Analeta kauli za Kidunduka kwakua yupo kwetu anajistukia
@255kessy54 ай бұрын
Huyu jamaa amekiri lilikuwa goli Hali na anasema Kama raisi wa CAF hakupaswa kuweka maoni yake hivyo anasema wanahitaji kuangalia upya VAR ,waamuzi na wasimamizi wa michezo kuhusu matatizo Kama hayo kwa maoni yangu hata ukimuangalia anaona aibu kwa yaliyotokea lakini timu yake imenufaika kushiriki klabu bingwa ya dunia kupitia mchezo ule na kujihak8kishia kupata bilioni zaidi ya 130 Sasa hapo ndio utaona ulikuwa ni dhamila wao kufanya vili na Kama amekiri Basi Yanga ilidhulumiwa wanatakiwa kulipwa fidia ya mabilioni ya fedha kwa uzembe au njama za motsepe dhidi ya Yanga ili kujihak8kishia kupata pesa hizo
@hassanmsumari12004 ай бұрын
Mwambie basi akupe izo pesa
@255kessy54 ай бұрын
If you regret that was a goal and there was something wrong in VAR, referees and linesmen incompetence Yanga SC should be compensated for what happened
@SaumuMndeme-fb9fu4 ай бұрын
❤❤❤❤❤yan.naipenda❤❤❤❤❤❤.yangaa.jaman❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@TwahirMohammed-x2h4 ай бұрын
Huyo anajikosha kwa vile kaja kwenye nchi yetu sasa hiyo kauli yake inatusaidia nini mpuuzi huyo
@24seventv994 ай бұрын
Very good political manager
@sosthenesmaemba4 ай бұрын
Pumba mmoja huyu
@juliusmagoti56504 ай бұрын
What has CAF done to the referees who denied Yanga clear goal. We will never stop blaming you personally for what happened
@princemontana40724 ай бұрын
Dhuruma yake kakosa kwenda hata Final msenge huyo 😅
@AntonMbwile4 ай бұрын
Ulitakiwa kupigwa makofi matakatifu SEMA Tanzania nchi ya amani
eti kama kiongoz huwez kukoment kuwa lile lilikuwa goal kwa sababu ya kananun huyu jamaa ni kibaka wa mpira
@youdya4 ай бұрын
😂😂😂
@MichaelMathew-j3f4 ай бұрын
Hahahahahaha 😂😂😂
@bakarmsangimsangi77574 ай бұрын
Mmmmmmh yani siyo viongozi tuu wasiasa wanao tuzengua mpaka wa mpira nao pasua vichwaa hakuna pakuengemeaa ujingaa mtupuu kwanzaa msimpingiye makofii huyuuuu
@anamakyangurogers46044 ай бұрын
hajijui huyu analeta kichefuchefu kwetu
@JumaNakuhwa4 ай бұрын
Hana maajabu amalize muda wake aende zake mbele huko,mdomo kama njia ya haja kubwa,Kiko wapi mbona hakuna alicho pata
@jumasuleymani4 ай бұрын
2:22
@babupiza6414 ай бұрын
The kalio mkubwa we hebu tulia
@terrence94774 ай бұрын
Natamani alipokanyaga, nisije pagusa hata siku moja maana yanitia kichefu
@kingi44324 ай бұрын
Fainali gani
@isackyohana27074 ай бұрын
Africa footbool ligi kwa wanawake
@KelvinMtavangu-ow8yo4 ай бұрын
Ni finali za Timu za Taifa kwa Vijana. Ngazi ya CAF. Sawa.
@suleimanmwenyemvua9954 ай бұрын
Wanafunzi wa shule...😢😢😢
@allysaidlyambange45004 ай бұрын
HUYU AJUI KAMAA ANAJIKAANGA MWENYEWE KWA MAFUTA YAKE,ANAWEZA ASIPIGIWE KURA NEXT TIME ONCE AGAIN
@SungesuAngelina-id4tj4 ай бұрын
Maskini Nafsi inamsuta baba wa watu Kwa dhulma waliotufanyia,but Mungu ni wetu Sote Kwan wao wametolewa Kwa kupigwa nje ndani walipotamani kufika Mungu kawaambia mm Sina masihara ukidhulumu Haki ya mtu😂😂😂😂😂😂
@remidusmwanandenje-yy5gs4 ай бұрын
Mbona kama ajiamini unazani malipo yapo mbinguni awapi apaapa ipo siku nawe utalia kama watanzania tulivyoumia mungu yupo🇹🇿
@IssacNtacho4 ай бұрын
Watanzania tunalia vipi ,mbn unajumuisha wote,,
@remidusmwanandenje-yy5gs4 ай бұрын
@@IssacNtacho Ata wewe unalia kwa kupigwa 7 & 2 kwaiyo kaa tulia kumbuka kexho tunajambo litawafata ukouko 🤣🤣🤣🤣🤣
@IssacNtacho4 ай бұрын
@@remidusmwanandenje-yy5gs 7&2 zipi hzo,
@KONGOX3994 ай бұрын
Huyu jamaa anazani sisi mafala tunaweza kusahau alichotufanyia
@hajihassan54334 ай бұрын
Kwani kafanyajje jamani?
@AbdulIssa-o7e4 ай бұрын
Kwani ni kina nani walompokea huyo mdhulumati mkubwa malipo duniani akhera kuhesabiwa litimu lake lenyewe ovyooo halikusonga mbele ndo hukumu ya wadhulumat hiyo dadekiiiii😂😂
@JUSTNEMITOMINGI4 ай бұрын
Ovyoo
@rehemamkude67664 ай бұрын
Mkae nae kwa akili huyo Katuumiza tayari
@zakwetuupdate33874 ай бұрын
MngeuliA sasa hilo swal mbona mlikuwa kimya😂😂😂
@bahatimbunda26224 ай бұрын
A true leader Your speech is magnificent Our country should be very proud 5years back Tanzania was a dark football county Now we share ideas with caf president Tanzania is home of south Africans and all Africans Welcome mr president and feel to be at home
@ShukuruLazaro4 ай бұрын
Jinga tu hilo
@FrankSamson-r6s4 ай бұрын
Unasema Leo ili iweje mzee we kausha tu
@MarckyCholla4 ай бұрын
Mnaochangia kwa kumtusi nashindwa elewa ni lugha inawachanganya au vipi.mbona anachoongea musepe safi sana acheni mihemuko football haihitaji mihemuko.
@suleimanmwenyemvua9954 ай бұрын
Half minded people hao... lugha haipandi😊😊😊😊
@mwanahamisijuma72704 ай бұрын
Anatukanwa coz kwa nni hkusema Cku ile ssa saa hii lina nguvu gani kwetu kma goli na malengo ya team ilikua wcheze nusufainal na sio kufahitia fidia hio inauma na kupelekea matusi
@fidelismwakanyamale67874 ай бұрын
Huyu ni wakupuuzwa
@mwanahamisijuma72704 ай бұрын
Mtieni makofi kdgo
@IbrahimMwasene-me6rq3 ай бұрын
Hawa Hawana utu tuliwapigania uhuru tuwalaani
@elizabethywinnie10904 ай бұрын
Kwani kaja Tz kufanya nn Tapeli mkubwa yy shubamiti mzulumishi mkubwa mlaa Rushwa takata hiiiii iondokeeee harakaaaaa
@MichaelMathew-j3f4 ай бұрын
Hahahahahahahaa
@HeryethAleck3 ай бұрын
Atuache tusha sahau
@FatmaJumawazir4 ай бұрын
Sasa uyu kafata nn mbwa simpendi kama nini uyu
@ErickLeonce4 ай бұрын
Lina tabasamu lina jua kabisa goli ila alichofanya anajua yeye na malefa pumbavuu sana ilo jamaa😂
@peteremmanuelymatwimatwiem32584 ай бұрын
Alichezesha yeye kwani
@MorrisErenest4 ай бұрын
Kuuu mama mama akeee
@KentiDensi4 ай бұрын
K2
@ramadhanimtetu36564 ай бұрын
Naomba uturudishie goli letu
@georgedaniel49624 ай бұрын
Uzungu mwingi mjomba sisis mashabiki wengi wao shule zetu za mpimbamaze,tulegezee ili tukupate vyema.
@HansTobias-n8q4 ай бұрын
Tanzania, zanzibar ndio nin? Zanzibar ndio iyo iyo Tanzania
@beatricejoseph23474 ай бұрын
Mm sielewi Kuna Tanzania ,na Kuna Zanzibar?halafuna nyinyi Ayo mmeanza lini kuandika kichwa Cha habari ,na kinachoongelewa?
@hajihassan54334 ай бұрын
Hapa anadhibitisha tu kwamba Zanzibar inadhulumiwa na Tanganyika. Michezo sio suala la Muungano lakini HAKI zote CAF na FIFA zinabaki Tanganyika. Ili uwe mwanachama wa Jumuiya za Kimataifa ni LAZIMA uwe sovereignty state. Sovereignty state ni Tanzania.
@ramadhanmazije38824 ай бұрын
Na ili kuonesha namna alivyopuuza the same refa kaamua mechi ya final fala kweli
@hajihassan54334 ай бұрын
Hicho ndicho kilichokosewa, kukosea kama refarii ni ubinaadam lakini wakati vipo vyombo vinasimamia vilipaswa kumzuwia japo mechi mbili tatu kuonesha kilichotokea sio sawa.
@halimamwingu44784 ай бұрын
Mshamba shobo. Kwann hakusema siku zote
@charlesboniphace22494 ай бұрын
Roho inamsuta
@FatmaJumawazir4 ай бұрын
Yani sasa ndy itasaidia nini mbwa wewe
@leonelleo44254 ай бұрын
Kadi yako ya uanachama Simba sports club inakusubiri mzee Baba..Uliupiga mwingi sana..Karibu msimbazi 😂😂😂
@NzunzdeSparo4 ай бұрын
.
@MichaelMathew-j3f4 ай бұрын
Ohhh sasa nimeelewa ni kwanini hii fainali imepelekwa Zanzibar na sio Babati. Ni kwasababu huyu jamaa anakuja kuitazama hii fainali. Hahahahahaha
@sospeterlaurent44284 ай бұрын
Fainali ya kitu gani??
@husseinkonz51924 ай бұрын
Lile halikua goli 😊😊😊
@fatmaally72524 ай бұрын
Aibu 😂😂😂
@GodfrryGabriel4 ай бұрын
Mjinga sana huyo kwanza kuonesha jinsi Gani tuliumia uongozi msingempa mwaliko huyo mpuuzi. Yeye ndio mwenye mamlaka ya juu kabisa kwenye mpira Africa! alishindwaje kuipa haki timu inayostahili?
@eddechriss26644 ай бұрын
Now if u thought it was a goal why ur organization doesn't take any action until now, there just embarrassing the game of football
@HabibuSalumu-iv5wl4 ай бұрын
Kamati yake tendani ilitoa maamuzi gani
@mwanahamisijuma72704 ай бұрын
Matako yako msenge wwe
@ramadhanmazije38824 ай бұрын
Falazooo...
@PhilipoLeonard-q5w4 ай бұрын
Kaongea vizur nyie mlitakaje
@MathayoRajabu4 ай бұрын
Kwani yeye ndo kachezesha yaani vyura bwana😅
@FPJofficial4 ай бұрын
😂
@greysonkisinda73904 ай бұрын
Pambaneni na mzoga wenu na kesho tunawafata huko huko arusha
@maharusimedia83104 ай бұрын
Hahahah........Kaona ajihami mapema kabla ya kuhojiwa 😅😅
@muniraahmed6244 ай бұрын
Tanzania bhnaaa 😂😂😂
@ELIPHAZAMON-ex9zc4 ай бұрын
Huna akili pimbi wewe kwan wanaomtukana huelewi wanachokilalamikia ,ushashamba lugha yako ni kiswahili bro kingerza ni utumwa wa fikra