Oh my god today I am number one to like it is video iam so happy I am from Saudi Arabia but home I Kenya 🇰🇪
@MartinSinyangwe-s8i2 ай бұрын
The first one is me give me a like please guys .🎉I love your jobkp wa Aquino and be fast guys to post a moves because people we forget how movie is finished so me I complain about it .❤❤❤❤❤🎉
@RosaJoãoBacar2 ай бұрын
Nawapenda sana tena sana tim kp. Hila namba moja ni mzee likoma i love you so mosh. Sio Kimapenzi hila ni kwajili ya Allah.
@Thedy-tp5ei2 ай бұрын
Tunao tazama plan B huku tukiwa na majonzi ya kuondewa na mpendwa wetu kaka yetu Marco zabron tujuane hapa
@KideJames2 ай бұрын
Maico yupi
@NeemaPatrick-d7c2 ай бұрын
😭😭😭
@HappynessSoli2 ай бұрын
😭😭😭😭😭
@clariszawadi20102 ай бұрын
😭😭😭💔💔💔💔💔
@AishaMohamedhaidari2 ай бұрын
Ndio Nani huyo marco
@AnisiaJames2 ай бұрын
Kazi nzuli sana kp na zebuu ila Mjalibu kuwahisha jamani tunasubili sana ila mungu awapiganie mzidi kutupa burudani
@vallesndayishimiye23962 ай бұрын
Ngoja nichukue kiti nione hapa kinatokea Nini mbere ya mbakaji na muizi haoooo😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😂😂😂😂😂
@reginaIssa-m2j2 ай бұрын
❤❤❤❤kazi nzuri sana 👍 shey shey hawezi shidwa na Jambo atafanya kitu juu ya Nora
@BeltesaMuhasa-mo8ti2 ай бұрын
Wow mbona nzuri sana lakini , nimeipenda sana
@aliyahaji85122 ай бұрын
Good job congrats kp na zebun na all the team twapenda nyote ❤❤❤❤❤❤4rm United kingdom 🇬🇧 🇬🇧
@danielkizito-r5wАй бұрын
Sanaa napenda
@AndrewKess-w1mАй бұрын
DAAAA! Kazi nzuri sheishei daaa ila jitahidini kutuwahishia jaman mungu awalinde na awape nguvu❤❤❤❤❤❤
@shadrackmohamedi87652 ай бұрын
Hawa watu ndio wamenifanya niifuatilie Bongo Movies. Nashukuru kwa kazi mzuriiii,
@AmosBudoyaАй бұрын
Fantastic bongo series from these guys keep it up jaman mnaigiza poa Sana but Nora nakupenda jaman we kamdada
@DanielManuelMissa2 ай бұрын
KP wewe na zebu mumekubalika semu yote Mozambique weka like.
@j.claudeniyonkuru39892 ай бұрын
Jamani kp nae mwizi kaenda kwa muchumba wake kutoka bilan tarifa na Zima taa zawatu eban mamupenda sana michezo yake
@KamiloAbdullahKamilo2 ай бұрын
Mm doka ep ya kwanza mpaka ya kumi na moja sijawai kucoment kwa sababu uwa sipati😠😠 like from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@BundalaShija-yb4vo2 ай бұрын
Kalale itakuja kupata comment sku ya mwisho, wew unaomba comment tu umechangia nn kwenye series 😮
@KamiloAbdullahKamilo2 ай бұрын
Nimeshajiya kununuwa bando😂😂@@BundalaShija-yb4vo
@AmusedCrescentMoon-bm8qo2 ай бұрын
Nawawakilisha team strong team fulus much love guys ❤❤
@AliJoao-pe2ur2 ай бұрын
❤❤❤🇰🇪🇰🇪 mombasa ndani kabisa good work keep working hard bro
@syliviaSoyita2 ай бұрын
Jamani Norrah unafurasha unavyofua ila nawakubali team zebuu na kp nawapenda kupiliza❤❤❤❤🎉 ktk kenya 🇰🇪
@AndrewKess-w1mАй бұрын
DAAAA! Norra umecheza kama Pele yaani kumpenda mtu Alie kuibia cm hongera sana kazzi nzuli❤❤❤❤❤🎉🎉
@AsiamirajiDaud-mz6mu2 ай бұрын
Aaaaa kiukweli filamu nzuri sana ila inachelewa sana. Jikerebisheni kutowa filamu angalau siku mbili
@PatrickNakashanja2 ай бұрын
kp harakisha sehemu ya 13 ya plan B nimetokeya kuipenda bwana natokeya congo bwana ✅☑☑☑♥♥♥♥♥
@LeonMsambya2 ай бұрын
Bonjour je suis le première d'avoir ce film
@Getu5602 ай бұрын
Mnachelewesha mno kp jitaidi kutuwah shia utamu huu ❤❤ kwaleo Mzee likoma kanifurahisha na nyimbo zake 😂😂😂😂😂
@Mariamvaileth2 ай бұрын
Wa kwanza leooo naombeni like zangu😂kazi nzuri kp na zebuu
@kura.the.boy-2 ай бұрын
OY NAKUBALI TEAM KAZI NZURI MMEUWA SAN UMU KAZI NI NZURI SAN HONGERENI
@HappyDickson-d2g2 ай бұрын
Jaman tatizo munachelewesha San Kaz nzurii jaman
@HamisiMajuju-e9k2 ай бұрын
Wakuuu tunae amani kua wanachelewesha sana ili wajue weka like hapa
@Saudaboshori-ie7en2 ай бұрын
Nawakubali Sana kp Na zebuu movie zenu uneza angalia Hata Na watoto ❤hongereni Sana ndugu zangu🎉🎉
@NajmaMwakoib2 ай бұрын
Team strong 💪 njooni himeletwa movie yetu tamu na venye nimekuwa wa kwanza🎉🎉🎉🎉nawapenda sana
@MariamRiziki-o8x2 ай бұрын
Kama unamkubali sheishei gonga like hapa tukimove on🎉🎉🎉🎉🎉🎉from kenya
@MwanaHamis-y4e2 ай бұрын
Kp mtambo ukaona isiwe tabu kuwazima umeme tu .hongereni sana kwa kazi nzuli Kp na Zebu nawapenda❤❤❤
@MarryToem2 ай бұрын
Waah kp wewe ni mwizi atari😂😂😂😂 Evo ndiyo unafanya wanaokupenda wakuchukie 😂😂❤
@RosaJoãoBacar2 ай бұрын
Sheila we ni noma,I'm Ploud For you. Sijui vizuli kingeleza hila nakipenda atari.
@JajiKazungu2 ай бұрын
Kazi nzuri na pongezi kwa kuileta kwa wakati endeleeni hivyo hivyo
@AndrewKess-w1mАй бұрын
DAAAA likoma anafulaisha kwenye kamnyweso wivengo naipenda hiyo🎉🎉🎉🎉
@UmbalicheMabusness2 ай бұрын
Wengi si sio mastaa kwaiyo wewe pita tu Mungu anakuona ❤❤❤ bhana
@jaymapepefatma59362 ай бұрын
This is love From Mozambique 🇲🇿❤💞
@salomeIzaac2 ай бұрын
Twende nalo...nilidhani kp kapatikana😂😂😂😂😂..haya waiting for next
@LeahCosmasNzoka-po3dr2 ай бұрын
😂😂Mzee likomaaaa ❤❤ nakupenda bure😂😂😂
@MariamRichard-g3x2 ай бұрын
Naombeni mnipe taarifa Ili na mm nielewe ivi hizo like mkipewa Huwa mnauza bei gani
@Samwelyptv2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hildalyatuu27102 ай бұрын
Yaani hii ndo ajabu. Kila mtu anazitaka.
@zerajoyce50162 ай бұрын
Kwani hua zina nini mbona hamsemi na Mimi nianze kuzifukuzia
@MbarakaSefu-w6yАй бұрын
Wapumbavu hao wajinga tyuuuuu
@Ysga-s5b2 ай бұрын
Naomba mungu mutafika mbali sanaa all them tiimu zebuu &kp&zebuu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@johnsonryva69562 ай бұрын
Plan b kazi ni nzuri sana naipenda kiuakika, ila tatizo mnachelewesha Siku nyengi kutowa myendelezo. Tafadhali toweni myendelezo kwa haraka.!!! Nawa penda sana ❤️❤️
@rufinamtenda24152 ай бұрын
Mnachelewa sana kutoa mwendelezo mnatukata vibe mashabiki
@Agyy6282 ай бұрын
Ukienda na hizo beat za movie zako na udhoefu wako utamfikia kipenz cha wengi kanumba hakika utapita mlemle alimo pitia yeye 🎉🎉🎉🎉chukua maua yako🎉🎉
@ShaniLamay-ln6se2 ай бұрын
Mkikataa kulike comment yangu naomba ata kp na zebu wa like basi
@JeffmollelJeffmollel-l2n2 ай бұрын
Basi la kwenda wapi 😂😂😂
@HadijaKanze2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ila likoma anavunja recond@@JeffmollelJeffmollel-l2n
@BundalaShija-yb4vo2 ай бұрын
Kwani lazima, na kwa tarifa yako hatulike 😮
@KatavalyKambale2 ай бұрын
Usi jali, mi ntakupa hata 10
@numpefikimwaipopo2 ай бұрын
Unataka like Kwa lipi ulilofanya
@Olepachu11822 ай бұрын
Big up Sana shee she nakukubali at on 💯🎉🎉🎉🎉 umecheza nafasi yako vizuri 🎉
@johnmombo342 ай бұрын
Napeperusha bendera huku kenya🇰🇪🇰🇪
@CarolyneNyanchama-yk1gf2 ай бұрын
Likoma 😂😂😂🤣wallai this guy is killing me likoma please spare my ribs 😅 halaf naona Zabuu anamfit Nabil na Norah ni kp nawapenda guys for keeping me busy ila nimemiss Brighton anywei kiasi tuna kibarua tutashinda kweli feel loved from 🇰🇪🇰🇪
@meryanagenes91632 ай бұрын
Zebuu nakupenda kazi nzuri saaana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@meryanagenes91632 ай бұрын
Hamna baya kazi safiii nawapenda
@DonMooFILMES_Express2 ай бұрын
Hii tamthilia inasisimua sana ❤ Aliyeiandaa katumia akili na kipaji
@CruzMelody2 ай бұрын
Wa kwanza kutoka Kenya naomba mnipe like zangu
@DonMooFILMES_Express2 ай бұрын
Hapanq, hii tamthilia sio nyepesi hata kidogo. Aidia imekaa kimataifa kabisa. Hii sio Bongo Muvie
@ZaitunMwalago20 күн бұрын
Mm ujiuliza kp niusomi ama niakilitu za movie mbna mkaliivi
@DonMooFILMES_Express20 күн бұрын
@@ZaitunMwalago umeona eee! Hii timu yao watu wasipokuwa makini watashtukia imefika anga za kimataifa
@aminanaima68992 ай бұрын
Swa sana sheishei nakuaminia kwa kweli kazi nzuri wallai nakupenda buree en mob ❤to all tem kp❤❤❤❤❤
@juniorkasongoJordy2 ай бұрын
Filamu ni nzuri sana, ile msiwe muna chelewesha kutowe myendelezo.💥
@enocksilungwepondajr97072 ай бұрын
Watching from Lusaka Zambia
@Lidya-e1i2 ай бұрын
Wueh Nora ameshuku kitu❤❤❤mambo inazidi kuwa moto
@AsmaAsma-hy7wp2 ай бұрын
Na mimi Leo nimewahi like kumi jamani
@mariasimonmuhando-m8x2 ай бұрын
Kazi nzuri sana jamani hongela sana 😂😂
@ibrahimmartine91852 ай бұрын
Hongeren san movie nzur nmeipenda
@AsaniAnsufati-jc3yv2 ай бұрын
Kazi nzuri sana KP 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@VinnahSally-yg4ng2 ай бұрын
Likes jamani,,, much love fro from me. Hata 30 likes
@KulwaChapota2 ай бұрын
Mko poa sana timu kp hongereni sana
@glorymanga36502 ай бұрын
Wa kwanza nipo hapa ilaa tuangalie movie kwanza,like mpeni mwenye movie yake
@CAPTAIN_GALAXY132 ай бұрын
KP hapo umetupiga Zebuu ufupi wake angewezaje kuwasha main switch yote tisa norah alikuwa standby umeme umekata flashlight ipo on au mi nimekosea chief 😹😹
@pelusiemanueli69262 ай бұрын
😂😂
@ElizabethFrank-r4n2 ай бұрын
KP huwa hakoxei Leo bahat mbaya
@saimontimotheo2 ай бұрын
Unajitahidi sana KP kazi nzur
@PrincessHellen-pg1oy2 ай бұрын
Anajitahidi au anaweza ???
@RizikiZiki2 ай бұрын
Kama unamkubali kep ebu gonga like apa 😂😂😂😂kep we kiboko 🎉🎉🎉🎉
@AnnaEugen2 ай бұрын
Na mimi leo jamaniii naombeni like
@DeborahFuraha-ho4yk2 ай бұрын
Basi nakupenda shaiala unachievable macheko yawuchimbi sanaawewe nimuizi waguvu kabisa
@JacksonZakaria-w9o2 ай бұрын
Wow good work from Serengeti,
@Yoramusindotuma2 ай бұрын
Sheyisheyi Mungu asidi kukupa miaka mingi ya kuishi dunian
@mobastian50502 ай бұрын
Suraji tangu arudi nyumbani kwao na baba ake KP kwenye last card hajarudi mpka saiz😂😂😂
@NyemboBenjamin2 ай бұрын
Na mimi yule kutoka 🇨🇩🇨🇩 naomba like zangu jamani
@LucyPeter-sp6ez2 ай бұрын
Kumbe wacongo mnaelewaga
@NyemboBenjamin2 ай бұрын
@@LucyPeter-sp6ez 𝙮𝙚𝙨 𝙢𝙮 𝙗𝙧𝙤𝙩𝙝𝙚𝙧
@modestamodesta39402 ай бұрын
Waaaaaao Ila mnatukalisha Sana jmn kp daaah rekebishen tupate ep kila day plz❤❤❤❤❤
@zawadichengokatana47502 ай бұрын
Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JuliaAyuma-z5w2 ай бұрын
Shey shey nakupenda kwa utendaji wako wa kazi ukiungana na kp 🧡
@Gwhitetv-ew9koАй бұрын
Kazi nzur kp na zebuu bila kumsahau likoma
@MkaseeMkasee2 ай бұрын
kp na zebuu nawapenda sana good job
@Josiasb-josh27 күн бұрын
yaani nawapenda sana,mpaka sisinziyi nikiwa natazama hizi movie.Josh from cong
@abuwatako82822 ай бұрын
Shida ni wanachukua muda sana kuweka kazi hadi mtu anaboeka
@hamzaIlunga2 ай бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team Aquino
@DenisNyongesa-lj1snАй бұрын
Hadi pia Mimi nimenockie huyo noraa❤🎉😂
@BrayanTarimo-qu6rj2 ай бұрын
Kaz nzur mapema San 🎉🎉🎉
@AliKhamis-M262 ай бұрын
Nakubali hii video derock 003 new like
@evalineboit2 ай бұрын
Poleni sana watanzania Kwa jumla.kwa kupotea Marco tunatowa rabirabi zetu kutoka Kenya poleni sana
@RehemaMundu2 ай бұрын
Mzee likoma😂😂😂😂😂 wanvunza mbavu haaaa.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂
@getrudaFransis-zo7kp2 ай бұрын
Ila Huwa mnapenda like Kam vil nyie ndo producer
@OdnessDominick2 ай бұрын
Wanakera yaan
@danielkizito-r5wАй бұрын
Sana sanaa😢❤pamb😢mtupe brudan
@FatimaFatima-bx8ez2 ай бұрын
Jamani hii movie noma sana 😮😮😮mashaallah nawapenda ❤🎉
@OmerTshibuabuaАй бұрын
Mi na ku penda saaaana zebu na kwa kazi yako nzuri kabisa ila kiukweli na taka niku owe na uwe mke wangu halali wandowa na unizalie wa toto waziri sana kama wewe mwenyewe nakupenda sana mpenzi
@khadija21132 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣ila mzee likoma wewe 🎉🎉🎉NAWAPENDA sana sana kp zebuu nola Sheila ❤❤❤❤❤❤
@PeaceMindTz2 ай бұрын
Nakubali sana kazi kubwa iyi
@LeylaMgaya-og5mm2 ай бұрын
Jamani iyo ni plan B iko fireeeeeee sana
@SamsonNdekaniloАй бұрын
Nakupenda sana kp na zebu aise mzee ww ninoma likoma
@charlesboki18252 ай бұрын
From 🇰🇪 series Iko 🔥🔥
@NelcyAfrica2 ай бұрын
Leo mmekawia sana waaaah
@OscarNgani2 ай бұрын
Kaz zur Sana mungu aendelee kuwapigania
@adinanzacharia4092 ай бұрын
Kp kazi nzuri sana ❤❤❤
@othmanmazuri13652 ай бұрын
Big up kp na team yako
@charlesbululu38582 ай бұрын
wanakubali sana pia noora anatakiwa achangamke kidogo ila kazi nizr sana👏👏