Njia rahisi ya Kuitambua Siku ya Kubeba mimba

  Рет қаралды 3,400,784

Topten Tv

Topten Tv

Күн бұрын

Leo napenda tuwekana sawa kuhusu jinsi ya kuitambua Siku ambayo mwanamke anaweza kubeba mimba. Nimeguswa kuandaa somo hili kutokana na kuwepo kwa maswali mengi sana kuhusu jambo hili. Nategemea mtapata kujielewa vizuri na itawasaidia kupanga Uzazi. Hakikisha unatazama video hii hadi mwisho ili upate kunielewa kwa 100%.
..........................................................
Contact Us : +255676298270
-------------------------------------------------------------------------------
E-mail : toptenherbs@gmail.com
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram / toptenherbs
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / toptentanzania
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.topten.co.tz
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 2 400
@Toptenherbs
@Toptenherbs Жыл бұрын
Kama unatamani Kujifunza zaidi kuhusu masuala haya ya Uzazi jipatie kitabu changu cha SULUHISHO LA UGUMBA... Huko ndani utajifunza Hadi Staili 😃 za kupiga show!! Gharama yake ni 10,000/- tu. Wasiliana nasi kwa +255676298270
@SporaYosia
@SporaYosia Жыл бұрын
Ukweli mm nikishafikia siku ya kumi nakuwa muoga sanaa mpaka zitimie siku kumi na tano ndo najiachia 🤣🤣 weeee. Sina masihara kabisa kwenye hizo siku ahsante doctor
@SimonMuia-xz6ei
@SimonMuia-xz6ei Жыл бұрын
Je na sisi tuli bali
@GwaxGwax-rr8ob
@GwaxGwax-rr8ob Жыл бұрын
@@SporaYosia dasitani kibiki
@annemutuku-zc6vm
@annemutuku-zc6vm Жыл бұрын
Naomba unambie dawa ambazo naeza tumia Ili mzunguko wangu utulie
@GislaMdimi
@GislaMdimi Жыл бұрын
Mapacha jee?
@niyonzimanadegenadege393
@niyonzimanadegenadege393 4 жыл бұрын
kusema kweli ww ni mwalim mzuri unamalizia vizuri sana UBARIKIWE MPAKA USHANGAEEEEE
@dorcusdaudi8810
@dorcusdaudi8810 2 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana doctor unafundisha vitu vya maana na hasa kumtanguliza MUNGU Kwa Kila jambo MUNGU akuinue 🙏
@bibasulesh7866
@bibasulesh7866 3 жыл бұрын
Hakika Asante Nimekuwa nikijifunza sana hiki kitu mpaka nimezoea nimekuwa mwalimu pia nakielewa sana hichi kitu.
@AnnitaShishi
@AnnitaShishi 9 күн бұрын
Asante saana Kati ya watu nmeona wakielenza wewe ndio umenielekeza vizuri Asante saana balikiwa Saana
@rahabumartin9877
@rahabumartin9877 2 жыл бұрын
Asante sana doctor.ubarikiwe.somo zuri umetuelewesha.ubarikiwe na wewe zaidi.
@rosejames7301
@rosejames7301 4 жыл бұрын
Nimekuubali sana pale uliposema mtoto ni baraka Mungu ndyo anapanga akupe jinsia ipi,Asnate kwa somo Na kumtanguliza Mungu
@wilsonsegesa9594
@wilsonsegesa9594 2 жыл бұрын
Amina,Bwana azid kukutia nguvu kwa mafundisho mazr juu ya afya zetu kwaajil uzaz na family kwa ujumla kiukwel Mungu tu ajuae sisi wenyew hatuwez, by Renatus chikulugu
@mohammedhussein6748
@mohammedhussein6748 Жыл бұрын
Swadaqta
@shadracknoah1140
@shadracknoah1140 Жыл бұрын
Asante sana doctor,, MUNGU akutunze kwa huduma
@zabibuwazir9078
@zabibuwazir9078 3 жыл бұрын
Hongera sana,miongoni wanatuelimisha cc wanawake wasuala ya uzazi wewe namba 1 unaeleweka sawa.naomba
@AtfishaMkubwa
@AtfishaMkubwa 11 ай бұрын
Docta asnte Kwa darasa zuri mungu atujaliye kizazi chaheri 🙏🙏
@gracejoseph6381
@gracejoseph6381 Жыл бұрын
Ubarikiwe doctor nimekuelewa Mungu akubariki
@AgnesZakaria-t2d
@AgnesZakaria-t2d Жыл бұрын
Ee mung naomba nibariki na me nipate mtoto maan mmewang kabadilika sana naomba tenda miujiza yako mungu wangu,mlio pata watoto tuombeeni na si ambao tumeolewa nahatujabahatika kupata mtoto tuweze kupata mtoto.
@Sharmy_02
@Sharmy_02 8 ай бұрын
Amiin
@ExcitedMoonLanding-ug7on
@ExcitedMoonLanding-ug7on 6 ай бұрын
Upate mtoto kwa jina la yesu
@MwamvuaIddy
@MwamvuaIddy 5 ай бұрын
Ulishawai kutoa mimba?
@JaneJohn-l7v
@JaneJohn-l7v 3 ай бұрын
Ubalikiwe mom upate mtoto
@NuratiIsmail
@NuratiIsmail Жыл бұрын
Jamani sawa naamini Mungu ndiye mtoaji IRA nasisi atuone sichoki kufuata ushauri ewe Mungu tubariki amina ,🙏🙏🙏
@peterfanyeni3134
@peterfanyeni3134 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana. sijawahi kumuelewa hili somo pengine popote zaidi yako. point ya Mwisho umenena vyema. Nashukuru mno
@Toptenherbs
@Toptenherbs 2 жыл бұрын
Ahsante sana kwa kutumia muda wako wa thamani kutazama video zetu
@samsonsimon9131
@samsonsimon9131 2 жыл бұрын
Je kama mwanmke kutoka kwenye CK amalize siku ngp ndo ashike miimba
@JemsAmosi-x4j
@JemsAmosi-x4j 8 ай бұрын
​@@Toptenherbseti naomba kuuliza ivi mfano mtu anaingia talee 13 nitoe izo 14 jibu apo ni 1 sasa nikiongeza siku moja mbele inakua 1 2 asa izo siku mbili nyuma zinakaaje apo tafazal nielekeze apo niweze kuelewa
@AnitaApolinary
@AnitaApolinary Ай бұрын
​@@Toptenherbsnimekuelewa dr,nimeshiriki siku ya 10,11,12 na 14 je naweza kupata ujauzito?
@malikialupyo
@malikialupyo Жыл бұрын
Mwalim mm ninaswali kwann nikikutana na mwanaume kimapenz napata maumivu yamgongo shida nnn nataka kujua
@winniepemela-tt4vb
@winniepemela-tt4vb 2 ай бұрын
Mkimaliza awe ana kumassage dihaa😂
@maulidimpili698
@maulidimpili698 2 ай бұрын
Ni U.T.I hiyo nichek kama upo dar nikuelekeze dawa za miti shamba
@Stiven-t1y
@Stiven-t1y 2 ай бұрын
Inawezekana ikonayamurefusana inafikakuuzazi
@michaelsiweya6500
@michaelsiweya6500 4 жыл бұрын
Hii elimu ni nzuri sana hasa unapokuwa na mke.. Inabidi wanaume nao tujue maumbile ya wake zetu
@damarisa1399
@damarisa1399 4 жыл бұрын
Kabisa kaka ilo ulilolisema ni kweli
@TINNAJOSOPH-df6mk
@TINNAJOSOPH-df6mk Жыл бұрын
Mimi naitwa Tina docta naomba nikuulize swali Mimi katika mzunguko wangu wa hedhi unaenda hivi tangu nilipo vunja ungo mbaka sasa nimezaa watoto wawili natumika siku Saba tano natoa damu sita name Saba nasafisha sasa naomba unipe siku nzuli yakupata mtoto wakike alafu Sina tare maalumu Mimi naenda kila tare katika mwezi naomba nieleweshe vizuri docta
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 9 ай бұрын
​@@TINNAJOSOPH-df6mk😢😢😢 pole mamy Allah akupe wepes uwe saw love you
@janethgatoni5981
@janethgatoni5981 4 жыл бұрын
Na mapacha je? Asante kwa funzo hii ubarikiwe sana Mr doctor
@mwinyimgunda3140
@mwinyimgunda3140 4 жыл бұрын
u
@raphaelmachinda371
@raphaelmachinda371 4 жыл бұрын
Inapendeza sana
@sophykivuyo
@sophykivuyo 10 ай бұрын
Ww ni doctor mzuri sana unafundisha vizuri sana
@annathomas784
@annathomas784 Жыл бұрын
Santee San doctor ngoja NIANZE kufuatilia mzunguko wangu Yaàan unaelewesha vizuri sana
@eldamasikamuhangi3344
@eldamasikamuhangi3344 4 жыл бұрын
Aksante sana kwa somo inanipa mwelekeo muzuri n'a ni kweli kabisa
@arafamakota
@arafamakota 2 жыл бұрын
Asante sana nimekuelewa
@asharwanyangoma3090
@asharwanyangoma3090 3 жыл бұрын
Ahsante sana Dr kama mtu unaingia kwenye siku zake mara mbili kwa mwezi je siku za kubeba mimba ni zipi
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Жыл бұрын
Mara mbili kwa mwezi duh kunywa chai ya Tangawizi inasadia kulekebisha
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 9 ай бұрын
Tangawiz hakika mno
@annachales9623
@annachales9623 4 жыл бұрын
Umefundisha vizurii yaani hata kilaza anaelewa sanaa
@DoricaEmanuel-ns7ut
@DoricaEmanuel-ns7ut 7 ай бұрын
Mwalimu hongera kwa semina nzuri🎉
@evalinekimario7883
@evalinekimario7883 7 ай бұрын
Nimekupenda Bure kwa maneno Yako ya mwisho kila kitu ni kumtegemea mungu maana mungu ana mipango mingi na maisha yeti.
