NINA HAJA NAWE - SALOME DM | Kwaya ya Mt Cecilia | Bomang'ombe - Hai Mjini FT Lawrence Kameja.

  Рет қаралды 241,188

St. Cecilia Choir Hai Mjini

St. Cecilia Choir Hai Mjini

Жыл бұрын

"Nishike Mkono Unitangulie Uniongoze Maana pasipo wewe Sitaweza Unitie nguvu nijaribiwapo nisilegee Maana Pasipo wewe Nitashindwa... NINA HAJA NAWE MFALME MILELE"
Wimbo: Nina Haja Nawe
Mtunzi: Miss Salome Mahembega
Waimbaji: Kwaya ya Mt Cecilia Hai Mjini
Audio: Rajo Production
Video: The iRis Empire
Kinanda: Tumaini Swai
Soloist: Lawrence Kameja
Tafadhali SUBSCRIBE Like And Share. Barikiwa Sana🙏🏼

Пікірлер: 460
@zenobiagenuine537
@zenobiagenuine537 Жыл бұрын
Hakika ukisikiliza unahisi utukufu wa Mungu unashuka,barikiwa Dada Salome,barikiweni Sana waimbaji wote , Mwenyezi Mungu aendeleee kukuza kipaji chenu,mumuimbie Katika Roho na kweli mpaka Mbinguni mkaimbe😍😘🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina. Asante sana Usisahau kusubscribe
@otienoapolo
@otienoapolo 2 ай бұрын
Asante kwa wimbo mzuri. Hakika tuna haja naye Mungu
@DoricaEmanuel-ns7ut
@DoricaEmanuel-ns7ut 10 күн бұрын
Amina sana waimbaji mbalikiwe mno🎉
@reginatemba9752
@reginatemba9752 Жыл бұрын
Mungu awabariki kwa wimbo unaogusa mioyo yetu❤❤❤❤❤
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana endelea kubarikiwa 🙏🏼
@jamesmboyi30
@jamesmboyi30 11 ай бұрын
Mungu ambariki sana mtunzi kwa kutoa tafakari nzuri mno,Pia niwapongeze wanakwaya kwa kuutendea haki wimbo huu umekuwa faraja sana kwangu.Bro Kameja Mungu akubariki mno
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Asante sana barikiwa zaidi
@gracetemba1997
@gracetemba1997 Жыл бұрын
Wimbo unaupako for real.Hauchoshi,hongera salome na kundi lako.Thadei,Bundala naona vema.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼 Usisahau kusubscribe
@user-yw2pn2br4t
@user-yw2pn2br4t Ай бұрын
KAZI nzuri nimependa saana Mungu awazidishie🙏🙏🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 12 күн бұрын
Atukuzwe Mungu 🙏🏼 Usiache kusambaza ujumbe huu mzuri kwa wengine
@saxs1342
@saxs1342 11 ай бұрын
U made me cry😭😭😭😌 for God's worship for real....sichoki kuusikiliza kbx ,Mungu awabariki sana kwa kazi njema🙏🙏🙏
@christinamahembega4115
@christinamahembega4115 Жыл бұрын
Hongera sana Salome na kwaya nzima ya Mt. CECILIA; MWENYEZI MUNGU AZIDI KUWAINUA
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina barikiwa zaidi
@Pilot-d-ge
@Pilot-d-ge 9 ай бұрын
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi mliotuletea yenye kujenga katika maisha yetu, Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za Roho Mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Amina🙏🏼
@GloryNkya-yq8cr
@GloryNkya-yq8cr 19 күн бұрын
Nimebarikiwa na huu wimbo nina haja nawe Mungu awaongoze katika kazi njema utukufu kwa Mungu kuwatumia kama vyombo
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 12 күн бұрын
Atukuzwe Mungu 🙏🏼 Usiache kusambaza ujumbe huu mzuri kwa wengine
@dianakitika
@dianakitika Жыл бұрын
Home Parish😍Hongereni kwa Utume kwa njia ya Uimbaji uliotukuka..Wabarikiwe wote waliofanikisha hii🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana barikiwa mno🙏🏼
@josephambrose2215
@josephambrose2215 10 ай бұрын
Hakika mtunzi Roho Mt. amekuongoza kutungu wimbo wenye ujumbe mzito sana. Kila neno ktk wimbo huu ni sala na fundisho tosha la Kiroho. Kweli kabisa Ninahaja na YESU hasa wakati ambao ulimwengu wetu umekuwa na matukio ya kutisha Kila kukicha. Wakati ambao tumelegea ktk Imani yetu, majivuno mengi, ubinafsi umetawala, uonevu, upendo umetoweka n.k. Kwa utulivu ukiusikiliza wimbo huu wenye uvuvio wa Roho Mtakatifu fukuto la mabadiliko ndani mwako linatokea unakuwa mtu mpya. Hongereni kwaya, mtunzi , organist na waandaaji wa Sauti na Video hii maana ni kazi Bora sana. MUNGU aendelee kuwabariki ili muendelee kutuinjilisha🙏🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Amina barikiwa zaidi... Kwa sala zenu na maombi yenu twaamini twaweza fanya makubwa zaidi🙏🏼
@josephineogaro9749
@josephineogaro9749 8 ай бұрын
I really love this song especially in the morning before starting my day .
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Oh thank you be blessed more 🙏🏼
@antoniabukuku5060
@antoniabukuku5060 Ай бұрын
Nimebarkiwa saaaaassna na wimbo huu Mungu awabiki sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 12 күн бұрын
Amina sana🙏🏼 Usiache kusambaza ujumbe huu mzuri kwa wengine
@ladislausoisso7976
@ladislausoisso7976 Жыл бұрын
Splendid gospel song.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thanks so much. Blessed be God
@ClotlidaFmayanja
@ClotlidaFmayanja 9 ай бұрын
Mbarikiwe sana Mungu awainue wimbo mzuri sana
@GastonCanuty-tx6pp
@GastonCanuty-tx6pp 12 күн бұрын
Nina hajanawe bwana
@zenobiakapere1379
@zenobiakapere1379 5 ай бұрын
Sifa na utukufu tumrudishie aliye juu.
@marymimina
@marymimina Жыл бұрын
Kila neno katika wimbo huu ni sala pekee. Asante sana waimbaji kwa Sala hii. Mbarikiwe sana. Connection muhimu bure hii Sala ingenipita tu hivi😂 asante sana mwalimu Lawrence Kameja kwa kunikumbuka 🙏🏻🥰😍💕
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
😅😅Endelea kubarikiwa Atukuzwe Mungu
@anselmhamaro9756
@anselmhamaro9756 Жыл бұрын
AsanteSana nawe barikiwa
@DoricaEmanuel-ns7ut
@DoricaEmanuel-ns7ut 2 ай бұрын
Penda sana wimbo pamoja waimbaji bwana aendelee kuwajaza nguvuya kumuimbia bwana❤🎉
@user-vu7jn3gs6v
@user-vu7jn3gs6v 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤l😊😊😊😊😊😊​@@st.ceciliachoirhaimjini5607
@rosemarybukajumbe5857
@rosemarybukajumbe5857 Ай бұрын
Sichoki kumsikiliza mwimba mashahiri ya Wimbo huu❤
@BikiramariaMshindaji
@BikiramariaMshindaji 8 ай бұрын
Wimbo mzuri sana, mbalikiwe❤
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Amina barikiwa zaidi
@GastonCanuty-tx6pp
@GastonCanuty-tx6pp 12 күн бұрын
Kongowe kwa wimbo mzur sana mungu awa bark
@GastonCanuty-tx6pp
@GastonCanuty-tx6pp 12 күн бұрын
Congratulation laurence kameja
@marymkamwa3779
@marymkamwa3779 9 ай бұрын
Real Gifted voices ❤ leo nasikiliza wimbo huu tangu asubuhi sichoki😂
@franciswathika1202
@franciswathika1202 9 ай бұрын
Same date, same here. Blessings
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Mbarikiwe zaidi na zaidi🙏🏼
@marierobert42
@marierobert42 Жыл бұрын
Jamn tumain swai Huwa ananikisha kwakwel kwenye kusolo❤❤❤
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Huyo ni Lawrence Kameja 😁 Asante sana kwa pongezi. Endelea kubarikiwa 🙏🏼
@livingstonemasikonte916
@livingstonemasikonte916 Жыл бұрын
Sauti zenyewe kapangwa na kupangika. Wimbo mtamu sana.......mauthui/ujumbe ni wa kuelimisha na kufariji nyoyo zilizopondeka...mwalimu kameja na Rajo production, hongereni sana........tuzidi kumwimbia Rabana hadi nyakati za mwisho🙏🙏🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana endelea kubarikiwa 🙏🏼 Usisahau kusubscribe
@Pilot-d-ge
@Pilot-d-ge 9 ай бұрын
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Amina🙏🏼
@mwlnoelbm24
@mwlnoelbm24 Жыл бұрын
Wimbo una Ujumbe Mzuri sana, Nimebarikiwa sana na huu wimbo. Hongera kwa Mtunzi, Waimbaji na Waandaaji, mmeutendea haki huu wimbo. Mungu Azidi Kuwainua.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina Asante sana. Usisahau Kusubscribe
@oswaldmgaya8935
@oswaldmgaya8935 10 ай бұрын
ASANTENI SANA wapendwa Kwa wimbo huu mzuri na wenye tafakari kubwa. Hongera Kwa mtunzi na waimbaji.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Asante sana endelea kubarikiwa 🙏🏼
@GastonCanuty-tx6pp
@GastonCanuty-tx6pp 12 күн бұрын
Keep it up laurence kameja
@kimanisimon400
@kimanisimon400 Жыл бұрын
For the nine months in the Claretian community,i enjoyed this choir...Wishing u well
