RAIS SAMIA AVUNJA RIKODI, MKUTANO WA NISHATI AFRIKA.

  Рет қаралды 14,679

MFA_Tanzania

MFA_Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 39
@jituakilimali15
@jituakilimali15 9 күн бұрын
MAGUFULI FOREVER
@emmanuelmilawi8037
@emmanuelmilawi8037 9 күн бұрын
Hongera sn mama Samia Lakini utendaji wakz huku chin hasa kwenye mamlaka husikaa zifanyie patroo ili uwooone madudu
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 7 күн бұрын
Hongera sana Tanzania, hongera Rais wetu kwa utumishi uliyo tukuka
@SAMSONMADUNDA-mh6yn
@SAMSONMADUNDA-mh6yn 8 күн бұрын
R.i.p jpm
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah 7 күн бұрын
Kazi iendle mama❤
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 8 күн бұрын
Hapo benki ya dunia haitakiwi ni manyang'au hao mmekosea..kwa benki ya Africa haina tatizo lkn hiyo ya dunia haifai kabisa..Africa lazima tujitegemee wenyewe bila hao magharibi
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 8 күн бұрын
Safi sana
@dr.mukukihante7673
@dr.mukukihante7673 10 күн бұрын
Sifa kubwa k wa Tanzania kwa hatua hii ya Nishati. Pongezi kwa Mhe Rais Ma Samia
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 9 күн бұрын
good job ❤
@FortiMtolela-xl2nb
@FortiMtolela-xl2nb 10 күн бұрын
🎉
@annambele789
@annambele789 9 күн бұрын
Wakati umefika wa kuwapongeza Watanzania kwa utulivu wao na kuwezesha viongozi kuendelea kufanya kazi bila vikwazo.
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 9 күн бұрын
Ila huku kwetu unakatika sana jamani 😢
@AbasiMadege-ot2of
@AbasiMadege-ot2of 8 күн бұрын
Woga tu sifa kila siku mama unamaana we hufanyi kazi acheni uboya
@patriciamuganda4498
@patriciamuganda4498 9 күн бұрын
Charity begins at home. Oh Lord God help us!!!
@patriciamuganda4498
@patriciamuganda4498 9 күн бұрын
I thought Dodoma was the capital city. Its about time some of the Summits take place at the Capital.
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 7 күн бұрын
Yani binadamu kweli ni shida.Tunapinga hata kinachoonekana. Umeme hadi vijijini kunaasiye ona. Wakati mwingine palipo na jema tusifie
@JamesMalale-io1qj
@JamesMalale-io1qj 9 күн бұрын
Benk ya dunia wanajambolao wamekuja kuchota mali zanchi
@OmarRashid-k1j
@OmarRashid-k1j 8 күн бұрын
Bei zaumeme nikubwa Sana hawezi kununua msumbiji Malawi Zambia bei ni rafiki hata makande unapikiya hapa tz ni maneno tu wanapiga debe tu iliwakope na benki yadunia na ya aflika punguzeni bei ya umeme punguzeni polojo wageni wanafaidisha matajili walala Hoi tunaumia tu
@MARWACHOGO
@MARWACHOGO 8 күн бұрын
Musomi kutoka AFRIKA hasa TANZANIA.Mama Samia Umeme wa Bwawa la Nyerere inatakiwa bei za umeme zishuke kila MTANZANIA apike ugali mkubwa kama wa mkoa wa MARA kwa sh.500 tu huohuo kuchemsha maji ya kuoga,Redio,Tv utumike Kwa MWEZI.Usiwachekee VIGOGO wanafanya maisha kuwa MAGUMU sana.
@MARWACHOGO
@MARWACHOGO 8 күн бұрын
Achana na Benki ya Dunia ni MAJAMBAZI Kwa uchumi wa AFRIKA.
@mpefu_4936
@mpefu_4936 8 күн бұрын
Vijijini bado ni shida sana
@ishengomahassani2364
@ishengomahassani2364 8 күн бұрын
Utwambiaje tutanufaika aliyakuwa mmetuzuia kuingia mjiini achaa kutudanganya bwana
@OmarRashid-k1j
@OmarRashid-k1j 8 күн бұрын
Wewe usitudanganye Leo daa hatuna kazi mama ntilie bodaboda atampakiya Nani hivi mjomba Hawa jamaa wanakuja gengeni watz bwana uchawa umezidi
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 9 күн бұрын
R.I.P.JPM
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 9 күн бұрын
Amekufa tena au?
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 9 күн бұрын
Mtu hafi mafa mbili uyoo ndo hayupo ss tunagalie yambelee
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 8 күн бұрын
Pongeza Baba yako kwaza
@bashakhamis5563
@bashakhamis5563 9 күн бұрын
Mkuu naomba ufafanue mwana nchi kama boda boda na mama lishe ataidikaje na huo ugeni au wageni watakuja gengeni Ama wata panda bodabodaa. Kiujumla najuwa kuwa ni heshima Kubwa kwa nchi ya Tanzania. 😂
@patriciamuganda4498
@patriciamuganda4498 9 күн бұрын
Are we really upholding Nyerere's Ideals?
@MikidadiKambinda-tr6rl
@MikidadiKambinda-tr6rl 8 күн бұрын
Asante. Tunaomba. Utekelezaji. Isiwe. Mdomo. Tu. Kwani. Mdomo. Umeumbiwa. Kuongea. Nb. Zilongwa. Mbali. Zitendwa. Mbali.
@JosephBilombelejosbimtungwa
@JosephBilombelejosbimtungwa 9 күн бұрын
Hivi hii mama. Mama. Mamam. Mama. Mama. Mamama. Imetajwa mara ngapi
@Mohamedi.12
@Mohamedi.12 9 күн бұрын
mama ni raisi wako ,acha uasi wewe , unafahamu kwanini wafanye mkutano hapa Tanzania hata huoni hadhi yake ,?
@ME-kb8rk
@ME-kb8rk 9 күн бұрын
UNATESEKA UKIWA WAPI????
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 8 күн бұрын
Nguruwe Bei gani mjomba
@ماريافيدال
@ماريافيدال 9 күн бұрын
Traole anawasili sangapi?
@godfreyfrugence3760
@godfreyfrugence3760 9 күн бұрын
Traole mbona hayupo
@katemachanda7035
@katemachanda7035 9 күн бұрын
Nipo utaniona tar 27.
@Ahmedseif-l5g
@Ahmedseif-l5g 9 күн бұрын
wapuuz wakitanzania wadanganya watu
@ramzsule7678
@ramzsule7678 10 күн бұрын
Huna lolote
KWA KISWAHILI HOTUBA YA IBRAHIM TRAORE' MBELE YA RAIS VLADIMIR PUTIN
5:35
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
MKUTANO WA NISHATI : RAIS WA AfDB NA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA DUNIA WAWASILI NCHINI
1:48
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, FEBRUARI 05, 2025
ITV Tanzania
Рет қаралды 268
TAZAMA HOTUBA YA TRUMP KWA KISWAHILI, ATANGAZA JINSIA MBILI TU MAREKANI
19:23
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН