huyu jamaa wakwanza kuhojiwa ana dii mbili maelezo yake yamenyooka sana baba yake bila shaka anafulah sana kuona kujana wake
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Huyo kijana wa kwanza angechaguliwa kuwa Raisi anajielewa na kuchanbua hoja vizuri na kwa kutulia
@SadockSinkala2 ай бұрын
Uko vizuri kiongozi utaratibu huo ni nzuri Mungu akutetee nakukulinda watoto wetu wanaharibika maadili kwakukosa usimamizi wa aina yako
@InjiliyaUfalmetv3 ай бұрын
Raisi Yuko sawa Hata Mwenyezi Mungu Anataka watu wavae Mavazi ya kujistiri ,Ktk hili Hata Mungu amefurahia Sana Hongera kijana unadhawabu yako mbinguni maana watu wengi wataikosa mbingu kwa kwa ajili ya Mavazi
@mataypanga52622 ай бұрын
Hilo la mwenyezi Mungu anataka watu wavae mavazi ya kujisitiri ni uwongo wa shetani kwa sababu kama ni kweli Mungu angetupa nguo tukiwa ndani ya tumbo la mama. Kwa hiyo msilete upumbavu wa dini ya kiislamu ndani ya shule.Pelekeni msikitini hizo sheria
@VeronicaMacha-pl3xt3 ай бұрын
Ubarikiwe rais wa wanafunzi👏👍 uko vizui sio chuo cha madanga ni chuo cha wataalamu.
@rajabumalupu41843 ай бұрын
Karib kwenye ajira mtaan
@baddiekid3 ай бұрын
😂😂😂
@eggysulle79883 ай бұрын
😂😂😂
@mariamkaniki-if1iw3 ай бұрын
Ehh mungu kumbe kunampak vyuo vya mada*ga😢😅
@HamisHemed-yl5ke3 ай бұрын
Soma maliza ondoka mengine achana nayo
@SOPHIAMICHAEL-zz7xu3 ай бұрын
Hongereni sana viongozii kazi nzurii daima huwezi kukubalika ukiwa mkwelii.karibuni Mwenge catholic university 😂😂
@hassanlubola4143 ай бұрын
Pale kulikuwa na jamaa anasimama mbali haraf anacheki walio vaa vibaya na kuwarudisha
@stevenmwenda30053 ай бұрын
Hongera sana kiongozi embu tupende uafrica wetu mbele haya mambo ya kuiga na kuona wazungu wanamadili mazuri tunakosea sisi vijana tukumbuke kesho tutakuwa na watoto tukiwaona watoto wetu wanavaa nguo za kuonyesha tupu zao kweli tutafurahia tuvae uafrica wetu
@PatrickSaid-zz6gf3 ай бұрын
Jamaa yupo smart sana huyo wa kwanza kuhojiwa
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Kijana anajielewa sana, Hongera kubwa Kwa wazazi waliomlea, kijana shika busara hiyo hiyo usijikanganye Kwa kuiga marafiki au kudharau wengine, Safi sana kijana
@mataypanga52623 ай бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362chokora tu
@maimunanampapata-sb6kd3 ай бұрын
Kwakwer maua yake
@Dafetty2 ай бұрын
Kabisa nakuunga 🤝💯
@marymanoni55362 ай бұрын
Dogo unaakili sn ila cc kazini tunavaa kila siku viatu vya kufunika
@nurdinmfamau34933 ай бұрын
Tutii Sheria Bila Shuruti. Imekaa Vizuri Rais Chuo. Kama Hautojali Ungekuja Huku Mtaani Yaani Watu Wanatembea Uchi Na Hawajali. Mazoewa Sio Sheria. Hongera Brother
@AliceChentesa3 ай бұрын
Huna akili ww peleka kijijin Kwenu huko
@hamadsuleiman51773 ай бұрын
@@AliceChentesaAsiekua na akili ni yeye au ww??
