Nimekupenda sana phina wewe unashukrani sana mtu akikufanyia wema ausahau unasema ukwel na unashukuru safiiiiiiiiiiiiiiiiii sana kwa hilo phina..mim nishabiki yako.. nakukubali sana na nyimbo zako nzuri sana haziboi.. .utafika mbali nimekupa baraka zang as ur fans
@Tariq_Tryagain3 ай бұрын
Dah.. ila wasukuma.. mkaona mtupige interview yeny 1h n' half😅🙌❤🔥
@uiptv3653 ай бұрын
Phina yuko vizuri sana 💯💯🙌🏽❤️
@kdloon20303 ай бұрын
Phina anaongea vizuri,hana makuzi wala hafichi kua alikua broke katika situation flani.Ila ingekua wengine full mishauo!
@empafricatv3 ай бұрын
Sns ninumber Moja Tz na Africa mashariki
@mkodojoseph-kt8wd3 ай бұрын
Brother Sky nilikua Singida ndichi ndichi huko maeneo ya Mkalama nmerudi kufika Nduguti naona umestepup na New Studio, Hongera sana bro..... By the way when was the official launch....?
@safari233 ай бұрын
We need a Lauren Hill like reggae song from you Phina. You have a lot of potential girl.
@zaidiissa37143 ай бұрын
Brother SKY SNS tunawakubali sana ninaushauli kama ungeuzingatia itakuanoma sana kwako na faida kwa TAIFA kwaujumla mfano hapo nyuma ya TV ungeweka picha za utalii mfano tv ingekua inaonyeaha mbuga za wanyama mlima Kilimanjaro maziwa kisiwa cha Zanzibar nakazalika 🇹🇿🇹🇿🇿🇦🌍
@RamazaniMulongeca3 ай бұрын
Mawazo yako bro nimazuri, ila sasa kumbuka anayeojiwa hapo nimsanii anayeitaji kutangazwa kwa faida ya TAIFA. Sky angeweka hivo unasema, namimi ningekuja kusema kwanini hajaweka nyimbo zaMsanii anayeojiwa brother, ndo hivo.. kuusu utalihii hapo ataweka wakati anazungumzia maswala ya inchi kwa ujumla… ahsante kwa usikivu mwema… Respect
@masalakulwa76013 ай бұрын
we naye tuondolee upuuz wako hapa .kuna sehemu za kuangalia hayo madude..pita hivi
@shaabanmfaume61023 ай бұрын
Weka chanel yako uoneshage wewe ni ushauri tu na mm😂😂
@BoraChongera3 ай бұрын
ila Ruby mkorofi 😂😂😂kila mtu lazima wapishane watu wafupi wana matatizo sana
@shwaibukhatibu28383 ай бұрын
Na ndo asiliya watanzania
@pedroblakesmusic2 ай бұрын
Otile 🔥🔥
@shukrankabuka29482 ай бұрын
Mh mbona kama I see Vanessa on that guy ❤
@danielmacharia96032 ай бұрын
Wakenya tunafuatilia Sana mambo mingi ya dunia
@husseinhussein99713 ай бұрын
Interview nzuri
@MariamIbrahim-h7p3 ай бұрын
Ruby anarchies chafuw sn
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM3 ай бұрын
Ongera SNS ❤
@Milanorock3 ай бұрын
❤❤❤wasanii wakali wanawake. Ruby. Maua Sama. Phina. Kale katoto kadogo kaa Tid. Halafu hap wengine
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Daimond naomba msapoti phina wetu mana anastaili anakipaji na bado hanataji we akutosha...mpe mtaji angalau ili impush or msain ili umpush mana anakipaji sana na bado kifainensho bado hajakaa sawa... daimond najua hushindwi nakuomba ufanye kitu kwa phina apo ili gurudumu liende mbali
@svt33 ай бұрын
Kupana sapoti sio mbaya ila wasanii na wanadamu kwa ujumla wengi ukisha wasapoti wana zharau za juu saana huyu phina alitambulishwa na Ritha ila kujulikana kidogo na ka hit song 1 au mbili wala hata salamu hampatie uliza uelezewe
@empafricatv3 ай бұрын
🔥
@globalNote-o1c3 ай бұрын
Ila Phina eti kasema wilagaaah, daaah
@khadejakhadeja97133 ай бұрын
Gombeeee. Gombeee.wangapi😂😂😂😂.
@ngarathecomedian57433 ай бұрын
Comment yangu msiiguse 😊
@FocusNyari3 ай бұрын
Nimeigusa eeeeh unasemajeeh
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Vipi kuhusu Lod music?
@sund25533 ай бұрын
Mkoti umejaa machata ya Masonic
@mwanaidimussa3 ай бұрын
Anajikutaaaaaa mjanjaaaa kmbe ata nguv za kuwafikia hao fremason hana …kututishiaaa maishaaa pyeeeeeee