PATANISHO: Wazazi wa bwanangu huniona mimi kama msherati

  Рет қаралды 16,535

Radio Jambo KENYA

Radio Jambo KENYA

Күн бұрын

Пікірлер: 141
@nomienomie7812
@nomienomie7812 6 жыл бұрын
Marcy usirudi tafadhali nilipitia hayo hayo nikatoka sahi ni miaka sita lm very happy lea watoto wako dada utakua na amani
@gracendungu5860
@gracendungu5860 6 жыл бұрын
Enyewe ndoa ni safari na sina fare,pole mercy😢😢😢mwanaume mwenye hamsaidiani ni bure kabisa afadhali ukiwa single you hustle na ujilipie bills zako bila kusumbuana na mtu
@linakery4017
@linakery4017 6 жыл бұрын
Ashatoka dio umeona uzuri wake potelea mbali mercy you have made my day ati mpaka wanaitwa kakamega na ni wa rugali
@alicesamuel4224
@alicesamuel4224 6 жыл бұрын
Stay away from this man was in the same situation but now am a peaceful lady and liberated.....
@moseskiplagat5940
@moseskiplagat5940 3 жыл бұрын
Huyo MTU hawezi badilika
@marygwaro2970
@marygwaro2970 5 жыл бұрын
Woiyeee! Mama lea watoto wako! Yesu ni Bwana
@lavenderlucy3444
@lavenderlucy3444 6 жыл бұрын
Pole dadangu exactly nikama yangu yenye nilipitia but fir now am single mother for twelve years
@beatricekarisa7145
@beatricekarisa7145 5 жыл бұрын
So touching...wachana na huyu mtu mama watoto watakuwa InshaAllah🙏
@fauzsky5399
@fauzsky5399 4 жыл бұрын
Mercy please don’t go back! God will make a good way for you🙏 Our good God is faithful🙏🙏 hawa ni wazazi wapi wana heshima.
@sherrykeya7370
@sherrykeya7370 6 жыл бұрын
Mumi wewe fanya kazi wachana na huyu.mimi pia babangu alituacha akaenda be strong like my mum now is 15yrs akiwa single mother hata wewe utamake.wababa waluhya bure kabisa
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 6 жыл бұрын
Kenyaaa mungu simama kweli kweli
@mercylynekasaya6369
@mercylynekasaya6369 6 жыл бұрын
Woiiii I have been single for 10yrs now, my sister achana na huyo mwanamme nonsense, mwenyezi Mungu akupee nguvu ulishe watoto wako aendange akikaukanga
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 4 жыл бұрын
hiyo ni hali yako dear, acha yeye awe na yake
@thomashezekiah3764
@thomashezekiah3764 6 жыл бұрын
Pole sana mama mungu atakuonekania
@monicawambui5616
@monicawambui5616 6 жыл бұрын
wacha nikazane na kuoshaa Hamam but mambo na mwanaume hio apana 😂😂😂😂😂😂🙆
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 6 жыл бұрын
Pole Sana massy, women they're precious ,napenda sana, it's too hard to survive jamani bila mama ndani, thanks massy no woman should have to go through this hell, I love talkative women like this so sweet, thanks radio jambo
@katejimmy8694
@katejimmy8694 6 жыл бұрын
Wazazi wengine ni kama masaitani
@mwaramaggie3875
@mwaramaggie3875 6 жыл бұрын
Hehehe huyo mwanaume ni mbure😢😢😢work hard gal achana na huyo mzee
@robbieglo7155
@robbieglo7155 5 жыл бұрын
Enyewe Gidi nimekuinulia, kwa kupatanisha uko mbele my brother heeee.😂😂😂
@gladnessmuenikissngese6807
@gladnessmuenikissngese6807 4 жыл бұрын
Pole mercy Aki. Hizi ndoa Zina mambo
@mwaramaggie3875
@mwaramaggie3875 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Mimi mama junior na wengine hny 😂😂😂😂😂😂wacha nicheke tu sina mameno matamu😂😂😂😂
@madamboss348
@madamboss348 6 жыл бұрын
Wanaume waluhya ki ukweli nn mbaya na nyinyi????l regret being aluhya bae 😕😕😕😕. Sister wa bwanangu hawezi nichapa wallai
@zubedaseif2950
@zubedaseif2950 6 жыл бұрын
Wanahitaji maombi , najivunia kuwa mluyia. ♥
@mariyanegoodone172
@mariyanegoodone172 6 жыл бұрын
pole dadagu hakika inahuchungu sana
@everlynemulongo7004
@everlynemulongo7004 6 жыл бұрын
Mama junior 😂😂😂😂😂aki aty Honey 😎😎😎😎
