu kabisa wa nchi ATAKUWA MTUMISHI KAMILI WA KIMADHABAHU WA MUNGU ILI BWANA ALITIMIZE KUSUDI LAKE TANZANIA, AFRICA NA DUNIA NZIMA By PASTOR Kamage RF
@Godianoisso
@Godianoisso Жыл бұрын
Kama ubunge ni rahisi naye agombee tuone!!! WIVU TU!!
@alfredjuma3029
@alfredjuma3029 Жыл бұрын
Mungu Ni mwaminifu Naye humuonya Yule amupendaye kusuti akurudishe kwenye njia,kwahivio Bwana anakupenda mpendwa Rudi unapendwa Na Bwana saana wewe Ni mudumishi .
@musa-v3f
@musa-v3f Жыл бұрын
kwani Gwajima bado ni mchungaji au askofu??? ni mchungaji gani ambae kondoo wanapigwa na adui akakaa kimya?? wamasai wanapigwa risasi na kuporwa ardhi yao waliozaliwa umeshawahi kusikia Gwajima akisema kitu??? yuko busy bungeni anakula posho. bandari inauzwa umeshawahi kusikia Gwajima akisema kitu??anaweza kuwa anajiita bado mchg lakini ni mchungaji jina tu
@kingdomgospel838
@kingdomgospel838 Жыл бұрын
Wewe bado ni mchanga sana kiutumishi na hata kiufahamu wa kiroho. NAMAANISHA HUWEZI KUSOMA NYAKATI ZA ROHONI. Kwa miaka mingi Askofu Gwajima amekuwa akiimba neno hili "NAIONA TANZANIA MPYA INAKUJA" na kwa nguvu amekuwa akiiombea na wakati mwingine anajiita "MR. TANZANIA" hata sisi tusio wana UFUFUO tunajua kinachoendelea rohoni lakini bahati mbaya yako wewe unaangalia alama za kimwili. KWASABABU HIYO UNAMWONA GWAJIMA MWANA CCM (mwanasiasa), UNAONA MENGI SANA KUTOKA KATIKA FIKRA ZAKO LAKINI SI KATIKA UHALISIA WA NJIA ALIYOPO GWAJIMA. Kutokana na muundo wa KATIBA ya nchi yetu uliopo sasa ni kwamba HUWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA KIUTAWALA BILA MWAMVULI WA CHAMA. Gwajima ameamua kuja kuiongoza Tanzania na ni lazima apitie mchakato wa kujiunga na chama chochote cha siasa NA AMECHAGUA CCM NA SIO DHAMBI CCM CHA MUHIMU HAPO NDIPO ALIONA ATAFIKIA MAONO YAKE KIRAHISI. Kuwa mwana CCM sio dhambi kama ambavyo kuwa chama cha upinzani sio kuwa njia ya kweli. KINACHO' MATTER HAPA NI MTU NA MAKUSUDI ULIYOYABEBA AMBAYO SIO LAZIMA UYATANGAZE MAPEMA...., Ukifanya hivyo haufiki popote. NAOMBEA GWAJIMA AENDELEE KUNYAMAZA HIVYO HIVYO ASIFUNGUE KINYWA CHAKE KWA KUWAJIBU 'WAJINGA' KAMA WEWE HALAFU AKAMWAGA UNGA HADHARANI. Kila mtu ameongelea swala la BANDARI ila kwasababu Gwajima hajaliongelea ndio mnaona yuko kinyume.????? Mbona yeye alipopinga chanjo wote walinyamaza na hamkuwalaumu walionyamaza.???? TATIZO LA WALOKOLE WAVIVU KUFIKIRI NA ASILIMIA KUBWA YA WALOKOLE WANASUMBULIWA NA VIFUNGO VYA AKILI NA KUFIKIRI. Nasema ninachojua kwasababu mimi ni Mchungaji na ninafanya sana huduma za ufungulivu (DELIVERANCE). ILE TU GWAJIMA KUSIMAMA MSTARI WA MBELE MARA KADHAA....., Tayari Walokole wameshajiseti kuakili kwamba Gwajima ni baba yao ambaye anawajibu wa kuwapa direction ya kila kinachotokea au kuendelea nchini. GWAJIMA BADO ANASAFARI NDEFU SANA KWA HII NCHI AMBAYO BWANA AMEIFANYA AKIBA NA MOJA YA LANGO YAKE YA NEEMA KWA MATAIFA MENGINE. BWANA ATATAWALA TAIFA HILI KWA MKONO WAKE MWENYEWE KUPITIA MTUMISHI WAKE (sio lazima awe Gwajima). Tunakoelekea huko mtawala wa juu kabisa wa nchi ATAKUWA MTUMISHI KAMILI WA KIMADHABAHU WA MUNGU ILI BWANA ALITIMIZE KUSUDI LAKE TANZANIA, AFRICA NA DUNIA NZIMA By PASTOR Kamage RF
@arnoldethan8699
@arnoldethan8699 Жыл бұрын
Acha kuhukumu watumishi wa Mungu napia uache kumsaidia Bwana Yesu kazi yeye anawajua watumishi wake na ndiye uwatubisha watumishi wake wakikosa, pia kumbuka kuna neno la Mungu ambalo ndilo msingi mkuu wa toba, Gwajima anajua Biblia na anajua hapa amekosa au hajakosea ili atubu, wewe husijitie katika njozi zako mwenyewe na kusikiliza mafundisho ya fikra zako mwenyewe, kuna vitu vingi vya wewe kujiangalia kwa sababu bado unaishi duniani acha kujipotezea muda wa kuomba na kushinda mitandaoni nakuwakosoa waliokwisha kukubaliwa na Bwana.
@chrispinachristopher72
@chrispinachristopher72 Жыл бұрын
Hongera dada kwa ujasiri wa roho mtakatifu ulionao,manabii wachache nyakati za sasa wanaosema ukweli .
