kzbin.info/www/bejne/l5LVe5xofbp1rJY subscribe to their channel
@veesampeivee77152 жыл бұрын
Emily hiyo uongo yako ndo inafanya hamuezi upcome
@rosemwai87912 жыл бұрын
Mungu tuondolee shinda Zinafanya tufanye mambo zenye hazifai
@purryrecipes2 жыл бұрын
Teddy's wife anakaa iron lady WA Asimio heroo 🙂
@neomysarah0262 жыл бұрын
Peter uko singooooo🙈🙈🙈🙈🙈you look awesome hadi karibu nibafilishe dini coz of him😂😂😂😂😂😂aki Hawa wanaume wako funny walai
@kasayadolphine37812 жыл бұрын
Naomi hi can we connect
@suzymaish15132 жыл бұрын
Pia hii niuongo uyu ni sister yao wanatupima apa sialikua single
@veesampeivee77152 жыл бұрын
AK wakorinno washenzi saan na uongo mob
@defnot_Charllotte2 жыл бұрын
Mbona huyo mama ya hawa watoto anakaa sister yao
@suzziegibson75742 жыл бұрын
Wow Grace my schoolmate...kioko kashichana ama kadem
@kasayadolphine37812 жыл бұрын
Suzzie hi can we connect
@hildahsmith39272 жыл бұрын
I saw them today kahawa sukari stage Mmmh😎😎
@teamstronggflyf88812 жыл бұрын
Hawa ni waongo sana
@Lotus12A2 жыл бұрын
Hatuwezi waamini tena hawa
@bettiejoy-mtotowamama2 жыл бұрын
Hawa watu ni waongo sana kutoka kwa damu, Si Teddy alisema ni single ako kwa soko 🤔 mke na watoto wametoka mbinguni au?. Kwani kuongea ukweli kuta cost nini 🤔 anywho lyf ni yao.
@maggiesyra46882 жыл бұрын
happy to see them may they focus as well💖💖be real always🤍wishing u merry christmas mapema do best♥♥watching from🥳🇮🇶🇮🇶nipewe likes za mr alot more.. even though the last tym that guy said he is single and searching i now wonder ako na watoi na bibi. anyway lemme focus😊
@kasayadolphine37812 жыл бұрын
Maggie hi can we connect
@thekimathiske2 жыл бұрын
ilikua clout 😁 🙏🙏
@maggiesyra46882 жыл бұрын
@@kasayadolphine3781 yes
@shortkashort18612 жыл бұрын
Uko Iraq wapi
@maggiesyra46882 жыл бұрын
@@shortkashort1861 najaf ni maggie 😂😂
@veesampeivee77152 жыл бұрын
Kioko hawa wakorinno washenzi saan I don't believe what they are saying
@staresther49142 жыл бұрын
Sitarusha mawe but waaaaa.... Sahii pia one of them has a wife n kids. How will we believe any information they give?
@delvokemmyshow57482 жыл бұрын
Finally kamwana is back we miss him💕💕💕💕💕
@Ummu-Nauthar982 жыл бұрын
Kioko aki wewe "unataka kaschana ama kadem"😂😂😂
@njokindungu3132 жыл бұрын
Si mmoja alisema hana bibi ako single kwa interview ya Kikuyu diaspora TV...hawa wanachanganya watu.
@virginiah_george2 жыл бұрын
Was looking for this comment I nolonger believe them
@njokindungu3132 жыл бұрын
@@virginiah_george me too virginiah.
@virginiah_george2 жыл бұрын
@@njokindungu313 nothing about them seams right
@anthonykareithi9802 жыл бұрын
Huyo dame ni mangaaaa sana macho inne anyway hii kanairo hai taki hasira
@chepkoechmercy31412 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@teamstronggflyf88812 жыл бұрын
Ile story ya kwanza ndio ukweli na itajukana tu atawafiche
@miria6592 жыл бұрын
Ee
@vallaryalex2 жыл бұрын
Apology accepted,, Kioko good job for doing the follow up again na tena uko na roho safi saana kwa kuharibiwa brand na bado ukawatafuta bila kukasirika endelea kuwa na hiyo roho ,,,,Lakini udaku imeshika Thika,,wadaku wenzangu mko? ?Kama mko muweke notification bell on tupite na udaku za top layer inakuaga tamu 😂😂😂
@maggiesyra46882 жыл бұрын
hello bestie🥰
@vallaryalex2 жыл бұрын
@@maggiesyra4688 Yes my online bess
@kasayadolphine37812 жыл бұрын
@@vallaryalex hi can we connect
@maggiesyra46882 жыл бұрын
@@vallaryalex 🥰nyc to spot you here again
@vallaryalex2 жыл бұрын
@@kasayadolphine3781 Chukua NUMBER kwa KZbin Bio yangu na uni WhatsApp
@moureenmwenderani64512 жыл бұрын
It's good waliapologize na kujikubali may God see them through
@tonymotokali26562 жыл бұрын
Eti hamuonyeshi watoto kwa camera.Hao tunaona ni kuku ama?
