Hakuna ukweli wowote ila ni mbinu za kumpoteza huyo jamaa kwani saiv, kiongozi mzuri wapiga madili hawampendi
@ibrahimgwasma2353 ай бұрын
Uthibitisho plz
@ernestsinje97002 ай бұрын
Huyo msichana kammaliza bwana wake ,maana walikuwa na mahusiano kwa miezi 6
@esromkanubo8153 ай бұрын
Uhhhh Kuna mchongo sana Mwanafunzi wa chuo kikuu siamini Hilo
@NakembetwaKitundu-tn7xx3 ай бұрын
Kwa harakaharaka hapo mbona kama kamchongo.
@jamilally39163 ай бұрын
sjaelew huy mwanafunz wa chuo kikuu kabakwa au kaenda mwenywe nahc kuna mchongo hpo
@leokamil62843 ай бұрын
Inawezekana kaenda ila jamaa kaingia kwingine bila maridhiano
@suzandonadi14003 ай бұрын
Yani ni kwamba hata awe mmeo amekuingilia kinyume na maumbile ukienda kumshtaki anafungwa huo ni ukatili wa kijinsia
@leokamil62843 ай бұрын
@@suzandonadi1400 Bora watu wapate elimu maana hawajui haki zao za msingi
@josephlorri4313 ай бұрын
Tatizo hapo ni ufiraji... amemla kisamvu/kimavi... haya matendo ni zaidi maeneo ya pwani na zenji
@masoudrashidmohammed41243 ай бұрын
@@josephlorri431jielewe ww ubaya popote upo. Kwani zenji ndio kuna nn acha ujinga na chuki za kipumbavu
@teddymumbara69192 ай бұрын
Asee Mungu akutetea mh ulivyokiongoz mzuri😢
@AishaSalaga-rv7sb3 ай бұрын
Sitamani iwe kweli,,,
@imanmwashitete52433 ай бұрын
Yani kesi nyingine Mungu tu asimame hivi kweli mwanafunzi wa chuo kikuu anarawitiwa kweri au yalikuwa makubaliano yao tu hao wawili ulikuwa nimchezo wao wa kila siku au nikumchafua tuu huyo baba jamani Mungu kweri jidhihirushe kwenye matukio km haya
@upendoeliya93292 ай бұрын
Ukweli upo. Alimbembeleza sana mzazi wa binti mpka kampa hongo amwombe binti yake yaishe. Mkuu wa mkoa wa Mwanza naye anamsaidia kuzima kesi. Pelekeni mahakamani
@divyakiungulio3 ай бұрын
Jamani niwambie Tu Tanzania ukiwa mzuri WA siasa juwa unawindwa huo mchongo tunaujuwa
@daudimichael73383 ай бұрын
Katoe ushahidi
@richardtimoth78653 ай бұрын
Hivi unawezaje kujua kama ni makubaliano au kubaka? Ingekuwa mtoto mdogo sawa. Naomba hizi sheria tuzifikirie sana vinginevyo wanaume tutawaogopa wanawake
@shakiramshule3422 ай бұрын
Mchongo tu mungu harawaukumu
@deogratiusyudatadei56583 ай бұрын
Dahaa shida siyo kulawiti shida jina mkuu wa mkoa😂😂😂😂😂😂
@ernestsinje97002 ай бұрын
Hao wanauza tigo kama njugu eti Leo kabakwa na boyfriend wake waliokuwa naye miezi 6
@selestineliliani48123 ай бұрын
Mungu mlide uyo baba binadamu mnaila nyie
@rucaserasto81543 ай бұрын
Sasa mnamchunguza je mkimkuta hana hatia mnamsafisha vip ili jamii ione kua sio kweli
@nuriyatihgeorgekhan60423 ай бұрын
Sina hakika ila kuna mtego wa watu wabaya wametengezea
@Princegery_tz3 ай бұрын
😂😂😂😂 tunafanyaje sasa
@Lily-rn6xc3 ай бұрын
Mbn huu ulawiti umekidhiri jmn😢 serikal ingebadil adhabu ili watu waogope
@selector7283 ай бұрын
Umekithiri sio umekidhiri
@danieljoaeph3 ай бұрын
Kwann ukubal kulawitiwa 😖😖
@annammary55933 ай бұрын
Huyu bint alijitambua ni mwanamfunzi, baa alifata nini?? N kwa nini alipanda kwenye hiyo gari?na kwa nini baada ya kufanyiwa Hilo Tukio hakwenda polisi au hospitali??? Na huyu ni mtu mzima si mtoto uwezo wa kujitambua anao. Duncan hamna haki.....ngoja tuone....