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
Mie nilisema kipindi anagombea ubunge lkn nilisakamwa na waumini na washabiki wake. Japo Hadi leo nimesimamia hilo. Mtumishi huyo alijichanganya huko. Hakuna urafiki kati ya nuru na giza. Ushindi wake ulikamatwa na zaidi ya kura 100,000 lakini jamaa alikubali kuapishwa kwa uongo. Magufuli alipeleka wengi uongozini kwa matokeo ya uongo,lakini watu wanamuona kama mtu mwema. Enyi mlioingia katika uongozi kwa matokeo ya uongo jihuzuruni nafasi zenu na pesa mlizolipwa rudisheni zote kisha mtubu na hivyo mtasamehewa. Lkn kwakuwa mna shingo ngumu komaeni hatimae mtavunjika shingo zenu
@bonifacemwansasu6638
@bonifacemwansasu6638 Жыл бұрын
Kwa ufahamu wangu,huwezi kimtumikia Mungu ipasavyo ukiwa mwanasiasa
@Godianoisso
@Godianoisso Жыл бұрын
Tujadili kidogo... MUSA ALIPOOA MWANAMKE MKUSHI, ilikua kosa au haikua kosa? Kama ilikua kosa kwa nini Mungu aliendelea kumtumia? Oya Mungu sio babu yako ana njia ambazo binadam hatuwez elewa 2)Yule mwanamke kahaba aliyewaficha akina kalebu na joshua na wengine alimdanganya mfalme pindi alipokuja kuwaulizia ili awaulie mbali, je! Mbona Mungu hakukataa kuwaingiza wana israel kanan kwa sababu watu wake wameokolewa kwa mtu kusema uongo??? Wana israel ilitakiwa wakatae taarifa za joshua na kaleb kwa sababu ilitakiwa wafie kule kanan mapema kabla hawajaleta ujumbe!! Mungu ilibidi amkatae joshua kua kiongozi basi mana anaishi kwa sababu kuna mtu alimwokoa uhai wake kwa kusema uongo!!! Oya Muelewe Mungu tafuta kumjua Mungu na usimkosoe aliye katika njia yake!!! Kama ni mwelewa jitubie utulie!!
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
@@Godianoisso tujadili nini? Mbona mifano yako haipo kwenye mada? Ni kwamba huwezi kuwa mke wa waume wawili na huwezi kumtumikia Mungu na siasa
@JustineNelson-y6t
@JustineNelson-y6t Жыл бұрын
Tatizo la sisi wanadamu tukiletewa maonyo sisi wanadamu uwaga tunamwangalia alie leta bila yakujuwa mungu uwa anatumia kilicho kinyonge ili kikiaibisha chenye ngucu tusimpime mungu na maonyo yake Kwa kuwaangalia walio uleta eemungu katikati ya gazabu baba kumbuka Reema
@NyakapemaMteule
@NyakapemaMteule Жыл бұрын
Sawa lakini Zaid ya yote tumuombee baba yangu gwajima.
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Asnt mtumish wa MUngu naamin ujumbe wa mungu unatoa pengine ht mi Mungu anaweza akakutuma je wa maonyo ya mtu l huwez kumfikishia kw kumpigia cm mwenyew? Hz mitandao waongo pia wpo hawez kuamin mfikishie kwke ageuke
@generosakinemo5490
@generosakinemo5490 Жыл бұрын
Nimwombe Mtumishi wa Mungu, Gwajima amrudie Mungu hata mm nilimwamini kwa kipindi cha corona. Lakini kwenye suala la bandari sijamsikia.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
hana la kusema sababu anazijua mwenyewe. pengine mi kusain mkataba mbovu roho inamsuta
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
Kwani Yeye Ni Rais ,Napia mtambue Kazi ya Roho Mtaka tifu Napia KunaWakati MUNGU anaruhusu kitu Kwa Maana Anasababuu ,kwaninmmeusikia unabii Alio utangaza Ngwajima Kuwa kunakipindi nitakuja kilamttu atatoka Machozi na Kumkumbuka MUNGU.soo tobaa Na Kuombeana Na Kujiombea
@damasjoachim4451
@damasjoachim4451 Жыл бұрын
Kwanini Mungu aseme na wewe tu?dada umechanganyikiwa, Gwajima yuko sahihi kabisa, Mungu kamtuma kule CCM,hata wanasiasa wanaapishwa kwa kushika Biblia, dada unamatatizo ya maono tafakari kabla ya kusema
@damasjoachim4451
@damasjoachim4451 Жыл бұрын
Wewe muulize huyo mungu wako usikubali maagizo yoyote kwa Mtu wa Mungu Josephati Gwajima, muulize vizuri mungu wako, mataifa gani? Si unaongozwa n'a na kupangiwa maisha n'a hao mataifa? Wanakupangia bei za umeme,maji nk, dada umechanganyikiwa sana
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
@@damasjoachim4451 ndio Hapoo kikubwa Nikuzidi Kuombeana nasii kutupiana lawama
@mahershalalhashbazi2189
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Pastor Angel maneno haya ni AMINA NA KWELI.. Mwenye sikio na asikie,na mwenye ufahamu aelewe kuwa ROHO WA MUNGU anena wazi na kanisa lake.
@yerusalemutv81
@yerusalemutv81 Жыл бұрын
Amen
@BishopMabumba
@BishopMabumba Жыл бұрын
Huwezi kuitenganisha siasa na kazi ya Mungu. Ili kuwe na haki ni lazima watu wa Mungu waingie kwenye siasa. Musa aliwaongoza Israeli kisisa, kiroho na kijamii. Siasa siyo dhambi. Gwajima hana dhambi yoyote kuingia siasa.
@pastorwilsonchiusa2910
@pastorwilsonchiusa2910 Жыл бұрын
Amina mjakazi wa BWANA
@damasjoachim4451
@damasjoachim4451 Жыл бұрын
roho iliyoko juu ya mama ni kuwachanganya watu wasiotafakari, kama ni ujumbe asingetangaza kwa umma,sisi haituhusu anataka thawabu yetu,Huo ujumbe angepewa na namba yake aongee naye wawili tu, hapo anatuchonganyisha na Mtu wa Mungu Gwajima, muhubiri Kristo Yesu sio Gwajima maana yeye sio Mwokozi
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeen hakika
@tarimfrank1734
@tarimfrank1734 Жыл бұрын
Ujumbe wa mtu hupewa mhusika . Ujumbe hautangazwi kwenye mitandao.
@wendomlahagwaolema6063
@wendomlahagwaolema6063 Жыл бұрын
Sasa kama walimkatalia kumpa ujumbe binafsi in private afanyeje?
@GraceShayo-mj3oc
@GraceShayo-mj3oc Жыл бұрын
Huu unabii unamhusu gwajima wengine tunyamaze pengine gwajima atasikia na atatubu, sisi wengine tunyamaze, juna mtumishi wa Mungu alikua mbunge na alifariki kipindi cha corona maziko yake hawakushiriki hata kiongozi alizikwa watu wakiwa wameziba pua pamoja na ukubwa wake ,Tumuogope Mungu
@evelynekomba7216
@evelynekomba7216 Жыл бұрын
Bwana atuhurumie
@SnhZjhz
@SnhZjhz Жыл бұрын
Na kweli kabisa hata mm nimeshamjua
@geraldremmy2472
@geraldremmy2472 Жыл бұрын
Jamani kwan gwajima yupo mbali natz..andika hata barua mpe..sio kwenye media kweli Mungu anaweza kumtuma mtu kwenye media tumuogope Mungu
@faridakigava4904
@faridakigava4904 Жыл бұрын
Eee Mungu Niko hapa Baba nisamehe dhambi na makosa nisamehe
@indalesiohenery6124
@indalesiohenery6124 Жыл бұрын
Mbona bugeni amefanya kazi kubwa
@jannefidelis1364
@jannefidelis1364 Жыл бұрын
Usisemee mitandaoni nenda kanisani Ngwajima ni mpole na mnyenyekevu sana kamwambie live Ili uhojiane nae
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Si kakwambia wanamzuia,? Hii ni njia pia ya kufikisha ujumbe pia?
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Vipi siku hizi hamfufui watu?
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 5 ай бұрын
Naomba nitafuteni niwape sababu ya uyo mke wa shubi niwambie kisa ni nini
@samjosh12
@samjosh12 Жыл бұрын
Nabii Esther, naye alimuonya Mch Gwajima pamoja na Mch Kakobe.
@joycehaule9717
@joycehaule9717 3 ай бұрын
Nina mpenda Gwajima na ninasikiliza neno lake kila siku KZbin nimefunguliwa sana ....sijui juu ya hili mm nnachojua Gwajima ni MTUMISHI wa MUNGU aliye HAI ,
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
What went wrong there at Nyumba ya ufufuo?
@HelinawaSaidi
@HelinawaSaidi Жыл бұрын
Hata Mimi nasadiki juu yahuyu dada hata Mimi Nina ujumbe wake
@tumainiezekia5873
@tumainiezekia5873 Жыл бұрын
Hakika mim naona nineema kwa gwajima wachache wanao kumbukwa namungu wangap wanafanya maovu namungu amekaa kimya mungu mkumbuke mtumishi wako ktk ufalme
@lindakapongo8421
@lindakapongo8421 Жыл бұрын
no mtumishi a mungu gwajima yeye ni mtimishi wa mungu tuuu MUNGU ANAMPENDA ARUDIIII
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
kweli Atubu arudi kundini
@SnhZjhz
@SnhZjhz Жыл бұрын
Gwajima ameshajichanganya kweli msikatae mm wakati natafuta mahali pa kuabudu wakati nipo dar nikataka niende ufufuo na uzima Kwa mchungaji Gwajima Bwana alinikataza kabisa Gwajima alishagajichanganya tokea alipoingia kwenye siasa na hata mm nimekua nikiota vibaya kuhusu Gwajima ila na arudi Bwana bado anampenda
@juliuskyabona5373
@juliuskyabona5373 Жыл бұрын
Manabii wa siku hizi Hahaha.. si umfate umwambie
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Жыл бұрын
*UNACHOONGEA NI KWELI TUPU* vipofu tuu ndio hawakuelewi
@mariamsindano1953
@mariamsindano1953 Жыл бұрын
Hakuna ukweli wowote
@naishiyelukumay8553
@naishiyelukumay8553 Жыл бұрын
Yeyote asemaye hana ekima yeye ndio hajuwi chochote kuhusu Mungu hii massage imenyooka
@alexdominic9201
@alexdominic9201 Жыл бұрын
Ezekieli 3 20 Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. 21 Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako.
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 Жыл бұрын
Na Mungu humrudi Ampendaye. Kama Mungu hakuonyi basi mtu anakuwa ameshafutwa usoni kwa Bwana. Manabii wa kweli husema kweli kama ilivyo. Hakuna hekima ya kibinadamu itapenya kwa nabii wa kweli. Hivi unadhani kama si kumtumiikia Mungu kuna mtu anataka kuchukiwa? Hakuna Nabii wa kweli alipendwa!!!!!😮
@kingdomgospel838
@kingdomgospel838 Жыл бұрын
Wewe bado ni mchanga sana kiutumishi na hata kiufahamu wa kiroho. NAMAANISHA HUWEZI KUSOMA NYAKATI ZA ROHONI. Kwa miaka mingi Askofu Gwajima amekuwa akiimba neno hili "NAIONA TANZANIA MPYA INAKUJA" na kwa nguvu amekuwa akiiombea na wakati mwingine anajiita "MR. TANZANIA" hata sisi tusio wana UFUFUO tunajua kinachoendelea rohoni lakini bahati mbaya yako wewe unaangalia alama za kimwili. KWASABABU HIYO UNAMWONA GWAJIMA MWANA CCM (mwanasiasa), UNAONA MENGI SANA KUTOKA KATIKA FIKRA ZAKO LAKINI SI KATIKA UHALISIA WA NJIA ALIYOPO GWAJIMA. Kutokana na muundo wa KATIBA ya nchi yetu uliopo sasa ni kwamba HUWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA KIUTAWALA BILA MWAMVULI WA CHAMA. Gwajima ameamua kuja kuiongoza Tanzania na ni lazima apitie mchakato wa kujiunga na chama chochote cha siasa NA AMECHAGUA CCM NA SIO DHAMBI CCM CHA MUHIMU HAPO NDIPO ALIONA ATAFIKIA MAONO YAKE KIRAHISI. Kuwa mwana CCM sio dhambi kama ambavyo kuwa chama cha upinzani sio kuwa njia ya kweli. KINACHO' MATTER HAPA NI MTU NA MAKUSUDI ULIYOYABEBA AMBAYO SIO LAZIMA UYATANGAZE MAPEMA...., Ukifanya hivyo haufiki popote. NAOMBEA GWAJIMA AENDELEE KUNYAMAZA HIVYO HIVYO ASIFUNGUE KINYWA CHAKE KWA KUWAJIBU 'WAJINGA' KAMA WEWE HALAFU AKAMWAGA UNGA HADHARANI. Kila mtu ameongelea swala la BANDARI ila kwasababu Gwajima hajaliongelea ndio mnaona yuko kinyume.????? Mbona yeye alipopinga chanjo wote walinyamaza na hamkuwalaumu walionyamaza.???? TATIZO LA WALOKOLE WAVIVU KUFIKIRI NA ASILIMIA KUBWA YA WALOKOLE WANASUMBULIWA NA VIFUNGO VYA AKILI NA KUFIKIRI. Nasema ninachojua kwasababu mimi ni Mchungaji na ninafanya sana huduma za ufungulivu (DELIVERANCE). ILE TU GWAJIMA KUSIMAMA MSTARI WA MBELE MARA KADHAA....., Tayari Walokole wameshajiseti kuakili kwamba Gwajima ni baba yao ambaye anawajibu wa kuwapa direction ya kila kinachotokea au kuendelea nchini. GWAJIMA BADO ANASAFARI NDEFU SANA KWA HII NCHI AMBAYO BWANA AMEIFANYA AKIBA NA MOJA YA LANGO YAKE YA NEEMA KWA MATAIFA MENGINE. BWANA ATATAWALA TAIFA HILI KWA MKONO WAKE MWENYEWE KUPITIA MTUMISHI WAKE (sio lazima awe Gwajima). Tunakoelekea huko mtawala wa juu kabisa wa nchi ATAKUWA MTUMISHI KAMILI WA KIMADHABAHU WA MUNGU ILI BWANA ALITIMIZE KUSUDI LAKE TANZANIA, AFRICA NA DUNIA NZIMA By PASTOR Kamage RF
