Waoo hatimae busati sasa mmeleta kitu tofauti tunashukuru sana wangapi mnakubaliana na mimi kwamba zuri siku hiz kapendeza sana na kazidi kuwa mrembo zaidi😂
@Teresia-bg9dtАй бұрын
Kabisa hii movie ni tamu sana😂😂😂
@LucySamsoniАй бұрын
Kazi nzuri sana hongereni
@MonicaMkombwe25 күн бұрын
Hii ndiyo walitaka mtu shombe shombe
@veronicangendela973716 күн бұрын
Naomba kujua apo kamera iliwekwa wap ad kuonesh mazngrq ya juu wakat anakmbia
@neybadada3044Ай бұрын
Yaan hapo tuu mmejua kunikosha jmn busati tv. Jinsi navopenda hizi hekaheka jmn naenjoy mimi❤❤❤.
@MRTASHA-c2kАй бұрын
Kazi nzuri sana
@ayshajeffa734326 күн бұрын
Sana🎉🎉🎉
@ZaynabAlly-n8d26 күн бұрын
Kabisa mr director tunakukubali director mtoto 😊
@MariamuKaiza25 күн бұрын
Nakupenda sana WW mtu
@MariamuKaiza25 күн бұрын
❤🎉
@ruthetabaleАй бұрын
Kazi nzuri wana busati
@MariaHussein-f5wАй бұрын
Wapiii ep 2
@Mwanajumahassan-tg3zgАй бұрын
Kai tulia bwana 😂😂😂 waoooo busat tv sasa hii move mumetoa kitu na yaonyesha ni kali ❤❤❤❤❤twawapenda hongera busat tv ....saaingine ukiona mtu katulia ujuwe siwatu 😂😂😂 sania mrembo kumbe much lov tuko pamoja
@SdFft-j5gАй бұрын
kumbe hii ndio ilikua inatafutiwa mtu anaeweza kuigiza kama jini😅😅😅😅,nzurii
@FinindyFianaАй бұрын
Umechelewa kujua
@nahimanabella247829 күн бұрын
Ndioo kashaoatikana❤❤❤
@MonicaMkombwe25 күн бұрын
Kumbe umekumbuka na wewe😂
@MAKAMEMAKAME-l8pАй бұрын
nimeipenda sana kar sana sana piya naomba nafasi japo moja tu 5:36
@marhstanStan8 күн бұрын
Nzr🎉
@sadahamad6158Ай бұрын
😂😂😂😂😂 kai yuwaowa wanawake wote w busati mashabiki tutulie tu kila mtu ataolewa na kai pia hii movie niliisubir kwa hamu jini nyoka pinky ❤❤❤🎉🎉🎉 unajua
@MounirahyaАй бұрын
Kaz nzur
@Yesunijibuu29 күн бұрын
toeni movie moja moja mana mnatuchanganya
@كامليا-ر7زАй бұрын
Wa kwanza n mm hapa kwa hii movie mpya naomba like zenu ❤❤❤🎉🎉
@aishaomar2287Ай бұрын
Kumbe umalaya kuna no 1 hadi 5🤣🤣😍 ila kilamba # mashallah baby pink go girl 💖
@جميلةالثبيتي-ج9ه22 күн бұрын
Yaani mnaweza mpaka mnaweza tena😂😂nipeni like ata moja😢😢
@gracekayumba-z9lАй бұрын
Yaan busat mpo vizur mv kibao n mnatoa kwa wakat
@UwaseNadia-k1gАй бұрын
Ivi mutoto zuu kamuweka wp
@MonicaSimon-n3iАй бұрын
hongelen kaz nzr tuk pamoja
@musililenah726928 күн бұрын
Karibu Kenya twapenda movie za bongo
@HamisiMachinda18 күн бұрын
KAZI nzul sana ❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤🎉🎉
@MARYAMSHABAN-l5wАй бұрын
Tupo uku tena❤
