Butua nyimbo nzuri ina mafunzo Cna nakukubali Cna kaza From Oman naitwa somoe
@butuamaginga5 ай бұрын
Asante somoe
@ramadhanabdul70285 ай бұрын
Umetisha sana butua
@butuamaginga5 ай бұрын
Asante sana
@DonMooSTUDIO_Express5 ай бұрын
Bilashaka hii film ilikuwa ya zamani. Uigizaji huu wa BUTUA haufanani na uigizaji wa sasa. Director hakuwa makini na kazi yake, cameraman na hata waigizaji wamecheza local sana. Kwakuwa nimemuoa BONGE aliyecheza film kama BOKO HARAM n.k Bila shaka hii film ya BUTUA ni ya zamani... Ni vizuri kuweka KZbin kama kumbukumbu... waigizaji wote jitahidini kuwa wabunifu sio lazima kila film iwe na uzinifu au kuvaa nguo za hovyo. Aidia zipo nyingi sana za kuigiza 🙏❤ HAYO NI MAONI YANGU TU haina haja ya kunilaumu 🙏
@butuamaginga5 ай бұрын
Nimekuelewa na ni kweli ya zamani haiwezi kujirudia subiri madude ya sasa ni bora zaidi na naamini utayapenda asante kwa kufatilia kazi zangu
@DonMooSTUDIO_Express5 ай бұрын
@@butuamaginga shukran pia ndugu yangu. Nimeanza kukufahamu kupitia Snake Boy nikaona unakipaji kikubwa. Nilipoanza kukufatilia ktk film zingine nimegundua unakipaji kikubwa sana. Hakuna sceen usiyoweza kucheza. Kuchekesha, kuhuzunisha, ukali n.k nafasi zote unafit sana. Ukicheza na MBWELA akaonekana ni mtemi zaidi yako huwa haileti uhalisia kabisa. Ukisimama tu, uongeaji wako na ulivyo unaonekana mtemi zaidi ya MBWELA. MBWELA alipendeza sana kwenye BIG BOSS ile nafasi iliendana naye 100%. Hafanani na utata kabisa, anaendana na sceen za masikitiko na upole tu. NIKO SAMBAMBA NA TEAM CLAM VEVO nyote mtaona maoni yangu kwenye kazi zenu. Mnivumilie nikitoa maoni ya kuumiza maana huwa nasema kulingana na mtazamo wangu.
@butuamaginga5 ай бұрын
Shukrani sana siwezi kuku ferisha kwenye kaz zangu majambo yanakuja mengi
@DonMooSTUDIO_Express5 ай бұрын
@@butuamaginga sawa sawa kaka ❤
@hilalwaleed54885 ай бұрын
Bravo
@butuamaginga5 ай бұрын
Shukrani baba
@PendoSiriely-oq9um5 ай бұрын
Tafadhali butua naomba unitumie huu wimbo wa nishayaona