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thanks so much be blessed Baki hapahapa Subscribe 😁
@patriciasyombua295
@patriciasyombua295 Жыл бұрын
Lovely song ,blended voices just wow I love it
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Thanks so much be blessed
@ReginaHeriel-sd3yg
@ReginaHeriel-sd3yg Жыл бұрын
Hongereni wapendwa wimbo mzuri Sana na mmeutendea haki,nimebarikiwa mno,Mungu azidi kuwainua!❤️
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana Usisahau kusubscribe
@eliudkamwaro2062
@eliudkamwaro2062 Жыл бұрын
A powerful piece! Tuna haja NAWE ...nina haaaaaajaaa NAWE Mfalme milele
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Ameen🤲
@victorchimbimbi6651
@victorchimbimbi6651 Жыл бұрын
A very nice song. may the almighty GOD bless you
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thank you very much.
@Cresensia-cq8qv
@Cresensia-cq8qv Жыл бұрын
Wimbo mzuri mnoo mungu awabrki Sala tosha hii🙏🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana barikiwa 🙏🏼
@themanwithnoname5824
@themanwithnoname5824 Жыл бұрын
Hai mjini bomang'ombe nyumbani kama nyumbani mmhbalikiwe mno
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa pia 🙏🏼 Usisahau kusubscribe
@sr.paschalinasukum2076
@sr.paschalinasukum2076 Ай бұрын
Asanteni sana ndugu Kwa kuinjilisha Kwa njia ya kuimba , nimeguswa sana na maneno ya wimbo huu.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 12 күн бұрын
Atukuzwe Mungu 🙏🏼 Usiache kusambaza ujumbe huu mzuri kwa wengine
@GastonCanuty-tx6pp
@GastonCanuty-tx6pp 12 күн бұрын
Good work
@papaamzalendo2460
@papaamzalendo2460 10 ай бұрын
Wimbo mtamu sana, ujumbe asilimia 💯
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@eliudkamwaro2062
@eliudkamwaro2062 Жыл бұрын
NINA HAJA NAWE.... TUNA HAJA NAWE... Wimbo mtamu sana huu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana endelea kubarikiwa
@mariethlysumaye9656
@mariethlysumaye9656 Жыл бұрын
Nice song chukueni Maua yenu🎉🎉🎉🎉
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼 Usisahau kusubscribe
@mariammatinde8085
@mariammatinde8085 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana kwa wimbo mzuri sana, Bwana azd kuwainua ktk viwango vya juu...Kaka wa sauti ya 3 unakosha sio siri🙌
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼
@filipinadaud885
@filipinadaud885 Жыл бұрын
Hongereni Sana ,wimbo mzuri mno,una upako wa Hali ya juu.Roho Mtk awafundishe zao. Salome hongera sanaaa umeosha mwanangu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa zaidi
@user-zw7ru2ow8p
@user-zw7ru2ow8p 3 ай бұрын
Hongera mmefanya kitu kizur🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@johnmelias7757
@johnmelias7757 Жыл бұрын
Hongeren sana nmebarikiwa sana na huu wimbo Mungu awabariki!!!!! Big up.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Asante sana barikiwa pia
@danielkimaro8635
@danielkimaro8635 Жыл бұрын
hongereni sana majirani kazi nzuri keep it up
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thanks so much Yote kwa sifa na utukufu wa Mungu
@elielepetit8107
@elielepetit8107 Жыл бұрын
Lawrence Kameja, can't thank you enough, just i say you're blessed enough.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thanks so much
@user-wl5qb4jd7f
@user-wl5qb4jd7f 9 ай бұрын
I'm Malawian, I feel blessed to be Catholic and you are just making the journey worthwhile...Beautiful❤
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Thank you🙏🏼
@nathannbanda3345
@nathannbanda3345 6 ай бұрын
Tililimodzi pano 😂
@joycengolly547