@JoharSalehe-j6sАй бұрын
Inapendeza sana movie nyingine tena
@RizikiZikiАй бұрын
Iyi itakua ya moto🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JohariMakindaАй бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉waooooo mzuri sanaaa
@husnahusna1544Ай бұрын
Jamani vitu vizuri 🎉🎉🎉🎉🎉❤
@AishaSalem-g2vАй бұрын
Napenda busat TV kwakweli mpo vizury❤🎉🎉🎉aya bc msicheleweshe jamn
@asyaomar-b9v29 күн бұрын
Pink umechez vizur sana karat yako unaonesha🎉umakin wa hali ya juu sana🎉🎉🎉😅upo pamoja na comment yangu naombe bc like❤❤
@MshefaMshefaАй бұрын
Waah ama kwel mumekuwa wabunifu apa mumeweza pongezi sanaa❤❤❤❤❤
@asmaahibrahimАй бұрын
Uwii naogopa nyokaa😂😂
@SheilahJeptoo-l4jАй бұрын
Ata mm 😂😂😂
@Agnes-hy1vkАй бұрын
Movie Kali Sana....... episode two isikawie tafadhali 🙏....kazi nzuri Wana busati🎉
Asanteni wana busati tv MashaAllah sinema zenu ❤❤❤
@KhalidaUridu29 күн бұрын
Nice job 🎉❤❤❤ msicheleweshe basi
@TimeAly-z1lАй бұрын
kazi nzuri ❤❤
@Veicepetro-xd7ns22 күн бұрын
Mm moja wapo
@everlinekenga437Ай бұрын
Nimewahi kwa hii movie mpya❤❤❤
@JanetKamene-i4yАй бұрын
Kilamba weeee Wacha kuchongoa Kai wangu na zuu
@hamadKhamis-p6kАй бұрын
Jee tumuangalie jini zile sifa alizotakiwa anazo
@JeannetteManirambona-o6mАй бұрын
Kilamba rafiki wa kai kweli
@lailaramadhani-kq2tfАй бұрын
Jamani na mimi nipo sambambqn tugonge pamoja tuliokuwa sambamba tuwale maua yao🎉
@SaumuWanjeАй бұрын
Wow kazi nzuri ❤❤🎉🎉
@FestusJuvinaryАй бұрын
KAI BEE KAI BEE hauna baya mwamba na kikosi chako🖐️👏💯🌷❣️👐💥🇹🇿👋🖐️👏❤️💔💔🙌🙌❣️
@AshuneyHamisiАй бұрын
Haya mambo me ndo nayapenda😅
@AishaSad-ck8zk16 күн бұрын
Jmn uyo jini mzuriii ad asira🥰😂😂😂swez ishi bila uyo jini jmn em nifte leo usk😹😹😹
@ZaharaNaperetaАй бұрын
Mumeweza San 😊😅😮😢😢 kweny hii
@NeemaPhares-q7nАй бұрын
Duh mbna mnatuchanganya nyie movie zimezidi malizeni Moja Moja keanza
@SaumuRuwa-r7jАй бұрын
Sindo vizur watu wasiboeke waking wakingoja muendelezo wa series moja
@KulsamirHamadАй бұрын
Hongera pink lady kaz ndhur my dear😊😊😊
@JacintaMalobaАй бұрын
Among top 40😂
@LuciaBukulaАй бұрын
Busati TV michanganyo michanganyo Bwana Yesu amekataa😅😅😅😅 msipende kutuchanganya na vitu vingi
@Swabrina-Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@MwanapiliCharo-s2nАй бұрын
😂😂😂😂uuuuuuwi
@Chrstine-j6uАй бұрын
Hahaha 😂😂😂
@JoselineJuma-r7oАй бұрын
Nawafutilia nkiwa kingdom, kazi nzuri wana busati🎉🎉🎉
@JanetKamene-i4yАй бұрын
Wacha Kai akajionee mwenyewe
