PLAN B _ Episode 5

  Рет қаралды 252,839

kp wa Aquino

kp wa Aquino

Күн бұрын

#bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #wamangushi #zebuu #tanzania #sonaa

Пікірлер: 672
@Leyla-n6x
@Leyla-n6x 6 ай бұрын
Heee watu mupo moto amupoi Wala amuboi naipenda sana plan b from kenya🇰🇪
@MwanamisiBakari-xh3jo
@MwanamisiBakari-xh3jo 6 ай бұрын
Wanaokubali plan B ni safi sana ❤❤❤❤ pita n like
@aliyahaji8512
@aliyahaji8512 6 ай бұрын
Kazi nzuri kp na zebuu mungu awazidishie umri muzidi kutuburudisha na movies zenu❤❤❤❤❤❤
@LeylaMgaya-og5mm
@LeylaMgaya-og5mm 6 ай бұрын
Iyo ndiyo plan B inawasha motoo vibaya sana fireeeeeee hongereniii team.
@rachelmduma9676
@rachelmduma9676 6 ай бұрын
Hebu na mm mnipe hzo like nione raha yake😊😊
@Mwanaisha-p2b
@Mwanaisha-p2b 6 ай бұрын
Kazi nzuri sana kp lakini sijapenda ulivyo ufanyia zebu nawapenda team kp
@SharifuAbdallah-g5k
@SharifuAbdallah-g5k 6 ай бұрын
Wakwanza from Kenya naombeni like jaman
@EZRAWESHTOUH
@EZRAWESHTOUH 6 ай бұрын
Mimi ni wa Kwanza kutoka D R CONGO mauwa yangu
@AmanJoseph-s2e
@AmanJoseph-s2e 6 ай бұрын
E mwenyezi mungu tubariki🙏🙏 sisi wanao pamoja na kazi zetu za halali amen 🙏🙏
@maramalansari3039
@maramalansari3039 6 ай бұрын
Keli kabisa maana sijapenda jaman😢😢
@rizikinassir3998
@rizikinassir3998 5 ай бұрын
Ni acting@@maramalansari3039
@BahatiKadenge-n5r
@BahatiKadenge-n5r 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤kalamu ya kp inaandika vizuri zebuu ila chunga hio ni dili😂😂😂😂😂😂😂
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 ай бұрын
Kp anadhambi😂😂😂
@JamaliNdwata
@JamaliNdwata 6 ай бұрын
Hivi mnaotaka like huwa mnalipwa au kama kuna malipo tuambizane jaman nasisi tupate ela kama mnaikubali PLAN B naombeni namm like nilipwe nawapenda wote mnaofatilia series hii❤❤❤❤❤❤❤❤
@PaskalinaDamian
@PaskalinaDamian 6 ай бұрын
🏃🏃🏃🏃🏃
@purity134
@purity134 6 ай бұрын
Funzo nzuri,ona vile tunaweka wazazi wetu kwa shida
@suedswedgotagota9732
@suedswedgotagota9732 6 ай бұрын
Nampenda san mam kp jaman wanaomkubali tujuane kwa emoji 🎉
@HafsaMohamed-dm9zu
@HafsaMohamed-dm9zu 4 ай бұрын
❤❤❤❤
@Family-i2d
@Family-i2d 6 ай бұрын
Wagapi wamemiss suraj❤❤❤
@aminamohammdl-so7cx
@aminamohammdl-so7cx 6 ай бұрын
Wa3kutoka saudi ❤kazi nzur
@ShidaWilifonsi
@ShidaWilifonsi 6 ай бұрын
Kazi zuri sana mtafika mbali🎉
@MichaelMosesmg
@MichaelMosesmg 6 ай бұрын
Kp naomba like Yako bhana Fanya hvyo bas nienjoy
@LaureenSidi
@LaureenSidi 6 ай бұрын
🎉
@MwanaishaChileta
@MwanaishaChileta 6 ай бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah bless you nawapenda kinoma 🎉🎉🎉🎉
@eliphasethobias1133
@eliphasethobias1133 6 ай бұрын
Hahahaa jaman Sheila wewe😂😂😂😂 Dahh kp chukueni maua 🎉🎉🎉yenu kweli plan B nouma
@aishaomar2287
@aishaomar2287 6 ай бұрын
Mashallah KP na team yako walai kazi zako waumiza kichwa mwamba! 🎉🎉🎉 kama ni akili kutumika kwenye kazi kwako watumia akili za ziada 👏 👏
@salomejames9639
@salomejames9639 6 ай бұрын
Bonge la muvi kp na zebu chukueni maua yenu❤🎉🎉
@Arafa-dt9sh
@Arafa-dt9sh 6 ай бұрын
Dah! Pole sana kp iila tanaa mbaya sana wakat ulikataa ungelirejesha tu pesa ya watu na kwa mtazamo wangu huenda ikalingana na last card
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 ай бұрын
Hiyo ndomaana ya tamaa
@DernolPaulo
@DernolPaulo 6 ай бұрын
Da! Nimechelewa kidogo nasubili kuwa wa kwanza nipate like zangu
@DernolPaulo
@DernolPaulo 6 ай бұрын
Thanks
@PaskalinaDamian
@PaskalinaDamian 6 ай бұрын
Haya chukua like zako👍👍👍
@mwajumalubuva
@mwajumalubuva 5 ай бұрын
Manshallah manshallah mama unamafonzo mazuri kp kp susikii kubaka wizi akajamani 😂😂😂😂 noma zebuu
@EllieHamphurey
@EllieHamphurey 6 ай бұрын
Ila Nora mzuri nyiee❤❤
@HussenMzungu
@HussenMzungu 6 ай бұрын
Sanaaa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Күн бұрын
Sana❤
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 6 ай бұрын
Ila deboze na mzee likoma wanachangamsha sana movie mashallah ❤❤🎉🎉
@CarolyneNyanchama-yk1gf
@CarolyneNyanchama-yk1gf 6 ай бұрын
Diboza na likoma nilikua nmewamiss you never disappoint 😂😂😂 siku chache mtasikia zebuu ako na mimba 😂 poor kp ulifanya kinyume usijutie😮 wote nawapenda ❤❤
@CarolinePeter-gc8fp
@CarolinePeter-gc8fp 6 ай бұрын
Good work Mungu azidi kuwatunza tunawapenda sana...
@salimasava11
@salimasava11 6 ай бұрын
Dada yangu zebuu nilikuambia kaa chonjo mwamba anakuja sasa ona ila kikubwa ni kuomba MUNGU kwa kila jambo najua atajibu sasa tuombe sana kila kitu kitakua sawa Inshahallaah
@DangoteKamwela
@DangoteKamwela 6 ай бұрын
Wakwanza leo nakubal San kp kaz zak
@gundoanimal6750
@gundoanimal6750 6 ай бұрын
Kwani Mkinipa Likes Mtapungukiwa Nini..Au Mpaka Nitaje Sehemu Nilipo😅😅Aya Nipo MOROGORO..Gonga Like Hizo
@JamesReuben-gt8up
@JamesReuben-gt8up 6 ай бұрын
Kwan like znalazimishwaaa
@CristinaRomãoJoaquim
@CristinaRomãoJoaquim 6 ай бұрын
Mimi wakuanza nipe laik zangu 🎉🎉🎉
@QualityHaroub-tf2ns
@QualityHaroub-tf2ns 6 ай бұрын
Jamn natamani isiishe mnajuwa sana kuigiza naipenda sana gang yenu❤❤❤
@ErikianendovuluAmisi
@ErikianendovuluAmisi 6 ай бұрын
Dibozi vraiment c’est super avec Français Lingala much love 🎉🎉🎉🎉
@AishaHussein-sv5vk
@AishaHussein-sv5vk 6 ай бұрын
Kazi nzuri mnifollow tafadhari
@WemaPanja
@WemaPanja 6 ай бұрын
Jaman napenda sana hii movie nampenda KP na zebuu wanavyoigiza kam na wew unapenda tupia like zakoo
@WitneyZulpha
@WitneyZulpha 6 ай бұрын
Kz nzuri san tem kp n zebuu jman naomben like n mm
@MercyWafula-x1x
@MercyWafula-x1x 6 ай бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪
@cristaezekiel1036
@cristaezekiel1036 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂Pesa sirudishi ,kazi siifanyi 😂😂😂😂na amna kitu utanifanya 😂😂😂😂😂
@gershomchallo
@gershomchallo 6 ай бұрын
MZEEE NA MKUBALI SANA HUYOOO ANATISHA SANA.... AKILEWA BALAAAA
@shadrackmohamedi8765
@shadrackmohamedi8765 6 ай бұрын
Yaaaaaani natamani siku moja nikutane na hii team yao angalau niwapongeze kwa kazi mzuri. Ila ndio niko mbali. Nawapenda sana.
@FidelAugustomachalamalaMachala
@FidelAugustomachalamalaMachala 6 ай бұрын
Wa Mozambique gonga like apa
@Priscadzidzamasha
@Priscadzidzamasha 6 ай бұрын
Nawatilia ni kiwa Saud Arabia nawapenda tu bure 🎉🎉🎉
@cristaezekiel1036
@cristaezekiel1036 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kp anapen inamwaga wino mweupe 😂😂😂😂
@Nyotajada
@Nyotajada 6 ай бұрын
Maaajaab ila huyu msukuma mwenzangu ananichekesha😂
@metrinemanyonge6055
@metrinemanyonge6055 6 ай бұрын
Woow kp with your team 💪 good job🎉❤
@dhahabukalama2635
@dhahabukalama2635 6 ай бұрын
Waaah, dakika nane watu 67, mm nawa 68❤❤❤❤❤❤kazi nzuri
@DelvinChepkorir-t1d
@DelvinChepkorir-t1d 6 ай бұрын
Aki woyeee kp I wish ungejua haungefanya iyo kazi😢😢😢but anyway kazi nzuri❤❤🎉🎉
@HajraAbeid
@HajraAbeid 6 ай бұрын
Sheila Nim mkubali sana kill mnap muwek anatish😊😊😊
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 6 ай бұрын
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
@MwajShabani
@MwajShabani 6 ай бұрын
Yani hii ni yamoto sana 🎉
@Baoba4455
@Baoba4455 6 ай бұрын
I like Mzee likoma....nipee hizo like
@MarcygloriaIbrahim
@MarcygloriaIbrahim 6 ай бұрын
Wakwanza kutoka Kenya nipeeni likes jamani
@Adamu-p7m
@Adamu-p7m 4 ай бұрын
Kenya wapi.? Na wakati unaishi buzaa
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 6 ай бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤
@JiranMohamed-pp9gk
@JiranMohamed-pp9gk 6 ай бұрын
Mmetisha
@ZoazinaJohn
@ZoazinaJohn 6 ай бұрын
❤❤❤❤HAKIKA PLANI 'B' UKIIKOSA " UTAJUTIAAA❤❤❤❤ KIKOSI CHOTE KIPO FULL CONFIDENCE. ACHA NIANZE NAWE DIBOZZ 😂I LOVE YOU SO SO... MUCH 🎉🎉🎉
@SwaumuAbdallah-fu1bx
@SwaumuAbdallah-fu1bx 6 ай бұрын
Wakwanza kutoka Oman naomba like zangu
@OmanOman-y7z
@OmanOman-y7z 6 ай бұрын
😂😂😂😂❤❤❤ aki hongeleni sanaa kwa kazi nzur 😊
@RADOMKE
@RADOMKE 4 ай бұрын
Wow nawakubali xn Radoh 4rm 254
@kura.the.boy-
@kura.the.boy- 6 ай бұрын
TEAM KP NI MOJA TU ZENGINE ZINA IGA
@Damacline4004
@Damacline4004 6 ай бұрын
Kazi nzuri sana kp hongera sana ❤❤❤❤much love from Kenya 🇰🇪
@adventrohimu1468
@adventrohimu1468 6 ай бұрын
Nimeikubali series.Imenikumbusha maujumbe niliyokua nikisoma na niliyapuuza.thanks
@foryou9231
@foryou9231 6 ай бұрын
Wow!!! hii ni biriani kwelii bdo pili pili kwambali ili izidii kukolea ki sawa sawa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BiisheBugao
@BiisheBugao 6 ай бұрын
Aaah maskini 😢😢😢 mnamuua mama Kp amewakosea nini jamanii atkma n acting lkn , sijapenda kwa kwelii
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Күн бұрын
Nawapenda cn team kp kazi nzr sana❤🎉
@hassanmoh6601
@hassanmoh6601 6 ай бұрын
Kama na wewe ni mfuatiliaji gonga like kama zote apa🎉🎉🎉
@VelonikaMbughi
@VelonikaMbughi 6 ай бұрын
Mmm apa
@Mushalotelevisionkiswahili
@Mushalotelevisionkiswahili 6 ай бұрын
Leo wakwanza kutokea LUBUMBASHI 🇨🇩🇨🇩🇨🇩naombeni like zangu😂
@WistoniSiliveri
@WistoniSiliveri 6 ай бұрын
Wakwanza Sasa umetoa maon gan
@Zainabu-q7v
@Zainabu-q7v 6 ай бұрын
😅😅😅😅
@Zainabu-q7v
@Zainabu-q7v 6 ай бұрын
😅😅😅
@VelonikaMbughi
@VelonikaMbughi 6 ай бұрын
😂😂
@victoriangasa
@victoriangasa 6 ай бұрын
Waoooh jap nmechelewa ila tup pamoja plan B 😂😂❤❤🎉🎉gonga like hap
@DennisKorir-kl3up
@DennisKorir-kl3up 6 ай бұрын
@@victoriangasa unataka likes, na wewe hupeani 😏😏
@RashidKidume-w8e
@RashidKidume-w8e 6 ай бұрын
Pole sana zebuu ndio dunia hiyo
@RahmaRajabu-sw7yr
@RahmaRajabu-sw7yr 6 ай бұрын
Dah mchezo ni balaa
@ZenoSuwi-z8e
@ZenoSuwi-z8e 6 ай бұрын
Leo zainabu umeniliza sana kwa ulichofanyiwa
@InesKaneza-pv3ls
@InesKaneza-pv3ls 6 ай бұрын
Kazi nzuli sana watu wangu
@rosemarenga832
@rosemarenga832 6 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ongeren sana Kwa Kaz nzur
@EvansMwenda-d1t
@EvansMwenda-d1t 6 ай бұрын
Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 200
@elishayaredi
@elishayaredi 6 ай бұрын
Kwan Huw unazipeleka wapi
@dadaamwazewe1299
@dadaamwazewe1299 6 ай бұрын
Zikipita ukanunue unga bas😂😂
@anitabizimana8175
@anitabizimana8175 6 ай бұрын
Wewe unasema 200 hata wengine hawapati hata mbili
@AgnesMasoud
@AgnesMasoud 6 ай бұрын
​@@dadaamwazewe1299ooh sawa kumbe umeuliza tiali hili swali😂😂😂
@JamaliNdwata
@JamaliNdwata 6 ай бұрын
Like unapeleka wapi au kuna malipo jamam tuambizane ​@@AgnesMasoud
@elizabethamunga9081
@elizabethamunga9081 6 ай бұрын
Mashaalaa Leo ni mimi kutoka Kenya 🇰🇪
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 6 ай бұрын
Kazi mzuri big up KP aya team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi nawapenda naomba tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@RehemaSaid-r4h
@RehemaSaid-r4h 6 ай бұрын
Watazamaji wa plan B weka like kwa kp
@AllenSimon-xe3mr
@AllenSimon-xe3mr 6 ай бұрын
wapili leo nawakubali sana
@JohnSinankwa-ur3ul
@JohnSinankwa-ur3ul 6 ай бұрын
Hiyo Mbona kali
@magnibrondi3152
@magnibrondi3152 6 ай бұрын
Big up saaana sheila umeweza uhuni tu saana
@kura.the.boy-
@kura.the.boy- 6 ай бұрын
NAKUBALI WAZEE WA KAZ NZURI KICHUPA CHA KWENDA KAZI NZURI WAZEE NAKUBALI 🎉🎉🎉
@BintiMweluhanga
@BintiMweluhanga 6 ай бұрын
❤❤❤❤🎉Mmmmm isasa ngondo kisai muhulumiee KP ata kidogo
@stitore2388
@stitore2388 6 ай бұрын
Zebuu pore sana jikaze bitayisha 💔💔💔😭😭😭🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@Jajakanjaniri
@Jajakanjaniri 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ One Love. From Burund 🇧🇮🇧🇮
@MichellJohn-zk1hp
@MichellJohn-zk1hp 6 ай бұрын
Niueni leo dibozi na likoma,,,😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅nikome wewe,,nani mzee😂😂😂uuuuuwiii
@gogoloveofficial5666
@gogoloveofficial5666 6 ай бұрын
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
@bayubaheallydelly-rn2zv
@bayubaheallydelly-rn2zv 6 ай бұрын
Eeeh mungu wangu tuezeshe tufanye KAZI nzuli sio KAZI cafu🙏🙏🙏🙏
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 6 ай бұрын
Kazi nzuri sana Mwenyez Mungu awabariki nyote 🎉
@amam2211-
@amam2211- 6 ай бұрын
D boss noma sio kwakucheka uko
@RizikiZiki
@RizikiZiki 6 ай бұрын
Mungu awajaliye kep na zebuu muzeekeshane ibilisi asipate nafasi ❤
@EstherBoniphace-iw1lo
@EstherBoniphace-iw1lo 6 ай бұрын
Zebuu atazaavmyoto naye atakuwa wa kp , nao watakiwa family tajiri saana yenye aman kama unakubali gonga👍 tuendelee
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 6 ай бұрын
Zamwizi ni arubaini Sasa za kp zimefika😮naha aliyo mkuta mama always ni mungu❤😊😊nakukubali sana 😢 😢😢
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 ай бұрын
Huyo askari nae kashindwa kutambua kuna tatizo hapo
@AngelSilas-yi3sd
@AngelSilas-yi3sd 6 ай бұрын
Eti dibozi manuva digala😂😂
@peterlugela8956
@peterlugela8956 6 ай бұрын
Kaz nzuri kp wa Aquino Nmependa kazi yenu sababu imeenda ina improve kwasasa tunaskia adi ma bit mapya safi sana zaidi tu ongeza wahusika na mionekano yenu mpendelee kuibadili badili ata mala 2 kwa muv moja, kama ulvyo fanya humu
@Shazzy2
@Shazzy2 6 ай бұрын
From Kenya 🇰🇪 ❤
@NerryWizzy
@NerryWizzy 4 ай бұрын
❤❤
@محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
@محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 6 ай бұрын
Dibozi amewachanganya Norah na asikari wake😂😂😂ila likoma naye
@reginaIssa-m2j
@reginaIssa-m2j 6 ай бұрын
❤❤kz nzuri sana 👍 ila kisai jamani kwann umemfanyia hivyo mam ake kp na hata hajamwambia mwanae kuhusu baba ake 😢
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 6 ай бұрын
Kp na dotar tv wanafanana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SusanRioba-h7v
@SusanRioba-h7v 6 ай бұрын
Good work👏👏👏
@Ashaherry-e7f
@Ashaherry-e7f 6 ай бұрын
Jaman Likoma wee unanifuraisha Sana asee😂😂😂😂😂
PLAN B _ Episode 6
35:01
kp wa Aquino
Рет қаралды 251 М.
PLAN B _ Episode 10
31:08
kp wa Aquino
Рет қаралды 248 М.
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
PLAN B _ Episode 16
44:09
kp wa Aquino
Рет қаралды 462 М.
ALBASTINI _ episode 5
37:38
kp wa Aquino
Рет қаралды 130 М.
Teke La Mama Part 1 & 2 - Jennifer Mgendi, Bahati Bukuku (Official Bongo Movie)
1:57:49
Me vs Grandma Cooking Challenge | Amazing Kitchen Recipes by Multi DO Smile
31:22
WAMANGUSHI - EPISODE 1
21:19
kp wa Aquino
Рет қаралды 337 М.
ALBASTINI _ Episode 1
52:10
kp wa Aquino
Рет қаралды 270 М.
SNAKE BOY | ep 38 | final mwisho | SEASON TWO
26:41
CLAM VEVO
Рет қаралды 731 М.
SNAKE BOY ( 6-11 )
1:02:26
CLAM VEVO
Рет қаралды 647 М.
ALBASTINI _ Episode 4
45:35
kp wa Aquino
Рет қаралды 161 М.