@SalmaBinyaga3 ай бұрын
@@hamadsuleiman5177nimemshangaa yy ndo hana akili pimbi huyo
@ukhtymwana403 ай бұрын
Na yeye pia miongoni mwao ndio maana anamuona mwenzie hana akili kumbe yeye ndio hamnazo mvaa uchi mkubwa
@hamisathuman27293 ай бұрын
@@hamadsuleiman5177we bwege
@Geofrey-Martin-Kaputa2 ай бұрын
Hongera sana Raisi wa chuo uko vizuri vyuo vingi vimeharibu maadili ya Kitanzania
@VictorGosbert3 ай бұрын
Ni wazo zuri ila namna ya kuliweka sawa,ameshindwa.
@muksinimbaruku12333 ай бұрын
Huyu mwanaume aliyesema si sawa ana support ushoga
Hili swala ni zuri Sana raisi nampongeza Sana Kuna siku nilienda posta kuchukua passport office za uhamiaji nikiwa nimevaa Jez ya Chelsea asikali wakasema Jez aina yoyote hailuhusiwi nikawa nimefeli hiyo siku
@w_media_house3 ай бұрын
Huyo askari alikua shabiki wa arsenal 😂😂
@shijandobehe49533 ай бұрын
@@w_media_house 😅😅😅 daaaah afu wakaanza kunitania nimevaa Jez ya team mbovu
@alfinmbilinyi5985Ай бұрын
🇹🇿Yeah!Ungewekwa na utaratibu wa kupima afya pia Ili kubaini mashoga na wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile haiwezekani tukawa na wahasibu wa nchi wanatembea na pampasi ni aibu na uchafu kwa taifa.kazi nzuri ❤nimeipenda hii.🇹🇿
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Your "freedom is limited by other people's freedom" headmaster wangu Milambo high 2012/2014 alifanya niijue hii
@mkorinthomgalilaya67003 ай бұрын
Head master alikuw nan kipindi icho
@mkorinthomgalilaya67003 ай бұрын
Nimesomea pale 2018
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
@@mkorinthomgalilaya6700 kumbe we mwanaume mlambo,,,enzi hizo alikuwepo mlambo mwenzetu mkongwe zaidi yetu E.shiloti
@isackismail6903 ай бұрын
Mrambo
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
@@isackismail690 naaam
@kamgishaomary23713 ай бұрын
Hyo raisi anaongea kama reporter wa mchongo😂
@HappyCaptainHat-ce7ku2 ай бұрын
😂😂😂
@KMOfficial4012 ай бұрын
😂😂😂
@AnnaJesse-qu1wg2 ай бұрын
Ni mdgo ake @lupiana
@Taito-brand3 ай бұрын
Aaah nzur hy eet kuvaa buti inachosha jamn ofisi gan wanavaa kobaz we kenge😂😂😂😂
Kijana anatafuta huruma. Kuvaa nadhifu ni maadili ya watumishi wa Umma sasa kama mtu anaenda pale kuvaa kivyake eti ni mwanamuziki, atafute shulw ya muziki wanaokaa uchi na minywele ya ovyoovyo akakae huko.
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Aina ya mavazi ya wanafunzi ni jukumu la Administration, au kuna Matron wa chuo ndio jukumu lao, na kama alivyosema kijana aliyehojiwa kwanza Taarifa ingetumwa kipindi barua ya kukubaliwa chuo sio mwisho wakati wa mitihani, Raisi simamia yanayokuhusu mengine waachie wenye chuo chao wafanye kazi zao
@gwakisakaswaga52493 ай бұрын
Unaishi dunia gani boss wangu??
@stephenmagoti25883 ай бұрын
Kuropoka tu hoja anhhh
@mbtwinsentertinment81243 ай бұрын
Kazi nzuri kwa uongozi. Mimi Nimesoma Hapo na utaratibu wa kurudishwa ulikuwepo ila ulikuwa haujatiliwa mkazo. Asimamie kikamilifu kabisa Maana TIA ni kweli Baadhi ya wanafunzi wanavaa ovyo.
@Mbinga_012 ай бұрын
Jamaa kawageuka waliompigia kura 😂😂😂 Sema hongera zake
@JosephMwinula3 ай бұрын
Rais mwenyew mshambaa tu..yey aendelee na uchawa atakuja afinywe na wachawi wa himaya ya mwakatobe..msengerema sana muheshimiwa
@yusufuheri65243 ай бұрын
We jitie ufundi utafikiri kwa mungu ni picnic
@samwa94963 ай бұрын
Mpuuzi Malaya kwani chuoni ndio sehemu ya umalaya
@JosephMwinula3 ай бұрын
@@samwa9496 malaya baba ako muheshimiwa😂
@stevenjoseph31922 ай бұрын
Kaka iyo nzuri sana kiongozi atabiliki piga kazi
@florianhenry71983 ай бұрын
Nenda SAUT na vimin vyenu VYA kikahaba kama mtatoboa
@nancyg86643 ай бұрын
ah saut ni noma
@Kachuba-w9p3 ай бұрын
Yaaani siruhusiwi mm kuja na jeans yangu je😢
@JamesKirita3 ай бұрын
Wamezid naoo uongozi mzur big up
@rahabnkya82763 ай бұрын
Ni utaratibu uliokuwepo, 1975, binafsi nilikamatwana mgambo kwa jambo hili hili , issue ya uvaaji wa mavazi liliabzushwa toka 1975, tulivaa nguo za heshima kabisa hadi leo wachache wakorofi si waelewa. Big up Rais wa TIA
@CTM.24Updates3 ай бұрын
😂😂
@saidshaban81102 ай бұрын
Hao waalimu wanavaa ivyo pia uwo mwaka 1975 unaleta leo MTU kama tabia mbovu ni mbovu2 jalbuni kutembea hata nchi jilani Rwanda,Zambia,Malawi na Kenya uone wabafunzi wanavyo vaa tena wasekondari unamkuta kajiachia kama anaenda disco alafu flesh ije kuwa hao WA chuo na nguvu hii mgekuwa mnaitumia kupata boom na kupata ajira baada ya kumaliza chuo ingekuwa poa sana
@oswardrupiah55103 ай бұрын
big up Mr Rais, Mungu akutunze
@navukalunavatanzi62273 ай бұрын
Sawa kabisa huwezi kwenda shule na nguo za disco au za kuvaliwawanaume
@ZABRONKANDI2 ай бұрын
Sisi ma boy hatuna shidaaa shidaaa ipo kwa ma bibiee wanaume hatuna shidaaa sieee👊👊👊
@badymedia96482 ай бұрын
Office gani tena TIA , mbona nimemaliza TIA saizi nauza karanga😂😂😂😊
@isaacmwaseba99722 ай бұрын
Ndio maana ulisoma TIA chuo cha biashara za karanga ungesoma udaktari ungeenda kuuza dawa za binadamu.
@FranceKomba-sn3ui2 ай бұрын
Rais wa chuo apewe maua yake 👍🧠 smart sana ✍
@ommydabysertz54992 ай бұрын
Uy jamaa kam Ruto😂😂 Kama Vp waandamane tu Km Wenzetu😃
@boemzungu4112 ай бұрын
Koo unawez kuingia ofisi ya mtu umevaa kitovu kipo nje vina mda kwan😂
@frankanania78103 ай бұрын
tumwambie RAIS wa chuo kama kuna maisha baada ya chuo au tumuache kwanza amalize chuo aje mtaani
@namelockmaasailady80023 ай бұрын
😂😂😂😂mwambieni aache unaa
@JuliusNyika3 ай бұрын
Hana akili uyu jamaa
@sesiliahussein77743 ай бұрын
Mwache usimtishe toto juliii 😂😂 atajionea mwenyewe
AJIRA ZIPO KAMA UNAONA HAKUNA NI WEWE TU. Chuo wanafunzi wote wanasoma somo la UJASIRIAMALI Kama ulikuwa hujui ujue. AJIRA NI PAMOJA NA KUJIAJIRI SIO TU KUAJIRIWA.Ukibisha utaumia kwasababu uwazavyo moyoni ndivyo utakavyokuwa KWA NJE.POLE KAMA unaumia ila ni kama SINDANO KWA MGONJWA NDIO UNAPONA HIVYO
@ChoroTesla2 ай бұрын
Nilivyosikia serekali yetu chini ya mama samia nkajua rais wa chuo chenga Huyu sista nae shelia , Vizuli kiswahili bado kigumu sana.