@shilahpercy2921
@shilahpercy2921 6 жыл бұрын
Woyiiii Mercy na hizo vituko zote pole lkn ila hapo kwa Mama junior na Moureen unamwita sweetie 😂😂😂😂😂my namesake
@prettybabygalmichelson6557
@prettybabygalmichelson6557 6 жыл бұрын
Aaaiii ata kama ni mapezi.hii ya kuchapwa na kutusiwa ma main-law ctaweza mm
@alisaalis9218
@alisaalis9218 6 жыл бұрын
Ni uchungu sana,Mi nadhani kama familia ya bwana ikikutenga ,Bwanako husimama na wewe,Aki ndoa ina mambo kweli
@maureenjannephar3507
@maureenjannephar3507 6 жыл бұрын
I have a cousin who does this to his wife and my heart aches for her, lakini who lied to women that marriage is an achievement? I owe no one a husband
@maryamkhan2595
@maryamkhan2595 6 жыл бұрын
serious wanaume waluya vichwa ngumu kabisa
@janiimutugi3942
@janiimutugi3942 5 жыл бұрын
Very true
@maryammohammad4828
@maryammohammad4828 5 жыл бұрын
Aki mercy nimzuri, ashamsamehe mme wake, mzee nae anaka. Ajafunguka macho
@nellymwangilwa4288
@nellymwangilwa4288 4 жыл бұрын
Mimi pia ndio nilipitia hayo hayo ikabidi niende gulf saizi Niko sawa nashukuru Mungu
@mirriamandayi6753
@mirriamandayi6753 6 жыл бұрын
Walai siwezi kubali kuchapwa na siz in law na parents in-laws ...luhya men wacheni kumuangusha bana
@shilahpercy2921
@shilahpercy2921 6 жыл бұрын
Tunaeza act movie ingine hapo 😂😂😂😂dear future huz kaa chonjo aki nafeel uchungu anapitia 13 yrs kuvumila
@everlynemulongo7004
@everlynemulongo7004 6 жыл бұрын
Mimi siwezi chapwa na mtu heheeeee utajua ujui aty kupigwa na mwanamke mwenzangu nkt
@getrudeagani8167
@getrudeagani8167 6 жыл бұрын
Mercy huyo si mwanaume jipe shughuli dada yangu
@agnesandalo6936
@agnesandalo6936 6 жыл бұрын
Lol karibuni lugari my home........mercy hata ikiwezekana wachapwe kikiki ,some people think watu hawawana makwao or some ladies tulitoka kwa miti tukaanguka makwao,,,
@aishaelias3867
@aishaelias3867 5 жыл бұрын
Waluhya na patanisho yaawa 👍🏻😂😂😂😂😂
@flozzytony6807
@flozzytony6807 6 жыл бұрын
Machungu haya ni mungu
@scholarnasy7906
@scholarnasy7906 6 жыл бұрын
Huyu mwanamke analia to kaa mimi ndoa ndoa kwanza iwe come and stay mwanaume hajalipia chochote wooiii ni kilio Uchumbe wangu kwa wadogo wangu hapa usikupali kuolewa to hivi hivi wacha akupeleka kwao alipe mahari
@babradomenic7564
@babradomenic7564 6 жыл бұрын
Mercy usirudi, its time you free yourself, kuolewa si lazima, Chunga watoto wako, na ujibambe..wachana na huyu hakueshimu...
@aminahngina8243
@aminahngina8243 6 жыл бұрын
Mercy usirudi nyuma
@fancymercy814
@fancymercy814 5 жыл бұрын
I underwent the same mm hadi nilikua nachapwa na maslayqn wake ilibidi nitoke sababu alisema kuwa nimemkwamilia,nilikua namwambia siku moja atanitafuta na hatawahi niona na ikakua hivo.Siku nilifanyiwa kushambuliwa ndio nilipanga kutoka nikaenda nikachikaisha.Nakuambia dada alirudi kama nimewinn G-card processing na nikagundua ameambukizwa virusi.Am now in the 🇺🇸.He came back too late.
@celestineayush4012
@celestineayush4012 6 жыл бұрын
Mercy ako sawa
@edinaokhonga1255
@edinaokhonga1255 6 жыл бұрын
Mercy usirudi huko acha akatafute mke mwingine .... usirudi
@ashasuleimantheboss5735
@ashasuleimantheboss5735 6 жыл бұрын
Hahahahahahahah pwaaaaaàaaaaaaaaaa gidy utaniua siku mmoja nimecheka hadi mbavu zinauma
@moulinemoulinr9136
@moulinemoulinr9136 6 жыл бұрын
😂😂😂😂ilove mercy's spirit mwanaume apewe maneno yake wacha huyu mwanaume ashike adabu yake
@jacklinemakungu6216
@jacklinemakungu6216 6 жыл бұрын
waah!mercy unanivunja mbavu ati watu wa kwenyu wamezidi kukanyaga barabara kutoka Lugari hadi Kakamega .