@husnababeАй бұрын
Kai ashaanza n mchepuko
@jersonjerson-nl9ny16 күн бұрын
Mko vizur xana 🎉🎉
@AnzaziTsumaАй бұрын
Mambo tuyapendayo ndo haya sasa
@mwagombamwachupa3396Ай бұрын
Kazi babu kubwa❤❤🎉,,,kwa mtazamo wangu bora msingetoa house gal season 4 mka concentrate na hii ili isikawie,,,😅😅😅😅msinipige mawe mashabiki wa busat ni maoni t😂😂ila najua house gal iliteka myoyo ya kila mtazamaji,,😅😅
@ElizahJames-u1o21 күн бұрын
Kaz bomb sana ♥️♥️♥️busat
@GinaFaruqueFaruque-e6jАй бұрын
Twaombah muendelezo EP 2
@kidempunga4337Ай бұрын
Apa ssa mnatukosha mioyo yetu movie nzuri sana
@SAKINAOmaryBakariАй бұрын
NI Nzuri sna ila Msichelewe kutoa epsd nyngne❤napenda kazi zenu sna tuu🎉
@coolboymicky3651Ай бұрын
❤❤❤
@FinindyFianaАй бұрын
Kweli wakitufanyia kama walivokua wanafanya kwenye house girl tunaandamana,,, wakenya kujeni😂😂😂
@SAKINAOmaryBakariАй бұрын
@@FinindyFiana tupo sisi
@FelistusKimanzi-f2gАй бұрын
Kazi njema 😂😂😂
@coolboymicky3651Ай бұрын
Yamotooooo sanaaa
@Amina-d2b6b6 күн бұрын
Mnafanya kaz nzr hongereni
@ZulfaChaiАй бұрын
Jmni kawimbo nacho ..nanunua TV saudia nikiangalia Busati tv 😅😅more love 🥰
@JaneJane-h2iАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kumbe lilamba hauna ndevu😂😂😂😂 pole
@MaziamJororoАй бұрын
Movie bila kilamba ukwanju bd haijanong😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@GloriazawadАй бұрын
Kai na kilamba yani umalaya tu 😅😂😅😂😅😂😅😂😅😂😅
@FatumaBahatihassanАй бұрын
Kay inaonekana nimpenda vyeupe maana vyeupe havimpiti mpenzi shikamo
@FatumaMwinyimvua16 күн бұрын
Kirambaaa eti anataka kuingeneer😅😅
@SamouOman26 күн бұрын
Wowiii kazi nzur jaman
@BenadethaSankwa-p7xАй бұрын
Busati mnatupa burudan sana like jamn
@GiftMichael-l4e10 күн бұрын
Nampenda zuu na zatiti mungu azid kukuza kipaji chenu
@sakina5550Ай бұрын
Kilamba jamn eti umalaya tu😂😂😂😂 eloooooo mtandao gani unaopiga😂😂😂😂
@SelestiniAlfonceАй бұрын
Wa miambili leo leo nipeni ma ua yangu miambili
@ChantalGAKIZA29 күн бұрын
Hiii kari kabisa hongela buzati tv
@mejubagu6825Ай бұрын
Kai umalaya ume huweka Mbele
@Wardajuma-l7u27 күн бұрын
Uamalay 😂😂1 namba 2 3 4 namba5
@UmaziMdzombaАй бұрын
Kazi nzuri sna kwa kwel mumeweza
@AllyBabu-kr6lgАй бұрын
Kai uwezi kujishikilia😅😅
@RehemaSalim-m8s28 күн бұрын
Wow kazi nzuri hongereni🎉🎉🎉🎉🎉
@NajmahnyangasiАй бұрын
Na mimi wa mwisho je sipati like
@WardaSalumu-xl8dzАй бұрын
Mko majina Sana vijana ata dakika 2 bado kama wote umu