@beller93042 жыл бұрын
Sijaona wakorino kaa hawa
@polynenkirote60072 жыл бұрын
Kioko hujaachana na story za hawa watu hata wewe uko na zako
@ruthnjeri12912 жыл бұрын
Hawa watu uongo iko kwa damu.........Tena leo ako na bb ata bb mwenye ametafutwa anachanganyikiwa anasema 5months mara 5yrs wee ogopa kenya 🙄
@briannyoike57082 жыл бұрын
Uko sure hao ni watoto wake kweli
@brianmbuvi14982 жыл бұрын
Kioko naku suo ngethye😃
@faithmutua24852 жыл бұрын
Kwani wanashidiaga kitu Moja si washaa-apologize
@margaret-Maggie2 жыл бұрын
Leo sijachelewa saana
@bettywaithera99582 жыл бұрын
Pia hii ni uongo
@amanda-wq5gv2 жыл бұрын
Uhondo hautaki uzembe😂❤️
@annndungu72712 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣upate Tena n siz yao
@rachaelwahome68342 жыл бұрын
Kioko hii sio clout tena
@dorothynyambura33222 жыл бұрын
Hawa watu wanakaa wakora tu gurino jugiiii
@serenamutindw20422 жыл бұрын
Good job kioko just work hard na ngai akuathime wa musyi
@faywaweru2 жыл бұрын
Kioko umefunikwa tena😂😂 huyu alisema ako single tena huku ako na wife🙄
@lucymutegi52702 жыл бұрын
Sina maoni.
@paulinanduku27482 жыл бұрын
Finally kamwana is back we missed him♥️♥️
@janewawira55712 жыл бұрын
Mko sure tutawaamini
@miria6592 жыл бұрын
Na kama Bado ni uwongo I don't trust them bt maisha ni yao
@jemmynanah95772 жыл бұрын
Si kwa Jeff kuria uyu alisema Hana mtu ndo anatafuta?ata hii basi utakuja kugundua ni uongo..ata kama ni content wanatafuta wanachezea adi mapastor na mauongo
@quotes66872 жыл бұрын
Wakorino huowa wakiwa wadogo sana
@carolinemunge15632 жыл бұрын
Akorino watatuonyesha Mambo😛
@margaretwanjiku43452 жыл бұрын
Mbona anakaa sister yao
@prisantnjambi75102 жыл бұрын
lakiny si uyu mmoja alisema ako soko
@zippymurugi13 Жыл бұрын
Aii tena bibi si mmoja🤣🤣🤣
@vivianmakaka2102 жыл бұрын
Bado ujakoma mr Alot more
@jairusdaughtershow70772 жыл бұрын
Uzuri wako open Na Mungu hawainue Na subscribers waongezeke in Jesus name
@missb33932 жыл бұрын
Hata wewe kioko you should do proper investigation next time you might get in real trouble.