@Erickbernad
@Erickbernad Жыл бұрын
Namimi pia natamani jaman nipate mtoto naamini mung u atanibariki🙏
@mohamedkudura8114
@mohamedkudura8114 Жыл бұрын
Ushaolewa?
@LucyMakuru
@LucyMakuru Жыл бұрын
ndio
@advellazawadi
@advellazawadi 11 ай бұрын
Mambo
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 9 ай бұрын
Amiin
@RAMBOKATELEZUKATELEZU
@RAMBOKATELEZUKATELEZU 9 ай бұрын
Ukowap
@emmyallex2149
@emmyallex2149 3 жыл бұрын
Asante sana doctor mungu akubariki
@BiisheBugao
@BiisheBugao Жыл бұрын
Hi mi mzunguko wangu hauendi sawa utanisaidiaje na uwaga sina UTE wa uzazi nisaidie tafadhalii...
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 9 ай бұрын
😮😮😮😮
@HekimaKiyaulilo-bl7yz
@HekimaKiyaulilo-bl7yz 6 ай бұрын
Mzunguko wangu hauendi sawa naomba nisaidie
@revinajonathani3133
@revinajonathani3133 Жыл бұрын
Doctor Mungu akubariki unafundisha vizuri sana na vitu vya maana ubarikiwe sana 🙏😍
@ValeriaBazili
@ValeriaBazili 6 ай бұрын
Ahsante sana mwalim kwa somo hili asante sana namuomba sana mungu kwa hilo nimeipenda🎉🎉🎉🎉
@achayorosemary8289
@achayorosemary8289 4 жыл бұрын
It's true, without God yote ni bure.
@teclabenjamin5322
@teclabenjamin5322 2 жыл бұрын
Maneno ya mwisho azuri Sana factor ubarikiwe na mungu .
@winniewangarinjoki9979
@winniewangarinjoki9979 Жыл бұрын
mm doctor kwamzunguko cjui kutumia ju hauna mzimamo umesema Kuna dawa ntapataje izo dawa tafathali
@AzahBakari-lw2kc
@AzahBakari-lw2kc Жыл бұрын
mimi natumia dawa za omoni libalasi naweza kupata mimba
@lilililian575
@lilililian575 4 жыл бұрын
Wouh😍 kweli apa nilikuwa class....Shukran sana
@mussathobias2926
@mussathobias2926 4 жыл бұрын
Umeonaa
@lilililian575
@lilililian575 4 жыл бұрын
@@mussathobias2926 yea
@mussathobias2926
@mussathobias2926 4 жыл бұрын
Nichekibas whatsap
@mussathobias2926
@mussathobias2926 4 жыл бұрын
0621944126
@braysonmajani8129
@braysonmajani8129 2 жыл бұрын
Wewe nizaidi ya doctor. Barikia na Yesu. Mtumishi wa Mungu
@KaneufTchengajohn
@KaneufTchengajohn 11 ай бұрын
Bjr
@ModestaNindi-mo1qv
@ModestaNindi-mo1qv 8 ай бұрын
Asante docta mungu awe nawe katika kazi nzur na Zaidi kukupa kibar katika ufundishaji wako
@SantanaMoreni
@SantanaMoreni 3 ай бұрын
Fgzc
@SantanaMoreni
@SantanaMoreni 3 ай бұрын
Eb;?
@nakajaimengoru3826
@nakajaimengoru3826 3 жыл бұрын
Barikiwa sana docter maneno ya mwisho mazuri
@selinakessy9975
@selinakessy9975 2 жыл бұрын
aisee nimekuelew san dokta mungu akubarik nasi tunazidi kuomb mm haswaa nahitaji wa kike
@queenoxachy
@queenoxachy 4 жыл бұрын
Asante sana kw hili somo,nmesoma mengi!! Barikiwa sana
@rekxlijahla8324
@rekxlijahla8324 3 жыл бұрын
Precise advice....I do second that, because it's true....
@rukianasirite8511
@rukianasirite8511 2 жыл бұрын
Hello dear dok I'm from Kenyan
@AllySkazwe
@AllySkazwe Жыл бұрын
Kamàutehauna
@elizabethjonas2906
@elizabethjonas2906 2 жыл бұрын
We noma sana, mungu akupe maisha marefu, hatimae nimefanikiwa now ni mjamzito
@ummyremmy-pc9cy
@ummyremmy-pc9cy Жыл бұрын
Umefundisha vzr mashaAllah ila nnaswali mie mzunguko wangu sijawai kuruka tangu na balekh ila mwezi huu nimepata hedhi mara mbili baada ya siku tano tu kumaliza hedhi ikarudi tena huenda ikawa ni sababu gani labda ama nini tatizo haijawai kutokea kabsaa katika maisha yangu
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 9 ай бұрын
Sorry dear cheki mwezi ujao mahi ikijiludia tatizo pia tumia tangawizi ukiingia itakusaidia mno
@mwanahamisimashauri7405
@mwanahamisimashauri7405 3 жыл бұрын
Thanks doctor for your education
@MatildaFrank-bp5oq
@MatildaFrank-bp5oq Жыл бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri saana,unatufundisha vzuri saana,wengne hawawezi kufundisha kama wewe.
@rosestephano326
@rosestephano326 Жыл бұрын
Eee Mungu Ni bariki na Mimi Amen🙏🙏
@JabiryKigoda
@JabiryKigoda 11 ай бұрын
Allah atakufanyia wepesi
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 9 ай бұрын
Ishaallah udugu wangu
@JobDaniel-db3jp
@JobDaniel-db3jp 9 ай бұрын
Kwani na wew haujapata mtto na jinsi ulivyo et
@Sharmy_02
@Sharmy_02 8 ай бұрын
Amiin
@SynaidàSànde
@SynaidàSànde 2 ай бұрын
Barikiwa sana mwalimu
@LilianChiduo-cf8do
@LilianChiduo-cf8do Жыл бұрын
Ongera sawa tchr wangu daaaah nimeerewa somo mungu hakutakie maisha marefu napy uwe na usiku mwemaaaaa
@RichesseRobert
@RichesseRobert 8 ай бұрын
Mwalimu tuna shukuru kwa musahada wako mungu akubariki na akuzidishiye ma harifa
@zamdahhossen4434
@zamdahhossen4434 3 жыл бұрын
Thanks for your explanation 💯
@jumahamidumambomohamed4007
@jumahamidumambomohamed4007 3 жыл бұрын
Exs
@rubenkisaka7693
@rubenkisaka7693 2 жыл бұрын
Kwa mfano umemaliza period Leo kesho ukasex je unaweza ukabeba ujauzito
@nyangeawari8335
@nyangeawari8335 4 жыл бұрын
Nimpenda doctor alivyo malizia na neema ya mungu.
@yoladabaga5993
@yoladabaga5993 4 жыл бұрын
Nakama Siku zangu zimekoma nafanyaje dk?