@petermaziku5554
@petermaziku5554 Жыл бұрын
Hapana mtumishi ,,Mungu huwa anazungumza kwa mafumbo sana ,,koo soma habari za Yesu jinsi alivyokuwa anazungumza na wanafunzi kwa mifano
@kingdomgospel838
@kingdomgospel838 Жыл бұрын
Wewe bado ni mchanga sana kiutumishi na hata kiufahamu wa kiroho. NAMAANISHA HUWEZI KUSOMA NYAKATI ZA ROHONI. Kwa miaka mingi Askofu Gwajima amekuwa akiimba neno hili "NAIONA TANZANIA MPYA INAKUJA" na kwa nguvu amekuwa akiiombea na wakati mwingine anajiita "MR. TANZANIA" hata sisi tusio wana UFUFUO tunajua kinachoendelea rohoni lakini bahati mbaya yako wewe unaangalia alama za kimwili. KWASABABU HIYO UNAMWONA GWAJIMA MWANA CCM (mwanasiasa), UNAONA MENGI SANA KUTOKA KATIKA FIKRA ZAKO LAKINI SI KATIKA UHALISIA WA NJIA ALIYOPO GWAJIMA. Kutokana na muundo wa KATIBA ya nchi yetu uliopo sasa ni kwamba HUWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA KIUTAWALA BILA MWAMVULI WA CHAMA. Gwajima ameamua kuja kuiongoza Tanzania na ni lazima apitie mchakato wa kujiunga na chama chochote cha siasa NA AMECHAGUA CCM NA SIO DHAMBI CCM CHA MUHIMU HAPO NDIPO ALIONA ATAFIKIA MAONO YAKE KIRAHISI. Kuwa mwana CCM sio dhambi kama ambavyo kuwa chama cha upinzani sio kuwa njia ya kweli. KINACHO' MATTER HAPA NI MTU NA MAKUSUDI ULIYOYABEBA AMBAYO SIO LAZIMA UYATANGAZE MAPEMA...., Ukifanya hivyo haufiki popote. NAOMBEA GWAJIMA AENDELEE KUNYAMAZA HIVYO HIVYO ASIFUNGUE KINYWA CHAKE KWA KUWAJIBU 'WAJINGA' KAMA WEWE HALAFU AKAMWAGA UNGA HADHARANI. Kila mtu ameongelea swala la BANDARI ila kwasababu Gwajima hajaliongelea ndio mnaona yuko kinyume.????? Mbona yeye alipopinga chanjo wote walinyamaza na hamkuwalaumu walionyamaza.???? TATIZO LA WALOKOLE WAVIVU KUFIKIRI NA ASILIMIA KUBWA YA WALOKOLE WANASUMBULIWA NA VIFUNGO VYA AKILI NA KUFIKIRI. Nasema ninachojua kwasababu mimi ni Mchungaji na ninafanya sana huduma za ufungulivu (DELIVERANCE). ILE TU GWAJIMA KUSIMAMA MSTARI WA MBELE MARA KADHAA....., Tayari Walokole wameshajiseti kuakili kwamba Gwajima ni baba yao ambaye anawajibu wa kuwapa direction ya kila kinachotokea au kuendelea nchini. GWAJIMA BADO ANASAFARI NDEFU SANA KWA HII NCHI AMBAYO BWANA AMEIFANYA AKIBA NA MOJA YA LANGO YAKE YA NEEMA KWA MATAIFA MENGINE. BWANA ATATAWALA TAIFA HILI KWA MKONO WAKE MWENYEWE KUPITIA MTUMISHI WAKE (sio lazima awe Gwajima). Tunakoelekea huko mtawala wa juu kabisa wa nchi ATAKUWA MTUMISHI KAMILI WA KIMADHABAHU WA MUNGU ILI BWANA ALITIMIZE KUSUDI LAKE TANZANIA, AFRICA NA DUNIA NZIMA By PASTOR Kamage RF
@alexdominic9201
@alexdominic9201 Жыл бұрын
Ezekieli 3 20 Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. 21 Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako.
@peterkyagila41
@peterkyagila41 Жыл бұрын
Jamani tukumbuke unabii upo,tusipinge ila nikumuuliza MUNGU juu ya unabihuu,,nikwawale wakristo walionamahusiano na MUNGU yaani wale rafikizake ndio atawapa majibu,,sio wakristo jina au washabiki wa wakrisito ,tusiweke ushabiki ,,bali tumuulize mungu ,, Gwajima nae nibinadam anaweza kukosea ,je nani amuonye? Mbona yeye anatuonya?
@Hefsiba-gs4zk
@Hefsiba-gs4zk Жыл бұрын
Ee Mungu naomba rehema Yako juu ya mtumishi wako
@tonytyson1019
@tonytyson1019 Жыл бұрын
😢bishop gwaj boy achague ni nan atakae mtumikia hivi leo ni ccm au Jesus Christ
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Gwajima alikuw msema kweli hd serikali ilikuw inamchukia leo ameungana na waongo na wez wa ccm ameacha haki kweli arud ktk njia ya awali
@lilianalex6671
@lilianalex6671 Жыл бұрын
Yaani kama unabii ni WA gwajima kwanini utangazie uma? Hapo dada yangu umekosa hekima pamoja na marifa. Hata Mimi ukinidalilisha mbele za watu sitakusikia. Tumia hekima. Na hakuna Aliye mkamilifu
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior Жыл бұрын
True!ujumbe wa Taifa weka hadharani.Ujumbe wa muhusika mfikishie package yake.
@8pistons194
@8pistons194 Жыл бұрын
Fikiri kabla hujamjibu jiulize kwann zaman manabii walipokua wanapewa unabii juu ya mfalme walikua wanatangaza? Lazima yasemwe kwa kila mtu ili yatakapotukia utukufu urudi kwa Mungu na watu wamuogope Mungu
@chritophermatiku2721
@chritophermatiku2721 Жыл бұрын
Kwa sababu ya kiburi??? Mbona hizi nabii tokea zamani zilikuwa hivi.
@danielmatemu9698
@danielmatemu9698 Жыл бұрын
Nimemskiliza vzr alisema wanamkataza akiwa anataka awape ujumbe private ndio maana ameutoa kwenye mtandao ili mhusika asikie
@Ilindi-CornerstoneChurch
@Ilindi-CornerstoneChurch Жыл бұрын
Ameenda mpaka kwa Gwajima lakini hakupewa nafasi ya kuonana naye!!
