MCHUNGAJI HANANJA AMJIBU MZEE WA UPAKO KUSEMA WAKRISTO WENGI HAWAJUI BIBLIA // INJILI HAIPO HIVO...

  Рет қаралды 105,361

PTVTANZANIA online

Ай бұрын

Пікірлер: 583
@user-ly2tv5og1n
@user-ly2tv5og1n 3 күн бұрын
Kwa hiyo inakubalika kwamba ni Mungu MMOJA. Good!
@josephmoyo5617
@josephmoyo5617 25 күн бұрын
Hananja upo vzr,ubarikiwe sana Baba.umejibu vzr sana kuhusu Mungu Baba ,Mwana na Roho Mtakatifu.Sisi wakatoliki tunaamini hivyo kama wewe ulivyofafanua hapo.
@erickclaudio2978
@erickclaudio2978 Ай бұрын
Kwa kigezo cha utendaji kazi mchungaji hananja umeeleweka Mungu ni mmoja haswa .Mungu akubariki sana kwa fundisho lako pia la siku,siku zote ni siku za ibada
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@erickclaudio2978 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@margwetsere423
@margwetsere423 19 күн бұрын
Haya ni maneno yako, siyo biblia, maana biblia imesema IKUMBUKE SIKU YA SABATO UITAKASE, siku sita fanya kazi ...... Hiyo siku zote ni za Ibada ni maneno yako.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 12 күн бұрын
@@margwetsere423 Mimi ni Muislam lakini kwani ibada kwa Kikristo ni nini? Kwetu sisi Waislam ni mwenendo mzima wa maisha tokea kuamka hadi kulala uwe ni mwenye kuridhiwa na Mungu kwa kila unachofanya kiwe cha haki na hilo lipo kila siku na kila wakati. Hivyo Mchungaji Hananja kakosea wapi?
@musadaudi985
@musadaudi985 2 күн бұрын
Hiyo siku ya sabato ni ipi iseme​@@margwetsere423
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 29 күн бұрын
Mchungaji Hananja nimekupenda kwa ukweli huu uliotufafanulia Barikiwa xana🙏🙏🙏
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@amisamaurid1882 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@RehemaDavid-f2l
@RehemaDavid-f2l 19 күн бұрын
Sasa hananja amesema ukweli gani? Au kasema maneno yake mwenyewe tu,tungetegemea apinge kwa hoja ya maandko,na atuambie kwamba amri za Mungu hazipo,maana siku ya ibada (sabato) ni amri ya nne ya Mungu,hata mbinguni tukifika tutamwabudu Mungu ktk siku hyo,soma ISAYA 66:22-24., kwahyo hananja katoa mawazo yake Wala sio ya Mungu maana hayakutoka kwenye biblia.jisomee maandko mwenyewe uone ukweli ulivyo,yaan hananja katoa majb uliokua nayo na unayoyapenda bila kujali ni ya ukweli au la! Njia Bora ya kijibu hoja za imani ni Biblia na Biblia pekee.Barikiwa
@alexluteganya4087
@alexluteganya4087 19 күн бұрын
​@@RehemaDavid-f2l😊
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 15 күн бұрын
​@@RehemaDavid-f2lBiblia inasema mtu ahukumiwi kwa siku wala kwa mwandamo wa mwezi. Sasa endelea na kushika siku. Sabato ilitakiwa mtu asitembee umbali unaozidi wa kutupa jiwe. Nyie mnaenda umbali hata wa 50km. Sasa mnaitii sabato?
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 15 күн бұрын
​@@RehemaDavid-f2lHalafu unakuta mtu ameshika sabato huku akiendelea kutenda dhambi nyingine. Hiyo inasaidia? Mtu anakataa Christmas kwamba Yesu hakuzaliwa siku hiyo, lakini, si alizaliwa?
@nicholausmeela3354
@nicholausmeela3354 29 күн бұрын
Asante sana Mch. Hananja kwa kalenda ya siku hizi Yesu ni kweli alifufuka siku moja na nusu
@godfreylushiku3081
@godfreylushiku3081 Ай бұрын
Kwa anayetaka kujua Yesu ni nani kwa mujibu wa Ukristo na biblia. Soma Injili ya Yohana sura ya 1 yote na Waraka kwa webrania sura ya 1. Maamuzi yanabaki kwako. Roho wa Mungu akuongoze kumtambua na kuelewa maandiko. Amina
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats Ай бұрын
Na nyongeza kidogo hii apa nakuongezea 👇👇👇 Jitahidi sana kuelewa na kutenga hisia juu ya unachosoma.👇👇 1. Mwanzo 1:26: “Mungu akasema, ‘Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; nao watauwa samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa mwituni, na nchi yote pia, na kila kitambaacho kitambaacho juu ya nchi.’” 2. Mathayo 28:19: “Basi, enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.” 3. 2 Wakorintho 13:14: “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu, ukae nanyi nyote.” 4. Yohana 14:26: “Lakini Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.” 5. Mathayo 3:16-17: “Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake; na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, ‘Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.’” 6. Yohana 1:1-2: “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.” 7. Yohana 10:30: “Mimi na Baba tu umoja.” 8. Yohana 14:9-10: “Yesu akamwambia, ‘Ee Filipo, nimekuwako pamoja nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba? Huamini ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Maneno ninenayo mimi siyasemi kwa shauri langu mwenyewe, bali Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.’” 9. 1 Yohana 5:7: “Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.” 10. Waefeso 4:4-6: “Mwili mmoja, na Roho mmoja, kama na mlivyoitwa katika tumaini moja la wito wenu; Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja; Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.”
@TheMakala21
@TheMakala21 Ай бұрын
Asante sana MASTER Hananja! kama hajakuelewa hapa hato elewa tena!
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@TheMakala21 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@christinemtengule766
@christinemtengule766 2 сағат бұрын
Ndiyo maana nampenda sana pastor Hananja Kwa sababu yeye hutumia Hilo Hilo neno kukusoa/ kutetea hoja
@andrewkaswagula3367
@andrewkaswagula3367 Ай бұрын
Hananja is the best.. kila leo nisikilizapo maelezo yako hasa kuhusu tafsiri ya Biblia inanifanya niendelee kujivunia kuwa mkristo...
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 Ай бұрын
Ndugu yangu, naomba uelewe kuwa siku ya hukumu hatokuwepo mkalimani, mwanasaikolojia, mwanafalsafa, roho mtakatifu wala Hananja katikati ni wewe pekee na Mungu wako. Hivyo ni vyema ukawa unasikiliza pande zote mbili na kurejelea maandiko na kuyachambua kwa akili yako ndio msingi wa hoja zako kwa Mungu na si kushabikia fulani kwasababu ni binadamu anaweza kuteleza. Nimefuatilia clips zote mbili, Hananja anapotosha, hana hoja za kimaandiko, ni mapokeo ya waleta dini, wazungu. Mzee wa Upako yuko sahihi maana ana hoja kutoka kwenye biblia. Na wewe, ungejitahidi kufuatilia clips zote mbili. Asante.
@AllDesigningTZ
@AllDesigningTZ Ай бұрын
Kweli mzee wa upako yuko sahihi
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 26 күн бұрын
Kwani Mzee wa upako yeye anaabudu siku gani
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 19 күн бұрын
@@Carolina-sm5zt abudu siku zote
@ZabronWambura-yb5jf
@ZabronWambura-yb5jf 8 күн бұрын
​@@jabirkasunzu6841anatwambia hakuna Mungu mwana kwahyo anamkataa yesu 😅
@hajihassan5433
@hajihassan5433 12 күн бұрын
Nimekuelewa sana, Mungu ni mmoja tu. Hata sisi Waislam Mungu ana majina 100 na kwa anaelewa kwa kila jambo Mungu huombwa kwa jina sahihi. Waislam na Wakristo tunatofautiana lugha.
@judithnaomy6787
@judithnaomy6787 8 күн бұрын
Mch hananja mungu akubariki sana umefafanua Mzee wa upako haijui biblia Mzee waupako kaiyacha Imani Kawa mpinga kristo mungu amsanehe kabisa
@JosefuSwai
@JosefuSwai 7 күн бұрын
Wewe nimekupenda sanasana sio mnazi kama wengine udini umewajaa tu
@hamishatibu699
@hamishatibu699 3 күн бұрын
Wew waislamu na wakirto wanatofutiana kila kitu, Dini, ibada, Mungu
@mugishoInnocent
@mugishoInnocent Күн бұрын
Akuna Mungu baba Mungu mwana na Mungu roho, Mungu ni mumojatu nani Yesu kristo na ubatizo ni mojatu nani ubatizo kwa jina la Yesu kristo matendo ya mitume 2:37/ matendo ya mitume 10:44-48 / matendo ya mitume 19:1-5 matendo ya mitume 4:12________ukibishisha nipe andiko mutu mumoja kwenye biblia alibatizwa kwa majina ma tatu! Yesu ndie Mungu Wa milele yote isaya 9:6 matayo 1:23 / Yohana 1:1.... / Yohana 1:14 / Yohana 14:8
@joshuamfizi4816
@joshuamfizi4816 Күн бұрын
Umeelezea trinity ki theologia vizuri sana
@isackchilewa1232
@isackchilewa1232 28 күн бұрын
Mungu akubariki umesaidia wengi sana juu ya nafsi tatu Mungu mmoja. Asante mtangazaji kwa kuuliza swali kwa ajili ya maelfu
@sandejacob623
@sandejacob623 26 күн бұрын
Safi sana, Yesu hakuja duniani kuwaambia watu wasali Jumamosi bali tuaache uovu
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@sandejacob623 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@RehemaDavid-f2l
@RehemaDavid-f2l 19 күн бұрын
Hyo safi sana,je! Umeikagua na kuiona kweli ni safi kwa mujibu wa Yohana 17:17? Maana ukweli na usafi unapatikana kwa kuyasoma maandko,Sasa je hananja katusomea biblia ktk majb yake? Pima mwenyewe uone!!.
@johnkmjema9727
@johnkmjema9727 Ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji achana na wachumia Trumbo!!!?
@justusrwiza9653
@justusrwiza9653 28 күн бұрын
Kiukweli si yeye ila Mungu kupitia kinywa Cha huyu baba katujibu. Yaan amefanya hata ukimuelezea mtoto mdogo kwa mfano alioutoa wa Hananja dereva, Hananja Mchungaji au Hananja mchekeshaji still ni yule yule Hananja
@geofreymwakasenga7054
@geofreymwakasenga7054 24 күн бұрын
Asante sana Baba Mchungaji kwa ufafanuzi mzuri, Kimsingi nimebarikiwa sana ....
@Apostlevincent254
@Apostlevincent254 28 күн бұрын
Sahili Mchungaji. Naamini walimu wa uongo .Tutubu tuiniamini injili tuokolewe. Mambo ya sirini ni ya Mungu. Mzee wa upako uongozwe na Roho Mtakatifu kuliko hekima za Dunia hii.
@wanguwangu34
@wanguwangu34 Ай бұрын
Mzee wa upako inawezekana kabisa hajui Biblia na hakwenda Bible School maana angejua hayo matatu asingesema habari ya siku ya kusali, Lkn Dr. Hananja kajibu vizuri sana.be blessed Dr.Hananja.
@JacksonSimbeye-qz1zp
@JacksonSimbeye-qz1zp Ай бұрын
Ebrania 4:9soma mungu akusaidie kuelewa
@user-be8mu6fm3t
@user-be8mu6fm3t 20 күн бұрын
Ikumbuke siku ya sabato uitakase
@lilyg2134
@lilyg2134 19 күн бұрын
KABISAA
@naftalimutahi5591
@naftalimutahi5591 Ай бұрын
Hanaja mkulima,hanaja mume wa...hanaja daktari,hanaja mwalimu . Kweli ni yule yule hanaja. Kweli turundi katika bibilia. Basi jina la baba mwana roho mtakatifu ni bwana yesu kristo. Hiyo ndiyo sababu bibilia imebatiza katika Hilo jina.acts 2:36-40.acts.10 acts19. Colossians 3:7 And whatsoever ye do in word or deed, do all in the name of the Lord Jesus, giving thanks to God and the Father by him
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@naftalimutahi5591 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@jessicahonore
@jessicahonore 11 күн бұрын
Yes, JINA LA MUNGU NI YESU KRISTO, DAMU NA NYAMA HAVIJA KUFUNULIA HILI.BARIKIWA
@naftalimutahi5591
@naftalimutahi5591 11 күн бұрын
Ubarikiwe sana jesca. Huyo bwana yesu kristo.katika kita u cha ufunuo ndiye pekee....mungu wetu. Rev1:8-12 Iam Alpha and Omega, the beginning and the ending, saith the Lord, which is, and which was, and which is to come, the Almighty. Amen
@ZacMahenge
@ZacMahenge 18 күн бұрын
Amina mch. Ukweli watu wameacha kweli ya neno,wako nje ya lengo la Mungu, watu waacha watubu dhambi.
@DelphinaFidelis
@DelphinaFidelis Ай бұрын
Unaachaje kusali!!!! hatuabudu binadamu,tunamwabudu Mungu wetu aliye hai.
@user-ft2uv9tv3i
@user-ft2uv9tv3i 29 күн бұрын
Hananja yuko vizuri anakuelimisha na anakupa na mafundisho ya kueleweka
@user-wr4zu4un4s
@user-wr4zu4un4s 11 күн бұрын
Baba umeeleweka asante kwa ufafanuzi
@LovenesyMhame
@LovenesyMhame 24 күн бұрын
Ameen nmefunguliw n maelez y mchungj hananja mungu ni mmja
@mahyorokalokola4012
@mahyorokalokola4012 12 күн бұрын
Huyu Hananji ni mbabaishaji. Maana Hananji anatakiwa kuelewa kuwa japo Hananji anaweza kuwa na kazi mbalimbali lakini hawezi kuwa anafanya kazi ya udereva na huku anafanya kazi ya ukulima kwa wakati mmoja kama inavyoelezwa na utatu mtakatifu
@DOrio-ue2hr
@DOrio-ue2hr 5 күн бұрын
Amen mtumisahi
@EvordThomas-uz8fw
@EvordThomas-uz8fw 27 күн бұрын
Kusoma Biblia na vyuo vyake sio tiketi ya kumjua Mungu, ila unapata wigo wa kutafakari kwa kina juu ya habari za Mungu. Tafakari vizuri kabla hujasema acha kuleta mapokeo.HEKIMA ni muhimu zaidi Big up sana Mch. Hananja Mungu aendelee kukulinda
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 26 күн бұрын
Hajajibu zaidi ya story tu. Utatu hananja hajui😢😢😢
@DaudaBilikesi
@DaudaBilikesi 26 күн бұрын
Kitu cha kutunga hakiwezi kuwa na mfanano kwa watu wote.Trinity is not biblical !
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 Ай бұрын
❤❤❤ umesema kweli kapisa papa
@gracekasambala4712
@gracekasambala4712 26 күн бұрын
Asante sana Mchungaji Leo umeniongezea uelewa
@wisemanfromzerotohero970
@wisemanfromzerotohero970 Ай бұрын
Muze uyu ni mutumishi wa Mungu na Kweli kumuelewa inahitaji utulivu saana
@richardstephano6441
@richardstephano6441 28 күн бұрын
Tubuni na kuamini injili
@stevensteven4513
@stevensteven4513 Күн бұрын
Kituo kinachofuata Namuona MZEE mumoja ivi Akimfuata KIBOKO YA WACHAWI 🤣🤣🤣🤣
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 29 күн бұрын
Jamani hivi amri za Mungu !!! Mnazipitia zote?? Kumbuka n amri , hazijabadilishwa na hazitabadilishwa
@ASALABOY
@ASALABOY Ай бұрын
SIKU ZOTE NAKUWA NADIFUNZA KITU HAPA KWA MZEE HANANJA SABU YEYE ANARUDI KWENYE NENO TU 👏👏
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 Ай бұрын
Soma biblia Mwanzo 2:2. Masuala ya siku yapo. Usishabikie mtu, soma maandiko. Siku ya hukumu, hatokuwepo mkalimani, mwanasaikolojia, mwanafalsafa, roho mtakatifu wala Hananja katikati ni wewe na Mungu wako.
@ezekielpandisha
@ezekielpandisha 26 күн бұрын
Barikiwa sana Pst.Hananja!
@abubakarmustwafa-lg8fe
@abubakarmustwafa-lg8fe 28 күн бұрын
😂😂😂Ufahamu mpana sana...hongera sana Mzee Hananja
@PhilipobonifacSado
@PhilipobonifacSado 26 күн бұрын
Mzee wangu unajua sana nashangaa wanasema mungu mitatu kati wakristo wote tunajua mungu ni1t
@PHILIPDANIEL-oe6ud
@PHILIPDANIEL-oe6ud 21 күн бұрын
Sipendi kuzungumzia Sana mabishano ya watumishi wa MUNGU Ila nawasihi watumishi muwe na hekima ya MUNGU ili mjue namna sahihi ya kufundisha pia mjue kufanikiwa kuwa na Mali haimaanishi unahekima ,hongera Sana much Hananja
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@PHILIPDANIEL-oe6ud 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@godintandala949
@godintandala949 25 күн бұрын
Asante Mchungaji
@AbbySigala-u9c
@AbbySigala-u9c 4 күн бұрын
Mungu aendelee kumpa uzima huyu mchungaji watu wapate mengi kwake watoke ktk giza
@GIBSONMWABILI-po3wf
@GIBSONMWABILI-po3wf 28 күн бұрын
Nakupenda bure mchungaji,Kenya tunakifuatillia kwa utendeti
@Shyreendicksondonald
@Shyreendicksondonald 17 күн бұрын
nimekubari uko vizuri sana hanaja
@mosesmartin73
@mosesmartin73 13 күн бұрын
Ananja ❤Mungu aendelee kukupa afya njema unajua kufundisha na mtu na akakuelewa
@andrewkaswagula3367
@andrewkaswagula3367 Ай бұрын
Anayejiita sijui mzee wa Upako akajifunze upya Biblia.. Asikilize wenzake kama hawa wanavyo elezea tafsiri ya Biblia
@MartinLaban
@MartinLaban Ай бұрын
Huyo alipigwa kitu kizito akaambiwa aanze kupotosha watu, ukiskiza hananja utafurahi hajifagilii na anajibu kifasaha sana.
@kiatu
@kiatu Ай бұрын
Elimu yake ndogo (theology)
@hassanthabit4021
@hassanthabit4021 13 күн бұрын
Hananja kajibu kiti kimoja tu hakuna 3 wala 2 😅
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 11 күн бұрын
Nakuelewa sana mchungaji Hanaja
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 25 күн бұрын
Hananja anajua hajakariri hata anavojibu maswali n mtu mwenye ufaham wa biblia Mungu aendelee kukutumia
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 Ай бұрын
Lusekelo asemee kanisa lake, na siku wakijua Biblia watarudi kwa watumishi wa kweli wa Mungu. Wewe SALI jumamosi au siku yoyote uliyoelekezwa na chama chako kuwa haina makali ya utukufu, Rangi zake zimeanza kuonekana kama Kibwetele tu.Kanisa Lisilo kuwa na Sunday school, kipaimara ili kujifunza Biblia.Kanisa ambalo limejaa porojo kibao,kiki, kujipashia umaarufu na ukubwa, stori za mitandaoni na kuaminisha watu vitu ambavyo sio vya kibiblia ni kweli watu wale wa kanisa lake hawajui Biblia.
@timothychimbo3501
@timothychimbo3501 20 күн бұрын
Asante sana Hananja hupambani unaelimisha
@user-hg9yc7yj9k
@user-hg9yc7yj9k 13 күн бұрын
Muchungaji Hananja nakupenda sana wewe ni msema ukweli izi pinda pinda zinatuletea shida sana•
@mrafm7285
@mrafm7285 27 күн бұрын
Mungu ni mmoja tu Hana mshirika yoyote Wala Hana mtoto isipokua ameumba malaika Kwa ajili ya kufanya kazi zake
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 29 күн бұрын
Mchungaji wangu Mungu aendelee kukupa hekima ili wengi wapate Elimu hii.
@BroDanielShekiyao
@BroDanielShekiyao Ай бұрын
Hananji nilikua nakuona mchekeshaji kumbe unajua biblia
@vinhaule8617
@vinhaule8617 27 күн бұрын
Anaenda na majira mungu ambariki
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@ZabronWambura-yb5jf
@ZabronWambura-yb5jf 8 күн бұрын
​@@vinhaule8617et anaenda na majira😅😅😅😅😅😅 kwenye biblia hakuna cha majira wala nini bakini kwenye ukweli wa neno la Mungu
@frankiuskilomba4880
@frankiuskilomba4880 6 күн бұрын
Kuna point mzee wa upako yuko sahihi na kuna point pastor hananja yuko sahihi ,, Issue ya siku ya kuabudu wengi tunaitafsiri vibaya ,, issue ya ibada siku ya sabato ni sehemu ya Amri kumi za Mungu,, Sasa ukweli ubaki ukweli ,, maelezo yanakuwa mengi kuliko imeandikwa,, kubadilika kwa majina ya siku,miezi, na miezi , haijabadili siku sahihi ya ibaada , na kupishana masaa kadhaa eneo kwa eneo ,haijabadili bado siku husika ,,, Bwana atufungue macho tuone ukweli halisi
@IssacNtacho
@IssacNtacho Ай бұрын
Hananja simsifii kwakuwa amesoma namsifia kwa kuwa amefunulia neema hyo yakuijua kweli,,
@vinhaule8617
@vinhaule8617 27 күн бұрын
Mungu ni mwema sana
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@IssacNtacho 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@victoriagalinoma4532
@victoriagalinoma4532 7 күн бұрын
Maelezo yako yanaeleweka kwa wenye macho ya rohoni Amen
@adjanihabose1586
@adjanihabose1586 15 күн бұрын
mchungaji ubarikiwe sana wewe ni mtumishi wa mungu kabisa
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 25 күн бұрын
Nyie hangaikeni tu, Mungu mmoja tu, hakuzaa wala kuzaliwa
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd 23 күн бұрын
Waache watangetange mwisho watakuja tu katika njia iliyonyooka.
@JosefuSwai
@JosefuSwai 7 күн бұрын
Njia Gani yie mabwege uchafu wenu huo waganga nyie​@@cath-ef7wd
@frankjohn8706
@frankjohn8706 16 күн бұрын
Hapo Hananja nimekukubali sana
@DavidNdaha
@DavidNdaha Ай бұрын
Kweli mida wote ni wakusali
@kidtoto4869
@kidtoto4869 11 күн бұрын
His incredible geniouz
@user-uf6qf9lx4y
@user-uf6qf9lx4y 19 күн бұрын
Mchungaji hananja ana babaisha Mungu ni Mmoja hana MSHIRIKA .unayo ya sema mchungaji Hananja yanatofautiana na uhalisia . Yohana 17:3
@lilyg2134
@lilyg2134 18 күн бұрын
huyo Yohana ungemsoma kuanzia mwanzo usingekua hapa unajiabisha mxiuu!! unasoma biblia ipi au ndo wale wanaokurupuka tu mnaosoma kutafuta majibu ya ufoko wenu ili mje kupinga na wala sio kuelewa, hebu kasome yohana 1:1-14 usitupigie kelele....
@leonardmhagama5828
@leonardmhagama5828 11 күн бұрын
Fikiri Usikariri
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi Ай бұрын
Hananja leo nimegundua ana Mungu;na anamjuwa Mungu
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 Ай бұрын
Hananja anajibu kwa kurejelea mapokeo ya Wazungu na Mzee wa Upako ana hoja kwa kurejelea maandiko ya Waisrael wenyewe. Mf. Ishu ya siku, biblia inaeleza mwanzo 2:2 Amri kumi za Musa, moja, Mungu anakataa asifananishwe na chochote majini ardhini na mbinguni na Yesu anasema wakujue wewe Mungu wa pekee na mimi uliyenituma. Viongozi wajuu waongo na Wakristu wengi hawaijui biblia na wakisoma wanaathiriwa na mapokeo kutoka kwa wazungu. Na kwa akili ya kuzaliwa yenye afya, Mungu aliyesimamisha ardhi na mbingu bila nguzo, anaweza kuwa binadamu (Yesu)? Yesu katahiriwa, kusujudu, alivaa kanzu, alilia, alilala na alikuwa fundi seremala. Mungu wa Alpha na Omega hawezi kuwa wa namna hiyo. Mungu gang dhaifu.
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi Ай бұрын
@@jabirkasunzu6841 Mr Jabir hebu nifafanulie hii hadhith sahihi imeandikwa vitabu vifuatavyo vya Kiisilamu; Muslim,Imani,302;Bukhari 97/24,10/29;Hanbal III/1 One day of Judgement,Allah will open his leg and show his thigh to the prophet (S.A.W) to prove his Identity. Allah atafunua nguo yake amuonyeshe Muhammad paja lake,kumhakikishia kwa alama iliyo ktk paja lake; Allah hakuzaa,Wala hakuzaliwa,Wala Hana wa kufanana naye: .Kumbe anavaa nguo, na ana mguu na una alama? Vipi ni Mungu Allah? Ni jibu then nitakujibu kuhusu mashaka uliyonayo kwa Maandiko
@ismailmaulid1616
@ismailmaulid1616 23 күн бұрын
Hananja yupo makini na majibu yake lusekelo mropokaji Mungu ashamuacha muda​@@jabirkasunzu6841
@ismailmaulid1616
@ismailmaulid1616 23 күн бұрын
​@@jabirkasunzu6841maelezo mengi lakini hauna hoja soma Biblia kwa mafunuo usisome kama gazeti Yesu mwenyewe amewaita nyinyi ni vipofu Mnamasikio lkin hamsikii, mnamacho lakini humuoni Nandio maana Biblia ni fumbo ambalo linafunuliwa na Biblia yenyewe YESU MWENYEWE ANASEMA MIMI NA BABA NI MMOJA✅ NILIKUWEPO KABLA YA ADAMU✅ NATUMFANYE MTU KWA MFANO WETU✅
@jumamario-vr1mw
@jumamario-vr1mw Ай бұрын
Kweli baba unajua
@Stellastella-yi5vu
@Stellastella-yi5vu 27 күн бұрын
Saa zote ni za bwana, ck zote ni za bwana amua wew usali jpil au alhamis
@laurentpeter5772
@laurentpeter5772 16 күн бұрын
UNAPOSEMA siku na saa zote ni za Mungu,na kwamba usali siku yoyote Ile ukiamua,je, unadhani Mungu kuileta sabato hakulijua Hilo? Je,amri ya sabato kuwa Moja ya amri kumi unadhani Mungu alikosea? Kama ilikuwa siku yoyote, kwanini Sasa Yesu na mitume hawakushika jumapili? Kwanini jumapili ianze kuheshimuwa kama siku ya Ibada baada ya kutangazwa na mfalme constantino na hapo nyuma haikuwa hivyo? Haya biblia hamuelewi,ulizieni basi hata histolia mpate Majibu kwamba histolia inasemaje!!!?
@Fundi12345
@Fundi12345 26 күн бұрын
Kuna watu wanatii sana shelia na wanavunja san sheria hapo panamatatizo makubwa mungu wetu anataka tuwe watakatifu kwisha habar
@orestsanga6294
@orestsanga6294 6 күн бұрын
Mzee wa upako baada ya kushiba kaamua kusema kweli anaoujua. Mchungaji Hananja ndio kwanza anaganga njaa kwa kutaka kuwafariji waumini waamini wanachotaka badala ya kuamini wanachotakiwa kuamini
@erickmwasi9596
@erickmwasi9596 10 күн бұрын
Ahsante
@tryphone3036
@tryphone3036 9 күн бұрын
Saafi saana
@user-dp6wg8fs6x
@user-dp6wg8fs6x 17 күн бұрын
Dini zimekuwa biashara haya mabishano yanaturudisha nyuma waamini ni bora nibaki na Mungu wangu ti hata nyumbani nitasali sadaka nitapeleka kwa wenye mahitaji naamini nitabarikiwa tu na kifo changu kiko palepale kuliko uasanii unaiendelea makanisani kwa sasa
@elishampoki8751
@elishampoki8751 Ай бұрын
Mungu ni mmoja kstika utatu, Mungu Baba mwana na Roho mtakatifu Mbinguni vinashudia mambo matatu Mungu Baba na Neno na Roho mtakatifu Duniani vinashudia mambo matatu Damu maji na Neno
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 29 күн бұрын
Hivi unamanisha kusema ATI yesu ni mungu na roho mtakatifu ni mungu
@ZabronWambura-yb5jf
@ZabronWambura-yb5jf 8 күн бұрын
​@@JamesMoses-jd1yqndio
@FrankGasper-eq2ui
@FrankGasper-eq2ui 22 күн бұрын
Ase uyu mchungaji Ni noma ase anajua
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@FrankGasper-eq2ui ONA ALICHOKIFICHA 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@silassaitoti7689
@silassaitoti7689 29 күн бұрын
KKKT KWELI WANA WACHUNGAJI WATULIVU🎉
@user-uf6qf9lx4y
@user-uf6qf9lx4y 19 күн бұрын
Mzee wa Upako yupo Sahihi . Kubalini ukweli unapodhihiri kinyume chake itakua mnafanya KIBURI
@user-en8oc5pu1y
@user-en8oc5pu1y 14 күн бұрын
Kweli kabisa biblia imeweka bayana , ni kweli siku zote ni MUNGU lakini siku ya ibada MUNGU aliitenga siku ya saba siku ya sabato hata kama tungetafuta porojo nyingiingi ukweli unabaki palepale
@isayatippe6409
@isayatippe6409 21 күн бұрын
Ni kweli kabisa Yesu na mitume hawakutoa Agizo lo lote kwamba kanisa lisali Jumamosi wala Jumapili!!!
@user-be8mu6fm3t
@user-be8mu6fm3t 20 күн бұрын
Desturi ya Yesu ni kusali Kila sabato
@RehemaDavid-f2l
@RehemaDavid-f2l 19 күн бұрын
Ulitaka watoe agizo la siku ya kusali kwa watu gan? Wakat wayahudi waliijua na kuitunza siku ya sabato,yesu alishughulika na mambo yaliyo washinda wayahudi siku zile kama vile ndoa,na namna ya kuitunza sabato,na hata hvyo bado Yesu aliingia ibadani Kila siku ya sabato,hata baada ya kuondoka kwake wanafunzi wake waliiendelea kuitunza sabato Matendo16:13,Sasa ww unatama agizo gani Tena? Maana agizo liko kwenye amri kumi,la kuitunza sabato,na amri zipo hata mbingu na nchi zitakapotoweka
@user-kc8sf6vg8k
@user-kc8sf6vg8k 26 күн бұрын
We ndo nakuelewa saana baba 🙏🙏
@justineswai5885
@justineswai5885 25 күн бұрын
Hongera hananja
@philipomichael5477
@philipomichael5477 10 күн бұрын
injili ishakushinda ndyo maana hunajipya.. ANANJA ANAKUZIDI Akili
@iddykwangaya2794
@iddykwangaya2794 28 күн бұрын
Kazi kweli kweli 😊
@AudaxNgarama
@AudaxNgarama 12 күн бұрын
Mchungaji nakuoata sana shida ni shule
@deogratiasmoses7209
@deogratiasmoses7209 12 күн бұрын
Amri 10 za Mungu zinajieleza tu wazi Sabato ni mojawapo katika amri hizo Kutoka 20 Soma,JUMA la uumbaji siku ya Saba imetajwa Mwanzo 2:1- 3 ,Agizo kwa wanawaisraeli Sabato ilisisitizwa na Mungu mwenyewe sana kuwa ni AGANO LA MILELE kutoka 31:12 - 16 Isaya 66:22- 23 Sabato hata Sabato mbinguni, Luka 4:16 Yesu alifanya ibada siku ya Sabato
@user-xf3lv5xp1i
@user-xf3lv5xp1i 9 күн бұрын
Agizo kuu la Yesu ni Enendeni ulimwenguni mwote mkahubiri injili na kuwafanya watu kuwa wanafunzi wake , sio wasali siku ya Jumamosi siku zote ni za Mungu maana NENO la Mungu linasema popote watakapo kuwepo wawili au watatu na Mungu yupo hapohapo
@user-le1mo8ru7u
@user-le1mo8ru7u Ай бұрын
Mchg hananja wewe una akili sana na umesoma kweli kweli
@elishampoki8751
@elishampoki8751 Ай бұрын
Lusekelo Roho mtakatifu Alimwacha, sass hivi yupo yeye kama yeye tofauti kabisa alivyokuwa anaanza uduma mwanzo lusekelo alikuwa vizuri mno sijui amelogwa nani, Lusekelo ni mtumishi wa Mungu,kanisa tuombe kwajili ya lusekelo aludi kama mwanzo, jamani hii inatisha,
@mossesmichaelnzowa3378
@mossesmichaelnzowa3378 Ай бұрын
Kweli kabisa huyu Mzee ameiacha njia ya kweli.
@neemamdami7466
@neemamdami7466 Ай бұрын
Upo sahihi
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 28 күн бұрын
Wewe ndiyo umepotoka
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 20 күн бұрын
@@elishampoki8751 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana". 𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?". 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........" 𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki." 𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬 > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊 > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato. > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊? > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili. 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢: "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana" 𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳 "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba." 𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱: "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo." 𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲 𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake." 💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐? 𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27). HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1. Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week." >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!! ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:- -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:- 1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo. 2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582. Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili. => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582. Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇 Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9 Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu. Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!! 💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII. Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali..... ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda. ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile. NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu. Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏
@lilyg2134
@lilyg2134 19 күн бұрын
KABISAA
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 Ай бұрын
Dunia imeisha ..manabii wa uwongo ni wengi....
@simonanthonykayombo6913
@simonanthonykayombo6913 Ай бұрын
Simple, funny and clear
@AngelMwaipungu-l1i
@AngelMwaipungu-l1i 2 күн бұрын
Mi Nacheka tu
@besttrendingcovers1838
@besttrendingcovers1838 Ай бұрын
Mi nlikuwa nasali sana lakini nlipoona viongozi wa dini hawa wanapingana kila siku ikabidi niache kabsa kusali. Ninachojua Mungu alikuwepo kabla ya hizi dini na dini haiwezi fanya ukamjua Mungu ata siku moja. Zaidi dini zimejaa sheria kibao za kumbana muumini asiwe huru kufikiri zaidi
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw Ай бұрын
Yesu akirudi huuingii mbinguni
@besttrendingcovers1838
@besttrendingcovers1838 Ай бұрын
@@GeorgeChitemo-kt8sw mbingu ipo ila suala la yesu kurudi si la kweli ni stori tuu za wazungu, mbingu utaiona kwa sabab unaish pow na watu na huwafanyi ubaya. Ni mamb ya ajab yaan inahtaji mahubir kujua kuwa kuua sio kit kizur. In short dini ililetwa kufunga akili za waafrika wasifikir zaid. Ndio maana mchawi anaroga hadi awo wachungaj
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Ай бұрын
​@@besttrendingcovers1838Busara inayohitajika ni utashi wako kuamini au kuacha. Hulazimiki wala kushurutishwa kuwa mfuasi wa imani fulani. Haya unayoyaandandika yana mapungufu mengi. Kwanza dini haipumbazi mtu, kwani elimu uliyopitia ambayo ni formal education mpaka ukajua kuandika na kusoma (universal education) ni mfumo wa dini wa Kanisa Katoliki. Mfumo wa matibabu ya hospitali ni wa Kanisa Katoliki. Chuo kikuu Cha kwanza katika mfumo tuliokuwa nao wa elimu ni Cha kikatoliki Kiko Bologna Italy. Mfumo wa kimahakana (judicial system) ni mfumo wa Kanisa Katoliki na mfumo wa utawala wa kihairakia ni wa kikanisa. Kanisa Katoliki Lina taasisi za kielimu shule na vyuo vikuu duniani kuliko serikali yoyote duniani. Kwa hiyo tuhuma kwamba akili yako imedumazwa na dini ni illogical statement. Mwisho dini ya Kikristo hakuanzishwa na wazungu Bali wazungu waliipikea kama tulivyoipokea sisi, wenyewe waliitumia wakapata maendeleo!
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 Ай бұрын
ivi nyinyi nduguzetu wakristo ambacho hamuelewi ninihasa yesu amekataa sio mungu wala mtoto nimtumetu katumwa na mungu kama alivo fundisha acheni kung,ang,ania mambo yatakayo waweka jikoni
@user-cv4yi5hz9b
@user-cv4yi5hz9b Ай бұрын
The big thinker 🙌🏿🔥 one love 💪🏿💪🏿🤲🏻✌🏿
@hoseaahadi4889
@hoseaahadi4889 9 күн бұрын
Kuna ushahidi wa kibliblia wa yesu kusali siku ya saba kwenye sinagogi ambayo ni sabato
@user-mh1vw6fw7t
@user-mh1vw6fw7t 13 күн бұрын
Hananja ni noma Yuko sawa
@shariduidrisa1993
@shariduidrisa1993 Ай бұрын
Hameniiii islam is the best❤
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 28 күн бұрын
Fanya kazi lisha familia Yako hizi dini zililetwa na watu huku Africa hakuna na dini yeyote, jiulize kwanini sisi Bado maskini na ndo tunaongoza kushika dini alafu wao matajiri japo kuwa wanafanya uovu mwingi kuliko sisi?
@venanceJohnbosko
@venanceJohnbosko 28 күн бұрын
Utajiri wa mwili au utajiri wa roho.....
@LIBERATUSNSEKELA
@LIBERATUSNSEKELA 28 күн бұрын
​​@@Oldskulgemini9991 Siyo dini tu zililetwa na watu. Hata hizo kazi zenyewe unazofanya ili kulisha familia yako zililetwa na watu hao hao. Kwahiyo ukipuuzia hizo dini walizoleta, puzia na hizo kazi pia. Hata hizo nguo unazovaa, zipuzie.
@ismailmaulid1616
@ismailmaulid1616 23 күн бұрын
Baki nao wewe inatosha tushatoka huko
@dostovan5142
@dostovan5142 17 күн бұрын
Tumetoka haturudi
@babanatalis8401
@babanatalis8401 25 күн бұрын
Yesu alikua duniani akasema naenda kwa baba hii inamaana kule mbinguni yupo Baba, Kisha akasema nitamuomba baba awape msaidizi mwingine ndiye roho mtakatifu. Eti Mungu mwana baba na roho wote ni Mungu mmoja! Dah😢😢😢
@ismailmaulid1616
@ismailmaulid1616 23 күн бұрын
Yesu anasema mimi na BABA NI MMOJA
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi 11 күн бұрын
Nikweli niwengi hatujuwi sabato ni amri ,ndio ikaja injili
@maruruedward5735
@maruruedward5735 Ай бұрын
Licha ya comedy zake ila ndy mwelimishaji wa neno la mungu
@martinihassani6760
@martinihassani6760 6 күн бұрын
Mfundishe asiendelee kutuabisha wakristo .
@user-cl9zu6xt9e
@user-cl9zu6xt9e 16 күн бұрын
Askofu hamanja amewachana vizuri wataelewa tu😂
@deogratiuspima9896
@deogratiuspima9896 20 күн бұрын
Unajua kufundisha🙏🏽
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 Ай бұрын
Yesu alitamka watakuja manabii wa uongo muwaepuke ndiyo haya yana tokea
@JosefuSwai
@JosefuSwai 7 күн бұрын
Yapi
@AnnaMtulo-fc5tg
@AnnaMtulo-fc5tg 24 күн бұрын
Kusema ukweli upako amesoma andiko kutoka kwenye bible ndo mwongozo wawatu wote
@allythabiti8150
@allythabiti8150 28 күн бұрын
Kumbe Mungu ni Mmoja takbiiir.
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 26 күн бұрын
Wewe ulidhani wangapi? Hiyo tafsiri ya miungu wengi kutokuelewa tu biblia.
@allythabiti8150
@allythabiti8150 26 күн бұрын
@@mathiaslyamunda2526 nyie si huwa mnasema Mungu mwana, Mungu roho na Mungu baba.. nmetoa wapi haya
@ANDREWKIMARO-by3zl
@ANDREWKIMARO-by3zl 26 күн бұрын
@@allythabiti8150 ni utendaji kazi tu wa Mungu ni kama Allythabiti unavoitwa Ally, au dereva Allythabiti au mwalimu Allythabiti wakati huohuo wewe ni Allythabiti Mungu ni mmoja kumbukumbu la Torati 6:4 Biblia Takatifu imenifundisha hivo toka niko mdogo.
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 20 күн бұрын
Pastor kapiga theology
@DanielErnest-nn2zj
@DanielErnest-nn2zj 25 күн бұрын
Mzee wa upako na Haanja wote vilaza hawajui waandiko, ila huyu mzee wa upako kuna ukweli anajua ila anapindisha
@user-be8mu6fm3t
@user-be8mu6fm3t 20 күн бұрын
Mengi anakua anaanza kukupa ukweli