@estakapufi75822 ай бұрын
Hakuna kiumbe mbaya kama mwanadamu akiamua kukufatilia na kukuangamiza hata uwe shumoni atakufata, ila kwakuwa mungu halali na ndio anaona ukweli basi lehema zake ndio zinaweza kukutetea, walioko jela sio wote wakosaji bali wengine wemetengenezewa kesi ili wakukomowe uyumbe kiuchumi, ivi binti wa chuo kweli analawitiwa huyu baba alikuwa amechanganyikiwa mpaka atende hiki kitendo kama kafanya ivo basi haki itendeke.
@tanzcanmediatv44733 ай бұрын
Huyo wa chuo simtu mzima anajitambua.mchongo huu siasa
@estherkibajiro34803 ай бұрын
Hahahah
@LuciaMchele2 ай бұрын
Nashindwa kuelewa vizuri, maelezo yanasema walionana kwa mara ya kwanza kwenye hbd wakapeana mawasiliano na wakawa wanawasiliana na akawa anamwambia hilo hitaji lake binti akawa anakataa sasa hoja ni hii kama alikataa na akajua alichokuwa anataka kwa nini aliendelea kuwasiliana naye na alipokuwa anamhitaji anakwenda, kwa nini alikubali kuingia kwenye gari hali akijua anakwenda kufanya nini wasichana wa chuo hawa hawaridhiki wanavyohudumiwa na wazazi wana tamaa sana wote washitakiwe
@erickjulias57343 ай бұрын
Kamchongo tunaelewa matajili wa simiyu hawataki tuuze pamba kwa keshi na mwamba ye alikua anataka tupewe kesh yan dah😭😭😭 hii nchii atal sana
@kennedyombewa79743 ай бұрын
Stori 2 za tz hizo na yule aloingiziwa chupa ma waziri alifikia wapi
@Mutako-ig1ik2 ай бұрын
Huyu dada amelipwa na mtu mwenye uadui na huyu kiongozi mie siyo Mutanzania ila sjapenda huu ni udhalilishaji bila kujali mtu ana familia na Na heshima zake ni mbinu za kumuhalibia ata kama huu jamaa angetoa pesa kiasi gani ila tayali kasha nunuliwa na wabaya wake hako ka Binti ni shetani pamoja na mzazi wake hasitahili kuitwa mama badala amkanye mwanae anamuuza upuuzi kabsa huu
@PiusRashid3 ай бұрын
Binadam muwe mnamuogopa mungu huyo baba mungu amlinde na kumsimamia kwa kila kitu mm siamni kam ni kwel hat kidog
@erickjulias57343 ай бұрын
Huo nimchongo wa wkubwa sizani kama nikwel kwanza kwa viongozi wakubwa kama hao hua wanalindana kwenye kesi zahivi huo nimchongo wanachi wa simiyu tunaelewa
@paulmaduhu58553 ай бұрын
Jaman
@IsaacSengunda3 ай бұрын
Ni kwamba kuna mbinu hapa, Ili mtu alawitiwe bila kupenda kunakua na vitendo fulani kabla,vitendo hivyo hufanywa na mtu mwenye nia ya kumuingilia kinyume na maumbile huyo mlengwa, vitendo hivyo hua ni kupoteza faham huyo mfanyiwaji,na vitendo hivyo hua ni kuleweshwa kwa kilevi au aina yoyote ya madawa au kemikali yoyote ya kumfanya asiwe na ufaham hadi afanyiwe hilo tendo,, Lakini kama hakua katika hali hio ni kitu gani kilimfanya asipige kelele za kuomba msaada ili asilawitiwe? Kwahio hapa junahitajika uchunguzi wa kina ili asionewe mtu yoyote kati ya mlalamikaji na mlalamikiwa!