@rachelelia914
@rachelelia914 4 жыл бұрын
Ilipata dawa zakuona siku zako
@ashurasudi5724
@ashurasudi5724 Жыл бұрын
Habari kwajina naitwa ashura Mimi napata siku 10 11 jesikuyangu yakubeba mimba hipi naomba kujuwa
@ashurasudi5724
@ashurasudi5724 Жыл бұрын
Natamani sana mtoto
@ashurasudi5724
@ashurasudi5724 Жыл бұрын
Naomba msada waok
@danielbato1895
@danielbato1895 4 жыл бұрын
Much thanks must go to you Dr. As u have taught us
@khadijaally1015
@khadijaally1015 4 жыл бұрын
Dokta nipe no ninashida
@joynasimiyu5402
@joynasimiyu5402 2 жыл бұрын
Thank you
@BeritahElijah
@BeritahElijah Жыл бұрын
@MARRYMlele-fz7pc
@MARRYMlele-fz7pc Жыл бұрын
Niko njombe napataje huduma hii
@Julianawillson-s9w
@Julianawillson-s9w Жыл бұрын
Asante San doctar somo lako zuri mungu awe nawe sikuzote
@NsajigwaMkwesi
@NsajigwaMkwesi 7 ай бұрын
Munguuuu namshukuru doorckt kwa somo zuri kuhusu uzazi wa mpango asante sana mungu awe pamoja nae jamani amina❤❤❤❤🎉
@Toptenherbs
@Toptenherbs 7 ай бұрын
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kwa +255 676 298 270
@5googleuuu727
@5googleuuu727 2 ай бұрын
​@@Toptenherbsokay sawa doctor
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 4 жыл бұрын
Amen asante umeongea jambo zuri la Mungu ameen baba
@alphonsinesingirankabo6274
@alphonsinesingirankabo6274 3 жыл бұрын
God-bless you doctor I love this
@martharhobi4563
@martharhobi4563 Жыл бұрын
mm mzunguko wangu ni talehe 20 na ninatamani nibate mtoto imeshandikana
@ViceMusuha
@ViceMusuha Жыл бұрын
Asante. Doctor nakuerewasana
@lindahmrema9281
@lindahmrema9281 4 жыл бұрын
Nimependa somo👌🏿
@HappySteven-f4f
@HappySteven-f4f Жыл бұрын
Asante nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu akubariki saaana
@JohaliAbduli
@JohaliAbduli 4 ай бұрын
Duh kwa hakika napenda sana somo lako asante ubarikiwe
@theodosiajohn2424
@theodosiajohn2424 4 жыл бұрын
Dr Mimi mzunguko wangu wa siku 26 au 27 lakini nilipata mimba siku ya 18 wa kike.Basi Mungu naye ana nafasi yake
@badlandz6673
@badlandz6673 4 жыл бұрын
I have learned a lot thank you !!
@jenniferkabesa-eq3yq
@jenniferkabesa-eq3yq Жыл бұрын
Thanks 👍😊👍😊😊
@josephinewanjiku9434
@josephinewanjiku9434 4 жыл бұрын
Be blessed Mtoto Ni baraka.Mungu kwanza
@jackswelt6484
@jackswelt6484 4 жыл бұрын
To
@LeeSiria
@LeeSiria 10 ай бұрын
Asante mwalimu Kwa somo mzuri sana wa kimaisha
@vivianmbiro6866
@vivianmbiro6866 4 жыл бұрын
Nimekupata Sana chief
@ishuretv7393
@ishuretv7393 2 жыл бұрын
Mwalimu asante kwa somo zuri ila nina swali la mda mrefu: Nashindwa kutofautisha ni mda gani mwanamke ananasa ujauzito maana kuna period mbili za muhimu, period ya kuona damu na period ya ovulation,umetufundisha kuwa hizi siku za ovulation ndo siku za kubeba ujauzito. Je unaweza kufanya tendo la ndoa siku ya kuona damu au siku moja kabla au baada ya damu na mwanamke akawa salama asishike ujauzito? Naomba unisaidie kwa ufafanuzi zaidi.
@Eliwaza-fh2ze
@Eliwaza-fh2ze Жыл бұрын
Ndy
@PROTUSNICOLAUS-pw8cf
@PROTUSNICOLAUS-pw8cf Жыл бұрын
Je, anaingia tarh1
@BitiaMwalongo
@BitiaMwalongo Жыл бұрын
Hili swali jibu lake lipo ukurasa wa ngap😂😂😂😂
@GoldenMxang-je4rn
@GoldenMxang-je4rn Жыл бұрын
Mwalimu naomba niielekeze nijue mzunguko wangu ni siku ngapi
@GetrudaSamwel-u4h
@GetrudaSamwel-u4h Жыл бұрын
Samahani Mim ningependa kujuautamsaidiaje mwanamke anayesex uke wake ukiwa mkavu hata akiandaliwa vipi, maana inasemekana inasababishwa na uzallishwaji mwwingi wa estrogen hormone inayoacti kama acidic in nature sasa utamsaidiaje kupunguza uzallishwaji WA huyo hormone
@kavataf7408
@kavataf7408 4 жыл бұрын
Superb!!!!