@chazyjacks6732 ай бұрын
Mm najuta kujiunga SAUT na mashart yao
@dorahmushi-we6ts26 күн бұрын
Hawa mabinti wengi wao huharibikia chuo, mtoto kalelewa vizuri, hajawahi kuvaa mavazi fulani ya nusu uchi, lkn akifika chuo atavaa, skin taiti,imemchora mpk aibu!! Na kwa cc tunaoishi karibu na vyuoni tunaona vile hawa watoto wanaharibika hasa kwa sababu ya kuigana,kushindana kuvaa na kula vizuri! Hivi vinawatuma kujiuza😢 wanajiuza waziwazi ,japo sio wote.
@Kachuba-w9p3 ай бұрын
Ha jaman chuo bdo tu wanambiwa wavae inavyotakikana😂 na shule ya primary na secondary
@pirate1853 ай бұрын
Acha unoko unaacha kupambania vitu vya msingi watu hawana boom huko unahangaika na mavazi ukifika muda wa office watu watavaa vizuri wenyewe we ushawai kuona wapi hata interview tu mtu akavaa kitop?! time will tell.
@iamemmasylvester44772 ай бұрын
Yuko sahihi..mnaharbu maadili yetu sanaaa....washamba kama nyie
@pirate1852 ай бұрын
@@iamemmasylvester4477 kajifunze kwanza kiswahili Sanaaa ndio nini?
@RabihuHussein2 ай бұрын
kenge
@frankwilliam1443 ай бұрын
Rais wa chuo wazo lake liko vizuri kwa lengo la kulinda maadili. Mwanachuo anatakiwa awe mfano wa kuigwa kwenye jamii, sasa anapokuwa amevaa nusu uchi au mavazi yasiyostahili nafikiri haitokuwa sawa
@sautiyamunguduniani46203 ай бұрын
Safi Rais Mungu akulinde sana imekaa vizur
@hilaryroberts74663 ай бұрын
Hapo anajiona Raisi Mwenyewe, Sema Hayo Mambo Yanamwisho wake
@dianachacky64342 ай бұрын
😂😂
@BIGBOSS-hl3bu3 ай бұрын
Adabu na nidhamu ni MUHIMU vizingatiwe ,Hongera Kwa Serikali ya wanafunzi big up sana
@BakariAdamu-h1k3 ай бұрын
Mungu amuongoze kijana wetu
@josephifanda56263 ай бұрын
Mbona sheria ipo wazi, inajulikana
@simonsadala23862 ай бұрын
Hongeraaa sanaaa presider ww ni kiongozi simamia hapoooo
@noelwilliam3443 ай бұрын
Kwanini mwanamziki asipangiwe mavazi vyuoni?
@georgedaniel49623 ай бұрын
Afu huyo mwanamziki hapo sio stejini,hapo ni shule ya mziki hivyo akiweza akavalie darasani
@shijandobehe49533 ай бұрын
Rais yupo sawa shida ipo kwenye ubongo wa wanafunzi kama atafanikiwa hilo atakuwa kiongozi mzuri sana
@glorymungure77403 ай бұрын
Uyu Raisi Yuko vizuri sana
@JumaAbdallah-gn5quАй бұрын
Sawa safi👍
@heripaulo64843 ай бұрын
Ni Sahihi kabisa Sheria Hiyo Iletwe Na Kwetu Hapa SUA Kwetu.
@EddahBure-te7ft2 ай бұрын
Nimemuona miso missondo kasimamishwa na sendo zake anaambiwa aende nyumban 😅😂😂
@albertomwambapa3 ай бұрын
T.I.A This is Africa na si chuo hicho...😅😅😅😅
@salumalriyamy3 ай бұрын
I'm sorry but kwa Nini viatu vya wazi vinakatazwa?...
@jacksonchilongani44783 ай бұрын
Ofisi gani iwe private ama serikalin Huwa wanavaa viatu vya wazi onyesha
@Khadija-ne8ul3 ай бұрын
sio official,
@salumalriyamy3 ай бұрын
@@jacksonchilongani4478 ni ulimbukeni, bahati mbaya sana hata huko ambako Kuna hao walioifundisha Tanzania nguo official, wanavaa viatu vya wazi kwenye maofisi Yao. Binafsi sioni shida kwa viatu vya wazi. Period. Na hata bungeni Kuna waliovaa ama ambao wanaovaa viatu vya wazi.