@issashekh47263 ай бұрын
Allah asimamie hili hakika wanadamu ni wakosaji na yeye ndiye ajuaye ya kweli na ya kificho, Yeye ndiye hakimu wa haki
@augustinesombi62853 ай бұрын
Sheria ni msumeno kweli, aliyekuwa mfalme wa mkoa, sasa yuko mikono vyombo vyake,,, Safi Sana. Ila msije mpatia godoro chai na mkate na nyama choma, abaki kama washukiwa wengine, pumbavu kweli huyu, umemdhalilisha Rais wetu.
@godwinkasaizi8823 ай бұрын
Hivi hayo Huwa ni Maagano ama? Maana Mkuu wa Mkoa anakosa nn jamani mpaka Aka lawiti?
@DorcasPhilemon-kj4ro3 ай бұрын
Kuweni wa kweli huo ni mchongo madaeaka hayo hukumuni kwa haki
@ibrahimmartine91853 ай бұрын
Mmmh makubwa dunian uku matukio yamezid mno
@josephpeter23433 ай бұрын
Pure mchongo
@robertmayeji1413 ай бұрын
Mwanafunzi Wa Chuo kikuu Ghana hapo anafanya nini.Usiku Kama sio muuza uchi huyo
@thefinalstand20223 ай бұрын
Kama Jambo hili litagundulika kwamba si kweli, italazimu MUENENDO WA MASHTAKA NCHINI TANZANIA UHAKIKIWE NA IKIWEZEKANA UVUNJWE NA KUJENGWA UPYA...! Things are going out of the road in this country!
@MusaChenge3 ай бұрын
Mungu amsimamie watu hatupend mafanikio ya m2 na hiyo nafas aliyokuwa nayo mweshimiwa weng wanaihitaj naomba mung asimame yatapita tu huo ni mchongo
@Happizo3 ай бұрын
Maisha yalivyo magumu..sitetei upande wowote iwe amesingiziwa au hajasingiziwa hao ni wenye nchi wanajuana wenyewe watajua wenyewe
@yudatadeimdoe92153 ай бұрын
Mi nahisi kawekewa mtego na kajaa kwenye mtego.
@veronicajohn76453 ай бұрын
Pole Mkuu wa Mkoa. Mtego wa Adui umekushika. Ni Mungu tu atakayekutetea.
@nickalreadyknows3 ай бұрын
@@veronicajohn7645 nyie wapumbavu nn kinawafanya msiamini chawa wake kwamba ni mwema sana au? Shenzi 🚮
@nyenjekasimu46223 ай бұрын
Mmmh!! kama ulikua ni mtego basi huyo mwanafunzi ni shoga hvyo hata akipimwa itaonekana kaingiliwa kweli hivyo kuruka Hapo ni ngumu kwasababu vipimo vitaonesha kaingiliwa kweli. Kama ni mtego basi Mungu awe karibu nae Mkuu wa mkoa
@abdallahomary5153 ай бұрын
Yule jamaa wa Zanzibar aliekua anamlawiti hajakamatwa, au sheria hairuhusu.
@estherkibajiro34803 ай бұрын
Sahivi mchapa kazi😅huondolewa kisiasa na kuzalilishwa duh😢😢😢
@jeremiahmwanyanje50123 ай бұрын
Je na wale wanafunzi wachuo wanao tuamisha wenyewe bila kutaka na ss tuwashitaki hakuna uwozo km wanafunzi wa chuo baba mtu mzima ww kasichana kachuo unatongozwa huogopi kwanini usitoke na wanafunzi wenzako mm nasema kataka mwenyewe huyo kufirwa Aaache tamaaa
@yusufsong79933 ай бұрын
Kwa sasa wanawake wengi nyuma wawazi tu kwa ilo basi tutafungwa wengi😂😂😂😂 ukiomba jicho kakupa baadae akiona kaachwa anashtaki kaingiliwa nyuma
@obedlwinga91943 ай бұрын
Haya ndo madhara ya ushoga nchi yetu haijazoea matukio ya ajabu kama haya rai yangu kila mtu aukatae ushoga kama halitakupata wewe basis watoto wako sasa kataaa!!!!!!
@JeremiaMnanka3 ай бұрын
Iyosio siasa barini uhasamatu asiefunzwana mama ee hufunzwa naulimwengu akilimarizailo atajichanganya tena
@FrednandRichard-gy5cb3 ай бұрын
Mchongo huu iweje bint afute shitaka haraka hivyo afu mwanafunz wa chuo kikuu huyo cyo mtoto sema hii nchii bhana daaah 😂
@MusaNgao3 ай бұрын
Tunda huliwa kwa kufuata kanuni kama vile uivaji wake, faida yake katika mwili n.k ila tukirejea kwa suala hili nadhani mlaji wa tunda hadhi yake haiendani na tunda...wanazengo nao hawachezi mbali tupoooo
@mariasafari10043 ай бұрын
Anamlawiti vipi kaletewa tu au mwanachuo alijipeleka na huyo demu??? Acheni kuwachafua watu bana
@claudiajames20033 ай бұрын
Comment zimejaa upuuzi mtupu,watu wanaona kulawiti akilawitia mwanafunzi wa chuo ni sawa,ila mtoto mdogo wangepiga kelele,Sasa hapa ndo penye upuuzi,ni kinyume Cha sheria kuingiliana kinyume na maumbile nyie watu,ebo! Uwe umemuingilia mdogo au mkubwa!
@KoleYasini3 ай бұрын
Hivi mtuataakienda mwenyewe pia kabakwa bakwa.
@lunangabenjamin31213 ай бұрын
Ivi ni kweli kuna thibitisho mbona yule binti kafuta shitka zidi ya mkuu wamkowa.kuna mchezo kachezewa na wanyewivu.
@wanejohnmsukwa65903 ай бұрын
Ndiyo maana unapokuwa kiongozi unapaswa kuwa makini sana na mahusiano na watu wengine ni mitego tu ya kukuangusha kama mfalme Daudi alivyo zini na mke wa mtu na kuchafua sifa ya Ufalme wake.
@MrA24G3 ай бұрын
Chuo Kikuu si watu wazima.Wanajuwa baya na zuri.Kwani alimbaka
@ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын
kweli shetani amechaluka mpaka mkuu wamkoa nae ana lawiti duh Nihatali
@chachawambura40303 ай бұрын
Huu ni mchongo, katengenezewa zengwe
@MohamedSalumMtumwene3 ай бұрын
Ameonewa sidhan kama kuna ukweli ndan yake
@JUSTNEMITOMINGI3 ай бұрын
Mnachafua watu tu huyo mtu mzima kalawitiwaje,
@yusufsong79933 ай бұрын
Sasa tuelewe vipi ukiwa chuo kikuu unaambiwa unabaka akiwa secondary na msingi unabaka 😂😂😂😂😂 hii nchi inapoelekea ukigombana na mpenzi wako anakwenda kusema kabakwa
@alfredmhana2353 ай бұрын
Mtu yuko chuwo Huyo ni mtu mzima acheni kutusumbuwa akili zetu.
@josephatjoseph17553 ай бұрын
Proud to be ......... malizien bas ndugu zetu.Natania tu
@mustaphahassan5893 ай бұрын
Kumbe mmefurahi. Kweli mnatuchukia na nlitarajia hili katika comment
@josephatjoseph17553 ай бұрын
@@mustaphahassan589 Kumbe mkuki wa nguruwe kwa binadam mchungu hehe. Mnavotuambia mambo ya ushoga na nyie kumbe mnatuchukia aisee. Nmeeelewa sasa brother
@FrankSamson-r6s3 ай бұрын
KAMA NI KWELI KAMA NI KWELI BASI FANYENI MPANGO HAWA WATOTO WAWE WANAPATA BOOM KWA WAKATI😂😂😂nimejaribu kuwaza ty
@JeremiaMnanka3 ай бұрын
mwishowaubaya ni aibu uyodada angejua anacho kifanya asingezubutu na ndokwanza yu kochuo ahaaaaaaaa sawa
@HilalAmbusaidi3 ай бұрын
Ka mchongo kumdhalilisha mkuu😢
@danielelikana26153 ай бұрын
Michongo tu hii!! Dah!
@victorcephas36183 ай бұрын
Nipo nasiikiliza wimbo wa Lady Jaydee Yahaya wee
@AshaAbdallah-nu1ef3 ай бұрын
Na hela zao ndogo elfu 70
@sophiakimaro51743 ай бұрын
Yahaya unaishi wapi wewe@lady J dee!! Naionea huruma familia na ndugu zake.Fedheha nyingine hata ukijaribu kupotezea moyo unachomaga chomaga tu.
@franktangeki93423 ай бұрын
Wakuu wa Mikoa wameanza KUWAFIRA wananchi tutakimbilia wapi? teuzi zote za samia sina mashaka
@miriamdavis38933 ай бұрын
Kwanza mkamateni na huyo aliyelawitiwa
@StephanoMoses3 ай бұрын
Nilijua wa kiume. Kumbe ni wa kike sasa hapounaweza kuta iliteleza alafu mh. Alivyosikia miguno akajua ni Ze mautam kumbe mtoto anaguna kwa maumivu. Lazima mwanafunz huyu atakuwa ana wowowo kubwa nzuri lainiiii. Tunakulaga
@livingstonekabantega3 ай бұрын
Sasa amekamatwa ajakabidhi ofisi
@JeremiaMnanka3 ай бұрын
Uyo dada kazoea kufunga watu myaka 30 iposiku atakutana na namtukama makonda
@SamwelMaduhu-ju2gk3 ай бұрын
Ukwel huyu mwamba anaonewa live, et biti wa chuo kikuu kalawitiwa😅😅 iv mnazijua kwel tabia za hawa watoto wa kike walio chuon Au bac Mungu amsimamie2 Mh. DC
@moherai91203 ай бұрын
One second can totally mess your entire life
@monicachacha4553 ай бұрын
unakwenda wapi 😂😂😂😂😂jamani
@MaryRiwa3 ай бұрын
Hao wameshindwana kwenye dau!wadada wengi ndio michezo yao
@kolumanialoyce46233 ай бұрын
unafanya kitu kibaya shetani hayupo MUNGU hayupo niwewe mwenyewe usimlaumu MUNGU Au shetani sheria zifanye kazi yake wagalatia 6 ...7
@ZainabLol-wx7xf3 ай бұрын
Hiki kituo cha wapi?
@mosseskalimbu46293 ай бұрын
Mmh aibu jmn
@kanankirannko61743 ай бұрын
Mmhhh Kwa kweli kama ni kweli huyo baba angejifia tuu na kama sio kweli ni njama na hila basi serikali ijikague Mara 1000 na zaidi Kwa kweli duh ,kumsingizia mtu kesi kubwa hivyo sio ,inawezekana kawekewa mtego Wa stahili hiyohyo huyo mwanafunzi ahojiwe kimataifa nimeumia jamani mke watoto, na familia ya huyu baba Mungu awape wepesi bora msiba kuliko haya.
@MariamLigoha3 ай бұрын
Duh, umeongea Hadi nimelia, Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini, na kama huyo Binti kamsingizia, ajue tu kuwa ghadhabu ya Mungu imeshamvaa tayari, asubiri matokeo, siyo vizuri, amedhoofisha familia nzima. Aliendaje huko kama siyo mchongo tu
@veronicajohn76453 ай бұрын
Mmmm YAHAYA
@samiramawby12573 ай бұрын
Wahindi wanaolawiti watoto mnazunguka nao na mnawashuhudia,,daa Tanzania ukatili mjifanyie inawauma ila mkifanyiwa mnafurahii mnawazungusha na wafanyaji kufanya na wengine tena vitoto vya miaka 10,15 na 7,,Haaya waabudu miungu UWEni watoto tuuze nchi kwa wakoroni hata utumwa mlianza hivi hivi kwa kurawiti watoto wadogo Haaya max😅beta ni rangi chafu
@ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын
ila uyo wachuo walikubaliana sema sasa jamaa pengne kakiuka makubqliano kapiga nnje ya box amekwenda njia nyembamba ila isije ikawa kesi ya kubambika mana kuna maswali ya kujiuliza meng
@bayekefarijala50423 ай бұрын
Kama ni tuhuma, vipi ikigundulika siyo kweli, je utalisafishaje jina lake. Kwanini mlihifadhi jina la aliyetendewa na kumtaja mtuhumiwa?
@sebastiansalamba3133 ай бұрын
Aibu jamaa Hana dini eti
@NancyPatrick-il8zj3 ай бұрын
Hakuna chochote angekuwa John, hizi komenti leo zingekuwa ni matuzi tu
@laurentraphael54703 ай бұрын
Siasa ina upuuzi mwingi sana.
@RachelLaizer-n2p3 ай бұрын
Hii ni fedheha kubwa
@ProsperReuben-fg6uh3 ай бұрын
Mwenyekit wa ulinz na usalama duuh
@JofreyMsigwa-ok7hv3 ай бұрын
Hii imekaaje at!!!
@magigesabai86743 ай бұрын
Akili finyu nikuamini mtu mwenye cheo awezi kufanya kosa Akili finyu nikuamini alievaa suti sio jambazi Akili finyu nikuamini alievaa nguo ndefu awezi kuwa malaya Acha uchunguzi ufanyike ukweli utajulikana mkuu wa mkoa ni binadamu kama wew
@Tg.7_73 ай бұрын
Ogopa sana Jamuhuri ikikulalamikia😂😂😂
@florianhenry71983 ай бұрын
Kwahyo kati ya serikal au mwanafunzi Nan kalawitiwa ???
@EmmanuelMajele-ny2hk3 ай бұрын
Mtego huo soo kweli chuo Kikuu sio kweli mtego huo
@IreneMacha-g8o3 ай бұрын
Khee unajua nini maana ya kulawiti au unajikomentishaa tu, hata mwanamke aliyeolewa akilawitiwa anahaki kabisa ya kumshtak mmewe
@AllyMaya-yj3xd3 ай бұрын
Watoto wa chuo wanavyopenda hela amkatae mkuu wa mkoa ? Hapa no
@frankkimaro46963 ай бұрын
Mwanafunzi wakike chuo kikuu kalawitiwa, kwanza aliendaje huko guest/geto
@DeogratiusAndrew-zi7zv3 ай бұрын
Nadhani tukiwaachia vyombo vya dola wafanye yao nivyema tusiwe na mashaka, zilizo mbichi na zilizo iva, ila pia ukiona linakuwa wazi hivyo ujue alianza muda huyo mtuhumiwa, lakini pia muangalie kesi sio wamefanya mapenzi, kesi kamuingiza sio penyewe, maanayake kuna wangapi kawafanyia hivyo kinyume?
@josephk903 ай бұрын
Lini vimewahi kutoa majibu? Ebu tupe mfano wa kesi unayojua vilitoa majibu yasokuwa na chenga.
@johnmichaellukindo213 ай бұрын
Mbona enzi za baba wa taifa hizi hazikuwepo tena aliyekuwa RC