@MAGRETHMKUMBO
@MAGRETHMKUMBO 8 ай бұрын
Wewe nimwalimu mzuri kuliko wote ambao nimewasikia, mwenyezi MUNGU akubariki sana
@justinetongi1991
@justinetongi1991 Жыл бұрын
Asante brother nashukuru Sana kwa kuelezea vizuri kabisa aky
@hudaaahmed657
@hudaaahmed657 4 жыл бұрын
Hi mambo naulizaje mtu akimaliza damu kama tuseme ameanza tarehe moja akamaliza siku yatano akiwa namume siku yasita kuendelea anaweza kushika mimba kweli
@omarymwinyi9684
@omarymwinyi9684 2 жыл бұрын
Kama una uzazi
@SaudaUwimana-tv4yr
@SaudaUwimana-tv4yr Жыл бұрын
Apo mpaka Siku ya 11 mpaka 17 Ndo Siku za kupata mimba
@lameckyohana1101
@lameckyohana1101 10 ай бұрын
Uwezekano ni mdogo
@AsmahAsmahsadick
@AsmahAsmahsadick 8 ай бұрын
Hapan
@mrs_mchafbaro
@mrs_mchafbaro 7 ай бұрын
Hata sielew
@ndigitimercy6263
@ndigitimercy6263 2 жыл бұрын
Amen...thanks God is able.
@sallys3229
@sallys3229 4 жыл бұрын
Asante sana Kwa mafunzo
@victoriasarwat4736
@victoriasarwat4736 Жыл бұрын
ahsantee sana dokta somo zuriii
@salama2625
@salama2625 2 жыл бұрын
Shukrani sana Dr umenisaidia asaivi mm ni mjamzito nimekaa kwenye ndoa kwa miaka mi3 bila kapata ujauzito Dr
@khadijaacute
@khadijaacute 3 ай бұрын
Mmb😘
@danielatakobelanwa5792
@danielatakobelanwa5792 4 жыл бұрын
Mwalimu m2 naitwa Daniel, ok kwa swala lá somo lako hili nimekupata kabisa, s2 swali langu nikama nailo: ktk siku zote izi ulizozitaja za mwanamke kupata ujauzito inafaa kufanya tendo lá NDOA mara ngapi kwakila siku?
@hildazabibu3896
@hildazabibu3896 4 жыл бұрын
3
@njilenshashi7787
@njilenshashi7787 3 жыл бұрын
.
@julianaferuzi8609
@julianaferuzi8609 3 жыл бұрын
@@hildazabibu3896 ha ha ha ha
@irenemauti883
@irenemauti883 4 жыл бұрын
Mm period yangu aisimami tarehe moja Kila mwezi na date yake so hpo shida inaweza kuwa ni nn ??? Be blessed doctor
@nasraseif3649
@nasraseif3649 3 жыл бұрын
Mi naomba unipe iyo dawa mzunguuko wangu haupo sawa
@arafamussa840
@arafamussa840 3 жыл бұрын
Namba sijaiandik
@graceagape2807
@graceagape2807 4 жыл бұрын
Wow everything ni mungu
@christinemukami3494
@christinemukami3494 4 жыл бұрын
Mm nataka kupata mimba nitafanya nini
@AlphonceLupia
@AlphonceLupia 26 күн бұрын
Asante kwa somo nimekuelew vizuri
@Mike_Sonferix
@Mike_Sonferix 4 жыл бұрын
Thanks alot. God bless you.
@zipporahogechi2836
@zipporahogechi2836 4 жыл бұрын
may the Lord bless you
@pendomarco8928
@pendomarco8928 4 жыл бұрын
Me nataka mtoto
@irine8353
@irine8353 2 жыл бұрын
Kiswahili ni kigumu asante mwalimu
@hasinarashid5059
@hasinarashid5059 3 жыл бұрын
Mwanzoni nilikuaa sijui jinsi ya kujua siku yangu ya kubebe mimbaa ilaa kwa somo lako asantee nimetumiaa maelekezo yako na Sasa mm n mjamzito🙏🙏🙏
@verokomba9244
@verokomba9244 2 жыл бұрын
Up
@GRACECHRISTOPHER-qb4dx
@GRACECHRISTOPHER-qb4dx Жыл бұрын
Somo zur san nlikuw naomb namb ya sim ninamaswali
@MajuvaMajuva
@MajuvaMajuva 7 ай бұрын
Asant sana nimefurahi sana nimejifunza mengi mungu akulipe mema
@catherineguga9873
@catherineguga9873 2 жыл бұрын
Hivi ukitoka period mfno leo alfu kesh ukafany hivi unawez pAta mimba
@JackEzekia
@JackEzekia 4 ай бұрын
❤❤❤❤
@Shasweat
@Shasweat 3 ай бұрын
Hpn
@BrugolynNdunguru
@BrugolynNdunguru Күн бұрын
Noop
@lydiasikuku3023
@lydiasikuku3023 4 жыл бұрын
Thankx teacher God bless u
@neemanavaranaa4672
@neemanavaranaa4672 4 жыл бұрын
Yaani unajua sana
@mc-stephenmasome6553
@mc-stephenmasome6553 2 жыл бұрын
Dr. Mungu atukuzwe kwaajili yako. Nimepata matokeo chanya, ntakupigia simu
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
Mimi sijaelewa
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
Hizo siku za kupata mimba zinakuwa ndani ya siku za mzunguko?. Maana siku ya mzunguko si anakuwa anatokwa na damu ya hedhi!?. Kama anayoka damu ya hedhi unamuingiliaje!?.