@zagarinojo42273 ай бұрын
Hujajibu swali lake bado@@jacksonchilongani4478
@Lifebeaconuplift3 ай бұрын
Mbona raisi haeleweki anachoongea
@onesmokalembwe12202 ай бұрын
Muasibu lazima uwe smart, unavaaje yeboyebo
@fakihdarusi438524 күн бұрын
🎉🎉🎉SAFI SANA KABISAAA
@VerisonAbel2 ай бұрын
Yaani vya TIA ndio vinalalamika je sie wa TPSC huyo raisi hata serikali imuunge mkono yaani wanaongea ujinga tuu hao vijana kuvaa official ni lazima
@AsteriaPatrick3 ай бұрын
Basi waanzishe sare tu ijulikanee tunaokuja kuanza tujue ni rangi gani🏃🏃
@MandoliiMoshi3 ай бұрын
hongera sana raisi wa chuo
@mustafaally2743 ай бұрын
Sio raisi tu wa chuo hicho hata uongozi wa hicho chuo ni mmbovu serikali naomba uchunguze uongozi wa hicho chuo kuna madudu kibao 1) walimu hawaingii kwenye vipindi ipasavo 2) uongozi wa chuo hauna misimamo kwenye uendeshaji wa chuo, mfano kipondi cha mitihani walitangaza watubwalipe ada asilimia fulani ili wafanye mitihani tena tangazo ni la ghafla masaa 24 utekelezaji,mtu unapambana kupata ada ya mwanao hio asilimia walioita kesho yake mwanafunzi anaenda na risiti anazuiliwa anaambiwa uongozi unataka adailipwe yote hapo ukiangalia boom bado wazazi wanateseka na mikopo then ghafla wanaleta ugai gai Kiufupi hicho chuo ni uozo mtupu uongozi ufumuliwe
@mustafaally2743 ай бұрын
Hicho chuo kinavyoendeshwa ni kama kijiwe cha wafuta bangi mkuu akiamua aangalii hata matokeao ya maamuzi yake kwa busara kama mmeshindwa kifungeni majengo mufugie kuku au muwape sababa wafanye maonesho
@AndrewPaulsr2 ай бұрын
Atakama ndo uje na sandals za addidas chuo 😅😅😅 dah wanazingua kinoma awa jamaa
@Dipeson7002 ай бұрын
Ushauri wangu, raisi aendelee kusimamia hapohapo, vijana waache upumbavu
@ImeldaIsdory3 ай бұрын
Sawa sawa kabisa. Hata office binafsi kuna mavazi hayaruhusiwi kabisa.
@zabibucyprian19713 ай бұрын
Walimchagua kwa mbwembwe😂😂😂
@hafsalucky10883 ай бұрын
Safi sana Huyo Rais wa Chuo, Mungu Ambariki sn ❤
@andreamvanda12902 ай бұрын
Hapo tia ndo mnazingua viatu vinachosha sana sio kweli hapo maraisi wa vyuo mnafer bhn haraf sio dar tu hadi mbeya huku mnazingua sana
@presidentking59662 ай бұрын
Vyuo vyetu ni mahiri sana kutengeneza waajiriwa na sii wawekezaji. Sijui tutafika mbali lini.
@bakarithegeoinformatician74062 ай бұрын
Sasa chuo kina majengo kama shule au mimi sioni vizuri?
@alistairelias5363 ай бұрын
Huyu rais anapaswa apigiwe vote of no-confidence.
@abdulkarimkapama45092 ай бұрын
Ishu ya mavazi vyuoni ipo wazi pindi unapojiunga na chuo..... Sema vyuo vingi hawafuatilii
@fredykayenze82462 ай бұрын
Mwenge Catholic University chuo changu pendwa tunavaa vizuri sana
@azariamarembo36533 ай бұрын
Yani mimi nilitamani nchi nzima iwe sheria uvaaji wa kihuni ni uchochezi
@fimboonlinetv52823 ай бұрын
Kabissa
@loner_wolfАй бұрын
Rais wa wanafunzi kidogo umeboronga , sio wote wqnqokuja hapo wanakuja kusoma ili waajiliwe , kunawengine wamekuja kuongeza knowledge tu wala sio kwa issue ya utumishi . Mavazi nini bana mr president ?
