POLISI WAMSHIKILIA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA SIMIYU KWA TUHUMA ZA ULAWITI

  Рет қаралды 35,987

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 166
@zomasamweli
@zomasamweli 3 ай бұрын
Hakuna ukweli wowote ila ni mbinu za kumpoteza huyo jamaa kwani saiv, kiongozi mzuri wapiga madili hawampendi
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 3 ай бұрын
Uthibitisho plz
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 2 ай бұрын
Huyo msichana kammaliza bwana wake ,maana walikuwa na mahusiano kwa miezi 6
@esromkanubo815
@esromkanubo815 3 ай бұрын
Uhhhh Kuna mchongo sana Mwanafunzi wa chuo kikuu siamini Hilo
@NakembetwaKitundu-tn7xx
@NakembetwaKitundu-tn7xx 3 ай бұрын
Kwa harakaharaka hapo mbona kama kamchongo.
@jamilally3916
@jamilally3916 3 ай бұрын
sjaelew huy mwanafunz wa chuo kikuu kabakwa au kaenda mwenywe nahc kuna mchongo hpo
@leokamil6284
@leokamil6284 3 ай бұрын
Inawezekana kaenda ila jamaa kaingia kwingine bila maridhiano
@suzandonadi1400
@suzandonadi1400 3 ай бұрын
Yani ni kwamba hata awe mmeo amekuingilia kinyume na maumbile ukienda kumshtaki anafungwa huo ni ukatili wa kijinsia
@leokamil6284
@leokamil6284 3 ай бұрын
@@suzandonadi1400 Bora watu wapate elimu maana hawajui haki zao za msingi
@josephlorri431
@josephlorri431 3 ай бұрын
Tatizo hapo ni ufiraji... amemla kisamvu/kimavi... haya matendo ni zaidi maeneo ya pwani na zenji
@masoudrashidmohammed4124
@masoudrashidmohammed4124 3 ай бұрын
​@@josephlorri431jielewe ww ubaya popote upo. Kwani zenji ndio kuna nn acha ujinga na chuki za kipumbavu
@teddymumbara6919
@teddymumbara6919 2 ай бұрын
Asee Mungu akutetea mh ulivyokiongoz mzuri😢
@AishaSalaga-rv7sb
@AishaSalaga-rv7sb 3 ай бұрын
Sitamani iwe kweli,,,
@imanmwashitete5243
@imanmwashitete5243 3 ай бұрын
Yani kesi nyingine Mungu tu asimame hivi kweli mwanafunzi wa chuo kikuu anarawitiwa kweri au yalikuwa makubaliano yao tu hao wawili ulikuwa nimchezo wao wa kila siku au nikumchafua tuu huyo baba jamani Mungu kweri jidhihirushe kwenye matukio km haya
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 ай бұрын
Ukweli upo. Alimbembeleza sana mzazi wa binti mpka kampa hongo amwombe binti yake yaishe. Mkuu wa mkoa wa Mwanza naye anamsaidia kuzima kesi. Pelekeni mahakamani
@divyakiungulio
@divyakiungulio 3 ай бұрын
Jamani niwambie Tu Tanzania ukiwa mzuri WA siasa juwa unawindwa huo mchongo tunaujuwa
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 ай бұрын
Katoe ushahidi
@richardtimoth7865
@richardtimoth7865 3 ай бұрын
Hivi unawezaje kujua kama ni makubaliano au kubaka? Ingekuwa mtoto mdogo sawa. Naomba hizi sheria tuzifikirie sana vinginevyo wanaume tutawaogopa wanawake
@shakiramshule342
@shakiramshule342 2 ай бұрын
Mchongo tu mungu harawaukumu
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 ай бұрын
Dahaa shida siyo kulawiti shida jina mkuu wa mkoa😂😂😂😂😂😂
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 2 ай бұрын
Hao wanauza tigo kama njugu eti Leo kabakwa na boyfriend wake waliokuwa naye miezi 6
@selestineliliani4812
@selestineliliani4812 3 ай бұрын
Mungu mlide uyo baba binadamu mnaila nyie
@rucaserasto8154
@rucaserasto8154 3 ай бұрын
Sasa mnamchunguza je mkimkuta hana hatia mnamsafisha vip ili jamii ione kua sio kweli
@nuriyatihgeorgekhan6042
@nuriyatihgeorgekhan6042 3 ай бұрын
Sina hakika ila kuna mtego wa watu wabaya wametengezea
@Princegery_tz
@Princegery_tz 3 ай бұрын
😂😂😂😂 tunafanyaje sasa
@Lily-rn6xc
@Lily-rn6xc 3 ай бұрын
Mbn huu ulawiti umekidhiri jmn😢 serikal ingebadil adhabu ili watu waogope
@selector728
@selector728 3 ай бұрын
Umekithiri sio umekidhiri
@danieljoaeph
@danieljoaeph 3 ай бұрын
Kwann ukubal kulawitiwa 😖😖
@annammary5593
@annammary5593 3 ай бұрын
Huyu bint alijitambua ni mwanamfunzi, baa alifata nini?? N kwa nini alipanda kwenye hiyo gari?na kwa nini baada ya kufanyiwa Hilo Tukio hakwenda polisi au hospitali??? Na huyu ni mtu mzima si mtoto uwezo wa kujitambua anao. Duncan hamna haki.....ngoja tuone....
@estakapufi7582
@estakapufi7582 2 ай бұрын
Hakuna kiumbe mbaya kama mwanadamu akiamua kukufatilia na kukuangamiza hata uwe shumoni atakufata, ila kwakuwa mungu halali na ndio anaona ukweli basi lehema zake ndio zinaweza kukutetea, walioko jela sio wote wakosaji bali wengine wemetengenezewa kesi ili wakukomowe uyumbe kiuchumi, ivi binti wa chuo kweli analawitiwa huyu baba alikuwa amechanganyikiwa mpaka atende hiki kitendo kama kafanya ivo basi haki itendeke.
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 ай бұрын
Huyo wa chuo simtu mzima anajitambua.mchongo huu siasa
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 3 ай бұрын
Hahahah
@LuciaMchele
@LuciaMchele 2 ай бұрын
Nashindwa kuelewa vizuri, maelezo yanasema walionana kwa mara ya kwanza kwenye hbd wakapeana mawasiliano na wakawa wanawasiliana na akawa anamwambia hilo hitaji lake binti akawa anakataa sasa hoja ni hii kama alikataa na akajua alichokuwa anataka kwa nini aliendelea kuwasiliana naye na alipokuwa anamhitaji anakwenda, kwa nini alikubali kuingia kwenye gari hali akijua anakwenda kufanya nini wasichana wa chuo hawa hawaridhiki wanavyohudumiwa na wazazi wana tamaa sana wote washitakiwe
@erickjulias5734
@erickjulias5734 3 ай бұрын
Kamchongo tunaelewa matajili wa simiyu hawataki tuuze pamba kwa keshi na mwamba ye alikua anataka tupewe kesh yan dah😭😭😭 hii nchii atal sana
@kennedyombewa7974
@kennedyombewa7974 3 ай бұрын
Stori 2 za tz hizo na yule aloingiziwa chupa ma waziri alifikia wapi
@Mutako-ig1ik
@Mutako-ig1ik 2 ай бұрын
Huyu dada amelipwa na mtu mwenye uadui na huyu kiongozi mie siyo Mutanzania ila sjapenda huu ni udhalilishaji bila kujali mtu ana familia na Na heshima zake ni mbinu za kumuhalibia ata kama huu jamaa angetoa pesa kiasi gani ila tayali kasha nunuliwa na wabaya wake hako ka Binti ni shetani pamoja na mzazi wake hasitahili kuitwa mama badala amkanye mwanae anamuuza upuuzi kabsa huu