@COFFEEWITHESS2 жыл бұрын
awa ata siwezi waamini
@mtumishidalmas44022 жыл бұрын
Wah tena hawa jaamaa
@dorothynyambura33222 жыл бұрын
Na ihuyo alsema hana bibi kwa interview ya jeff kuria
@mrlau232 жыл бұрын
Walikuwa wanapima watu
@kasayadolphine37812 жыл бұрын
Congratulations to them
@buritya61252 жыл бұрын
Napenda sana kazi yako kioko
@nataliaauma83832 жыл бұрын
Wakwanza leo
@faithmutua24852 жыл бұрын
Ama pia hii ni clout
@shizzydewizzy25462 жыл бұрын
Mapema do Best
@raliaabdikontoma97832 жыл бұрын
Kumbe hizo ni clouth chase tu wako na wife's na watoto yarabi
@margiemoses69962 жыл бұрын
Aki awa .., you can tell they are still lying
@njerij15112 жыл бұрын
Hakuna story hawa wasee wanaeza sema niamini zote ni drama tu, waache kutusumbua
@judymoh98422 жыл бұрын
Ata haongei ni ka baba ya watoto,,bado n kiki
@ephantohgikz9482 жыл бұрын
Teddy niliacha akiwa single saa hii ako na watoi wawili😀😀 I hope sio kiki
@veronicangugi75432 жыл бұрын
I think ni mpango pia ya kutoa aibu, hii ni uongo kwani wazazi walikuwa kwa hii mpango coz hawakuongea???
@josphatmwangi97862 жыл бұрын
How true again Wanatuficha kwanini Kilo zote U apologized
@BlessedNje2 жыл бұрын
I suspect These kids are hired n maybe even the new wife🤣🤣. First impression last impression. Nevertheless if it's true, congrats kimathis.
@geestargeebee93962 жыл бұрын
Thanks Kioko for holding them accountable. Unfortunately, the whole saga was a turn for me as a Kioko fan.
@Ednahkenyanya-ig2zu3 ай бұрын
Congratulation 🎉🎉
@martinez_andrian48912 жыл бұрын
A big shout-out to Kamwana
@mercylineogeto63852 жыл бұрын
Mi bado nashuku...hawa watu ni waongo tena sana
@lorrainchanda68032 жыл бұрын
Well they took the pregnant one coz she’s pretty l still love the twins
@kasayadolphine37812 жыл бұрын
Hi si tena
@hannahfahat18122 жыл бұрын
Ata hii ni uongo can't believe them
@VYBEWITHBECKY2 жыл бұрын
Na c teddy alisema Hana wife kwa Jeff kura youtube
@shamaglory89342 жыл бұрын
Yeah, hata ile day yenye Peter ali propose teddy alikasirika na akatoka hapo
@ShawnLexon2 жыл бұрын
Good looking 💯
@carenakinyi10502 жыл бұрын
These people broke our heart 🤣 but ❤️
@janetkanongo32652 жыл бұрын
Ama sister ya Hawa twins
@valarykhatoro70422 жыл бұрын
Happy for them
@faithkatuko33532 жыл бұрын
Now this is the true story
@1generationpodcast7522 жыл бұрын
Do you know them
@faithkatuko33532 жыл бұрын
@@1generationpodcast752 yes
@m.kplays10072 жыл бұрын
But I remember you said you have nothing to do with them anymore why interview them again
@trillianbennahbennah53122 жыл бұрын
Awa wasee wana bore ni waongo na ni wakorino bibi yao ni uyo mmoja hii ni ku ficha wite2 peter akivalishana Pete teddy aliumwa sana so ukweli tunaujua ata waki clout
@joycemaina9282 жыл бұрын
This girl was my classmate waah
@judymoh98422 жыл бұрын
Kiki zingine nkt
@annmwangi46942 жыл бұрын
Shida ni baya inafanya hawa watu waongee uongo
@FreshCreater2 жыл бұрын
Tedy wife Ako Soo humble...
@damariskhisa99742 жыл бұрын
Kufanya kosa si kosa kosa ni kurudia
@gladyskabia17062 жыл бұрын
Am yet to like them....weeh
@Mozcazlinerexy2 жыл бұрын
Clout tena Kioko😂😂
@ruthsoniah78872 жыл бұрын
They gain my subscription
@ruthmwangi31992 жыл бұрын
Watching from Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦
@joykim67082 жыл бұрын
na si uyo mmója aliséma àko soko khai🤣🤣🤣
@lucywanjiku81642 жыл бұрын
Hii si ni kiki ingine
@kasayadolphine37812 жыл бұрын
Forgiven
@auntiepiarants22382 жыл бұрын
No words about this bullshit..so they still lied after apology..now he has a wife and 2 kids. Just last week kwa kikuyu diaspora alikuwa soko..what are they upto 🤔🤔🤔🤔🤔😏😏
@euniceauma96122 жыл бұрын
Mumesameewa
@pointblank67692 жыл бұрын
Kioko mbona ulete watu walitaka kukunia kwa unga yako? Don't you learn mwa?