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Raisi ungejifunza kwanza majukumu yako ni nini? Focus kama walimu wako wanafundisha masomo kwa wakati, elimu ina kiwango, na elimu inawasaidiaje Suala la mavazi halikuhusu hilo ni jukumu la Administration wewe sio muajiriwa wa Chuo
@rahmaidd88183 ай бұрын
😂😂😂😂😂 semester ilivoanza hatufanya mtihani kwa SABABU ya ada na huyo anayejijuta RAIS WA nchi hatufanya idiot
@fadhilimusa97323 ай бұрын
Yes maadili yazingatiwe chuo kisigeuke kua cha madanguro
@allysudi44292 ай бұрын
Mnatengeneza proper dressing ya staff wa wap? 😂😂😂 mmmhh mamaee
@Ndegejrtz3 ай бұрын
Rais wa chuo yupo sawa🎉🎉wanavaa uch mpaka maoficin wasenge wadada woote wasiojielewa
@DhulShaphie3 ай бұрын
Uko sawa safi sana
@shirimabenedict54313 ай бұрын
Uyo raisi atàkua msabatò
@jacobnorbertchenga94652 ай бұрын
Reegan Pius bado ana ndoto ya kujiriwa mimi namuombea dua
@Gujay73 ай бұрын
Minakiomba chuo kitununulie nguo za kuvaaa
@sophiakimaro51743 ай бұрын
Huyo rais wa chuo mama yake alimlea.hongera kwa mama yak3
@yuzounique29662 ай бұрын
Ila kuna viongozi kichwani zero 🚮 ko walivyokuwa advance walikuwa wanavaa nguo za kujiandaa na chuo!? Act accordingly to your surroundings izo harakati ni za kutafuta attention na sifa kwa walimu 🚮
@AROLATWINA3 ай бұрын
Sura sio Roho Jamani😂😂😊
@bestmilltz70713 ай бұрын
Nachojua tunacheza according to bit, ukiwa sehemu flan una adapt utamaduni husika . Haiwezekan kazin wenzio wanavaa vizur ww unavaa vibaya.
@ShebyWakxhua2 ай бұрын
Mtu Apangiwi Mavazi Ya kununua Kwa Hela yake basi waweke sare za shule kama secondary watu hawalingani kimaisha Haoni aibu yeye kavaa suti wenzake wame vaa nguo za mitumba inapo elekea ita mpelekea kua na usalama mdogo kwa sababu ya asilimia kubwa watu wata mchukia 💯
@nuhunyitala53972 ай бұрын
mlijichanganya huyu so RAis
@AROLATWINA3 ай бұрын
Sheria namba 2,huruhusiwi Kuoa wala kuolewa hadi Umalize Chuo😅😅😊
@ashurakodd15893 ай бұрын
Mko sawa viongozi kutuchnganyia habari tu watoto wetu wa kiume vitovu wazi inamana ganikuiga tu wazungu..
@mnisi36943 ай бұрын
Karibuni SUA huku utavaa tu kama inavotakiwa bila ata kuambiwa
@Ndegejrtz3 ай бұрын
Wengine wanadanga2 ukimwi mwiingiii kutulia mmh mamae😅😅
@Deadskytz2 ай бұрын
Walitucheka NIT hatimae tumekuwa role model wa vyuo vingine 😂
@kelvinlushiku84313 ай бұрын
Mmemchagua mwenyewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@maggiengayalina3 ай бұрын
Baadala arekebishe vyooo kaz kuangalia watu
@abrahamessau34523 ай бұрын
Mna bahati hamjanikutaaa 😂😂😂
@JELSONMAUKI3 ай бұрын
Hyu Raisi naona kakosa kazi za kufanya Kabisa 😅😅😅😅😅😅😅.
@isaacmwaseba99722 ай бұрын
Vyuo vyote hizo sheria zipo. Na kila sehemu kuna sheria zake mfano TRA huruhusiwi kuvaa nguo ovyo. Nenda bank wana mavazi waliopangiwa sasa nyie mnavaa sendo mkafanye kazi wapi?? Hao wanaotaka kuvaa vimini wangeenda kusoma u nurse.
@JamesMisalabaPalu3 ай бұрын
Rais uko sahihi sana
@yasiniamiri1302 ай бұрын
Hii imetukuta Mwalimu Nyerere Memorial Academy na tumezoea tayar and we are looking good now japo tuliipinga before.