@PiusRashid
@PiusRashid 3 ай бұрын
Binadam muwe mnamuogopa mungu huyo baba mungu amlinde na kumsimamia kwa kila kitu mm siamni kam ni kwel hat kidog
@erickjulias5734
@erickjulias5734 3 ай бұрын
Huo nimchongo wa wkubwa sizani kama nikwel kwanza kwa viongozi wakubwa kama hao hua wanalindana kwenye kesi zahivi huo nimchongo wanachi wa simiyu tunaelewa
@paulmaduhu5855
@paulmaduhu5855 3 ай бұрын
Jaman
@IsaacSengunda
@IsaacSengunda 3 ай бұрын
Ni kwamba kuna mbinu hapa, Ili mtu alawitiwe bila kupenda kunakua na vitendo fulani kabla,vitendo hivyo hufanywa na mtu mwenye nia ya kumuingilia kinyume na maumbile huyo mlengwa, vitendo hivyo hua ni kupoteza faham huyo mfanyiwaji,na vitendo hivyo hua ni kuleweshwa kwa kilevi au aina yoyote ya madawa au kemikali yoyote ya kumfanya asiwe na ufaham hadi afanyiwe hilo tendo,, Lakini kama hakua katika hali hio ni kitu gani kilimfanya asipige kelele za kuomba msaada ili asilawitiwe? Kwahio hapa junahitajika uchunguzi wa kina ili asionewe mtu yoyote kati ya mlalamikaji na mlalamikiwa!
@issashekh4726
@issashekh4726 3 ай бұрын
Allah asimamie hili hakika wanadamu ni wakosaji na yeye ndiye ajuaye ya kweli na ya kificho, Yeye ndiye hakimu wa haki
@augustinesombi6285
@augustinesombi6285 3 ай бұрын
Sheria ni msumeno kweli, aliyekuwa mfalme wa mkoa, sasa yuko mikono vyombo vyake,,, Safi Sana. Ila msije mpatia godoro chai na mkate na nyama choma, abaki kama washukiwa wengine, pumbavu kweli huyu, umemdhalilisha Rais wetu.
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 3 ай бұрын
Hivi hayo Huwa ni Maagano ama? Maana Mkuu wa Mkoa anakosa nn jamani mpaka Aka lawiti?
@DorcasPhilemon-kj4ro
@DorcasPhilemon-kj4ro 3 ай бұрын
Kuweni wa kweli huo ni mchongo madaeaka hayo hukumuni kwa haki
@ibrahimmartine9185
@ibrahimmartine9185 3 ай бұрын
Mmmh makubwa dunian uku matukio yamezid mno
@josephpeter2343
@josephpeter2343 3 ай бұрын
Pure mchongo
@robertmayeji141
@robertmayeji141 3 ай бұрын
Mwanafunzi Wa Chuo kikuu Ghana hapo anafanya nini.Usiku Kama sio muuza uchi huyo
@thefinalstand2022
@thefinalstand2022 3 ай бұрын
Kama Jambo hili litagundulika kwamba si kweli, italazimu MUENENDO WA MASHTAKA NCHINI TANZANIA UHAKIKIWE NA IKIWEZEKANA UVUNJWE NA KUJENGWA UPYA...! Things are going out of the road in this country!
@MusaChenge
@MusaChenge 3 ай бұрын
Mungu amsimamie watu hatupend mafanikio ya m2 na hiyo nafas aliyokuwa nayo mweshimiwa weng wanaihitaj naomba mung asimame yatapita tu huo ni mchongo
@Happizo
@Happizo 3 ай бұрын
Maisha yalivyo magumu..sitetei upande wowote iwe amesingiziwa au hajasingiziwa hao ni wenye nchi wanajuana wenyewe watajua wenyewe
@yudatadeimdoe9215
@yudatadeimdoe9215 3 ай бұрын
Mi nahisi kawekewa mtego na kajaa kwenye mtego.
@veronicajohn7645
@veronicajohn7645 3 ай бұрын
Pole Mkuu wa Mkoa. Mtego wa Adui umekushika. Ni Mungu tu atakayekutetea.
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 3 ай бұрын
​@@veronicajohn7645 nyie wapumbavu nn kinawafanya msiamini chawa wake kwamba ni mwema sana au? Shenzi 🚮
@nyenjekasimu4622
@nyenjekasimu4622 3 ай бұрын
Mmmh!! kama ulikua ni mtego basi huyo mwanafunzi ni shoga hvyo hata akipimwa itaonekana kaingiliwa kweli hivyo kuruka Hapo ni ngumu kwasababu vipimo vitaonesha kaingiliwa kweli. Kama ni mtego basi Mungu awe karibu nae Mkuu wa mkoa
@abdallahomary515
@abdallahomary515 3 ай бұрын
Yule jamaa wa Zanzibar aliekua anamlawiti hajakamatwa, au sheria hairuhusu.
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 3 ай бұрын
Sahivi mchapa kazi😅huondolewa kisiasa na kuzalilishwa duh😢😢😢
@jeremiahmwanyanje5012
@jeremiahmwanyanje5012 3 ай бұрын
Je na wale wanafunzi wachuo wanao tuamisha wenyewe bila kutaka na ss tuwashitaki hakuna uwozo km wanafunzi wa chuo baba mtu mzima ww kasichana kachuo unatongozwa huogopi kwanini usitoke na wanafunzi wenzako mm nasema kataka mwenyewe huyo kufirwa Aaache tamaaa
@yusufsong7993
@yusufsong7993 3 ай бұрын
Kwa sasa wanawake wengi nyuma wawazi tu kwa ilo basi tutafungwa wengi😂😂😂😂 ukiomba jicho kakupa baadae akiona kaachwa anashtaki kaingiliwa nyuma
@obedlwinga9194
@obedlwinga9194 3 ай бұрын
Haya ndo madhara ya ushoga nchi yetu haijazoea matukio ya ajabu kama haya rai yangu kila mtu aukatae ushoga kama halitakupata wewe basis watoto wako sasa kataaa!!!!!!
@JeremiaMnanka
@JeremiaMnanka 3 ай бұрын
Iyosio siasa barini uhasamatu asiefunzwana mama ee hufunzwa naulimwengu akilimarizailo atajichanganya tena
@FrednandRichard-gy5cb
@FrednandRichard-gy5cb 3 ай бұрын
Mchongo huu iweje bint afute shitaka haraka hivyo afu mwanafunz wa chuo kikuu huyo cyo mtoto sema hii nchii bhana daaah 😂
@MusaNgao
@MusaNgao 3 ай бұрын
Tunda huliwa kwa kufuata kanuni kama vile uivaji wake, faida yake katika mwili n.k ila tukirejea kwa suala hili nadhani mlaji wa tunda hadhi yake haiendani na tunda...wanazengo nao hawachezi mbali tupoooo
@mariasafari1004
@mariasafari1004 3 ай бұрын
Anamlawiti vipi kaletewa tu au mwanachuo alijipeleka na huyo demu??? Acheni kuwachafua watu bana
@claudiajames2003
@claudiajames2003 3 ай бұрын
Comment zimejaa upuuzi mtupu,watu wanaona kulawiti akilawitia mwanafunzi wa chuo ni sawa,ila mtoto mdogo wangepiga kelele,Sasa hapa ndo penye upuuzi,ni kinyume Cha sheria kuingiliana kinyume na maumbile nyie watu,ebo! Uwe umemuingilia mdogo au mkubwa!
@KoleYasini
@KoleYasini 3 ай бұрын
Hivi mtuataakienda mwenyewe pia kabakwa bakwa.
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 3 ай бұрын
Ivi ni kweli kuna thibitisho mbona yule binti kafuta shitka zidi ya mkuu wamkowa.kuna mchezo kachezewa na wanyewivu.
@wanejohnmsukwa6590
@wanejohnmsukwa6590 3 ай бұрын
Ndiyo maana unapokuwa kiongozi unapaswa kuwa makini sana na mahusiano na watu wengine ni mitego tu ya kukuangusha kama mfalme Daudi alivyo zini na mke wa mtu na kuchafua sifa ya Ufalme wake.
@MrA24G
@MrA24G 3 ай бұрын
Chuo Kikuu si watu wazima.Wanajuwa baya na zuri.Kwani alimbaka
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 ай бұрын
kweli shetani amechaluka mpaka mkuu wamkoa nae ana lawiti duh Nihatali
@chachawambura4030
@chachawambura4030 3 ай бұрын
Huu ni mchongo, katengenezewa zengwe
@MohamedSalumMtumwene
@MohamedSalumMtumwene 3 ай бұрын
Ameonewa sidhan kama kuna ukweli ndan yake
@JUSTNEMITOMINGI
@JUSTNEMITOMINGI 3 ай бұрын
Mnachafua watu tu huyo mtu mzima kalawitiwaje,
@yusufsong7993
@yusufsong7993 3 ай бұрын
Sasa tuelewe vipi ukiwa chuo kikuu unaambiwa unabaka akiwa secondary na msingi unabaka 😂😂😂😂😂 hii nchi inapoelekea ukigombana na mpenzi wako anakwenda kusema kabakwa
@alfredmhana235
@alfredmhana235 3 ай бұрын
Mtu yuko chuwo Huyo ni mtu mzima acheni kutusumbuwa akili zetu.
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 3 ай бұрын
Proud to be ......... malizien bas ndugu zetu.Natania tu
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 3 ай бұрын
Kumbe mmefurahi. Kweli mnatuchukia na nlitarajia hili katika comment
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 3 ай бұрын
@@mustaphahassan589 Kumbe mkuki wa nguruwe kwa binadam mchungu hehe. Mnavotuambia mambo ya ushoga na nyie kumbe mnatuchukia aisee. Nmeeelewa sasa brother
@FrankSamson-r6s
@FrankSamson-r6s 3 ай бұрын
KAMA NI KWELI KAMA NI KWELI BASI FANYENI MPANGO HAWA WATOTO WAWE WANAPATA BOOM KWA WAKATI😂😂😂nimejaribu kuwaza ty
@JeremiaMnanka
@JeremiaMnanka 3 ай бұрын
mwishowaubaya ni aibu uyodada angejua anacho kifanya asingezubutu na ndokwanza yu kochuo ahaaaaaaaa sawa
@HilalAmbusaidi
@HilalAmbusaidi 3 ай бұрын
Ka mchongo kumdhalilisha mkuu😢
@danielelikana2615
@danielelikana2615 3 ай бұрын
Michongo tu hii!! Dah!
@victorcephas3618
@victorcephas3618 3 ай бұрын
Nipo nasiikiliza wimbo wa Lady Jaydee Yahaya wee
@AshaAbdallah-nu1ef
@AshaAbdallah-nu1ef 3 ай бұрын
Na hela zao ndogo elfu 70
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 3 ай бұрын
Yahaya unaishi wapi wewe@lady J dee!! Naionea huruma familia na ndugu zake.Fedheha nyingine hata ukijaribu kupotezea moyo unachomaga chomaga tu.
@franktangeki9342
@franktangeki9342 3 ай бұрын
Wakuu wa Mikoa wameanza KUWAFIRA wananchi tutakimbilia wapi? teuzi zote za samia sina mashaka
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 3 ай бұрын
Kwanza mkamateni na huyo aliyelawitiwa
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 ай бұрын
Nilijua wa kiume. Kumbe ni wa kike sasa hapounaweza kuta iliteleza alafu mh. Alivyosikia miguno akajua ni Ze mautam kumbe mtoto anaguna kwa maumivu. Lazima mwanafunz huyu atakuwa ana wowowo kubwa nzuri lainiiii. Tunakulaga
@livingstonekabantega
@livingstonekabantega 3 ай бұрын
Sasa amekamatwa ajakabidhi ofisi
@JeremiaMnanka
@JeremiaMnanka 3 ай бұрын
Uyo dada kazoea kufunga watu myaka 30 iposiku atakutana na namtukama makonda
@SamwelMaduhu-ju2gk
@SamwelMaduhu-ju2gk 3 ай бұрын
Ukwel huyu mwamba anaonewa live, et biti wa chuo kikuu kalawitiwa😅😅 iv mnazijua kwel tabia za hawa watoto wa kike walio chuon Au bac Mungu amsimamie2 Mh. DC
@moherai9120
@moherai9120 3 ай бұрын
One second can totally mess your entire life
@monicachacha455
@monicachacha455 3 ай бұрын
unakwenda wapi 😂😂😂😂😂jamani
@MaryRiwa
@MaryRiwa 3 ай бұрын
Hao wameshindwana kwenye dau!wadada wengi ndio michezo yao
@kolumanialoyce4623
@kolumanialoyce4623 3 ай бұрын
unafanya kitu kibaya shetani hayupo MUNGU hayupo niwewe mwenyewe usimlaumu MUNGU Au shetani sheria zifanye kazi yake wagalatia 6 ...7
@ZainabLol-wx7xf
@ZainabLol-wx7xf 3 ай бұрын
Hiki kituo cha wapi?
@mosseskalimbu4629
@mosseskalimbu4629 3 ай бұрын
Mmh aibu jmn
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 3 ай бұрын
Mmhhh Kwa kweli kama ni kweli huyo baba angejifia tuu na kama sio kweli ni njama na hila basi serikali ijikague Mara 1000 na zaidi Kwa kweli duh ,kumsingizia mtu kesi kubwa hivyo sio ,inawezekana kawekewa mtego Wa stahili hiyohyo huyo mwanafunzi ahojiwe kimataifa nimeumia jamani mke watoto, na familia ya huyu baba Mungu awape wepesi bora msiba kuliko haya.
@MariamLigoha
@MariamLigoha 3 ай бұрын
Duh, umeongea Hadi nimelia, Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini, na kama huyo Binti kamsingizia, ajue tu kuwa ghadhabu ya Mungu imeshamvaa tayari, asubiri matokeo, siyo vizuri, amedhoofisha familia nzima. Aliendaje huko kama siyo mchongo tu
@veronicajohn7645
@veronicajohn7645 3 ай бұрын
Mmmm YAHAYA
@samiramawby1257
@samiramawby1257 3 ай бұрын
Wahindi wanaolawiti watoto mnazunguka nao na mnawashuhudia,,daa Tanzania ukatili mjifanyie inawauma ila mkifanyiwa mnafurahii mnawazungusha na wafanyaji kufanya na wengine tena vitoto vya miaka 10,15 na 7,,Haaya waabudu miungu UWEni watoto tuuze nchi kwa wakoroni hata utumwa mlianza hivi hivi kwa kurawiti watoto wadogo Haaya max😅beta ni rangi chafu
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 ай бұрын
ila uyo wachuo walikubaliana sema sasa jamaa pengne kakiuka makubqliano kapiga nnje ya box amekwenda njia nyembamba ila isije ikawa kesi ya kubambika mana kuna maswali ya kujiuliza meng
@bayekefarijala5042
@bayekefarijala5042 3 ай бұрын
Kama ni tuhuma, vipi ikigundulika siyo kweli, je utalisafishaje jina lake. Kwanini mlihifadhi jina la aliyetendewa na kumtaja mtuhumiwa?
