Professor Jay - Ndio Mzee (Official Audio Song)

  Рет қаралды 536,992

ProfessorJay

ProfessorJay

Күн бұрын

Пікірлер: 178
@Bizobizoboy
@Bizobizoboy 7 ай бұрын
Wale wa 2024
@NewsmanGLOBAL
@NewsmanGLOBAL 4 ай бұрын
Ruto Ruto ndiye huyo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 2 ай бұрын
😂😂😂
@kenkandwara204
@kenkandwara204 15 күн бұрын
😂😂😂😂..yaani huyu kaka alikuwa mbele ya majira aisee, wakenya tulifunikwa na 'ama namna gani my frens' leo hii ni machos tupu😢!
@mauriceogola9243
@mauriceogola9243 6 жыл бұрын
kama bado unamuelewa professor jay tuende sambaba
@husseinkawa7084
@husseinkawa7084 14 күн бұрын
Mungu ampe Proffesor Nguvu na Siha njema kama Zamani..
@mwalimuneema
@mwalimuneema 4 жыл бұрын
Ndiyo mzee Nimekubali Naam ndugu wananchi, MC wenu Babu Ayubu, Ninawaleteeni habari japo kwa kifupi kuhusiana na huyu mgombea wetu bwana Joseph Haule Mpeni kura za ndiyo kwasababu yeye ni mpenda watu, ni mpenda amani, Na ni mtu mwenye huruma kwa wananchi wote, Kwa hivyo basi nawaomba ndugu wananchi, mumpe kula ili aingie. Naam basi, hivyo basi ndugu wananchi, Eeh tafadhali *namkalibisha mgombea wetu, Bwana Joseph Haule, ili aje aweza kuzungumza na wananchi, Karibu. Oke Oke, Naitwa Joseph Haule, Mwana wa Msulopo Kianzi, Nadhani nimeletwa niokoe hiki kizazi, Mimi ni mwanasiasa niliyebarikiwa na Mungu, Nimeletwa kwenu na Bwana niwapunguzie machungu, Mimi ni mteule kusini mwa jangwa la sahara, Ndiyo maana nimetunukiwa cheti cha juu cha utawala, Na hekima kuliko Mfalme Suleiman--msiwe na wasi Na hili nitalidhihirisha pindi mtakaponipa nafasi, Actually, mimezamiria kuwasaidia, Taifa lenye nguvu duniani liwe Tanzania, Jamani, makofi tafadhali basi jamani! [makofi, shangwe, nderemo na vifijo] Ni mambo madogo tu, Nadhani nitarekebisha mkinipa visiku vichache tu, Uchumi utapanda ile ghafla bin-vuu, Nataka mpaka Matonya afundishe chuo kikuu, Nchi ya Tanzania itang’ara ile kishenzi, Na nitahakikisha kila baamedi anamiliki benzi, Si mtafurahi dada zangu jamani? Ndiyoooooo Basi endeleeni kunisifu kwa nyimbo na mapambio, Nipeni hiyo nafasi jamani, hamwoni hali ni mbaya? Nataka kuigeuza Tanzania kama Ulaya, Cha kwanza nitakachofanya nitafuta umaskini, Wanafunzi mkafanyie practical mwezini, Kwenye mahospitali nitamwaga dawa kama mchanga, Na nitafungua akaunti kwa kila mtoto mchanga, Mabomba yatatoa maji na maziwa nchi nzima, Watu wa vijijini mtasahau habari za visima, Nitafadhili wachawi waweze kutengeneza ndege, Kila mtu awe na yake Makonda na wapiga debe. Si mtafurahi watanzania jamani? Ndiyo mzee Si ni kweli nakubalika jamani? Ndiyo mzee Basi mimi mkombozi wenu jama, Ndiyo mzee Na nitafuta shida zenu zote, Ndiyo mzee Hivi ni naninii, ni vijimambo, Ndiyo mzee Na vinanikera kwelikweli mimi, Ndiyo mzee Basi hali itabadilika, sawa? Ndiyo mzee Na hatamu tutaishika oke? Ndiyo mzee Wafanyakazi wa serikalini nashangaa hamna magari, Yaani hata mikweche, hehe! Hii ni hatari, Ninampango wa kuongeza mishahara iliyominono, Mara mia ya ile ya mwanzo iliyofanya mfanye migomo, Nitawapa nyumba nzuri na magari ya kifahari, Watu watashangaa mtakapopita kila mahali, Mkulima kila mmoja nitampatia trekta, Nadhani hiyo kidogo itasaidia kunyanyua sekta, Mtauza nafaka zenu bilioni kwa mabilioni, Watu midomo wazi kama wamekamatwa ugoni, Walimu zawadi zenu oh nimezificha moyoni, Nadhani mtazimia siku mkizitia machoni, We acha tu, mtafurahi nyinyi, Ila hapo hapamfai mtu mwingine niwekeni mimi, By the way, polisi wote mi nawasifu, Jinsi mnavyokwenda sahani moja na wahalifu, Sasa kila mmoja nitampatia helikopta, Nadhani hiyo wote hapo hamjawahi kuota, Raia wa Tanzania mtalala milango wazi, In fact, nina uhakika wa kudhibiti ujambazi, Nitajenga barabara tano-tano juu na chini, Nitajenga kumbi nyingi sana za starehe baharini, Ninaupendo kuliko mshumaa, kumulikia wenzangu, Mtakaoyumba kiuchumi, tutagawana vya kwangu. Si mtafurahi wa Tanzania jamani? Ndiyo mzee Si ni kweli nakubalika jamani? Ndiyo mzee Basi mimi mkombozi wenu jama, Ndiyo mzee Na nitafuta shida zenu zote, Ndiyo mzee Hivi ni naninii, ni vijimambo, Ndiyo mzee Na vinanikera kwelikweli mimi, Ndiyo mzee Basi hali itabadilika, sawa? Ndiyo mzee Na hatamu tutaishika oke? Ndiyo mzee Ndugu wananchi, kuna mtu ana swali kutoka kwa mgombea? Nauliza hivi, kuna mtu ana swali? Basi ajitokeze ili aweze kuuliza swali Nyie ndugu zangu huyu msimpe uongozi--siyo vizuri, Muongo tu, mfakini na kiburi kimsuli, Anaongopea saana! Sijui kazaliwa muda gani, alfajiri au alasiri? Wakati mvua zile, za kipendi kile? Amepita pita skuli lakini mambo yake si mazuri, Wala tusimtetee, atatuangamiza, Labda tusubiri kwanza uchaguzi umwekwisha, Tumemfuma wenyewe kwa kalumanzila anasafishwa, Kalumanzila akamwambia, ehe, shida yako? Elezea fasta fasta kabla jini hajapanda, [chafya] Hajakaa vizuri mashetani si yakamuanza! ‘kamsukuma kwa kasi ya kimbunga amejichanja, Tulimsikia akisema kwa sauti kubwa ya kukarikia, Waungwana! Munisaidie! Ndiyo, sitamwelewesha! Uongo mtupu babake ameibiwa, waungwana wamempeleka chau mpaka kaibiwa, Yupo-hamna gepu na pugu! Amewehuka! Hajatulia huyu mpepeeni! [uphh uphh] Ni sauti iliyosikika kutoka kwa mzee wa pembeni, Sijui msaidizi mganga au mpelelezi, Na kwa taarifa yako uongozi hupati ng’o! Labda urudi kwenu uende ukavunje tunguri, Na hao waganga wako waeleze hupati kitu apa, Hata utoe chapaa [makofi, shangwe, nderemo na vifijo] Je wananchi mmenisikia? Ndiyo mzee Kwa huyu jamaa hatufai, Ndiyo mzee Haina vibaya uchukia, Ndiyo mzee Hatumtaki aondoke zake, Ndiyo mzee Tusimkubali na maneno yake, Ndiyo mzee Tunahakikisha ‘atumchagui, Ndiyo mzee Kwasab’ jamaa ni mnafiki, Ndiyo mzee Asitufanye tuwe na dhiki, Ndiyo mzee [makofi, shangwe, nderemo na vifijo]
@joachimvladimir4580
@joachimvladimir4580 4 жыл бұрын
Upo vizur sana
@tamararamsay6718
@tamararamsay6718 3 ай бұрын
Pale juu ni Msolopaganzi.
