Рет қаралды 793,057
Gavana wa Mombasa Hassan Ali Joho aligeuza jukwaa la Rais Uhuru Kenyatta kuwa la malumbano ya kisiasa, kwa kutofautiana vikali na rais kuhusu uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa daraja la Buxton pamoja na miradi mingine aliyozindua leo mijini humo. Joho anadai kuwa serikali ya Jubilee haijaanzisha mradi wowote Mombasa ila inaendeleza miradi iliyoanzishwa kitambo.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya