Dadangu chunga utaletewa magonjwa na huyo Fala jeuri
@fridahkimilu76264 жыл бұрын
Wakamba ndani ya nyumba??? Wapi likes zao.
@thewashiifamily77764 жыл бұрын
Twivaa😝😝😝😝🏌️🏌️🏌️
@aggycherry94004 жыл бұрын
😂😂😂😂 hata kwa matanga huwa wanacheka ati anaambia katoto nitakujaaaaa... oh my....men if you cheat on your wife don't complain when you are cheated on,the pinch is the same ooh
@mercy323102 жыл бұрын
Gidi so so on point always! mwanamke hafai kuwa na mpango wa kando? lakini mwanaume anafaa--perfect questions Gidi Gidi, love the show
@sharonokuyo74134 жыл бұрын
Hata heri niambiwe nitachomwa na kiberiti kwa masikio kuliko niambiwe nitakatwa miguu,....the guy bado ako na machungu the way he speaks anakaa ni mtu wa hasira
@nellypheans22484 жыл бұрын
Siku zote mwizi hataki kuibiwa
@elizabethnjambi6364 жыл бұрын
Hapo sasa
@gracewanjiru84624 жыл бұрын
mwizi haaki kuibiwa
@roselineawinja66044 жыл бұрын
Titus uko na madharau, kiburi. Ebindu bichenjanga,Bibi yako sahii ako na payslip na hutamchezea, end a uoe hao wenye umezaa nao
@pstleilaciku71714 жыл бұрын
Ukiona mwanamke ameamua kutoka kwa ndoa yake jua amevumilia ya kutosha
@carolynemoraa83504 жыл бұрын
Mtu akitoka kwa ndoa amepitia mengi Sana
@nyakadosophia41664 жыл бұрын
Kweli wanawake wanavumilia sana na ukiona ameamua kutoka usimdharau ama usiongee
@keiyokimarujoel.27014 жыл бұрын
Hasira hasara; Mwananke huwa anauvumilivu mwingi; akisha amua kuondo imekuwa imezidi sana. Wanaume tuache kuchapa wanawake. Mwanamke sio mtoto wako. Gidi na Ghost Mungu awabariki sana!
@felkadumas98633 жыл бұрын
This guy is so proud mama Peter usirundi. I hate arrogant men
@agneskhakali20694 жыл бұрын
😀😀😀😀 GIDI ni ukweli mwambiye akubali kuwa draw ili life iendelee. Mummy shikikilia kazi achana na stress ya wanaume.Wengi tumejitegemea na kulea watoto wetu..
@fiddiggokirimi96304 жыл бұрын
Dume jeuri na jinga hili.mama Peter take care of yourself.
@agneswanjihia13834 жыл бұрын
Team hamam hapa
@Sunshine_Amy4 жыл бұрын
My dear sister from ukambani,,, Huna mume, but uko na baba watoto.... Period... 😂 😂 😂 Nakuhurumia
@godsfavour56654 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nitakuuuuuja hako kasauti yani asante ya punda ni mateke mama usijaribu kurudi huyu jamaa atakuletea magonjwa zenye hazina jina wacha akatombe huko nje coz amezoea
@beckybeto37814 жыл бұрын
True
@jessyjames47724 жыл бұрын
Mama Peter usikubali kurudi kwa huyo ghasia
@saidahj25434 жыл бұрын
Wanaume this round mtaacha ujinga ..mtabadilika by force by fire AMA mmbaki na nyumba zenu...wanawake wengi nowadays tumechanuka mtu akileta nyefnyef mbelembele maisha isonge...HESHIMA IFANYE KAZI....saitaaan...rude man
@dominickalume28914 жыл бұрын
Ndoa ndoano Bwana....Waaa Noma sana,Ila Mwanamke akisema umpatie mda ndio ivo yani anaumeryakuumerya#patanisho#Gidinagor#RadioJambo•√
@roseirungo19504 жыл бұрын
Mama jipange na Maisha yako huyu mwanaume ni Very abusive man and at the end of the journey atakuja kkua...
