hao wanaotegemea madawa ya kishirikina usiwanasibishe na uislam katika uislam kuna vitu MTU akifanya anakuwa kafiri sio muislam moja wapo kuagua,kutumia madawa ya kishirikina,kufanya uchawi,kuchinja wanyama kwaajili ya majini. Kwahiyo ufahamu hao sio waislam ,waislam wanaofaham hayo watakucheka kwakuwa unahukum bila kujua poleeee
@fredbilindula7006 жыл бұрын
Kweli ili uwe mtumishi lazima upitie yaliyoshindikana kibinadamu mungu akuongoze daima hakika.
@mariamfritsi97615 жыл бұрын
Kweli jamani uchawi upo kweli.26.02.19.
@josephmaganga72805 жыл бұрын
Simulizi zenu zinafundisha sana kama mtu akizielewa
@fadhiliswalehe95545 жыл бұрын
mapadri wengi ni wachawi wamejisindika kwa madawa kutoka nijeria mpaka wanajifunza namna ya kujifanya vilema lengo kuwadanganya watu kwa wamewaponya kumbe ni wazima watu wameshtuka saana hawadanganywi tena.mapadri wengi ni mafreemason wamepewa uchawi na lusifa ndo mana hawaingiliki na wachawi makanisani
@evasaimon67645 жыл бұрын
Fadhili Swalehe. Sio wote wengine wana roho mtakatifu mbona waislam wanafuga majini kwan wote sio waislam wote sio wote kwahyo wewe kaa kmya sikilizia story usiumie kama na ww mwanga
@winifridashoo4104 жыл бұрын
Kashawajaribu sana inatakiwa aelewe kuwa si ufreemason ni nguvu ya Mungu