@joycengolly547 Жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya wa mt sesilia bomang'ombe, Kwa kazi nxuri ya kumtukuza mbele ya mwl mahiri Salome. Mbarikiwe sana❤️❤️❤️
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa zaidi
@Raymon.2005
@Raymon.2005 11 ай бұрын
Hongereni saaana wapendwa wimbo huu uwaunanifariji saaana tu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Asante sana🙏🏼
@mgendimussa6824
@mgendimussa6824 Жыл бұрын
Hongera sana Salome kwa utunzi mzuri Mungu akubariki
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina Asante sana sifa kwa bwana Usisahau kusubscribe 🙏🏼
@estherwanjiru6001
@estherwanjiru6001 Жыл бұрын
Wow great song.Lawrence never disappoints ❤❤
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thanks so much Don't forget to subscribe
@vickynash372
@vickynash372 Жыл бұрын
Lovely piece, VOICES blending soooo well. Keeping us at per. Lawrence is such a blessing to many. He is gifted and does justice to his voice. Great!💞💞💃💃
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thank you so much Stay close don't forget to subscribe
@anthonykimweri1386
@anthonykimweri1386 10 ай бұрын
Kazi nzuri sana, tumebarikiwa wengi katika wimbo huu, keep it up waimbaji 🎉🎉🎉🎉
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼
@emmymongina5420
@emmymongina5420 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤wooow Angel's beautiful voices ❤❤❤❤
@beatrisikimario8233
@beatrisikimario8233 Жыл бұрын
Hongereni Sana wapendwa kwa wimbo mzuri, Mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana barikiwa 🙏🏼 Usisahau kusubscribe
@kwayaviwawaparokiayabashne9281
@kwayaviwawaparokiayabashne9281 5 ай бұрын
Naomba jamani niwaombe Mungu awabariki wote kwa uimbaji wenu
@jontap.i.6980
@jontap.i.6980 Жыл бұрын
Kazi nzuri hongereni sana🙏🙏🙏🙏 salome unitafute
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana Zimefika😅 Baki hapa hapa Usisahau Kusubscribe
@matildambuya6844
@matildambuya6844 Жыл бұрын
Aki mmeimba vizuri nimefarijika nawapenda mno Wana Cecilia naona nyumbani kunazidi kunoga
@rosekagabo5120
@rosekagabo5120 11 ай бұрын
Nasikia kuzimia kwa upako mkuu uliomo ndani ya wimbo huu mbarikiwe kazi nzuri
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Asante sana Barikiwa zaidi 🙏🏼
@kadodamilinga
@kadodamilinga Жыл бұрын
Wow jamani wimbo mzuri sana ❤👌🙏🏿
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa🙏🏼
@nathannbanda3345
@nathannbanda3345 11 ай бұрын
Beautiful, thanks for the captions. Continue good work
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Glad you like them!
@samwelmkea2010
@samwelmkea2010 Жыл бұрын
Utunzi maridadi na uimbaji mzuri sana hongereni sana Wana Cesilia
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana Usisahau kusubscribe
@carolinejebichii1470
@carolinejebichii1470 Жыл бұрын
Am really blessed by this song 💕 keep up the good work 👏 guys
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thanks so much 🙏🏼
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 Жыл бұрын
Wimbo umetulia saaan kwa kwel
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼
@MamertiPeter-uo7ul
@MamertiPeter-uo7ul Жыл бұрын
Nawashukuru sana waandaaji WA huu wímbo.maana mwanzo mwisho ni sala.naúrudiarudia Kila saa nafsi inanituma Bado enndelea.mmbarikiwe sanaaa.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Asante sana barikiwa zaidi
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 Жыл бұрын
Nafarijika saaan nikisikiliza wimbo huu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Endelea kubarikiwa 🙏🏼
@user-oj1ec2ld2t
@user-oj1ec2ld2t 10 ай бұрын
Barikiwa Kwa wimbo mzuri sana .
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Amina sana
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo 7 ай бұрын
Mko vizuri wana wa Mungu! Mbarikiwe sana. ❤❤❤ Nitaongeza neno langu baadaye. Mnastahili kufika mbali.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Asante Sana mkuu kwa kutupa moyo
@eliudkamwaro2062
@eliudkamwaro2062 Жыл бұрын
Nimekubali kabisaaa... NINA HAJA NAWE
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana barikiwa 🙏🏼
@stanslausmtilega7279
@stanslausmtilega7279 Жыл бұрын
Hongera mko vizuri hadi zuchu nimemuona
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
😅😅😅Endelea kubarikiwa
@PETROKEWE
@PETROKEWE Жыл бұрын
sichoki kusikiliza huu wimbo
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Endelea kubarikiwa 🙏🏼 😁
@elizabethmangera-hy4we
@elizabethmangera-hy4we 11 ай бұрын
Wow yaani ninaja nawe mazuri mpalikiwe sana hongera
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Asante sana barikiwa zaidi 🙏🏼
@edsonsambala4545
@edsonsambala4545 Жыл бұрын
Ninahaja nawe mwokozi wangu. Wimbo mzuri, utulivu mzuri na ujumbe mkuu. Hongereni sana kwa kazi njema ya uinjilishaji kwa njia ya uimbaji.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana Barikiwa Usisahau kusubscribe
@GraceMbiki-zj4jt
@GraceMbiki-zj4jt Жыл бұрын
Asante sana mpendwa, tuendelee kusabusrabu na kushea Kwa ndugu jamaa na marafiki ili uinjilishaji usonge mbele.
@josephmathendu3830
@josephmathendu3830 Жыл бұрын
Kwa kweli Nina haja nawe.....hongereni
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼 Usisahau kusubscribe
@mercymutisomusic
@mercymutisomusic Жыл бұрын
I feel blessed by this song🙏❤️hongereni sana👏🏻
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa na bwana🙏🏼
@gabrielkweka8612
@gabrielkweka8612 Жыл бұрын
Hongeren sana kwa kazi nzuri... Mungu azidi kuwanyanyua viwango zaidi ya viwango.. Salome mahembega wewe ni 🔥🔥🔥
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana barikiwa
@user-ng5ze8mr7k
@user-ng5ze8mr7k Жыл бұрын
Hongereni xana,wimbo umenibariki xana na kunifariji xana
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼 Usisahau kusubscribe
@praygodshuma605
@praygodshuma605 9 ай бұрын
Hongereni sana, Mungu awabariki, barikiwaaaa sana na ujumbe huuu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Amina sana barikiwa zaidi 🙏🏼
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 Жыл бұрын
Nijalie nguvu niwapende adui zangu,asanteni saan waimbaji
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante pia🙏🏼
@catherinejullu6615
@catherinejullu6615 Жыл бұрын
Hongereni mt cecilia Hai mjini oeeeh❤❤
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana Mungu atukuzwe Usisahau kusubscribe kulike na kusambaza ujumbe huu wa upendo
@GraceMbiki-zj4jt
@GraceMbiki-zj4jt Жыл бұрын
Kabisa my dear.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana Usisahau kusubscribe 🙏🏼
@vickyvictor406
@vickyvictor406 10 ай бұрын
This is beautiful much love from Kenya. Ni UPENDO Tu ♥️♥️♥️🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 7 ай бұрын
Much love from here🙏🏼
@ernesthaule5641
@ernesthaule5641 Жыл бұрын
Hongera sana Salome, Mungu akupe afya njema, wimbo mzuri sana.
