😂😂😂😂..yaani huyu kaka alikuwa mbele ya majira aisee, wakenya tulifunikwa na 'ama namna gani my frens' leo hii ni machos tupu😢!
@mauriceogola92436 жыл бұрын
kama bado unamuelewa professor jay tuende sambaba
@husseinkawa708414 күн бұрын
Mungu ampe Proffesor Nguvu na Siha njema kama Zamani..
@mwalimuneema4 жыл бұрын
Ndiyo mzee Nimekubali Naam ndugu wananchi, MC wenu Babu Ayubu, Ninawaleteeni habari japo kwa kifupi kuhusiana na huyu mgombea wetu bwana Joseph Haule Mpeni kura za ndiyo kwasababu yeye ni mpenda watu, ni mpenda amani, Na ni mtu mwenye huruma kwa wananchi wote, Kwa hivyo basi nawaomba ndugu wananchi, mumpe kula ili aingie. Naam basi, hivyo basi ndugu wananchi, Eeh tafadhali *namkalibisha mgombea wetu, Bwana Joseph Haule, ili aje aweza kuzungumza na wananchi, Karibu. Oke Oke, Naitwa Joseph Haule, Mwana wa Msulopo Kianzi, Nadhani nimeletwa niokoe hiki kizazi, Mimi ni mwanasiasa niliyebarikiwa na Mungu, Nimeletwa kwenu na Bwana niwapunguzie machungu, Mimi ni mteule kusini mwa jangwa la sahara, Ndiyo maana nimetunukiwa cheti cha juu cha utawala, Na hekima kuliko Mfalme Suleiman--msiwe na wasi Na hili nitalidhihirisha pindi mtakaponipa nafasi, Actually, mimezamiria kuwasaidia, Taifa lenye nguvu duniani liwe Tanzania, Jamani, makofi tafadhali basi jamani! [makofi, shangwe, nderemo na vifijo] Ni mambo madogo tu, Nadhani nitarekebisha mkinipa visiku vichache tu, Uchumi utapanda ile ghafla bin-vuu, Nataka mpaka Matonya afundishe chuo kikuu, Nchi ya Tanzania itang’ara ile kishenzi, Na nitahakikisha kila baamedi anamiliki benzi, Si mtafurahi dada zangu jamani? Ndiyoooooo Basi endeleeni kunisifu kwa nyimbo na mapambio, Nipeni hiyo nafasi jamani, hamwoni hali ni mbaya? Nataka kuigeuza Tanzania kama Ulaya, Cha kwanza nitakachofanya nitafuta umaskini, Wanafunzi mkafanyie practical mwezini, Kwenye mahospitali nitamwaga dawa kama mchanga, Na nitafungua akaunti kwa kila mtoto mchanga, Mabomba yatatoa maji na maziwa nchi nzima, Watu wa vijijini mtasahau habari za visima, Nitafadhili wachawi waweze kutengeneza ndege, Kila mtu awe na yake Makonda na wapiga debe. Si mtafurahi watanzania jamani? Ndiyo mzee Si ni kweli nakubalika jamani? Ndiyo mzee Basi mimi mkombozi wenu jama, Ndiyo mzee Na nitafuta shida zenu zote, Ndiyo mzee Hivi ni naninii, ni vijimambo, Ndiyo mzee Na vinanikera kwelikweli mimi, Ndiyo mzee Basi hali itabadilika, sawa? Ndiyo mzee Na hatamu tutaishika oke? Ndiyo mzee Wafanyakazi wa serikalini nashangaa hamna magari, Yaani hata mikweche, hehe! Hii ni hatari, Ninampango wa kuongeza mishahara iliyominono, Mara mia ya ile ya mwanzo iliyofanya mfanye migomo, Nitawapa nyumba nzuri na magari ya kifahari, Watu watashangaa mtakapopita kila mahali, Mkulima kila mmoja nitampatia trekta, Nadhani hiyo kidogo itasaidia kunyanyua sekta, Mtauza nafaka zenu bilioni kwa mabilioni, Watu midomo wazi kama wamekamatwa ugoni, Walimu zawadi zenu oh nimezificha moyoni, Nadhani mtazimia siku mkizitia machoni, We acha tu, mtafurahi nyinyi, Ila hapo hapamfai mtu mwingine niwekeni mimi, By the way, polisi wote mi nawasifu, Jinsi mnavyokwenda sahani moja na wahalifu, Sasa kila mmoja nitampatia helikopta, Nadhani hiyo wote hapo hamjawahi kuota, Raia wa Tanzania mtalala milango wazi, In fact, nina uhakika wa kudhibiti ujambazi, Nitajenga barabara tano-tano juu na chini, Nitajenga kumbi nyingi sana za starehe baharini, Ninaupendo kuliko mshumaa, kumulikia wenzangu, Mtakaoyumba kiuchumi, tutagawana vya kwangu. Si mtafurahi wa Tanzania jamani? Ndiyo mzee Si ni kweli nakubalika jamani? Ndiyo mzee Basi mimi mkombozi wenu jama, Ndiyo mzee Na nitafuta shida zenu zote, Ndiyo mzee Hivi ni naninii, ni vijimambo, Ndiyo mzee Na vinanikera kwelikweli mimi, Ndiyo mzee Basi hali itabadilika, sawa? Ndiyo mzee Na hatamu tutaishika oke? Ndiyo mzee Ndugu wananchi, kuna mtu ana swali kutoka kwa mgombea? Nauliza hivi, kuna mtu ana swali? Basi ajitokeze ili aweze kuuliza swali Nyie ndugu zangu huyu msimpe uongozi--siyo vizuri, Muongo tu, mfakini na kiburi kimsuli, Anaongopea saana! Sijui kazaliwa muda gani, alfajiri au alasiri? Wakati mvua zile, za kipendi kile? Amepita pita skuli lakini mambo yake si mazuri, Wala tusimtetee, atatuangamiza, Labda tusubiri kwanza uchaguzi umwekwisha, Tumemfuma wenyewe kwa kalumanzila anasafishwa, Kalumanzila akamwambia, ehe, shida yako? Elezea fasta fasta kabla jini hajapanda, [chafya] Hajakaa vizuri mashetani si yakamuanza! ‘kamsukuma kwa kasi ya kimbunga amejichanja, Tulimsikia akisema kwa sauti kubwa ya kukarikia, Waungwana! Munisaidie! Ndiyo, sitamwelewesha! Uongo mtupu babake ameibiwa, waungwana wamempeleka chau mpaka kaibiwa, Yupo-hamna gepu na pugu! Amewehuka! Hajatulia huyu mpepeeni! [uphh uphh] Ni sauti iliyosikika kutoka kwa mzee wa pembeni, Sijui msaidizi mganga au mpelelezi, Na kwa taarifa yako uongozi hupati ng’o! Labda urudi kwenu uende ukavunje tunguri, Na hao waganga wako waeleze hupati kitu apa, Hata utoe chapaa [makofi, shangwe, nderemo na vifijo] Je wananchi mmenisikia? Ndiyo mzee Kwa huyu jamaa hatufai, Ndiyo mzee Haina vibaya uchukia, Ndiyo mzee Hatumtaki aondoke zake, Ndiyo mzee Tusimkubali na maneno yake, Ndiyo mzee Tunahakikisha ‘atumchagui, Ndiyo mzee Kwasab’ jamaa ni mnafiki, Ndiyo mzee Asitufanye tuwe na dhiki, Ndiyo mzee [makofi, shangwe, nderemo na vifijo]
@joachimvladimir45804 жыл бұрын
Upo vizur sana
@tamararamsay67183 ай бұрын
Pale juu ni Msolopaganzi.
@alimlimfestus65847 жыл бұрын
am a Kenyan but prof j is my best East Africa musician
@MrCHEMAI448 жыл бұрын
I am From Kenya But Prof is My Best East African Rapper.
@edigarcharles20124 ай бұрын
Listening 2024
@hamisimkongo15435 ай бұрын
HEAVY WEIGHT MC - Legend, Pioneer, Father, Leader
@dulaabdallarashid2 жыл бұрын
magufuli did it ameifanya Tanzania kua ulaya kama profesa j alivyosema
@petermuasya3211 ай бұрын
Mie ni mkenya but jay ni moto sana
@Miss__RS Жыл бұрын
Promises za Zakayo
@danwabomba8740 Жыл бұрын
Hasora wa Kenya ndiye amedhihirika hapa
@bigkakameshack80662 жыл бұрын
Listening this in 2022.. Professor Jay your song they will never get old
@MartinWanderi-fs1dd14 күн бұрын
Tanazanias Amaru,much respect bro
@JulianaJuliana-m4vАй бұрын
Naipenda sana hii nyimbo 2024
@shwarikuuvj54163 жыл бұрын
King legendary bongo hiphop we love u brother stay blessed in Jesus name
@megoj51792 жыл бұрын
Duh 🙄 😂🤣hii kalii, haya mashairi sasa genius 🙌🏽
@dullahmmebela5624 Жыл бұрын
Ulimtabili Magufuli J!!!
@kennedyomukuyia5311 ай бұрын
god bless u bt ngombea tena utaingia
@brownngullo40513 күн бұрын
watoto wa 2000 hii ngoma hawaijui
@jamesbiko58611 ай бұрын
This song still makes sense until now.... Profesa jay is a genius when it comes to music
@sultanimperious8 жыл бұрын
he is great rapper...honour from rest of the world
@mussamasambali31523 жыл бұрын
Nimemis sana nyimbo zako
@peternzioka2887 Жыл бұрын
Mwana Kenya mukamba natabua professor j
@majaliwajob18086 жыл бұрын
Ulitabili sana kaka fanyakweli
@kelvyonwheel3 жыл бұрын
kama umeskia john pombe, ur genious😇
@RomaMichael-ei6di Жыл бұрын
Pro jay ni balaa nimerud tena hapa ili song linanipaga uhalisia wa viongozi wetu bongo ni kwa namna gan hawafany majukumu yao,,, jay 🙏🙏🙏🙏
@musarotiken6935 Жыл бұрын
Nataka hata matonya afunze chuo kikuu daah,, matonya hapo vipi 😁😁
@ifgodsayyes.nobodycansayno17965 жыл бұрын
SAUTI UNAYO BIG UP PROFESSOR JAY ILOVE ALL COMMENTES
@alphoncekagoshi17547 жыл бұрын
whatever man think can achieve, he revealed this
@VenantMwikambaАй бұрын
Nampenda sana prof Jay, vina vikali na mashairi yake mazuri
@kenedysinko45723 жыл бұрын
Unajuuuuuuaaaa Prof u deserve to be called suchlike name
@Black-sound246 күн бұрын
Nammm ndungu wana NCHI muda umefikaa saiz wapo kuomba kulaa 😂😂
@HalimaSahan Жыл бұрын
Naipenda Sana hii nyimbo 2023
@imfuranzizaaboubakar76517 жыл бұрын
hapa juba tunampenda mwanamzk professor jay
@ezzymattroun47966 жыл бұрын
Jay big up kweli mzee w.w bila kukana kura zote qwako,
@malikiabdull70817 жыл бұрын
am frm kigoma profesa jay is best rap in Tanzania
@Deggoo4 жыл бұрын
I remember this song when I was high school in Kenya
@victorkiberenge70683 жыл бұрын
From Kenya nakukubali mweshimiwa
@khamistano48483 жыл бұрын
Hii ilikua Ni nyimbo yake ya kweli ambayo inafaa kuitwa ndoto iliokua kweli , Mana aliota kuitwa kiongozi na akawa kiongozi kweli .
@jobkiprotichsaikwa76437 жыл бұрын
yes sir, prof your among the kings of Africa. hope we link up for great stuff. some real Art/poetry to transform society.
@reginawambura74047 жыл бұрын
ndoto yako ishatimia brother,heshima kwako
@mauriceogola92436 жыл бұрын
Nakukubali hadi naumwa
@opipimixmasters63409 жыл бұрын
Ndoto zimetimia.Nakuaminia sana....kazi safi.Paulo to kenya.
@eliasmutuma29 күн бұрын
ndio mzee
@regansophen.44334 жыл бұрын
January 2020 here we go.
@kahindicharo17514 жыл бұрын
Ndio hio imefika
@justinenyakundi50007 жыл бұрын
Am a Kenyan but Jay I really like ua songs..... Jamii naona unaheshimu... #Bravo
@seneta.kangaruamosleah.43216 жыл бұрын
Kali!.
@paulmsape1632 жыл бұрын
Alimanisha na ikawa kweli
@paulmsape1632 жыл бұрын
Huyu ndo mwanahalakati
@MussaRamadhani-q7v3 күн бұрын
kwenye kura za maoni wamepigana ukuuuuuuu 😂😂😂😂😂
@franciskomba80575 жыл бұрын
Yani mpaka leo 14/10/2019 namuenzi baba wa taifa na nyimbo yako kaka nyimbo yako ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@fredyelifuraha25533 жыл бұрын
2021 Sept 5 still amazing. Hongera Prof Jay
@anthonymsimbe14663 жыл бұрын
2021 nani anaisikiliza ii ngoma now
@iddmusa68023 жыл бұрын
hii ngoma ni kali.
@iddmusa68023 жыл бұрын
maisha ya hv sasa ndio inanifanya naisiliza
@meshachkigumbi9 ай бұрын
2024 niko hapa like twende kazi
@JulietMazimba7 ай бұрын
My favorite artist professor jay
@fredkenyanya15754 жыл бұрын
Professor Jay is my second best bongo artists after John woka. Kazi nzuri
@godfreygamba73479 жыл бұрын
big up xana profesa bongo dar es salaam uliumiza kichwa sana
@hakimmahena48543 жыл бұрын
Safi Sana mkuu
@juliuskinuthia22404 жыл бұрын
👊👊👊💪💪 ndio mzee
@redtailsgrouplimited92198 жыл бұрын
....haya ushachaguliwa timiza
@RamazaniMulongeca5 жыл бұрын
Odhiambo Ogola Anayatimiza kwaBidii..🤷♂️🤷♂️
@godfreydavid68472 ай бұрын
Pure Bongo Fleva
@franciskomba80575 жыл бұрын
Unajua sana kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@emmanueljudas45224 жыл бұрын
Professa jay ..big dad
@ericernest20994 жыл бұрын
Was hit hoat 🔥 by the time
@butchaureprisioneiro58733 жыл бұрын
I m Mozambican FANS 🇲🇿🙏🙏🙏
@kweditilibedsp34244 жыл бұрын
Umefanikiwa pr.j keep it up.
@kennedyomukuyia53 Жыл бұрын
kazana mzee
@abangaabanga46772 жыл бұрын
Professor Jay 🗣🗣🗣🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@aishaahmed20765 жыл бұрын
Mh.Pro Jey samahani kuna jiwe lenu la dhahabu (nyimbo ya starehe) miaka ya nyuma wewe na ferouz naomba ulirudie ulisafishe kwa sub tittle ya kizungu ili ulimwengu upate ujumbe alaf upload tena. huo wimbo ujumbe wake unaishi tafadhali zingatia hili asante.
@mwalimuneema4 жыл бұрын
Nitafanya hiyo kazi.
@RamazaniMulongeca5 жыл бұрын
04/13/2019 here I am, mziki mzuri unaishi. Utabaki kuwajuuu kileleni Mh #JosephHaule
@jacknerrickson22405 жыл бұрын
Radio free Africa them days.
@williamcharo17033 жыл бұрын
I salute... Nikiwa Kenya ningeisikia mida ya usiku usiki dem days
@seyfullahonlinetv11 ай бұрын
2023
@johnbupimali50193 жыл бұрын
Tunaomba Video za hizi nyimbo Tafadhali J mwana wa Haule. kuanzia song la Ndiyo mzee, kikao cha dharura na Nang'atuka/ Tafadhali sana sisi fun zako tunaziomba sana.
@rebimbere4 жыл бұрын
2020 we here!
@geel69093 жыл бұрын
Prof.💯
@silaonesmo13228 жыл бұрын
ulikua u anajitabiria aise yametimia
@kairebaibz68286 жыл бұрын
uko juu xana jay
@kingbidder5 жыл бұрын
Safi sana hii haule
@josephvenus32594 жыл бұрын
2020 we love it. 🔥🔥
@dankanimoris68763 жыл бұрын
We're back. Is. Very. Good. Song.
@walterogechi97852 жыл бұрын
The best actually
@allymohammed77084 жыл бұрын
This is hip hop 22 September 2020 12:18 am, j'3
@fredrickmwakina91166 жыл бұрын
Prof jay napenda mistari yake kwasababu imekoma
@davidaguvasu45532 жыл бұрын
2022 still rocking 🔥🔥🔥
@semeonplatnumz88297 ай бұрын
Am after ruto did this to us😢😢😢😢
@VDJKizzahCaribbeanPrince6 ай бұрын
Tulia mzee
@muchungajikarekakavunga37863 жыл бұрын
Muchungaji kasereka
@muchungajikarekakavunga37863 жыл бұрын
Salut
@thomasnachenga7954 жыл бұрын
ME: who trana DISLIKE this HIT?Professor jay : 1:03 ME: Sure,EVEN tho views still count.
@yohanasimon51906 жыл бұрын
itolee video hii ngoma kaali xana bro
@ngangamtheboss92424 жыл бұрын
Tujuanee tunaoichekiii kipindi Cha uchaguzii 2020
@abdallahmasato26637 жыл бұрын
unaweza kuta hivi ndivyo ulivyo ahadi kwa peples zilizokupa dhamana uziongoze
@raparamsey46216 жыл бұрын
From I safi sana jay
@josephmurphyjosephmurphy72947 жыл бұрын
kudadeki aliyoyasema sasa yametimia ishi kwa ndoto zako za kweli.amaa kweli haya timiza
@annnyaruiru39442 жыл бұрын
great rapper
@modelka2229 жыл бұрын
legend
@rayzmaisha8 күн бұрын
Et hata kikwete😂
@omegashoecompanyltd43862 жыл бұрын
Good song
@dantemaina6008 Жыл бұрын
Hit
@RamazaniMulongeca3 жыл бұрын
July 19th of 2021 am here representing USA 🇺🇸
@evanceokuku37046 жыл бұрын
Ilove your songs me as chebby j from kenya you are the best rapper but i am also upcoming rapper yani Wenimzito