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 ай бұрын
Aibu jamaa Hana dini eti
@NancyPatrick-il8zj
@NancyPatrick-il8zj 3 ай бұрын
Hakuna chochote angekuwa John, hizi komenti leo zingekuwa ni matuzi tu
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 3 ай бұрын
Siasa ina upuuzi mwingi sana.
@RachelLaizer-n2p
@RachelLaizer-n2p 3 ай бұрын
Hii ni fedheha kubwa
@ProsperReuben-fg6uh
@ProsperReuben-fg6uh 3 ай бұрын
Mwenyekit wa ulinz na usalama duuh
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 3 ай бұрын
Hii imekaaje at!!!
@magigesabai8674
@magigesabai8674 3 ай бұрын
Akili finyu nikuamini mtu mwenye cheo awezi kufanya kosa Akili finyu nikuamini alievaa suti sio jambazi Akili finyu nikuamini alievaa nguo ndefu awezi kuwa malaya Acha uchunguzi ufanyike ukweli utajulikana mkuu wa mkoa ni binadamu kama wew
@Tg.7_7
@Tg.7_7 3 ай бұрын
Ogopa sana Jamuhuri ikikulalamikia😂😂😂
@florianhenry7198
@florianhenry7198 3 ай бұрын
Kwahyo kati ya serikal au mwanafunzi Nan kalawitiwa ???
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 3 ай бұрын
Mtego huo soo kweli chuo Kikuu sio kweli mtego huo
@IreneMacha-g8o
@IreneMacha-g8o 3 ай бұрын
Khee unajua nini maana ya kulawiti au unajikomentishaa tu, hata mwanamke aliyeolewa akilawitiwa anahaki kabisa ya kumshtak mmewe
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 ай бұрын
Watoto wa chuo wanavyopenda hela amkatae mkuu wa mkoa ? Hapa no
@frankkimaro4696
@frankkimaro4696 3 ай бұрын
Mwanafunzi wakike chuo kikuu kalawitiwa, kwanza aliendaje huko guest/geto
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 3 ай бұрын
Nadhani tukiwaachia vyombo vya dola wafanye yao nivyema tusiwe na mashaka, zilizo mbichi na zilizo iva, ila pia ukiona linakuwa wazi hivyo ujue alianza muda huyo mtuhumiwa, lakini pia muangalie kesi sio wamefanya mapenzi, kesi kamuingiza sio penyewe, maanayake kuna wangapi kawafanyia hivyo kinyume?
@josephk90
@josephk90 3 ай бұрын
Lini vimewahi kutoa majibu? Ebu tupe mfano wa kesi unayojua vilitoa majibu yasokuwa na chenga.
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 3 ай бұрын
Mbona enzi za baba wa taifa hizi hazikuwepo tena aliyekuwa RC
@drdd774
@drdd774 3 ай бұрын
Jina limehifadhiwa, leo?????
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 3 ай бұрын
Huyo mwanafunzi.kataka mwenyewe umalayatu.kwani alibakwa alivyotongozwa kwanini asikatae anautotogani huyo kunachukitu. Huyobinti kaamua kumzalilishatu kamakatumwa vile
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 11 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15
Johnson Sakaja - Mimi Ndio Gavana Nairobi, Sio Gachagua!!
16:28
Radio Maisha
Рет қаралды 14 М.
KOMASAVA YA DIAMOND MBELE YA RAIS SAMIA SHANGWE KILA KONA
4:24
Millard Ayo
Рет қаралды 2,1 М.
BOKA CHADRACK ALIVYOZIMA KELELE ZA LOMALISA JANGWANI
2:20
Millard Ayo
Рет қаралды 412
RAIS SAMIA ALIVYOSIMAMISHA MSAFARA NA KUWABEBA WATOTO JUU YA GARI
5:25
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 11 МЛН