@alimlimfestus6584
@alimlimfestus6584 7 жыл бұрын
am a Kenyan but prof j is my best East Africa musician
@MrCHEMAI44
@MrCHEMAI44 8 жыл бұрын
I am From Kenya But Prof is My Best East African Rapper.
@edigarcharles2012
@edigarcharles2012 4 ай бұрын
Listening 2024
@hamisimkongo1543
@hamisimkongo1543 5 ай бұрын
HEAVY WEIGHT MC - Legend, Pioneer, Father, Leader
@dulaabdallarashid
@dulaabdallarashid 2 жыл бұрын
magufuli did it ameifanya Tanzania kua ulaya kama profesa j alivyosema
@petermuasya32
@petermuasya32 11 ай бұрын
Mie ni mkenya but jay ni moto sana
@Miss__RS
@Miss__RS Жыл бұрын
Promises za Zakayo
@danwabomba8740
@danwabomba8740 Жыл бұрын
Hasora wa Kenya ndiye amedhihirika hapa
@bigkakameshack8066
@bigkakameshack8066 2 жыл бұрын
Listening this in 2022.. Professor Jay your song they will never get old
@MartinWanderi-fs1dd
@MartinWanderi-fs1dd 14 күн бұрын
Tanazanias Amaru,much respect bro
@JulianaJuliana-m4v
@JulianaJuliana-m4v Ай бұрын
Naipenda sana hii nyimbo 2024
@shwarikuuvj5416
@shwarikuuvj5416 3 жыл бұрын
King legendary bongo hiphop we love u brother stay blessed in Jesus name
@megoj5179
@megoj5179 2 жыл бұрын
Duh 🙄 😂🤣hii kalii, haya mashairi sasa genius 🙌🏽
@dullahmmebela5624
@dullahmmebela5624 Жыл бұрын
Ulimtabili Magufuli J!!!
@kennedyomukuyia53
@kennedyomukuyia53 11 ай бұрын
god bless u bt ngombea tena utaingia
@brownngullo4051
@brownngullo4051 3 күн бұрын
watoto wa 2000 hii ngoma hawaijui
@jamesbiko586
@jamesbiko586 11 ай бұрын
This song still makes sense until now.... Profesa jay is a genius when it comes to music
@sultanimperious
@sultanimperious 8 жыл бұрын
he is great rapper...honour from rest of the world
@mussamasambali3152
@mussamasambali3152 3 жыл бұрын
Nimemis sana nyimbo zako
@peternzioka2887
@peternzioka2887 Жыл бұрын
Mwana Kenya mukamba natabua professor j
@majaliwajob1808
@majaliwajob1808 6 жыл бұрын
Ulitabili sana kaka fanyakweli
@kelvyonwheel
@kelvyonwheel 3 жыл бұрын
kama umeskia john pombe, ur genious😇
@RomaMichael-ei6di
@RomaMichael-ei6di Жыл бұрын
Pro jay ni balaa nimerud tena hapa ili song linanipaga uhalisia wa viongozi wetu bongo ni kwa namna gan hawafany majukumu yao,,, jay 🙏🙏🙏🙏
@musarotiken6935
@musarotiken6935 Жыл бұрын
Nataka hata matonya afunze chuo kikuu daah,, matonya hapo vipi 😁😁
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 жыл бұрын
SAUTI UNAYO BIG UP PROFESSOR JAY ILOVE ALL COMMENTES
@alphoncekagoshi1754
@alphoncekagoshi1754 7 жыл бұрын
whatever man think can achieve, he revealed this
@VenantMwikamba
@VenantMwikamba Ай бұрын
Nampenda sana prof Jay, vina vikali na mashairi yake mazuri
@kenedysinko4572
@kenedysinko4572 3 жыл бұрын
Unajuuuuuuaaaa Prof u deserve to be called suchlike name
@Black-sound24
@Black-sound24 6 күн бұрын
Nammm ndungu wana NCHI muda umefikaa saiz wapo kuomba kulaa 😂😂
@HalimaSahan
@HalimaSahan Жыл бұрын
Naipenda Sana hii nyimbo 2023
@imfuranzizaaboubakar7651
@imfuranzizaaboubakar7651 7 жыл бұрын
hapa juba tunampenda mwanamzk professor jay
@ezzymattroun4796
@ezzymattroun4796 6 жыл бұрын
Jay big up kweli mzee w.w bila kukana kura zote qwako,
@malikiabdull7081
@malikiabdull7081 7 жыл бұрын
am frm kigoma profesa jay is best rap in Tanzania
@Deggoo
@Deggoo 4 жыл бұрын
I remember this song when I was high school in Kenya
@victorkiberenge7068
@victorkiberenge7068 3 жыл бұрын
From Kenya nakukubali mweshimiwa
@khamistano4848
@khamistano4848 3 жыл бұрын
Hii ilikua Ni nyimbo yake ya kweli ambayo inafaa kuitwa ndoto iliokua kweli , Mana aliota kuitwa kiongozi na akawa kiongozi kweli .
@jobkiprotichsaikwa7643
@jobkiprotichsaikwa7643 7 жыл бұрын
yes sir, prof your among the kings of Africa. hope we link up for great stuff. some real Art/poetry to transform society.
@reginawambura7404
@reginawambura7404 7 жыл бұрын
ndoto yako ishatimia brother,heshima kwako
@mauriceogola9243
@mauriceogola9243 6 жыл бұрын
Nakukubali hadi naumwa
@opipimixmasters6340
@opipimixmasters6340 9 жыл бұрын
Ndoto zimetimia.Nakuaminia sana....kazi safi.Paulo to kenya.
@eliasmutuma
@eliasmutuma 29 күн бұрын
ndio mzee
@regansophen.4433
@regansophen.4433 4 жыл бұрын
January 2020 here we go.
@kahindicharo1751
@kahindicharo1751 4 жыл бұрын
Ndio hio imefika
@justinenyakundi5000
@justinenyakundi5000 7 жыл бұрын
Am a Kenyan but Jay I really like ua songs..... Jamii naona unaheshimu... #Bravo
@seneta.kangaruamosleah.4321
@seneta.kangaruamosleah.4321 6 жыл бұрын
Kali!.
@paulmsape163
@paulmsape163 2 жыл бұрын
Alimanisha na ikawa kweli
@paulmsape163
@paulmsape163 2 жыл бұрын
Huyu ndo mwanahalakati
@MussaRamadhani-q7v
@MussaRamadhani-q7v 3 күн бұрын
kwenye kura za maoni wamepigana ukuuuuuuu 😂😂😂😂😂
@franciskomba8057
@franciskomba8057 5 жыл бұрын
Yani mpaka leo 14/10/2019 namuenzi baba wa taifa na nyimbo yako kaka nyimbo yako ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@fredyelifuraha2553
@fredyelifuraha2553 3 жыл бұрын
2021 Sept 5 still amazing. Hongera Prof Jay
@anthonymsimbe1466
@anthonymsimbe1466 3 жыл бұрын
2021 nani anaisikiliza ii ngoma now
@iddmusa6802
@iddmusa6802 3 жыл бұрын
hii ngoma ni kali.
@iddmusa6802
@iddmusa6802 3 жыл бұрын
maisha ya hv sasa ndio inanifanya naisiliza
@meshachkigumbi
@meshachkigumbi 9 ай бұрын
2024 niko hapa like twende kazi
@JulietMazimba
@JulietMazimba 7 ай бұрын
My favorite artist professor jay
@fredkenyanya1575
@fredkenyanya1575 4 жыл бұрын
Professor Jay is my second best bongo artists after John woka. Kazi nzuri
@godfreygamba7347
@godfreygamba7347 9 жыл бұрын
big up xana profesa bongo dar es salaam uliumiza kichwa sana
@hakimmahena4854
@hakimmahena4854 3 жыл бұрын
Safi Sana mkuu
@juliuskinuthia2240
@juliuskinuthia2240 4 жыл бұрын
👊👊👊💪💪 ndio mzee
@redtailsgrouplimited9219
@redtailsgrouplimited9219 8 жыл бұрын
....haya ushachaguliwa timiza
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 5 жыл бұрын
Odhiambo Ogola Anayatimiza kwaBidii..🤷‍♂️🤷‍♂️
@godfreydavid6847
@godfreydavid6847 2 ай бұрын
Pure Bongo Fleva
@franciskomba8057
@franciskomba8057 5 жыл бұрын
Unajua sana kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@emmanueljudas4522
@emmanueljudas4522 4 жыл бұрын
Professa jay ..big dad
@ericernest2099
@ericernest2099 4 жыл бұрын
Was hit hoat 🔥 by the time
@butchaureprisioneiro5873
@butchaureprisioneiro5873 3 жыл бұрын
I m Mozambican FANS 🇲🇿🙏🙏🙏
@kweditilibedsp3424
@kweditilibedsp3424 4 жыл бұрын
Umefanikiwa pr.j keep it up.
@kennedyomukuyia53
@kennedyomukuyia53 Жыл бұрын
kazana mzee
@abangaabanga4677
@abangaabanga4677 2 жыл бұрын
Professor Jay 🗣🗣🗣🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@aishaahmed2076
@aishaahmed2076 5 жыл бұрын
Mh.Pro Jey samahani kuna jiwe lenu la dhahabu (nyimbo ya starehe) miaka ya nyuma wewe na ferouz naomba ulirudie ulisafishe kwa sub tittle ya kizungu ili ulimwengu upate ujumbe alaf upload tena. huo wimbo ujumbe wake unaishi tafadhali zingatia hili asante.
@mwalimuneema
@mwalimuneema 4 жыл бұрын
Nitafanya hiyo kazi.
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 5 жыл бұрын
04/13/2019 here I am, mziki mzuri unaishi. Utabaki kuwajuuu kileleni Mh #JosephHaule
@jacknerrickson2240
@jacknerrickson2240 5 жыл бұрын
Radio free Africa them days.
@williamcharo1703
@williamcharo1703 3 жыл бұрын
I salute... Nikiwa Kenya ningeisikia mida ya usiku usiki dem days
@seyfullahonlinetv
@seyfullahonlinetv 11 ай бұрын
2023
@johnbupimali5019
@johnbupimali5019 3 жыл бұрын
Tunaomba Video za hizi nyimbo Tafadhali J mwana wa Haule. kuanzia song la Ndiyo mzee, kikao cha dharura na Nang'atuka/ Tafadhali sana sisi fun zako tunaziomba sana.
@rebimbere
@rebimbere 4 жыл бұрын
2020 we here!
@geel6909
@geel6909 3 жыл бұрын
Prof.💯
@silaonesmo1322
@silaonesmo1322 8 жыл бұрын
ulikua u anajitabiria aise yametimia
@kairebaibz6828
@kairebaibz6828 6 жыл бұрын
uko juu xana jay
@kingbidder
@kingbidder 5 жыл бұрын
Safi sana hii haule
@josephvenus3259
@josephvenus3259 4 жыл бұрын
2020 we love it. 🔥🔥
@dankanimoris6876
@dankanimoris6876 3 жыл бұрын
We're back. Is. Very. Good. Song.
@walterogechi9785
@walterogechi9785 2 жыл бұрын
The best actually
@allymohammed7708
@allymohammed7708 4 жыл бұрын
This is hip hop 22 September 2020 12:18 am, j'3
@fredrickmwakina9116
@fredrickmwakina9116 6 жыл бұрын
Prof jay napenda mistari yake kwasababu imekoma
@davidaguvasu4553
@davidaguvasu4553 2 жыл бұрын
2022 still rocking 🔥🔥🔥
@semeonplatnumz8829
@semeonplatnumz8829 7 ай бұрын
Am after ruto did this to us😢😢😢😢
@VDJKizzahCaribbeanPrince
@VDJKizzahCaribbeanPrince 6 ай бұрын
Tulia mzee
@muchungajikarekakavunga3786
@muchungajikarekakavunga3786 3 жыл бұрын
Muchungaji kasereka
@muchungajikarekakavunga3786
@muchungajikarekakavunga3786 3 жыл бұрын
Salut
@thomasnachenga795
@thomasnachenga795 4 жыл бұрын
ME: who trana DISLIKE this HIT?Professor jay : 1:03 ME: Sure,EVEN tho views still count.
@yohanasimon5190
@yohanasimon5190 6 жыл бұрын
itolee video hii ngoma kaali xana bro
@ngangamtheboss9242
@ngangamtheboss9242 4 жыл бұрын
Tujuanee tunaoichekiii kipindi Cha uchaguzii 2020
@abdallahmasato2663
@abdallahmasato2663 7 жыл бұрын
unaweza kuta hivi ndivyo ulivyo ahadi kwa peples zilizokupa dhamana uziongoze
@raparamsey4621
@raparamsey4621 6 жыл бұрын
From I safi sana jay
@josephmurphyjosephmurphy7294
@josephmurphyjosephmurphy7294 7 жыл бұрын
kudadeki aliyoyasema sasa yametimia ishi kwa ndoto zako za kweli.amaa kweli haya timiza
@annnyaruiru3944
@annnyaruiru3944 2 жыл бұрын
great rapper
@modelka222
@modelka222 9 жыл бұрын
legend
@rayzmaisha
@rayzmaisha 8 күн бұрын
Et hata kikwete😂
@omegashoecompanyltd4386
@omegashoecompanyltd4386 2 жыл бұрын
Good song
@dantemaina6008
@dantemaina6008 Жыл бұрын
Hit
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 жыл бұрын
July 19th of 2021 am here representing USA 🇺🇸
@evanceokuku3704
@evanceokuku3704 6 жыл бұрын
Ilove your songs me as chebby j from kenya you are the best rapper but i am also upcoming rapper yani Wenimzito
@jacinterwakio1664
@jacinterwakio1664 9 жыл бұрын
imetimia jay
Professor Jay - Kikao cha dharura (Official Audio)
4:45
ProfessorJay
Рет қаралды 830 М.
PROF JAY  Alivyotumia staili ya 'Ku-Rap' Bungeni
4:55
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 26 МЛН
the balloon deflated while it was flying #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 31 МЛН
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 50 МЛН
Professor Jay ft Juma Nature - Ndio Mzee
5:55
ProfessorJay
Рет қаралды 95 М.
Professor Jay - Bongo Dar es Salaam
5:37
ProfessorJay
Рет қаралды 141 М.
Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1
41:30
YahStoneTown
Рет қаралды 118 М.
Tundaman Ft Chidi Benz -Neilah
4:36
Tunda Man
Рет қаралды 291 М.
Msinitenge (feat. Q Chief)
5:17
ProfessorJay
Рет қаралды 33 М.
Matonya featuring Lady Jaydee - Anita (Official Music Video)
5:31
NCHI YA AHADI KALA JEREMIAH ft ROMA (official video)
4:47
OfficialKalajeremiah
Рет қаралды 3,2 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
6:07
Ozoda
Рет қаралды 38 МЛН
RaiM - Qumar (Official Video)
2:30
RaiM
Рет қаралды 408 М.
JENNIE - Mantra (Official Music Video)
2:28
JENNIE
Рет қаралды 65 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - ВСЕМ САЛАМ! (MV)
3:28
ИРИНА КАЙРАТОВНА
Рет қаралды 298 М.
Жандос ҚАРЖАУБАЙ - ҚАЛАУЫМ (official video) 2024
2:27
Жандос ҚАРЖАУБАЙ
Рет қаралды 363 М.
Jaloliddin Ahmadaliyev - Shunday o'tib ketmasmiz (audio 2024)
2:51
Jaloliddin Ahmadaliyev
Рет қаралды 11 МЛН
Bones - White Boy Rick (DIEEZ & MANNONOV REMIX)
7:13
Dj Valka
Рет қаралды 1,5 МЛН