@FurahaMayinda
@FurahaMayinda Жыл бұрын
Thank you doctor nimekuelewa sana doctor wangu mi mwenyw nataman NAMI nipata ujauzt
@anaamandi1239
@anaamandi1239 4 жыл бұрын
Nimependa sana somo lako unafundisha vzr na wala huongezi mbwembwe
@irenetarimo6582
@irenetarimo6582 3 жыл бұрын
SoMo zuri sana
@veronicalyakurwa350
@veronicalyakurwa350 4 жыл бұрын
jaman mm mwenzenu kuhesabu mzunguko wangu bado ni changamoto sijuagi kuhesabu
@hildahlawison7444
@hildahlawison7444 4 жыл бұрын
Uko sawa na mm cielewag yaan
@damah8431
@damah8431 4 жыл бұрын
Kumbe tuko wengi🤣🤣
@terryjost2320
@terryjost2320 4 жыл бұрын
yaan mwez uliopita umeanza kuziona siku zako tarehe ngap ile tarehe ya mwez uliopita unaanza kuhesabu mpka huu mwezi ukianza tena kuona siku zako ndio jibu kuwa mzunguko wako ni wasiku 28 au 30 Alafu kujua siku ya mimba, wachukuwa 28 toa 14(28-14=14) au 30 toa 14(30-14=16)
@monicastivin6062
@monicastivin6062 4 жыл бұрын
@@terryjost2320 asante wewe nimekuelewa 👏
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 9 ай бұрын
😂😂😂😂 biology mliikimbia
@maryannmihadi7849
@maryannmihadi7849 4 жыл бұрын
Asante Doctor
@DairusKagoma-j5e
@DairusKagoma-j5e 9 ай бұрын
Kwamfano mm siku ya 30 siku gan nibebe
@BerthaBilly-o4n
@BerthaBilly-o4n 5 ай бұрын
Nimekuelewa vizur sana mwalimu ubarikiwe
@JulianaAugustino
@JulianaAugustino 10 ай бұрын
Ahsantee kwa SoMo je unaeza beba nimba bila Kuona ute
@rosetedomir8760
@rosetedomir8760 4 жыл бұрын
Be blessed Doctor
@gloriarenatusi7791
@gloriarenatusi7791 4 жыл бұрын
Amina
@nahumukimweri424
@nahumukimweri424 4 жыл бұрын
Doctor me nmefanya Mapnzi na mke wngu ila cioni dalili za mimba
@mutigafyee6720
@mutigafyee6720 4 жыл бұрын
Thank you very much doctor.
@sadasada6679
@sadasada6679 3 жыл бұрын
asante kaka yangu nimeelewa
@michaelrobert3309
@michaelrobert3309 3 жыл бұрын
Mimi ninaswal je kama mzunguko wangu hauweleweki naweza kushik mimba
@mishiomaromarabdhallah7580
@mishiomaromarabdhallah7580 4 жыл бұрын
Sasa doctor mm sina tarehe moja nabadilisha terehe kila mwezi sasa nafanyaje hapo mm mana sielewi hapo
@Africancommunit-y1
@Africancommunit-y1 4 жыл бұрын
Mishiomar Omarabdhallah ndio atu saudie dawa💚💚 🙏🙏
@mdaberash266
@mdaberash266 4 жыл бұрын
@@Africancommunit-y1 ,hakunaga dawa ya mzunguko maana hata mimi niko hivo niliamuwa kuacha km ilivyo tu
@VivianWilly-g2u
@VivianWilly-g2u 4 ай бұрын
Naaaam mungu Kwanza, lakn pia walim ni malaika mlotumwa kutuelimisha zaidi ahsante sana kwa somo
@NeemaNkwale
@NeemaNkwale 20 күн бұрын
Kwer mungu akubariki nimeelewa docta
@zuwenamazige8645
@zuwenamazige8645 4 жыл бұрын
Nmependa xomo bro
@mwanawaukweli8336
@mwanawaukweli8336 3 жыл бұрын
Mimi nakuitaji
@congratulationmayunga414
@congratulationmayunga414 4 жыл бұрын
Doct. Kama mzunguko wa mwanamke haueleweke anatakiwa afanyeje ili apate ujauzitoo:??
@rashidiajali1930
@rashidiajali1930 4 жыл бұрын
P
@stellaissack4293
@stellaissack4293 4 жыл бұрын
naomba no yako
@bellahappy2119
@bellahappy2119 2 жыл бұрын
@@stellaissack4293 Nipe number yako
@mimanassor7078
@mimanassor7078 4 жыл бұрын
Je maziwa kuvimba cyo dalili ya kubeba mimba ? Au ni period?
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 жыл бұрын
Kumbe tunavimba matiti wengi nlijuwa me mwenyewe nikikarbia siku zangu navimba matiti kama wiki hivi Ndio dam inakja
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 9 ай бұрын
Mimi nanawiri kupita maelezo ndo nabrid adi watu wananishangaa mbona unabadilikabadilika shida nn😂
@ThomasMkoga
@ThomasMkoga 9 ай бұрын
Unafundisha vizuri👍👍👍👍👍
@lydiahkwamboka4357
@lydiahkwamboka4357 Жыл бұрын
Asante kwa mafunzo yako n kabla ya ya damu ya mwezi unaweza kuwa n mimba
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 mbona mimi sibebi?
@bintimohammed3233
@bintimohammed3233 4 жыл бұрын
Subra muhimu, utapata tu in shaa Allah
@zawadiyahaya1860
@zawadiyahaya1860 4 жыл бұрын
Jmnii c wngnee jmnii inashndknaa
@directorhanstv707
@directorhanstv707 4 жыл бұрын
@@zawadiyahaya1860 0765764338 ntakusaidia
@lilianmkelewele7489
@lilianmkelewele7489 3 жыл бұрын
@@directorhanstv707 je ni uhakika
@Sharmy_02
@Sharmy_02 8 ай бұрын
Amiin
@mohamedpembe5887
@mohamedpembe5887 4 жыл бұрын
Samahani daktar kwanini siku yahatari umeongeza siku moja wakati yai lamwanamke linauwezo wa kusurvive siku mbili kwenye oviduct?
@Toptenherbs
@Toptenherbs 4 жыл бұрын
Kwa uhakika mkubwa yai huishi masaa 24 tu mara baada ya Ovulation ndio maana tunaweka siku moja mbele. Nenda kafanyie utafiti tena utaelewa hilo
@hassanzuberi9019
@hassanzuberi9019 4 жыл бұрын
Yai huishi siku mbili bro c moja
@magdalenandele1183
@magdalenandele1183 4 жыл бұрын
Mwanamke anapo umwa tumbo la chini kwanzia siku ya 13 hadi 16 baada ya hedhi hizi ni dalili za mini?
@aye5863
@aye5863 Жыл бұрын
Ovulation
@phellyachieng9895
@phellyachieng9895 Жыл бұрын
What is ovulation
@tumainexper7325
@tumainexper7325 Жыл бұрын
Na asipoona siku zake alafu akaja akaona jee itakuwa mimb imetoka
Dr. Chris Mauki: Mbinu 5 za kuiteka akili ya mpenzi wako. Part 1
7:31
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
DONTA TV
Рет қаралды 6 МЛН
BWANA HARUSI KAMKATAA BI HARUSI   LIVE BILA UOGA.AKATAA ZAWADI 🧐
5:15
ELISHADAI ONE MEDIA
Рет қаралды 574 М.
Hizi ndio siku za Kushika Mimba - Dr Baiya Kissiwa
10:12
Kalamutz
Рет қаралды 83 М.
TAFSIRI YA NDOTO  KUOTA UPO SHULENI AU UNAFANYA MTIANI, NDOTO ZA KUOKOTA HELA, BY PST GODWIN NDELWA
6:30
PASTOR GODWIN NDELWA - MAOMBI NI DAWA
Рет қаралды 218 М.
JINSI YA KUPIKA PILAU TAMU LA NYAMA YA NG'OMBE
8:12
MAPISHI FOOD LIFE
Рет қаралды 224 М.
#BABA #ALINIVUA #NGUO #ZOTE
13:09
XPLUS TZ
Рет қаралды 903 М.
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН