Al Marhum Sheikh Nassor Bachu alikua anaijua manhaj hayo kabla ya wao kuzaliwa wote hao... Allah ampe. Pepo Ameen
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Kweli kabisa akhy
@mamakemusab20112 жыл бұрын
Allah akupe subra sheykh Mohd bachu Ila sisi waja wa mwenyezi mungu tunamtokea ushahidi sheykh nassor bachu alikua nfano mwema na kiongozi mwema Allah amrahamu na amkunjulie akhera yake.mm kuinukia kwangu nimeyaskia mawaidha ya sheykh nassor bachu iweje wanamkashif sheykh
@ummatchannel43002 жыл бұрын
HAKUNA BID-A KUBWA INAYOTAFUNA UMMA KAMA HAYA MAKUNDI YANAYOUNDWA LEO, AMBAYO HAYAKUWAPO WAKATI WA MTUMEﷺ.
@universitylink2 жыл бұрын
Sorry typing error student not students
@mutomubaya2 жыл бұрын
Dini ya Uislamu Duniani ni Dini ya tangu zama za manabii wa Zamani. inafundisha kumuamini Allah na kumuabudu na kushikamana na kamba ya Allah bila kufarikiana. wanaojiita viongozi hali ya kuwa wanaongea huku wakipanda mbegu mbegu za chuki wajue mbegu hizo ndizo zinasababisha kuwapo vikundi vikundi vinavyozozana. Kwa hivyo, tuwapuuzeni
@cheapunderage8228 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa akhy…ila pamoja na yote rasulli lillah swallau alley wasam alisha tabiri atakae ishii umri mrefu ataona itlaf nyingi
@tamashamagoma29412 жыл бұрын
Allah akuhifadhi, na endelea kuelimisha umma, tunakupenda kwa ajili ya Allah shekhe Muhammad Bachu
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
SHEIKH NASSOR BACHU, NIKIPENZI CHA WANA SUNNAH KWA WAJUWAO LUGHA YA KISWAHILI, TUNAMUOMBA ALLAH AMRAHAMU NA AMSAMEHE MAKOSA YAKE.. WASEMAO KWA UBAYA, HAJUI SHEIKH AU HUENDA NI UHASIDI WAO TU. ALLAH AWAONGOZE
@ibnuali68572 жыл бұрын
Hakuna sheikh ninaye mpenda kama sheikh nasor bachu Allah amrahamu
@abuuabuu48312 жыл бұрын
@@ibnuali6857 sasa hao masalafi wamepata wapi eti wao Ndio wamemlingania?
Wallahi this boy Mohamed Bachu is a blessed boy with knowledge, wisdom na ufasaha wa lugha. Masha Allah
@mutomubaya2 жыл бұрын
Pongezi kwa matamshi yako mazuri. Tuweni wakweli. Tuacheni kuvunjiana heshima
@ashrafseif94602 жыл бұрын
Lakin sheikh bacho ALLAH AMREHEM HAKUWA NA TABIA YA KUPANDA KWENYE MITANDAO NA KUSHAMBULIANA NA WATU. NI BORA KUIGA TABIA HII,
@ashrafseif94602 жыл бұрын
Halafu nyny mashekh mnapondana mitandaoni then ET mnaombeana hifadhi ya Allah huon mnachangannya watu
@ashrafseif94602 жыл бұрын
Sheh bacho aliutoa ummah ktk bidaa nying tumpe heshima yake
@mumajadkhatwab21802 жыл бұрын
Bila kukosea watu heshima wallahy kuna namna mzuri sana yakulinganiana ila nyinyi munapenda mizozo lau ingekuwa dini mtume ametuachia sisi saa hii bac isingefika mahali kwa midomo yenu michafu yakutupiana maneno kama nyimbo za tarab.. tumeambiwa tulinganiane kwa hikma na mawaidha mema... kisha shida kubwa ni kujigamba kuwa muko kwa haki mia fil mia ni kama mulikuwa wahyi ukiteremka...Allah atuongoze sote Amiiiin
@rahmaoman51222 жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad bachu
@masudbasra5662 жыл бұрын
Ndugu yangu achana na watu wasioijuwa dini bachu nisheikh mzuri sana mola amrehemu
@TheOthmoney2 жыл бұрын
MIMI SINA ELIMU KUBWA , ILA NNACHOJUA KUWA WAISLAMU NI NDUGU! WALLAHU A'ALAM
@bakarbakar84772 жыл бұрын
👍
@hassanmohamedlaizer5692 жыл бұрын
Ukisikia tu mlio wa maji ujue unakuja kuzima moto(unao kula thamani ya sunna) 🌊~🔥
@JumaShundi-tn9pf4 ай бұрын
Assalaamu alaykum warahmatullah.... Nasaha. Msiwaseme marehem wénu vibaya, Mtume amekataza jaman Dunia inakwenda wapi!?
@najashrk37382 жыл бұрын
Sikuzote unapousema ukweli hutofurahisha watu wenye kuongeya uwongo maaana nisawa umewazibiya njiya yao ya upotovu. Utasemwa utachukiwa nahutokaa kuwapendezesha wao..Ittaki llaha. Endeleya kutuelimisha Allah akulinde nauwaduwi wakila aina Aaamin
@AW-vt9pw2 жыл бұрын
Jamani kwani kama hujamjibu si atakujibia Allah? Mohammed Bachu Mawaidha yako ni mazuri. Sasa kama kuna watu hawapendi kukuona katika umri ulionao na kuweza kutoa mawaidha bila kubabaika huwenda wengine hawapendezewi kutokana na ufahamu wako kuwa mkubwa kuwapita wao. Nakusihi waache wakubeze na wala usiwajibu, Allah atakujibia. Maana kama utaendelea kuwajibu kila mmoja watu watakusema vibaya na watahusudu. Jikinge kwa Mwenyezi Mungu kisha endelea kufanya kazi ya Allah malipo yako atakulipa Allah.
@abdallahmohamed84332 жыл бұрын
Swadakta
@suleymansalim57322 жыл бұрын
Acha wajibiwe usiifiche haki. uovu uondolewe kwamikono au kwa kusema na kuchukia .madam uwezo wa kusema haki upo basi haifai kuificha haki ili watu wabainikiwe malipo kwa Allaahu yapo palepale na ujue kunawatu wanafaa kua ubao ili kuwasomesha wengine na tujue usahihi ni upi. Ukisema akae kimya itaonekana nishutma za ukweli kikubwa tu nikutoanza ila wakianza wajibiwe ili nao pengine wakajua haki wakaifata pengine nao hawajui wakidhan wapo sahihi. Acha tuelimishane kupitia yote haya .
@ahmedjuma26742 жыл бұрын
Waache wakosowane mpaka wakaesawa
@AW-vt9pw2 жыл бұрын
Tujikumbushe katika clip za Marhum Sheikh Nassor Bachu
@zaharahassan78732 жыл бұрын
Asalam alykum Shekh wangu Mohamed bachu nakuimba utubainishie matatizo ya Shekh Qasim mafuta Kwa sababu Mimi nikipenzi chake kama vile wewe nikipenzi changu ktk walimu ninao fadika nao ahesnte Mungu atuhifadh sote
@neemafatu78852 жыл бұрын
Hata mimi nashangaa sana.hawa woote ukiwasikiliza ,wanaongea SUNNA tupu.sasa kwa nini walumbana.NACHUKIA SANA.
@binbajoun79182 жыл бұрын
Ahsante Allah kuhifadh azidi kukuongoza
@jumaothman94492 жыл бұрын
Allah akulipe kheri. Mm nakufahamu sana sheikh wangu na nakupenda kwa ajili ya Allah.
@matendondambwe95272 жыл бұрын
Ndugu zangu wasikilizaji tusiwaige mashekh wanao tukanana kielimu wanamema mengi Sana hao wakiwa sio wachawi Wala washirikina wanadaraja kubwa mbele ya allah
@abdul_azeez_almaamir2 жыл бұрын
الله يبارك فيك يا شيخنا
@abuuyunusnassor4462 жыл бұрын
ni maneno ya wazi kabisa na yenye kufahamka kutoka Muhammad Nassor bachu (حفظه الله) Maa shaa Allah Makundi katik dini yanasababish mfarakano katik din ya Uislamu bila ya shaka
@abuuabuu48312 жыл бұрын
Hii Ndio azma ya usalafi Maana usalafi ni fitna ya Kushughulisha waislamu wasahau changamoto zao Kazi yao ni mipasho na kusutana tu
@ahmedhusseinshnoor12102 жыл бұрын
Kuna ubaya gaani kusema Alijuwa haki mishoni ya umri yake ?? Sema Alhamdulilah Kama Baba yako alikufa juu yaki rahimahullaah sheikh nasir bachu .
@hilmialiomar19832 жыл бұрын
Sipendi kukuona tofauti,migongano,ugomvi baina ya Masheikh wetu.
@موسعلی-ه8ث2 жыл бұрын
ماشاء الله 🙏🙏
@abuuabuu48312 жыл бұрын
Nothing to translate This is true colour salafy It's here to bring chaos in Deen
@shabanijuma20852 жыл бұрын
Allah atakulipa Maana unafanya kazi za mitume.
@farajimtana1232 жыл бұрын
Ila tunge jibiwa lile la Million 200 watu wange rudisha Imani ila kwa sasa ngoja tukae kwanza upande wa Sheikh QASSIM MAFUTA.
@abdulazizi24752 жыл бұрын
Hakika jambo kubwa kwa wanazuoni ni kuibadilisha jamii kwenda katika wema au ni kusubiri mwanachuoni ateleze adogoshwe na kufundishwa kusoma na kuambiwa hafai Jamii yetu inafaidikaje na midahalo ya wenye elimu
@bacteria51842 жыл бұрын
Hawa masalafiya wanachugua mashee na kuwatoa na kuwavunjia heshima mashee wengine.kundi hili la kuwachagua mashee na kuwa na kiburi halipaswi kufuatwa.
@mikealeck64472 жыл бұрын
watu wengi wanashindwa kuelewa , sheikh Nassor Bachu alikuwa elimu yke ni msaada kwa ummah, hawa wasasa elimu ni msaaada kwa ajili ya vikundi vyao na nafsi zao, huko Tanga ndio balaaa.
@abuukwacha24382 жыл бұрын
Maalim unashughulika na watu ambao elimu zao bado
@alikhamis63262 жыл бұрын
Sina la kusema ila niseme tu wallahulmustaan 🤲🤲
@hassanalbasq31602 жыл бұрын
Acha kibri FUATA HAQQI NAKUNASIHI KAMA MWANAFUNZI MWENZANGU!! ACHANA NA BAHIZBI HAKIKA WATU WA HAQQI HUKAA NA WATU WA HAQQI.
@ummesaniyah2 жыл бұрын
Huyu mafuta na salafi wenzake Wana dharau na kibri kikubwa...na hii ni ishara ya upotofu wao au misguidance. Alama yao kubwa ukosefu wa ilimu, uelewaji mdogo , ukosefu wa adabu na ukosefu wa akhlaq... Allah kawanyima hizi khair zote... Allah awaongoze ndugu zetu hawa...