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana zimefika🙏🏼🙏🏼😅 Usisahau kusubscribe
@user-xn1um3xv1i
@user-xn1um3xv1i Жыл бұрын
Mbarikiwe sn sauti zimepangika sauti ya kinanda imeenda sawia honger nying kwa mpigaj pia roho wa vipaji akikuze kipaji kwa viwango vya juu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina Asante sana endelea kubarikiwa 🙏🏼
@stephenamota23
@stephenamota23 Жыл бұрын
Wimbo Mtamu sana... Hongera sana mwalimu Lawrence
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana barikiwa 🙏🏼
@alfredtarimo
@alfredtarimo Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana kupitia kwaya hii. Namuona mwanafunzi wangu hapo Dominica Hamaro. Mungu aendelee kuwabariki muweze kutuinjilisha kupitia kwaya yenu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina endelea kubarikiwa mwalim
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana mwalim
@emmylingopola2403
@emmylingopola2403 Жыл бұрын
Wimbo mzuri ubarikiwe sana🙏
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana barikiwa pia 🙏🏼
@GraceMichael-oy7rx
@GraceMichael-oy7rx Жыл бұрын
Naona ng'ombe za manyama hongeren sanaaa
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼
@northlondonwizard5846
@northlondonwizard5846 Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa 🙏🏼
@evelynesakalla3798
@evelynesakalla3798 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki ndugu zangu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina Sana Barikiwa Pia Usisahau Kusubscribe 😅
@appsplay4324
@appsplay4324 Жыл бұрын
Nice song be blessed ❤❤❤❤
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Thanks so much Don't forget to subscribe
@zenobiakapere1379
@zenobiakapere1379 5 ай бұрын
Safi sana.Mungu awabariki kwa uinjilishaji
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 5 ай бұрын
Asante sana barikiwa
@petersalto426
@petersalto426 Жыл бұрын
Ahsante Kwa kutuinjilisha. Muwe na utume mwema
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana 🙏🏼
@bahatidominic8923
@bahatidominic8923 Жыл бұрын
Wanaimba vizuri sana. Mungu aendelee kuwabariki waimbe vyema
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana yote kwa sifa na utukufu wake
@user-dz6pm2hd6z
@user-dz6pm2hd6z Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana upako fuluu
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina
@rosemalaba5205
@rosemalaba5205 Жыл бұрын
Hongereni.Asanteni na Mungu awabariki. KEEP IT UP LAWRENCE KAMENYA!
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Asante sana barikiwa zaidi Usisahau kusubscribe
@user-eq7vw7vs7w
@user-eq7vw7vs7w 6 ай бұрын
Really I like it love much ❤
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 5 ай бұрын
Thank you 😊
@timotheathomas6946
@timotheathomas6946 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana na kwa kujitoa kwenu nasi tunafarijika mungu azidi kuwaongoza
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 11 ай бұрын
Amina. Asante sana🙏🏼
@wilfredpaul2937
@wilfredpaul2937 Жыл бұрын
Hongereni tuendelee kutumikia na kuajibika mana aimbaye kwa akili husali mara mbili...
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana🙏🏼
@gaspermsoka
@gaspermsoka Жыл бұрын
Nabarikiwa sana nisikilizapo Nyimbo hii
@st.ceciliachoirhaimjini5607
@st.ceciliachoirhaimjini5607 Жыл бұрын
Amina sana barikiwa zaidi 🙏🏼 Usisahau kusubscribe
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 123 МЛН
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 20 МЛН
DOUDOU MANENGU - NINA HAJA NAWE
5:56
Wyldpytch Rekords / 51 Lex Records
Рет қаралды 5 МЛН
MKAZAE MATUNDA MEMA | Ray Ufunguo | (Official Video)
9:11
St. Paul's Students Choir University of Nairobi
Рет қаралды 535 М.
MTUKUZENI BWANA | Dr Kelvin B Bongole - Kwaya Ya Mt Karoli Lwanga |Arusha Technical College (ATC)
4:08
Kwaya ya Mt.Karoli Lwanga Chuo cha Ufundi Arusha
Рет қаралды 175 М.
HUYO NI YESU By Lawrence Kameja_Sauti Bora Melodians ft Lawrence Kameja.
5:22
SAUTI BORA MELODIANS
Рет қаралды 114 М.
Nina haja Nawe - Music in My Soul Family
4:31
Music In My Soul Family Africa
Рет қаралды 389 М.
NAYAWEZA YOTE  -| KWAYA YA MT MARTIN DE PORRES | SAUT - MWANZA  FT LAWRENCE KAMEJA & DESPINA MDENDE
4:52
St. Martin De porres Choir - SAUT MWANZA
Рет қаралды 114 М.
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
UFUNUO CHOIR
Рет қаралды 4,8 МЛН
HEKALU LA MUNGU // PRISCA REGINE FT. LAWRENCE KAMEJA // Mtunzi: NAZARETH AMOS
5:21
SITABAKI KAMA NILIVYO (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
7:25
DOKC TV CATHOLIC SONGS
Рет қаралды 660 М.
Jakone, Kiliana - Асфальт (Mood Video)
2:51
GOLDEN SOUND
Рет қаралды 6 МЛН
Iliyas Kabdyray ft. Amre - Армандадым
2:41
Amre Official
Рет қаралды 1 МЛН
Kobelek
4:11
6ELLUCCI - Topic
Рет қаралды 1,1 МЛН
LISA - ROCKSTAR (Official Music Video)
2:48
LLOUD Official
Рет қаралды 111 МЛН
V $ X V PRiNCE - Не интересно
2:48
V S X V PRiNCE
Рет қаралды 2,5 МЛН