@jannet506
@jannet506 6 жыл бұрын
Hivi mbona wanaume wengine hawajipangi ,,,unaolea mamako mke ,ama mke niwako,,Dah ndoa ni ngumu jaman ,mungu Linda ndoa za watu,,,shida kubwa kwa hii ndoa ni uaminifu + wazazi ,mercy think twice kabla urudi
@cynthiacyndy9095
@cynthiacyndy9095 6 жыл бұрын
Good garl
@moulinemoulinr9136
@moulinemoulinr9136 6 жыл бұрын
hawa wanaume wa "kakaameka"wanafaa nyaunyooo 😂wakanyage barabara ya lugari sasa😂
@maggiealf4474
@maggiealf4474 6 жыл бұрын
Mercy hiyo sio ndoa ,wanaume waluhya sijui nani aliwaroka
@florenceshiku7032
@florenceshiku7032 6 жыл бұрын
Muroki alikufanga,mapenzi ilishanga....sasa uyu pwana ajipange upya...
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 6 жыл бұрын
aunt just endelea mbele na Maisha yako , tabia ya mtu hainaga dawa, ifikie muda useme inatosha, lea watoto wako na utapata mume mwingine, utatulia na uishi kwa furaha , wape love watoto sana hao ndio wenzio ipo siku watakusaidia, na utakula matunda yao.hivyo unavyojitolea kuwalea, hiyo ni kama umewekeza bank siku moja utapata pesa zako plus faida.leo unalia lakini siku ikifika utacheka, just be strong dear.21.09.18.
@babyyshayo3633
@babyyshayo3633 6 жыл бұрын
Lakini sio wote, kuna wale wanajiheshimu sana nao ni wachache
@mwendapoleee
@mwendapoleee 6 жыл бұрын
Ata mimi nataka niitwe honey sio mamanatie!
@joycecomm615
@joycecomm615 6 жыл бұрын
Waah
@joysorewitindi8542
@joysorewitindi8542 4 жыл бұрын
Pole dada Huyu ni fisi
@entertainmentplace3460
@entertainmentplace3460 6 жыл бұрын
Nani anapendaga patanisho kama mm hapa mbavu zangu mie daah!! Kama unapenda patanisho gonga like hapa na upite na kama una comment drop it down
@dorcaswambui3298
@dorcaswambui3298 6 жыл бұрын
Haki haki hizi ndoa
@beatriceomino7321
@beatriceomino7321 6 жыл бұрын
Hahahaha wanaume waluhya akili ndogo wacha nikaa bila na madharau nayo
@moulinemoulinr9136
@moulinemoulinr9136 6 жыл бұрын
😂😂😂😂moureen anaitwa honey n wewe😂😂😂😂😂😂😂akiiii umenimaliza😂😂lol
@scholarnasy7906
@scholarnasy7906 6 жыл бұрын
Nauliza kaa unaeza download hizi videos na kushare na wengine fb juu ni wengi wanapitia haya majaribu
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 6 жыл бұрын
Yes you can download them as much as you want
@scholarnasy7906
@scholarnasy7906 6 жыл бұрын
@@alexkabeho5609 asante sana wajua lazima tuombe ruhusa
@maggierattz8552
@maggierattz8552 2 жыл бұрын
Aki God, you know better
@babukoi.6947
@babukoi.6947 6 жыл бұрын
Inaitwa Ndoa.
@classiccell9671
@classiccell9671 6 жыл бұрын
Mimi ndo unaita mama junia na Moureen ndo unaita honey 😂😂Lol!! Team kusoma moments mko wapi! Ila nawasihi mjitahidi sana comments ziwe fupi, tusitesane hapa tafadhali
@miriamnjoroge9984
@miriamnjoroge9984 6 жыл бұрын
Ai ata Kama ni mapenzi Hee hii Apana me mtu ananichapa siezi
@bryanjoseph970
@bryanjoseph970 6 жыл бұрын
Ghost kazi ni kuuliza miaka na kucheka kama mukangai
@danielbariso2635
@danielbariso2635 6 жыл бұрын
Hehehehe waluhya mlitoka wapi
@stecybeib8030
@stecybeib8030 6 жыл бұрын
Maisha ya ndoa n balaa
@tinasanta4080
@tinasanta4080 6 жыл бұрын
Haki ya nani hii yaleo imekua tamu haki hizi ndo patanisho tunataka, Hello mama jounir 😂😂😂😂
@nancyawuor6644
@nancyawuor6644 5 жыл бұрын
Pole Sana Marcy. Mungu akuonekanie.