@abdallahmoussa6142 жыл бұрын
Allah atuongoze soote na nilisha fatiliya radd nyingi tofauti kwamakini mm mBurundi ila nawez kusema Ma Sheikh wa Kisalafi wa Tanzania wanafanya kazi kubwa saana East Africa kwakuilimisha watu na kuijuwa manhaj sahihi Allah awalipe kheri kwa ilo. Imma kuusiyana na Usalafi Jadida kwakweli uyo usalafi jadida sio ambao wanao kwa ushahidi wa Sheikh Qassim Mafuta Allah amuhifadhi alio utowa kweny MUHADHARA leo baada ya sala ya Asri na ambao wanamzuliya et ni hizbi,... wameamuwatu kumwita ivyo ila Haqqi itabaki kuwa haqqi
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Sana Allah awaifadhi wametutoa vumbila macho kwa mambo. Mengi saba na Nassor bachu ametu vumbua Sana mm namuelewa Sana muda mwingi na sikiliza Mawaiza yake
@karimulahiabdullahi68162 жыл бұрын
Nataka unambie mtu anayejiingiza kwenye mataasisi sio Hizbi? Au ushabiki unakusumbua ww
@abdallahmoussa6142 жыл бұрын
wapi uliona ushabiki kweny Dini ya Allah
@karimulahiabdullahi68162 жыл бұрын
Si ww hapo ni Shabiki wa kasim mafuta. Na mna tabia ya kuyafumbia macho maovu ya kasim mafuta lakini maovu ya wengine mnayasema mpaka kesho. Mumefitinika nyie Allaah awarudishe mahizb wote pamoja na nyie katika Haqq
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
@@abdallahmoussa614 ndugu yangu katika Iman kunawatu siowaelewa Dunia hata umuelekezetu vipi waoni ushabikitu na sifa pepoyao Duniani kwakusifiwa ukisimama kwenye Haki uchukiwa. Kwahiyo usibishanenao kaakimya Allah atoipa kilammoja kutoka Ana anachokitanda
@adensir6302 жыл бұрын
Mie Wallahi hakuna mtu niliuekuwa na mpenda katika walinganizi was dawa salafiyya zaidi ya Nassoro bachu رحمه الله تعالى...Naumia Sana kuona watu bado wanamuhisisha katika maswaala ya Raddi..
@AbdulMajid-bb7kd2 жыл бұрын
Daah
@rsbjvjdjgh21812 жыл бұрын
nimesikia sauti ya kipenzi chetu mwalimu wetu hadi machozi yananitoka Allah ampe pepo ya firdaus jirani yake awe bwana mtume S.A.W mimi napenda sana kwaajili ya Allah muhhamad bachu wavumilie tu samehe wenyewe tunajua kazi aliyo ifanya baba yako Allah ampe firdaus l aallah
@salhaali92842 жыл бұрын
Amin yarrab
@saidmuhama98462 жыл бұрын
Aaamiin
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Amyn🤲
@arnoldisaya29072 жыл бұрын
Kajifunze kwa Dr ISLAM MOHAMEDI SALIM Huenda INSHAALLAH ukatambulika wewe ni manhaji gani maana hatukuelewi
@jumaothman94492 жыл бұрын
Nani aende kujifunza
@saadiashariff53772 жыл бұрын
Mashaa Allah Allah amuhifadhj Dr islam Muhammad. Ameen thumaa Ameen
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Huyo Dr.ISLAM wenzio masaraf wanampinga zipo crip za Kassim Mafuta amesema Dr.Islam sio sarafu kwasababu hauzungumzii huo usarafi
@Zainabnoor0087-ze5 ай бұрын
@@mgazamhina840majadida wamempiga Red card DK Islam bila hoja,! kweli ujadida ni uvundo
@arnoldisaya29072 жыл бұрын
Mbona unashilikiana mashekhe waliopinda mfano shekhe kishik
@ahmedseif7432 жыл бұрын
Shukran Maalim wetu tutavumilia INSHAALLAH
@hessenomary60322 жыл бұрын
Mropokwaji umekimbilia kulingania kabla hujawa na ilmu. Kaa chini usome ibn baachu
@ramadhanmakame63132 жыл бұрын
Muhammad Buchu ndugu yangu watafute ni kina nani walomfata sh. Nasor na akaikubali dawa. Nani walomfata sh. Nasoro. Na kutumia vitabu vya sh.Alban dalili ya mtu wa sunnah. Kwani kuna watu wangapi wanatumia vitabu vya watu sunnah na si katika watu wa sunnah. Kama huna cha kusema nyamaza sio lazima useme.
@abuuyusraathariyyu47522 жыл бұрын
Umesema kweli akhii
@khamisjuma38992 жыл бұрын
Kazi ipo
@salmasaady39892 жыл бұрын
Wewe ni fundi unajua pambana Allah atakulipa tupe elimu shekh mtoto wa nyoka n nyoka
@babuumaeda76712 жыл бұрын
Mashekh wa Leo wote Tz muigen hekima za Nasor Bacho rehmahulau nyie wengine ni makund tu
@abuuyunusnassor4462 жыл бұрын
Mtihan kwa kweli Hatari
@tasliyaah2 жыл бұрын
Hakuna kikundi kilichotengenezwa wacha kuropoka fuatilia mambo al akh hizo ni tuhuma za uongo za barahiyani ALLAAH akuongoze uijue Haqq manhaj salaf Aamiyn
@bilo11062 жыл бұрын
Mm nko na miaka 43na nilianza kumsikiza shekhe nassoro bachu nikiwa na miaka 19 na tayar alikua wa alhsunna kama mtu hakubal sikizen clip zaka za miaka hiyo alafu si muache hivyo vidaku vyenu kwan viko na faida gan jaman...mtu hataka hukusoma jiuulize nabii muhmmad alipiga maulid ama alipigiwa...kama kapiga yye tupige ...kama alipigiawa hiyo sio sunna maana sunna nikufanya alichokifanya basssssss...
@HassanHamad-rf9tqАй бұрын
Muhammad mafuta huyu kijana Ana maneno machafuu Sana na anajinasibisha na usalafi ila sio salaf ni hizbu salaf Ana mdomo mchafu mnoo
@husseinjuma68652 жыл бұрын
Usiwatwani mashekh wetu sisi tunawaheshim km tunavyo muheshim babayk
@nassorsalum91102 жыл бұрын
Huyo hamjui vizuri Nassor Bachu.
@yousufantari87762 жыл бұрын
Nyie mashehe nyote wazinguaji tuu sasa, Mmekuwa hamna kazi za kufanya kufapigana vijembe tuu.
@arnoldisaya29072 жыл бұрын
Nahaya mapichapicha mara kenye profile ya KZbin mara kwenye title ndio misingi ya manhaji salafi au ndo nini
@zedon20472 жыл бұрын
Una Maana gani?
@abubakarsaidi66582 жыл бұрын
Habar zako zimeishaa kijana rudi katk mstari ziendelee
@hassanmohdally52172 жыл бұрын
Mm niko na wewe mdogo wangu shekhe mohamed usirudi nyumaa wape elimu mpkaa wananyooka kwa uwezo wa allah
@AbdillahSOthman2 жыл бұрын
Wawe na adabu katika kuwakosoa masheikh zetu. Warudi wakamsome Sheikh Nassor Allah amrehemu. Sheikh kapitia vitabu vya masheikh tofauti na zaidi Kwa Sheikh Albani.. sasa hawawanaokuja wakisema sheikh kajua Haqq mwisho wa uhai sasa yy uyo Mafuta ataijua lini. Watu wasijifanye wana elimu ili waitwe aalimu. Na wafahamu.. kuna Hukumu Mbele ya Allah nani ataonekana alisoma dini kuwafahamisha watu na nani alisom kwa kutaka aitwe yeye ni Aalimu.
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Kwani MUNGU ndiye anaejua Kwayote she He wetu ww ungeyaachatu kwani hata wakisema kweri uwongo tu acheni sifa kwa watu takenisifa kwa Allah mmebaki kusema a mm ss hivi mnauzi kusema na
@salahhddindasuvic64478 ай бұрын
Njia sahihi ni kufuata sunna .
@ameirameir43492 жыл бұрын
Tumekufahamu vizuri sana. Endelea kutuelimisha tuko pamoja na wewe
@thethreesistercaves64142 жыл бұрын
Asalam alaikum ustadh
@rajabkigo27602 жыл бұрын
kwani mtume alikuwa dhehebu gani?
@khamissalum89062 жыл бұрын
MTUME ALITUFUNDISHA NJIA HIYO KWENYE KUKOSOANA?
@abishafiqabishafiq60652 жыл бұрын
Mawahabi hamna akili mtapigana wenyewe 😄😄😄🤣🤣
@ibrahimsiddiq40182 жыл бұрын
Wewe ndo urudi kwenye njia ya sawa hizbiy salafiyah ipi ya Qassim Mafuta? Usalafiyah umehuishwa na Abulfadhwil qassim mafuta kutoka kwenye u Answar Sunnah!! Yaani wewe huna unalolijua maana sisi tunajua taasisi ya Answaar Sunnah na madudu yake yooote
@abuuabuu48312 жыл бұрын
Huu Ndio ukweli kuhusu salafi maana ni fitna ilioingizwa kwenye dini kutubabaisha
@ibrahimsiddiq40182 жыл бұрын
@@abuuabuu4831 wewe mfata mkumbo Wala hujui ulisemalo na madai yako ni batwil na labda upewe udhuru wa kutofaham nini Manhaj Salafy
@abuuabuu48312 жыл бұрын
@@ibrahimsiddiq4018 Manhaj Salafi ni fitna iliopandikizwa kwenye Uislamu kutushughulusha na kufanya waislamu waitane Majina mabaya Huwezi kudikia wanazungumzia mambo ya ghaib wala changamoto za waislamu zaidi ya kurushiana vijembe. Kusutana. Kubezana n, k Nassor Bachu Allah Amrehemu alikua anazungumza mambo ya Mauti. Kaburi. Qiyama n, k Alikua anazungumzia ubaya wa Zinaa. Riba n, k Lakini nyie ni mabingwa wa Kusutana
@ibrahimsiddiq40182 жыл бұрын
@@abuuabuu4831 hayo ndio unayoyajua kwa sabb waskiliza mihadhara tu na sio darsa... We nahisi hujui tofauti ya darsa na mihadhara. Mihadhara hio ya kuraddi hayo hayatakosa na yana asili ni misingi kutoka kwenye Qur'an!!! Allah amewaraddi Wengi katika Qur'an. Ama ukija kwenye darsa walohifadhi Qur'an, hadithi na aqeeda Sina hesabu maana ni wengi mno alhamdulillah. Hii dini lazima iende kwa kukataza na kuamrisha mema. Kuraddi ni sehem ya dini kuelimisha ni msingi wa dini kwa hio usijeghurika na mitandao njoo soma dini kaa kwenye halaqat za elimu utaelewa uhalisia
@abuuabuu48312 жыл бұрын
@@ibrahimsiddiq4018 Sina muda wa kusoma mipasho na kusutana Nitafutie speech moja ya Nassor Bachu anakufuriaha na kulaani waislamu kama hao masheikh wenu Leo wanakwambia TV imaan ni Haram kesho wanakwambie sio Yaani hawa ni fitna kubwa Sana kazi yao ni kuchanganya ummah ili tupingane na tuuane Kule Somalia salafy wamewasha moto nchi na hapa Tanzania bado kidogo tutaanza kuuana kwa sababu mnapandikiza chuki sana nyie
@MohammedIssa-z1k Жыл бұрын
sasa tayari muko makundi matatu salafiyun,hizbi na sunna muhammad je lipi kundi sahihi ambalo nilapeponi?ebu tufahamisheni ss wanafunzi wenu tujue
@mwajitajunior76332 жыл бұрын
Tunakuelewaaa ndugu Sheikh Muhammad endeleaa na daawah
@aminirashid2833 Жыл бұрын
Mohammed bachu nenda kasome chini ya wanachuoni wanaoijua hakki bado elimu yako ni changa Sana tu
@nassorsalum91102 жыл бұрын
hao masalafi wa siku hizi hebu wachunguzeni vizuri. ninawasiwasi wanatumia kilevi hawa
@thrivehappy96102 жыл бұрын
Hahahaaaa
@mwajitajunior76332 жыл бұрын
Hawaa wapuz kumbeee...? walikuw wapi mwanzo nassor bachu alipokuwa analinganiaaa hawa watu elimu zao haziwasaidiiii hazina faida Kwa nafsi zao watambadlisha naniiii
@abuuabuu48312 жыл бұрын
Hii Ndio salafi hakuna chochote Bali kuleta firqa
@ngundejkassim32522 жыл бұрын
watu waliokufa hali yakuwa kabla daawah haijaingia tunawahesabu vp??
@rahmaabdillahi27952 жыл бұрын
walaa tamuuttunna illa wa antum muslimuun
@khamissalum89062 жыл бұрын
HATUTAKI KUGAWANYWA.. MTAFUTE UMPE MKONO TUUNGANE DINI IWAFIKIE VIZAZI VYETU IKIWA NI MOJA TU..
@farajimtana1232 жыл бұрын
Hata mimi namkubali sana Sheikh wetu huyo Allah amrehem. Ila mimi naona una jikanyaga. Mantiki ni kafikishiwa. Je baada yako alifikishiwa hiyo dawa alikubali au alikataa jibu alikubali. Sasa kama walio mfikishia baba yako na akakubali na akarekebisha baadhi ya mambo vipi wewe uwakatae na uwaite majadida Mimi naona kijana unajikanyaga sana hebu fuata haki. Acha kutafuta Umaarufu
@thrivehappy96102 жыл бұрын
Mafuta ni yakupikia mboga na ugali shekh tonge Hawa! Wapi na wapi watu kama Hawa kuacha pesa wakashikana na dini
@islamforurope23402 жыл бұрын
WEWE UNAFATA MANHAJ SALAF IPI? MANHAJ YA SALAFI NI YA KUANDIKISHANA UANACHAMA? TANGIA LINI WE NI KAHIZB TU HUNA LOLOTE, HEBU TUAMBIE KADI YAKO YA UANACHAMA NI NGAPI?
@ngundejkassim32522 жыл бұрын
muhaddith mohammed bachu??
@khadijajuma19282 жыл бұрын
Nahisi shk Kassim Mafuta Hukumtendea haki kwani aliekusema wewe ni Muhammad Mafuta, sasa Kassim Mafuta Hapo kaingiaje? Sasa wamjibu Mohammad Mafuta au Kassim Mafuta?!
@siafuonlinetv2 жыл бұрын
@@khadijajuma1928 AWO WOTE NI PUNDA NA PANDU YAANI JORA MOJA
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
@@khadijajuma1928 umeonaee ssa wanataka kugombanstu bas
@zahorsuleyman34292 жыл бұрын
@@siafuonlinetv km hao punda weye nani au ngurue?
@zawiyatanzaniatraders84492 жыл бұрын
Allah akuhifadhi na akupe upto mkubwa wa kielimu
@kassimfahmiashursalim41282 жыл бұрын
Si ukae usome Kwanza we kijana bado mdogo Hata miaka 25 hujafika. Soma kijana washindana na watu waliokua juuuu.
@mohamedasaid79102 жыл бұрын
Sheikh wangu andika Abu Muhadith sio Muhadith Video yako.
@abamohamed70922 жыл бұрын
Mawahabi sasa mmeingia hatua nzuri ,mnapaluana nyie kwa nyie ,kwenu hakuna kheir hata kidogo
@ahmedsoudathman50882 жыл бұрын
Kila mmoja asema yy bora zaidi....
@soudsoud73302 жыл бұрын
Hatari kweli kweli
@mohamedamiri45972 жыл бұрын
Maneno ya mtumi swalla Allahu alayhi yatimia umma kugawanyika vikindi 72 SASA haya simageni cha 73 ndio cha peponi musidanganyike nacho ni twariqa
@simaiabeidussi81382 жыл бұрын
Radi hata sumbawanga zipooo!!!