@nb4tv611
@nb4tv611 Жыл бұрын
Ungeomba Namba yake tukupe umwambie yeye mwenyewe, nafikiri una tafuta umaarufu ambao tayari unao. Ila nikwambie tu hapo umejichanganya kaa vizuri na Mungu wako muulize tena ni wewe uliyemwita unaye ongea nami? Kuna wakati kipindi cha Mfalme Sauli kuna Roho alienda kuwa kinywa cha uongo kwa manabii wake. Bora ungemwambia Mungu aseme naye maana naona ni roho yako inasema.
@Nashondaniel
@Nashondaniel Жыл бұрын
Hata uongozi wa serikali Alipewa na Mungu. Nataman. Kama ni Mungu aongee nae moja kwa moja, kama Mungu alivyoongea na Babaangu
@JustineNelson-y6t
@JustineNelson-y6t Жыл бұрын
Uongozi upi ubunge
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu siki zote. Mungu anaongea naye lakini anajifanya kama hasikii na anamwambia Mungu msamaha wa mdomini. Huwezi kuwa katikati ya kundi la CCM ukaweza kumfurahisha Mungu. CCM watawala wengi wao wanafanya maovu mengi. Mfano mzuri ni ule wizi wa kura na akaona ni sawa kwa kuongozwa Magufuli ambaye ni mwanadamu ukamwacha kumsikiliza Mungu ukaona ni kheri kumfuata Binadamu. Wakristo wote walioshiriki katika uovu wa Mwendazake wabaitaji toba ya wazi kabisa na Mungu atawasamehe kwani ni mwaminifu sana. Tuliona uovu unatendeka wazi wazi huko nyuma walisema walikuwa wanaiba kura tulikuwa hatujui. Lakini uchaguzi wa 2020 nadhani walioingia kwa kuchaguliwa na watu ni yule mbunge mwanamke kutoka CHADEMA. WENGINE WOTE WALIINGIZWA KWA UBABE TU MUNGU ALIONA.
@joppagraphix2868
@joppagraphix2868 Жыл бұрын
Umekosa namba ya Gwajima ?😅😅
@MMASAANDBERNADETTEBAHELANYACHA
@MMASAANDBERNADETTEBAHELANYACHA Жыл бұрын
Wati Mungu ana zungumza Maranyingi hakubaliwi na watu kwasababu hawa mwamini yeye mama Mungu akubariki sana na azidi kuutumia ili walio potea wengi wameudie
@yerusalemutv81
@yerusalemutv81 Жыл бұрын
Amina
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 Жыл бұрын
Hezekia Alikuwa mfalme lakini alipewa maonyo na Isaya NABII, plz kwenye toba hakuna mizani
@glory3772
@glory3772 Жыл бұрын
Kwenye toba inamhusu kila mtu hata daudi alitubu sisi ni akina nani shukuru Mungu akisema na sisi ili tupone unyenyekevu husababisha neema
@dastanmp
@dastanmp Жыл бұрын
Huyu hayuko seriaz na unabii wake akwende huko bn, kutokusema kuhusu bandari asimhukum. Kuna wakat wa kuongea na kuna wakat wa kunyamaza.
@janekapinga6793
@janekapinga6793 Жыл бұрын
Ni kiri mbele ya Mung u'Gwajima ni Mtumishi wa Kiwangu mkubwa mno mno,Kwanza anajua kufundisha neno la Mungu kwa Kiwango cha juu sana.Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni.
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
Fact
@ApostleEmmanuelLyimo
@ApostleEmmanuelLyimo Жыл бұрын
Mungu haangalii cheo WALA ukubwa wa mtu biblia unasema Roho itendayo dhambi ndio itakayokufa na Mungu huukumu kwaa haki
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Kujua kufundisha neno la MUNGU Siyo kinga ya kutenda dhambi😂
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
@@ApostleEmmanuelLyimo Sawa ,Ila gwajima Siyo yeye Alie Muwekea Samia madarakani tusinyooshee kidole wala kumsemea Chochote kibaya
@joycehaule9717
@joycehaule9717 3 ай бұрын
Mimi mwanzo nilikua simwelewi Gwajima siku moja nikasema acha nisikilize mahubiri yake KZbin aisee nilifunguliwa mnoooo yn nimekua na nguvu ya KIROHO because of MAHUBURI ya Gwajima , Mimi sielewi mengine nnachojua Gwajima ni MTUMISHI WA MUNGU aliye hai
@norahabuyeka9617
@norahabuyeka9617 Жыл бұрын
Kuna wakati nabii Nathan alitumwa Kwa Daudi,Mungu hutumana kwa wale anao wapenda asipotee,
@joycegeorge-mf5kn
@joycegeorge-mf5kn Жыл бұрын
Inawezekana ni kweli Mungu amekutuma lakin kwani usimtafuta ukazungumza naye kuliko huku kwenye midia Mungu ni Mungu wa hekima
@petromzanje2937
@petromzanje2937 Жыл бұрын
Ni kweli ni bora angemtafuta
@johnpaulin4511
@johnpaulin4511 Жыл бұрын
Mbona nabii Daniel alikuwa waziri kipindi chake kwenye ufalme wa babeli ,dini zingine kiongozi wa dini anaweza kuwa waziri kwanini wakristo hatutambui kwamba Mungu anaweza kumweka mtu wake popote Dada uwe makini na wapakwa mafuta ,Gwajima siyo level yako ,wewe ni mchanga sana kiroho Geagima aliookoa nchi na chanjo ya korona ,aliookoa nchi na mahakama ya kadhi Mungu akupe macho naona bado wewe ni kipofu
@yerusalemutv81
@yerusalemutv81 Жыл бұрын
Soma kifungu hiki cha Sheria kinachosema atawafunulia watoto wachanga na kuwaficha wenye.hekima.na akili mathayo 11:25
@KokoloLambinguni
@KokoloLambinguni 5 ай бұрын
Usiwaguse masii wa Bwana
@joppagraphix2868
@joppagraphix2868 Жыл бұрын
Ndio kama ujumbe ni wa gwajima na mawasiliano ya gwajima yapo na gwajima yupo sisi twafaa nn kusikia?
@AgathaKayombo-qq2xm
@AgathaKayombo-qq2xm 9 ай бұрын
Hivi ninyi mnaopewa ujumbe na Mungu juu ya mtu ni kweli Mungu anawaongoza kuwaaibisha au Mungu anawataka muwafuate na kuwaeleza kwa hekima juu ya kugeukia Mungu ila munapeleka kwenye mitandao kwa nini msiwapigia au kutuma msg? Hivi hekima iko wapi?
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Mbona mimi niliambiwa nanikanyekekea tu ....