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 3 жыл бұрын
Bakakamega hehehe
@jacklinemakungu6216
@jacklinemakungu6216 6 жыл бұрын
mercy don't turn back endelea na Kazi yako utarudi huko ataendelea kukutusi wanaume waluyha hawataki ung'are ,uking'ara unaitwa malaya.mercy move on with UA life ulinde watoto wako.
@stellamukami8452
@stellamukami8452 6 жыл бұрын
2nd
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 6 жыл бұрын
hello sweet😂😂😂😂
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 5 жыл бұрын
heheheheheeeeeeee, sweety not mama junior
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 5 жыл бұрын
Asante massy
@maggierattz8552
@maggierattz8552 2 жыл бұрын
Marejj
@celestineshikulu1722
@celestineshikulu1722 6 жыл бұрын
Watu wa kachmega waende lugari pia.mimi ndio unaita mama junior na morine ndio unamwita hunny lol.
@zubedaseif2950
@zubedaseif2950 6 жыл бұрын
LOL
@babyyshayo3633
@babyyshayo3633 6 жыл бұрын
Mwanaume wa killuyha hata unifungie na kamba mguuni sijawahi kupenda tabia zao
@nancypretty7576
@nancypretty7576 6 жыл бұрын
Bibi akishaenda ndio macho yenu ijifungwa nonsense hapo ndio unajua eti she is very important into your life mimi niko na roho tofauti sana once I left am gone I don't have time to follow naenda nikiendanga men think that without them hakuna maisha wanawake muwache kutumiwa vibaya na the so call husbands
@qwambokajames5753
@qwambokajames5753 6 жыл бұрын
3rd
@yusufchimera1364
@yusufchimera1364 6 жыл бұрын
Ng'ombe 2 huyo dogo ajirekebishe
@paulinanyambura1833
@paulinanyambura1833 6 жыл бұрын
Aliona ama alishuku? Kuona anaona ata saa hii
@sherrykeya7370
@sherrykeya7370 6 жыл бұрын
Woi 😭😭😭😭😭aki wanaume waluhya tu Mungu anawaona.Mimi nilishidwa na 3months.wacha nifanye ushagala tu.siwezi kubali kupitia life mamangu alipitia hadi akaamua kuwa single mother
@entertainmentplace3460
@entertainmentplace3460 6 жыл бұрын
Daaah mama ni historia mm nlishndwa na 2weeks 🙉ushaghala utaniua mie
@xoxomacx2539
@xoxomacx2539 5 жыл бұрын
Run baby ran. He has a hidden plan. Please don’t ever go back. It will be for the final curtain call.
@rhodamakeila5924
@rhodamakeila5924 6 жыл бұрын
Wakwanza kucomment.
@amounanyale9220
@amounanyale9220 6 жыл бұрын
Chukua mirinda natumana coins
@rhodamakeila5924
@rhodamakeila5924 6 жыл бұрын
@@amounanyale9220 sawa..
@ednakwaboka1201
@ednakwaboka1201 6 жыл бұрын
huyo ni malaya anathani wewe piani malaya wachana naye husirudi huko
@mariyanegoodone172
@mariyanegoodone172 6 жыл бұрын
Mercy Image imeniguza mm niwa kakamega married at Lugari ..Ebu gidi nipe number Mercy nitafute hii niuko wetu
@zubedaseif2950
@zubedaseif2950 6 жыл бұрын
Hata mimi mamangu ni wa SHIANDA on the way to MUMIAS from KK. ♥
@jamilaomar6396
@jamilaomar6396 6 жыл бұрын
waaah,
@marykalei8147
@marykalei8147 6 жыл бұрын
Aki waluya niwambaya
@zubedaseif2950
@zubedaseif2950 6 жыл бұрын
Sio wote, wacha kujumlisha. Mimi ni waingo na nimeolewa na waingo na tunaishi raha mustarehe. Dunia ni mduara kila mahali kuna waja wazuri na wabaya.
@marykalei8147
@marykalei8147 6 жыл бұрын
Aki
@periswarish7022
@periswarish7022 6 жыл бұрын
Jipea raha dada usingojewea kupewa na mtu nakupinganga mwezoko ilitoka wapi chameni
@njeshkaris8957
@njeshkaris8957 6 жыл бұрын
Mulee kua seriuors huyu madam anauchungu kwa roho yake huyu mwaume ni Malaya ndio maana anakushuku madam move on hapo huna bwana sasa atabadilike bure kabisa
@christmas_egg-n4p
@christmas_egg-n4p 4 жыл бұрын
Controlling, insecure, narcissist! Typical.....Run Mercy Run! He does all the hurting things and then projects.....and family and friends are usually blinded and side with them....
@janemwaura8546
@janemwaura8546 5 жыл бұрын
Kama mapenzi na ndoa ni safari,aki mm fare yangu iliisha kitambo. Maybe nipewe lift aki..I feel the lady bcs I went thru some sort of violence some years back.
@babyyshayo3633
@babyyshayo3633 6 жыл бұрын
Usirudi dada
@christmas_egg-n4p
@christmas_egg-n4p 4 жыл бұрын
Mercy, Mercy please... anaweza tulia hata miaka tatu akiwa ameficha makucha...ukirudi it will be worse my dear!!! We are talking from exoerience and research!!!! USIRUDI!!!!!!!!!
@naliakasandra5884
@naliakasandra5884 6 жыл бұрын
Mercy achana tu na huyo mkakamega..ata mazishi asiende kitu ya siku moja tu. Huyo nops
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 6 жыл бұрын
wololo
@carolmamakebritney5266
@carolmamakebritney5266 6 жыл бұрын
Msamehe mumeo hakuna aliye mkamilifu
@janetrixakoth8067
@janetrixakoth8067 6 жыл бұрын
Yangu ndoa nayo nikama tu hio bwana msherati kupita kiasi hachagui hata mpaka kapata aids.
@tdddfdt6226
@tdddfdt6226 6 жыл бұрын
janetrix akoth atawangu'pia'amepata'aids
@hilarymayoga5648
@hilarymayoga5648 2 ай бұрын
This woman should seek counseling she is so traumatized.
@nomienomie7812
@nomienomie7812 6 жыл бұрын
Marcy orakalukha ta mwana
@zubedaseif2950
@zubedaseif2950 6 жыл бұрын
Bhane okhunyakhana nakhwo, Nyasaye alamkhonya . Khumlamire.
@babyyshayo3633
@babyyshayo3633 6 жыл бұрын
Wewe mwanaume mrongo kabisa huna hata aibu, unantesa mtoto mdogo hivyo
@daltonmutsunga9571
@daltonmutsunga9571 6 жыл бұрын
Wanaume waluhya acheni kututesa.si kuchapwa ,usherati !hadi tunaona mateso tunakimbiliaNairobi kufanya kazi za nyumba.Mjihoji ee wanaume waluhya
@florenceshiku7032
@florenceshiku7032 6 жыл бұрын
Aki nilitaja hii kabila apa wakati mwingine nilitusiwa aki ...kila siku inashangaza.....
@catherinemurugi3718
@catherinemurugi3718 6 жыл бұрын
Kupigwa na in laws siezi naweza kuwachukulia kamuti mkule nyasi mwili si yakuumbwa na matombe.
@beatriceomino7321
@beatriceomino7321 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
PATANISHO: Mke wangu hunichapa sana lakini bado nampenda
18:39
Radio Jambo KENYA
Рет қаралды 61 М.
Patanisho: Nilisahau kuvaa pete mke akaniacha
19:54
Radio Jambo KENYA
Рет қаралды 35 М.
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
40 Qiso┇40 Qiso Ee Ygu Saameynta Badan 2023ᴴᴰ┇► Sheekh Musdhafa Xaji Ismaciil
3:26:03
English Listening and Speaking Practice Learn While You Sleep
3:01:20
Zen English
Рет қаралды 6 МЛН
كيف تنجح العلاقات مع ياسر الحزيمي | بودكاست فنجان
3:03:09
CABDULLAHI MAXAMED NUUR: WAREYSI BUUXA  SHIRQOONKI SHAQADA
3:47:53
HANOOLAATO
Рет қаралды 1,2 МЛН
How to Get a Developer Job - Even in This Economy [Full Course]
3:59:46
freeCodeCamp.org
Рет қаралды 3,4 МЛН
PLAY THIS MIDNIGHT BATTLE PRAYER EVERY NIGHT AS YOU SLEEP | APOSTLE JOSHUA SELMAN
3:57:37
Sijawahi taka kutafuta bibi yangu tangu atoroke nyumbani
20:37
Radio Jambo KENYA
Рет қаралды 40 М.
AFARTANKII (40) QISO OO UGU SAAMEYNTA BADNAA_2022 iyo 2023_ SHEIKH MUSTAFA.
3:26:03
IFTIN BROTHERS STUDIO
Рет қаралды 2,6 МЛН