@bahashachembea69222 жыл бұрын
🤣😂😃😀😄
@husna345622 жыл бұрын
@@bahashachembea6922 🤣🤣
@ummaumona65932 жыл бұрын
Naona ulisema humjibu abul Abbas juu ya mada hii au maneno yamekaa sehemu yake weye mpumbavu jahili Ruwaybidwaaaaa
@ABUUALLY-b3t Жыл бұрын
Nyinyi mawahabi si katka Ahlu sunna wa ljaamaa mumejipachiaa tu 😂kama kweli hasaa basi hebu tufafanulieni nini uwabahi na hii madhehebu yenu imetoka wapii! Maana ni watu mlozukaa tu hatukujueni na me natamani kukujueni ! Kwahiyo sheikh muhammad bachu tunaomba muweke darsa inayo husu historia ya mawahabi tupate kukujueni ambao munajita masalafi
@jumakumala13372 жыл бұрын
Sheikh Mohammed Bachu leo umenichekesha kwl wasema Mohammed mafuta afungwe kamba
Sasa hivi mmewacha watu wamaulidi mnagombana wenyewe kwawenyewe mpaka wanagombana na watu wamaqaburini subbhanallah fanyeni istighifar
@abuuabuu48312 жыл бұрын
Usalafi ni fitna ilioanzishwa na makafiri Wanetukana masheikh wengi sana sasa wamejirudia wenyewe
@soudsoud73302 жыл бұрын
Ni shida kwa kweli
@abubakarsaidi66582 жыл бұрын
Huoni kua watu wasiokua katk sunna ndio wanakupend kulik waliokweny sunna hujajijua tu kua kijana unamatatizo
@MohammedAli-mf3ln2 жыл бұрын
Mashehena wa tanzania tende zitawatiya motoni - mtume muhamead alikuwa dhehebu gani
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Sasa waliomfikishia Ni Nani?si ndio hao kina qassim mafuta ambao wewe unawatukana
@husseinjuma68652 жыл бұрын
Ww mu/bachu kasomeww acha upinzani
@Blitzplayz6152 жыл бұрын
Jamani sipendi mashek wakujipizana mutume muhammed salallhu alehiyi wadalam alipituya mingi kwenye tawa zake aka subiru lakini masheki hawa wana jibizana 2 hiyo ni sifa mbaya
@mhrmahir37562 жыл бұрын
mbona mropokwaji umekaa kimya tunasubir ujibu tujue km kwe una akili au huna?
@nasrikileo2 жыл бұрын
😀😀😀 daah, itafuteni kweli ya Mwenye Vyote (Mun hunguu) sababi mmepewa akili..
@eshasalim36602 жыл бұрын
Alhamdulillah napenda vile unavyozungumza ukweli na kufafanua na huongopi kusema haki Allah akuhifadhi
Tunashkuru kumjua shekh Qassim mafuta Kama ni mtu wa sunna msikilize Zaid utafaidika
@abuusuhaib76952 жыл бұрын
Huu upumbavu tu mtu ana fanya muhadhara kwa kumtakasa babake ? Hii ndio dini au family? kwani Bachu ni nani ? Acha kuwa salaf kundi la kufarikisha waislam na kulinda maslahi ya watawala madhalimu hata ange kuwa ni paani .kweli waitwe waislam kuja kusikiliza juu ya mtu binafsi badala ya uislamu? Da,awa kama hizi Iblis lazima azipepee
@muhammedaloufy40865 ай бұрын
yaani kuna watu wanawaingiza watu ktk sunna na pia wanaweza kuwatoa! nyie majamaa
@siloomar76992 жыл бұрын
Kweli hicho ni kikund cha kasimu mafuta
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Izi ndendebwe za masalafiya JADIDAH wakina mafuta wamejitokeza bidah na suna zimebainika
@mohagurey22142 жыл бұрын
Hadi maiti hapati amani na Hawa washenzi
@muryd69992 жыл бұрын
Duh!,😀😀
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Kisa baba yako au vipi ..nikweli sheikh amejitahidi ila Kuna vitu alikua anakosea ila sheikh nassor tunampenda ila tunaamini Kuna vitu alikua anakosea ila wewe mgumu kuelewa ...hufai kusikilizwa
@eng.saalim86462 жыл бұрын
Mbona humjbu shekh hadi Leo. Hahahahaha. Kelele tuu
@MohammedIssa-z1k Жыл бұрын
uzuri wenu nyie Allah kawapa uwezo wakuhukumu kila mtu nakumtabiria wamotoni na wapeponi yani munavojiona nyie nibora kuliko mtume saw