@Hefsiba-gs4zk
@Hefsiba-gs4zk Жыл бұрын
Mungu huwarudi watumishi wake
@newgeneration9524
@newgeneration9524 Жыл бұрын
Sasa kama ujumbe ni wa Gwajima, kwanini usiende kumwambia Gwajima mwenyewe?
@rachelmacha3725
@rachelmacha3725 Жыл бұрын
Hekima ya Mungu ni kumtafuta na kwambia mkiwa wawili kuweka kwenye media hiyo siyo sahihi kabisa kibibilia, kuja huku bado hatuna na uhakikia kama huyo ni Mungu amekutuma na tuna mashaka na wewe nyakati hizi ni za mwisho
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Protocol zao ni ngumu yaani kuwapata ni ngumu ukifika pale unapigwa calendar mpaka unatamani kulia
@EzekielWaree
@EzekielWaree Жыл бұрын
Ni swali kwako mama je! Roho mtkatifu huwa anaaibisha?je Roho mtaktifu anataja watu majina?nashauri kama umeona kosa kwa mtumishi wa Mungu josephat Gwajima ungepaswa kumfuata nyumbni kwake au kanisani kwako.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Mtumishi unasema ujumbe kwa mtumishi wa Mungu. Watumishi wanapata ujumbe wakipewa kuna tatizo gani? Huu ni ujumbe wa Mtumishi Gwajima kwa nini watu tunaingilia kati kwahiyo ninyi mnataka kuingilia kati kumjibu Mungu badala ya yeye Mtumishi Gwajima kujibu? Jamani tuwache Mungu anene na mtumishi wake. Yeye atajibu.
@damasjoachim4451
@damasjoachim4451 Жыл бұрын
Hapana huo ni uchonganishi ni kumshusha hadhi Mtumishi wa Mungu Gwajima, atuhubirie Kristo Yesu wa Nazareti sio Gwajima,hiyo ni roho ya kupondana. Mbona viongozi hao wa siasa wanaapishwa n'a Biblia mkonono? Tunahitaji Raisi au Mbunge, Mkuu wa mkoa nk aitwe Mchungaji Mkuu wa Mkoa fulani, watu wa Mungu wawe Vionhozi, kwa nini tusiongozwa na wanye hofu ya Mungu?
@geraldremmy2472
@geraldremmy2472 Жыл бұрын
Mungu atasema naye gwajima kama alivyosemanaye
@geraldremmy2472
@geraldremmy2472 Жыл бұрын
Hiv media ndio njia nzur ya kufikisha ujumbe kwa babaako?
@MariamSindano-x2h
@MariamSindano-x2h Жыл бұрын
Naomba uniachie Baba yangu
@wendomlahagwaolema6063
@wendomlahagwaolema6063 Жыл бұрын
Utakatiliwa mbali wewe na baba yako. Kuweni serious acheni kiburi
@meryevance6744
@meryevance6744 10 ай бұрын
Huyu mke wa shubi alishakuwa kichaa walikuja wamejivalisha magunia mama mkwe wake alikuwa ni Askofu wa jimbo la Bukoba wakakimbia huduma wakawa vichaa huyu kalelewa ufufuo mampk anajua kuhubili sasa niujinga alikuja na mapepo akaombewa na akapona akapewa mume leo anakuwaje na hiyo mguvu walikuja namagunia wamevaa yy na mumewe wakakosa cha kusema wakaaza kulopoka
@meryevance6744
@meryevance6744 10 ай бұрын
Askofu Gwajima alifunga nakuomba akakufungua ulikuwa kichaaa/ msukule leo umeishakuwa nabii wadanganye wajinga wengine sisi tunajielewa dini na siasa zinautofauti gani hacha ukosefu wa fikira
@elisharichard4558
@elisharichard4558 Жыл бұрын
Inawezekana kweli ama sio kweli ila ufikishaji wa ujumbe huo hatar sidhani kama uko sawa Mungu atusaidie sana.njia zipo nyingi sana za kufikishia ujumbe binafsi kwann hujafanya hivyo?
@alexdominic9201
@alexdominic9201 Жыл бұрын
Ezekieli 3 20 Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. 21 Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Kwanini hujamwendea wewe mwenyewe,hakuna hekima kwako. Mungu amempeleka Gwajima bungeni Kwa kusudi lake,najisikia vibaya Kwa namna ya kumsema vibaya mtumishi wa Mungu.
@mrdigtal6579
@mrdigtal6579 Жыл бұрын
Wewe ni mtoto mdogo kwa baba nyamaza, kwani mungu aliacha kumwongelesha baba gwajima mpaka umdhalilishe mbele za watu
@pastor_mashimo
@pastor_mashimo Жыл бұрын
Unabii hauna mtoto mdogo wala kubwa
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 Жыл бұрын
Hakika Mungu hadhihakiwi kila mtu akae kimya, km dada huyu ametumwa na Mungu au la maana ni rahisi kukosea ktk kujaribu kutetea mambo msiioyajua, hebu tuombe rehema tuu, tunyamaze tusishindane tusije kutenda dhambi zaidi jamani.pls
@rerisamba
@rerisamba Жыл бұрын
Hapo sasa tukimie kabisa
@joppagraphix2868
@joppagraphix2868 Жыл бұрын
Ndio kama ujumbe ni wa gwajima na mawasiliano ya gwajima yapo ns gwajima yupo sisi twa faann kusikia
@rerisamba
@rerisamba Жыл бұрын
@@joppagraphix2868 🤣🤣🤣kwa ufupi ana muogopa
@meryevance6744
@meryevance6744 10 ай бұрын
Hatumwe na nani muuhumini anaweza kujua zaidi ya Askofu wamekimbia kanisa wanajifanya mabii
@meryevance6744
@meryevance6744 10 ай бұрын
Huyu anatafuta kiki alishachanganyikiwa
@editapaulo
@editapaulo Жыл бұрын
Dada naludia Tena umekosa hekima na inaonekana wewe bado ni mchanga kiroho taarifa ya mtu uliyopewa na Mungu kumfikishia huyo huwa hawaendi kutangazia Umma unamfata direct lakini kama ungekuwa ni ujumbe wa Tanzania nzima bas ungefanya hiv Sasa bado kaa chini na uendelee kujifunza zaidi maana nakuona bado kabisa hujakomaa kiroho na hata huyu Mungu bado hujamjua endelea kujifunza zaidi
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 4 ай бұрын
Kweli lakini manabii zamani walikuwa wanawafata wafalme direct.
@alloycejames5285
@alloycejames5285 Жыл бұрын
Kwa nini usimtafute Gwajima mwenyewe... ujumbe wa Gwajima unaanika mtandaoni kwa nini...?
@joshuamakota6714
@joshuamakota6714 Жыл бұрын
Mbona yehe Gwajima alimpa.kadinari pengo ujumbe wake pale kanisani kwann asingemfuata kwake??
@bishopprofvictorchisanga2009
@bishopprofvictorchisanga2009 Жыл бұрын
Siyo kwamba Nabii Mama Mch Angle Shubi kakosa hekima bali ni Mungu ametaka afikishe UJUMBE huo kwa hekima hiyo hiyo ili na wengine wajifunze kitu. Ukukataa UJUMBE ws BWANA ati kwasababu NABII kaufikisha bils hekima, basi INAKULA kwako; unakwenda JEHANAMA. Namsihi rafiki yangu GWAJIMA ajitafakari bila kujali hekima ya NABII ili apone. Maana ya UZINZI kiroho ni KULIPA BAYA KWA BAYA; kwani tunapaswa kuushinda UBAYS KWA WEMA.
@JonasChungu-h7t
@JonasChungu-h7t Жыл бұрын
Aliemwita Gwajima ni Mungu wala siyo mama Enjo huyo mama alipaswa amwendee mhusika live na kwa ujasiri wewe unaweza kujifunza lakini wengine wanaweza wakahribika nakuona wokovu hauna maana wanaposikia.Kumbuka mnenaji anasema alipata ujumbe unamlenga Mch Gwajima wewe unajifungua nini hujifunzi manabii wa mwanzo walitumia njia alizotumia njia hii.ya mistari mingi ili kutuaminisha tumaini asemacho?.km Mungu alipompa ujumbe Isaya kwaajili ya Hezekia alimwendea Hekaluni kwenye watu wengi na mistari mingi ya Torati?.Wenye huduma hii nzuri tumieni ofisi yenu vizuri ili mlengwa anapoambia atarudi kwa muumba wake kwa toba kama ana moyo wa unyenyekevu njia hii iliyotumika kwa njia ya public you tube siyo sahihi hata kidogo.Narudia kusema mama tafuta nauli nenda aliko Gwajima kamwambie ujumbe huo la sivyo tafuta namba ya Gwajima mwambie ujumbe huo unamhusu yeye na siyo somo la kufundisha mtandaoni watu wa kila aina.
@musa-v3f
@musa-v3f Жыл бұрын
kwani Gwajima bado ni mchungaji au askofu??? ni mchungaji gani ambae kondoo wanapigwa na adui akakaa kimya?? wamasai wanapigwa risasi na kuporwa ardhi yao waliozaliwa umeshawahi kusikia Gwajima akisema kitu??? yuko busy bungeni anakula posho. bandari inauzwa umeshawahi kusikia Gwajima akisema kitu??anaweza kuwa anajiita bado mchg lakini ni mchungaji jina tu
@meryevance6744
@meryevance6744 10 ай бұрын
Huyu michizi alikuwa muhumini wa Askofu Gwajima sasa kajua kuhubiri kupitia Askofu Gwajima leo anajifanya anaujumbe wa Askofu Gwajima
@beniviva5014
@beniviva5014 Жыл бұрын
Umekosa Hekima Dada
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Hekima ipi? Ile ya kurukaruka mbele ya watu wake kwamba Tanzania kuna jambo kubwa linaenda kutokea 😭😭kama ni warning si aweke wazi,🔥🔥uzuri wa MUNGU wetu hatetewi
@shafiimushi1516
@shafiimushi1516 Жыл бұрын
Baba hawezi kumwambia mwanae kitu mpaka amwambie mdogo wake amuonye kaka yake
@christinakamwela9368
@christinakamwela9368 Жыл бұрын
Nimetambua kuwa kumbe anapendwa sana na Mungu.
@kingdomgospel838
@kingdomgospel838 Жыл бұрын
Wewe bado ni mchanga sana kiutumishi na hata kiufahamu wa kiroho. NAMAANISHA HUWEZI KUSOMA NYAKATI ZA ROHONI. Kwa miaka mingi Askofu Gwajima amekuwa akiimba neno hili "NAIONA TANZANIA MPYA INAKUJA" na kwa nguvu amekuwa akiiombea na wakati mwingine anajiita "MR. TANZANIA" hata sisi tusio wana UFUFUO tunajua kinachoendelea rohoni lakini bahati mbaya yako wewe unaangalia alama za kimwili. KWASABABU HIYO UNAMWONA GWAJIMA MWANA CCM (mwanasiasa), UNAONA MENGI SANA KUTOKA KATIKA FIKRA ZAKO LAKINI SI KATIKA UHALISIA WA NJIA ALIYOPO GWAJIMA. Kutokana na muundo wa KATIBA ya nchi yetu uliopo sasa ni kwamba HUWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA KIUTAWALA BILA MWAMVULI WA CHAMA. Gwajima ameamua kuja kuiongoza Tanzania na ni lazima apitie mchakato wa kujiunga na chama chochote cha siasa NA AMECHAGUA CCM NA SIO DHAMBI CCM CHA MUHIMU HAPO NDIPO ALIONA ATAFIKIA MAONO YAKE KIRAHISI. Kuwa mwana CCM sio dhambi kama ambavyo kuwa chama cha upinzani sio kuwa njia ya kweli. KINACHO' MATTER HAPA NI MTU NA MAKUSUDI ULIYOYABEBA AMBAYO SIO LAZIMA UYATANGAZE MAPEMA...., Ukifanya hivyo haufiki popote. NAOMBEA GWAJIMA AENDELEE KUNYAMAZA HIVYO HIVYO ASIFUNGUE KINYWA CHAKE KWA KUWAJIBU 'WAJINGA' KAMA WEWE HALAFU AKAMWAGA UNGA HADHARANI. Kila mtu ameongelea swala la BANDARI ila kwasababu Gwajima hajaliongelea ndio mnaona yuko kinyume.????? Mbona yeye alipopinga chanjo wote walinyamaza na hamkuwalaumu walionyamaza.???? TATIZO LA WALOKOLE WAVIVU KUFIKIRI NA ASILIMIA KUBWA YA WALOKOLE WANASUMBULIWA NA VIFUNGO VYA AKILI NA KUFIKIRI. Nasema ninachojua kwasababu mimi ni Mchungaji na ninafanya sana huduma za ufungulivu (DELIVERANCE). ILE TU GWAJIMA KUSIMAMA MSTARI WA MBELE MARA KADHAA....., Tayari Walokole wameshajiseti kuakili kwamba Gwajima ni baba yao ambaye anawajibu wa kuwapa direction ya kila kinachotokea au kuendelea nchini. GWAJIMA BADO ANASAFARI NDEFU SANA KWA HII NCHI AMBAYO BWANA AMEIFANYA AKIBA NA MOJA YA LANGO YAKE YA NEEMA KWA MATAIFA MENGINE. BWANA ATATAWALA TAIFA HILI KWA MKONO WAKE MWENYEWE KUPITIA MTUMISHI WAKE (sio lazima awe Gwajima). Tunakoelekea huko mtawala wa juu kabisa wa nchi ATAKUWA MTUMISHI KAMILI WA KIMADHABAHU WA MUNGU ILI BWANA ALITIMIZE KUSUDI LAKE TANZANIA, AFRICA NA DUNIA NZIMA By PASTOR Kamage RF
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
naomba kuuliza hivi Askofu gwajima alijichanganya kwenye kusaini mkataba huu wenye utata na Dubai? kama ndiyo basi naanza kuelewa ujumbe huu
@kissabrown4349
@kissabrown4349 11 ай бұрын
Kwa hekima ya mungu ulipaswa kumuombea ata kufunga Kwa ajili yake na cio kumuweka hadharani Ivo naye ni mwanadami cio malaika.
@editapaulo
@editapaulo Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu unaweza ukawa uko sahihi lakini umekosa hekima sababu hukupewa ujumbe wa Umma ulipewa ujumbe wa mtu mmoja ungetafuta namna ya kufikisha ujumbe huo lakini si kwa njia hi na jambo lingine unapofunuliwa jambo lolote linalomhusu Mtumishi wa Mungu yeyote Mungu anamanisha uwaombee na si kuwaanika hadharani Mungu Hana kawaida ya kumdhalilisha Mtumishi wake
@AmisseMwenetombwe
@AmisseMwenetombwe Жыл бұрын
Ujumbe wa mtu, mfuate mwenyewe . Ww ni mtumishi na yy pia mtmishi. Hapo tuu ndo, pametokea shida !!!
@ShalomJustasi-ws6ih
@ShalomJustasi-ws6ih Жыл бұрын
araf hii midudu ndo inalitumia jina la roho mtakatifu kwa ujinga wao
@danielmakelemo2395
@danielmakelemo2395 Жыл бұрын
Ameshaeleza amejaribu mumtafuta haruhusiwi kumuona Wala kuingia kanisani ni changamoto
@pascalselemani8132
@pascalselemani8132 Жыл бұрын
Na mpenda sana josephat gwajima lakini mama niheri umufikiye yeye haya mambo nikama unataka kumuharibiya lakini nyinyi watazania MUNGU aliwabariki sana lakini nyinyi kwa nyinyi nika munaumana nakupingana sio vizuri hivyo munavyo fanya
@JaneChissawilo-dr7nn
@JaneChissawilo-dr7nn Жыл бұрын
Siyo kuumana ni kumpa MTU ms ya Mungu ndiyo has a utumishi wa mwili wa Kristo.
@meryevance6744
@meryevance6744 10 ай бұрын
Mwanaume aliekuhoa bila Ufufuo na Uzima kumtoa mumeo ulaya akaja kuhubiri injili.wakakuhuganisha ukaholewa ulipokuwa unauza vitabu kwenye contena la Ufufuo na Uzima hizo ndio shukrani zenu hv watu munashida gani kwenye vichwa vyenu haya mambo nikwsbb Askofu Gwajima simchoyo wa mafunzo
@meryevance6744
@meryevance6744 10 ай бұрын
Dayeli, alikuwa waziri mkuu, yusuph alikuwa nani wewe nimapepo yamekuingia kichwani
@theophilderfupa9236
@theophilderfupa9236 Жыл бұрын
MTUMISHI, uko sahihi kufikisha UJUMBE, lakini UJUMBE wa mtu Moja, ungemfata KANISANI kwake, mbona panajilikana. Maonyo ya mtu binafsi, ungemtafuta yeye, Sasa saizi umekuwa UJUMBE wa watanzania wote.
@geekilimba8362
@geekilimba8362 Жыл бұрын
Ipo hivi,Gwajima sahv lazima alalie chama kupambania unga wa 2025, Kuhusu mambo ya imani ungemwendea tu physically mchane
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
kwa mtaji huo ameshakosa hiyo 2025 sababu wapga kura ndiyo hawa na wote watakumbuka kitendo hiki
@geraldremmy2472
@geraldremmy2472 Жыл бұрын
Anaogopa kumuendea dah hivi Mungu akutume hasa ujirikodi urushe gwajima yupo ulaya dah
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 Жыл бұрын
Soma habari za Ahabu alivyomjibu nabii wa kweli.
@amedesamki425
@amedesamki425 Жыл бұрын
Kwa usalama wa kila mtu anayesikiliza unabii huu usihukumu bali omba rehema kwa ajili yake
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
kweli Gwajima tunayemfahamu hakuwa mtu wa kusain mkatana huo wa bandari kirahisi rahisi bila kuhoji sawasawa. inaonekana kama amejichanganya kweli. Tunakumbuka alivyopambana na swala la chanjo. inabidi iajitafakari
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 Жыл бұрын
Kajichanganya haswa. Tumuombee toba
@boazmwakifumbwa7728
@boazmwakifumbwa7728 Жыл бұрын
Na kinachoniuma sana huko waliko wanasemwa wanafanya kazi ya Uchawa wa boss na mwenye kihelehele anapewa kibano Kweli bishop wetu ulikuwa wa kufanya kazi ya Uchawa kweli!
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
@@boazmwakifumbwa7728 inasikitisha sana. sijui kapatwa na nini kweli. lazima kuna kitu kimefanyoka. au pengine bahasha imemitia na yeye
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
@@boazmwakifumbwa7728 siyo kibano anapewa bahasha nene
@deogratiusphunga7783
@deogratiusphunga7783 Жыл бұрын
ujumbe uko wazi, Mungu anaongea...
@MarcoNM100
@MarcoNM100 Жыл бұрын
Dada umeolewa? Mim nimekupenda bureee
@studio..07
@studio..07 Жыл бұрын
Hawa watu wamaombi hutawaweza😊😊😊 wewe tafuta wa saizi yako
@mariamsindano1953
@mariamsindano1953 Жыл бұрын
Usiwaseme masihi wangu, wala usiwadhuru nabii zangu nakwambia achana na baba yangu Gwajima
@iantussa9064
@iantussa9064 Жыл бұрын
Hajamsema vibaya hata ambao hatusali kwake tunamuombea mtumishi
@victorbeno
@victorbeno Жыл бұрын
Kwani yeye apaswi kuonywa
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 8 МЛН
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 24 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,8 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 130 МЛН
BAA NILILOLIONA JUU YA MCHUNGAJI KIONGOZI WA UFUFUO NA UZIMA
7:40
yerusalemu tv
Рет қаралды 6 М.
MWL TENGWA AFUKUZA WATU WANAO MTEGEMEZA
13:48
TENGWA TV
Рет қаралды 3,7 М.
MAKONDA NI MIMBA INAYOTOLEWA.
25:13
huduma ya kristo
Рет қаралды 8 М.
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 8 МЛН