Kipindi hiki kizuri mno ....Juma Ayo fanya mchakato siku moja utuletee Shaffih Dauda hapo Digala ......tulijua mengi sana had ya chini ya kapeti mfano ali kamwe , tunu , jemedari ....halafu taratibuu uje uanze kuleta wachezaji hasa mastaa mfano , chama , mayele nk
@AnuariSatari6 ай бұрын
Asalaam alykum waramatulahi aniatu Nikka rabana takabal dua amin
Kama watafuta mke kwa.mitandao hautapata tafuta wenzio wa mitandao
@dishonlinus65142 жыл бұрын
sema juma apo kwenye nipe tano 😁😁umenikosha
@flavianchuwa43702 жыл бұрын
Kweli Jamani mkumba,na mhando dahhh
@iddybakar19462 жыл бұрын
Tunu namlav sana anajua nilifikiria maulid atahama na uyuu dadaa kwenda wasafi ila mwanaid pia sio mbaya
@abuumitema5482 жыл бұрын
Umepatia J ni ukweli sana uo.
@amirisaid63412 жыл бұрын
Keep up bro unajua kufanya interview 🙌
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Yote tisa kumi vipi mahusiano yako ya kimapenzi na kitenge tuweke wazi😄
@angellomarcel56772 жыл бұрын
Duh..! Umenikumbusha Mkumba na Mhando asee
@lungusii2 жыл бұрын
Mimi huja nipa namba
@samsonphilemonmgina72862 жыл бұрын
Fransis mhando na mkumba wako wapi cku hiz
@christophergeorge54902 жыл бұрын
Mhando yupo E sports ile ya j mos na j pili saa mojaila mkumba ndo hayupo
@hijazhija3162 жыл бұрын
0:08
@selemankaduma11862 жыл бұрын
Samahani Niulizie Jimbo Liko Wazi
@edinamgulila88272 жыл бұрын
Huyo fatuma chikawe ni nan na anafanya kaz wap ?
@abbyadams86912 жыл бұрын
Azam
@motamohele30152 жыл бұрын
EFM
@angellomarcel56772 жыл бұрын
Alikuwa Azam nadhani sasa hivi ni mteule ni DC
@gaudinamosnchobe49092 жыл бұрын
@@angellomarcel5677 usichanganye Fatuma Chikawe alikuwa anasoma habari za michezo aliteuliwa na rais ambaye ni mkuu wa miraya ya kigamboni ni Fatuma Almas Nyangasa uyo alianziaga ITV akaja Azam uyo alikuwa anausika na habari na akina Ivon Kamuntu
@murjijamal79942 жыл бұрын
Mchambuz wa michezo @Azam Media
@ismailmasoud60012 жыл бұрын
Hii ndio tabu ya sehemu za kazi , Asilimia kubwa sehemu za kazi wana wapenzi, Tena wengine wana wake zao na wana waume zao lkn wana mahusiano makazini...! Mimi kama mwanaume nawaambia wanaume wenzangu, Kama una mke anafanya kazi ujue hayuko Mikono salama JIPANGE...!
@TradersEasyWay2 жыл бұрын
hahaa! huko sahii kabisa tena kama anafanya kazi zile ambazo anakua na vikao vingi mpaka usiku na kusafiri safiri sana!
@haidhabushiri95582 жыл бұрын
Kazi za shift ndo balaa nursing, police, jeshi ,uandishi
@ismailmasoud60012 жыл бұрын
@@haidhabushiri9558 ...Yaani kiufupi hivi viumbe viwili vikichangamana ni Mtihani sana....angalia mashirika ya uma , Maji, Umeme,posta, sehemu mbalimbali ni hatari, ukiwa hujafanya kazi za kuajiriwa huwezi kujua, lkn ni AIBU...!
@kilapilo.kilapilo52922 жыл бұрын
Ndugu yangu Ismail Masoud, siyo kweli ya kwamba kila mwanamke ambaye ana mume wake na anafanya kazi/shughuli mahali fl'ani, basi atakuwa na mahusiano huko kazini/ofisini.{Wapo wanawake ambao ni waaminifu sana kwenye ndoa zao/ mahusiano na wenza wao & wapo wengine ambao pia siyo waaminifu kwenye mahusiano yao}. 👉Kikubwa ni kuzidi kuwajengea wanawake hao uwezo wa kujiamini & kuwapa nafasi pale inapostahili.
@ismailmasoud60012 жыл бұрын
@@kilapilo.kilapilo5292 ....ungesoma usingejibu hivyo, ni asilimia kubwa sio wote, na usiwaweke wanawake tu' ni wote na wanaume...!...ukweli uko hivyo