@catherinemuindi85554 жыл бұрын
Kabisa
@hanifajuma3424 жыл бұрын
Kwa wenye wako kwa ndoa perform your duties well mkiolewa munaona umefika unasahau majukumu yako kwa mumeo., kazi ni maneno makali, kufura ovyo ovyo na madharau plus uchafu mume lazima atazaa inje kwenye anahudumiwa vizuri.
@kihikiunderstanding57664 жыл бұрын
Mwanaume hta umufanyie n nn kma niwakueda inje ataeda tu
@hanifajuma3424 жыл бұрын
maitu wa County kweli kuna wangeni viruka njia.
@Zaza-bt1hx2 жыл бұрын
No go zone. Bwana Titus ana kiburi na is very dangerous. Don't go back to this son of pharaoh. Kifo tu
@ruthnjambi7284 жыл бұрын
Waaaaah hizi mboma noma sana siku hizi
@rajiranasingheofficial4 жыл бұрын
Aliambia mtoto nitakuja katoto kangu kazuri.Yani hana ata aibu ata kidongo mbele ya bibi na watoto wake 😃😂😅😁
@nomienomie78124 жыл бұрын
Mama peter enda ukiendanga,hii ghasia ya mwanaume haifai kuishi na mke kama wewe you are too wise for him
@janegitau68574 жыл бұрын
Wacha nikae single
@roselineawinja66044 жыл бұрын
Team single n care- free t uko ndaani kabisa
@rajiranasingheofficial4 жыл бұрын
Mama petre mungu anakupenda kama umetoka kwa uyo mwanaume kama bado unapumua🔪🗡bado uko na mguu yako .Songa mbele mama petre mungu akubariki ulee watoto wako
@angelatwist80856 ай бұрын
hope she is flourishing
@King-Jack-ryan4 жыл бұрын
Wacha nioshe hamam yawa hawa wanaume wamezidi
@agneswanjihia13834 жыл бұрын
Aki ina bidi
@youngmummy38384 жыл бұрын
Wanaume wa siku hizi issa throw
@yahabibiyahayatiyahayuni73394 жыл бұрын
Hizi ndoa apana wacha niendelee kusugua hamam bila stress
@carolynemoraa83504 жыл бұрын
Hamam iko sawa kabisa
@floridaalega38444 жыл бұрын
😂😂😂Hamam khois
@carolynemoraa83504 жыл бұрын
Mia Mia
@sheilahbarongo36534 жыл бұрын
Bado ako na hasira mpe time kwanxa...kaa hutaenda basi nikaa humtaki
@joycemuiru17974 жыл бұрын
Mama peter usirundi huko. Anaeza kuua juu ako na mahasira.
@eddahnyongesa98194 жыл бұрын
Titus uko na ujinga sana uko na raha isiyo na mwisho nakwambia tena hata mosquito haikukubali tena
@jamesgathaiya64504 жыл бұрын
Boyshaud hajitoi kwa hii ngori round hii ha ha mama peter run oooh
@betty5412 жыл бұрын
The audacity..and sense of entitlement!
@ochiengatienolilian89214 жыл бұрын
😂 My baby daddy is a kao but I surrenderd 🙌🙌I thought wanawezana wenyewe kwa wenyewe, kumbe ni tabia Yao yawa? Eeeh yawa wakamba!!!!! Hata mtoto wangu staki ajue ni mkao, these people wanakuaga wajeuri
@aloycemacha98944 жыл бұрын
peleka mtoi kwa wenyewe
@rachealmoraa4364 жыл бұрын
Hata mm mtu aniambie afurahii kukaa na mm najitoa
@maryjob74994 жыл бұрын
Karibu gulf team kujiamini team
@mamayao98164 жыл бұрын
Mkuki tamu kwa ngurue but kwa mwadamu uchungu
@monyivam98214 жыл бұрын
Mama Peter usirudi utakatwa miguu
@sophieaden53674 жыл бұрын
Matusi mengi kwa ndoa
@christinemuli64964 жыл бұрын
Wanaume wakamba Kujeni hapa kwa hema nyeupe..... Huyu Titus tumfanyie nini
@jonnyjonny1324 жыл бұрын
Nitakuya hiyo part dio imenimaliza
@chullakoi15084 жыл бұрын
Madharau haijengi Baba!!
@hadijaateya76234 жыл бұрын
Huyo mume mjeuri
@mumblessed0014 жыл бұрын
Aki huyu mwanaume ni jeuri kweli mama Peter enda ukiendanga hapo hakuna ndoa enda kabisa kanyaga kubwa kubwa achana na huyu jinga ya mtu mama peter endea watoi wako
@gemkachar4 жыл бұрын
mkuki kwa nguruwe .....................
@annaj71574 жыл бұрын
Aki matharau nimbaya sana kwa mboma
@melancholypure53754 жыл бұрын
Mwanaume tumadharau tu😏😏😏😏
@kevohwapipelinetransami43514 жыл бұрын
Huyu mwanaume ni ngombe sana wacha huyu mwanamke akae kwao kabisa
@pampamie23754 жыл бұрын
Mwanaume hajui kusikitika mbele ya watu na ndio anaomba urudi Sio mme leave this idiot alone before ukatwekatwe
@conniechrist92604 жыл бұрын
Ukirudi kwa huyo jamaa mwenye kuburi unajichimbia kaburi. , Mwanaume mwenye hawezi kubali makosa yake na alisema atakukata kata jishunge sana.
@periswarish70224 жыл бұрын
Apo mpira ndroo ulizalisha injea alafu unalalamika bbi anatoko injea nya ndoa
@goddietosh68773 жыл бұрын
Today patanisho
@makenamiriti61464 жыл бұрын
Huyo mwanaume ni rude akiskika,Gidi mwanaume akihanywa anareact nikama ni mamake ameuawa.
@rosemutinda30764 жыл бұрын
Kwanza mwanaume kukuchapa mbele ya watu ni madharau kubwa. Kama mimi nimeshawai kuchapwa mbele ya watu mara kadhaa rakini nilikataa
@bettiejoy-mtotowamama4 жыл бұрын
Huyo mwanamke amevumilia huyo mzee na vile kinakaa kuongea rude
@betty5412 жыл бұрын
Alafu, hii mambo ya kushinda kwa wazazi ati kuzungumza...why would anyone want to zungumza after being threatened with having one's legs chopped off?! Tunaongea kuhusu nini na wazazi at this point surely? I think sometimes wazazi can prolong one's agony cos most of them want to keep the marriage intact despite all odds.
@chrissmutanga89094 жыл бұрын
Kumwanaume kujinga kabisa Mtu hajui kuongea na mkewe mojinga tuu
@jackiendambuki47884 жыл бұрын
O:0 😂😂😂😂😂nil this is not my world.
@jeccym87154 жыл бұрын
Huyo jamaa ni shinda tupu!!
@maxlove26684 жыл бұрын
Mwizi ataki kuibiwa
@carolmamakebritney52664 жыл бұрын
Huyu mwanaume ako na madharau Sana eti mwanamke hafai kua na mpango wa kando, who said so?? Kama ni Mimi lazima niwe naye,Tit for tat fair game
@roselineawinja66044 жыл бұрын
Tuko kimoja mi naeza gawa hadi ashangae, Tena live
@carolmamakebritney52664 жыл бұрын
@@roselineawinja6604 hio ndo system nowadays kuna magonjwa akileta nami nilete alafu tupambane na hali zetu wote 😂😂
@roselineawinja66044 жыл бұрын
@@carolmamakebritney5266 👏👏👏imagine unajilinda ukijua nje ni kubaya naye mtu hata haoni, awe bwana,boyfriend sitajua tukufe sisi wote, atombane, nikitombwa
@kevohwapipelinetransami43514 жыл бұрын
Some comments though
@roselineawinja66044 жыл бұрын
@@kevohwapipelinetransami4351 hahahaha mmeanza kutoklezea, ama wee ni mmoja wao???