Unaweza kupenda mitandao lkn sio maisha yako ya ndoa kuyaweka mtandaoni na unachofanya unampa sababu yakuwa na wanawake wengine.
@user-qh8kl9mu5w21 күн бұрын
Hana akili, ukiolewa na msanii lzm ujiandae kisaikolojia
@winniesimon85017 күн бұрын
Weeee dada ni mshamba to the maximum. Eti tukapeana space. Akishika kiuno ndo kula yako tulia bandika makope yako. Kwanza Huna uzuri wowote. Upo kama jini
@winniesimon85017 күн бұрын
Tumbo limekuvunjia ndoa hahahaha
@kassimchuo529021 күн бұрын
Toto la mama kimbo hiloooo pendeza sanaaaaa like mother like daughter ❤️❤️❤️
@user-zq2be4xr1o21 күн бұрын
Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke
@BIENVENUMUHINDOLULIVIRO21 күн бұрын
Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai
@uwezawamungumkuu.amaniafrika21 күн бұрын
Barnaba Kushukuru Mungu wako kwa yote. Endelea na kazi na maisha yako . Amen.
@ScolaMussa-il4fs21 күн бұрын
Achakutaja wasanii wengine pambana na ndoa Yako Raya itakugharim
@user-st1zs1ng2x21 күн бұрын
Makiki ya kipuuzi.. Kwani hukujua unaendakuolewa na msanii?? Na wasanii wa bongo kama tujuavyo uchi ndo unawatambulisha
@user-ye7hg5pn7x21 күн бұрын
Barnaba kazi unayo duh kuacha Tena usanii, mbona mwanamke huyo akirudi Tena timbwili,kisa usanii,,,🤣🤣Sasa alivyo kuoa hukujua kama msanii,mh mh
@farahanafarer758821 күн бұрын
Utani utani utajikuta huna ndoa kabisaa
@issazalala490721 күн бұрын
Pcha lina anza raya mwenyewe yupo uchi matiti nnje lakini analia mumewe kashika kiuno ngoja ni 😂🤣🤣 tusome dini ili tupate muongozo
@svt321 күн бұрын
Halafu alipo olewa alifahamu vizuri kazi ya mme ni usanii na kuwashika shika wanawake iko ndanii ya usanii
@caesar774521 күн бұрын
Hawa wanawake bure kabisa. Wanaume tutengeze hela
@zakiangumbe673921 күн бұрын
Aaah raya mwenyewe by hat na Barnabas hawaendani. Ila pale kwenye kiuno kamependeza .shikamoo 🍠
@BintiHamisi-lh3xx21 күн бұрын
Nlitaka nseme lkn asante umetangulia 😂😂
@MwamvuaKing21 күн бұрын
Umeonaeeee.
@SUNDAYMRGAMINGTZ21 күн бұрын
Kumbe kwenye maisha unaweza kuowa mwanamke mkubwa kabisa.... Lakn akili ndogo...
@Hussein-gx4qu21 күн бұрын
kwani we ulikuwa hujui wanawake akili zao ni ndogo sana yaani ni fupi
@ConfusedAlien-xk3sh21 күн бұрын
@@Hussein-gx4qu😂😂😂siyo wote mimi King,ang,anizi
@user-gj2mm3ko8m21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli
@BintiHamisi-lh3xx21 күн бұрын
Aaaweeeee😂😂 izi za mtandaoni noma sana
@ZenaMsumagilo21 күн бұрын
Malaya huyu kwani hakujua anayemuoa ni msanii na hii ni ni sehemu ya kazi yake. Bas na aende ataoa mke mwengine mwenye kujitambua.
@mwanaibrahim244421 күн бұрын
hunahaya wewe dada mbonawewe upo uchi na hajawai kukataza kuvaa ivo
@rehematawalani73313 күн бұрын
Mwenyewe kajiona kavaa😂😂😂😂😂
@user-bc3lh5ss6c21 күн бұрын
Raya hakuna wa peke yako dunia nzima shaurilo😂😂😂
@jukaelyelisha631121 күн бұрын
Mi naona huyu Dada hana hekima maana huwezi mwanika mme wako hivyo duh kazi kweli
@mj.tv.forpeople99221 күн бұрын
Pumbavu hujui kazi ya mume wako
@elizabethdamas-zp9xl21 күн бұрын
Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo
@janengowi-lt9gu21 күн бұрын
Tatizo hapo Mama amekuwa mtu wa katikati ndoa ikishakuwa na mtu Kati kwisha habari
@KissaMwaifwani21 күн бұрын
Kazi anayo Barnaba pole aliyekutuma kubadili dini Kwa ajili ya familia hiyo ukitaka ndoa Uache mziki
@aromaofzanzibar21 күн бұрын
Nilitaka kuuliza hizi music video na photo shoot si zinakuwa controlled na ma producers wanavyo plan na nguo kuna stylist au vipi
@sabihasalim94221 күн бұрын
Niliona Interview ya Barnaba ya wasafi ameulizwa similar question akasema Yammi ndio amechaguwa hilo vazi😮
@sabihasalim94221 күн бұрын
Hata kama ni kazi but kuna limit... Amem Disrespect his wife wake .🥺
@mhabimina402321 күн бұрын
Raya she knows how she is ,don’t let anyone disrespect u 👌
@suzanfabian909920 күн бұрын
Mh!! ungecomment kwa kiswahili tu😅😢
@godlistenobed929921 күн бұрын
Nimekupenda da raya ❤❤
@magrethdaniel844120 күн бұрын
Mmmmh we umepambana na barnaba wapi jamani barnaba alifanikiwa miaka ya nyuma Sana
@salamamamashenge549320 күн бұрын
@Chris Favors Kaka unajua kazi lako kikukweli unajua Kukuliza you deserves the Flowers 💐
@SHAZIRINGOMA21 күн бұрын
Balinaba huyo mke hakufai maana hata mwenyewe yupo uchi
@matanohassan966721 күн бұрын
BARNABA MTU SAFI UTAJUA FAIDA YAKE UKIONDOKA MWENGINE AKIINGIA NDIO BC
@mohammadoman896321 күн бұрын
Sio mume wa mtu huyo bado ananafasi 3 bado
@awatifalghanim110621 күн бұрын
Mashaallah umependeza…
@faustinaurio370321 күн бұрын
Mama mtu analalama chupi, Raya kiuno 😂kazi kweli kweli 😂
@pesaspy_tv21 күн бұрын
😂😂😂😂mshenga oa mwanamke mwingine ni balaaa
@MwamvuaKing21 күн бұрын
Hahahahaha
@aromaofzanzibar21 күн бұрын
Wazungu wanasema don’t make permanent decisions on a temporary situation. Hiyo ni kazi na imeshakwisha Barnaba hajasema kama anamahusiano lakini ukuzidi kumsema sema utafukuza akatafute mapenzi na Amani kwengine.
@fathiyahmuzney736721 күн бұрын
Haswaa wajina umeongea we muache aendelee kuvimba kichwa kujikuta ana mmudu sana barnaba
@azirajuma55319 күн бұрын
Ushauri mzuri sana dada,anatakiwa atulie kwa sababu mumewe alikuwa kazini.
@user-gb5pe1qj2h6 күн бұрын
Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu
Ha haha., Barnaba hapa alijichanganya sana. Hawaendani hata kdogo na huyu sura nzito🤣🤣
@Mileyb.16 күн бұрын
She's vry honest coz she love tht guy indeed
@PendoPeter-rr4jk21 күн бұрын
Sasa ache Kila kitu mtakula hiyo ndoa,ww mdada kitu huji mwanaume anaweza kuwa smart kwenye macho Yako lkn ni msaliti balaa, njia pekee ya kulinda ndoa yk ni maombi, cyo mtandao shetani haogopi maneno yk bali unampa nguvu ,jifunze kubadilika unaongea sana hd unakosa radha
@user-gj2mm3ko8m21 күн бұрын
😁😁😁😁😁
@ZenaMsumagilo21 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅 kweli anakosa radha
@MuniraShughuli-kc7vj21 күн бұрын
Mbona hupendi kujistir Raya maungo wazi kichwa wazi si swa dini hairuhusu na Tatoo kwa juu🤔
Upo sahihi sanaaa da rayya penda sanaaaaaa and u looks so beautiful ma dear .....unahaki ya kuongea unavyoweza mama (mtu chake)cha halali kinauma mamaaa
@eliuskamwelwe101821 күн бұрын
Sema yammy mzuri sana ,huyu dada ana sura personal sana😅😅 cjui barnaba anateseka na nn
@MwamvuaKing21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-dq1lm2be2u20 күн бұрын
Tena wanaendana sana na yammy😂😂
@MohamedMkota18 күн бұрын
hawa ndowalimwengu wanakugeuka dakika😅😅
@AsiaAbasi-fg9gu16 күн бұрын
Sasa umeambiwa kinachoishi ni sura
@omarzinga704621 күн бұрын
Huyu heri angeolewa na baba levo kila siku angeombwa samahani😂😂😂
@user-wp2dc3dr3w21 күн бұрын
Ama mwijaku😂😂😂😂😂
@omarzinga704621 күн бұрын
@@user-wp2dc3dr3w hapo umepatia
@ziddyziddy252421 күн бұрын
😅😅😅@@user-wp2dc3dr3w
@yukundapeter820021 күн бұрын
Omary tafadhali mbavu xangu.
@ashminaabdulla894617 күн бұрын
Mmmh kweli haya a😂😂😂😂😂😂
@fetychina396921 күн бұрын
Ume mbadirisha dini barnaba alafu unamuacha Mungu anakuona na umekosea sana kaa utafakari
@user-mo3wn6cc7h21 күн бұрын
Ni kweli Barnaba hakua wa design hiyo jamani hata mm nmeshangaa😊
@MsAggie521 күн бұрын
Ame ji update 😂😂😂😂😂 Wanaume shikamooni 😂😂 Hao ndo wanaume, matukio lazima. Akae Kwa kutulia
@merinankullua587420 күн бұрын
Mmmmh ,umembadili dini inayoruhusu ndoa za wake wengi
@mrabdulhamid426921 күн бұрын
Huyu mwanamke ni muislamu jina tu. Dawa yake ni kuoa mke wa pili tu.
@rehematawalani73313 күн бұрын
Huyu haiwezi ndoa alifikiri ndo a lele mama haaaaa😂
@cantonamaster900121 күн бұрын
❤❤
@joycelaura461121 күн бұрын
upuuzi huo kufuta picha ndo ukweli wa maisha ya ndoa mtu anaweza futa na akaendelea na tabia yake
@yukundapeter820021 күн бұрын
Ni kweli Joy! Kufuta sio 7babu.2meona wengi mno.
@winniesimon85017 күн бұрын
Barnaba hoyeeeeeee, njoo huku sina tumbo.
@CafeJohn-jz8ri19 күн бұрын
Kazi kazi
@kassimchuo529021 күн бұрын
Toa cheche mama usiogope rayya beiby a..k.a boss lady toto la kitangaa hilooo❤❤❤
@hanifaally469421 күн бұрын
Toa ndoa mtandaoni dada Lol
@chainbre27521 күн бұрын
Ila pete hajavua hiyo inamaana bado yupo kwa ndoa😂😂
@rehematawalani73313 күн бұрын
Nenda salama mama tunakutakia maisha mema
@angelsblackboard800821 күн бұрын
Kama kale kajamaa kamechomoa hii betri, Mungu anakapenda.
@AshaMohamedi-re4yy19 күн бұрын
Ujafunzwa Dada rudi tena kwasomo
@user-dq1lm2be2u20 күн бұрын
Barnaba mboni mzuri na bado kijana tafuta anaye hitaji ndoa na siyo mtandao
@martinclassic759521 күн бұрын
My blood chris 🔥🔥🔥
@user-ix5uo6ks7j18 күн бұрын
Huyu dada amekasirika kweli 😂😂aliyekua
@user-is2pj2vq3r21 күн бұрын
Ndoa za kuombana Msamaha instagram 😂😂
@MaiKasimu-xf4fz21 күн бұрын
😂😂😂😂mtihani
@taseleli918120 күн бұрын
Yaaani shida tupu mpaka Instagram ndo nini
@KhadijaMohammed-gw2xo21 күн бұрын
Mekaup iyo ana uzur wowote
@MCHINA9921 күн бұрын
Yani watu mnafunga ndoa halafu mnahachana kisa picha ?
@patrickmukundichalamila303821 күн бұрын
Afu hela wanazochangiwa ndo hua zinaniuma😢 bora wakasaidie wagonjwa ma hospitilan
@gasparmpoma386021 күн бұрын
Kweli kuna matatizo ya wagonjwa wa akili ndugu yangu amini
@MaiKasimu-xf4fz21 күн бұрын
😂😂😂😂😂 yaaan mpka wanatutisha masingle
@BintiHamisi-lh3xx21 күн бұрын
@@MaiKasimu-xf4fz😂😂😂usiogope izi nza mastaa
@aromaofzanzibar21 күн бұрын
Brother wako yupo right ndoa sio mitandaoni. Anajisifu kumsema mume akiingia na kutoka ndani ya nyumba mume atachoka atafuta amani nje
@JumaNyoni-ob2wz11 күн бұрын
Ila raya😅😅😅😅😅
@Farajahelene2303121 күн бұрын
I love you rahya you're a good women
@fatumapilyimo878421 күн бұрын
Umependeza sana mamii
@shamlimah568220 күн бұрын
Tell her to show u her really face not makeup
@ashminaabdulla894617 күн бұрын
Mm iyo Lipstick 💄 hataree😂😂❤❤❤
@MaryamMoshi13 күн бұрын
Mmmmhhh yetu macho
@neemambotola113921 күн бұрын
Anaongea vizuri ...hana papara
@hawababy12021 күн бұрын
Tukia ile nikazi kwahio humuamini mme wako!!!unaitaji canceling wee dada.
@YasintaMpanduji21 күн бұрын
Watanzania mlio wengi mko mbelembele kushadadia mabaya na maumivu ya watu, Mungu awaadhibu
@frankngoloka258921 күн бұрын
Achika uwone mziki wa nje uko,uraiani wakopaji kibao hadi utaikumbuka ndoa
@@MwamvuaKinghalafu aombewe msamaha insta inahusu nini ??
@rehematawalani73313 күн бұрын
Alienda kuangalia mkato wa chumba😂😂
@mamawamireille487221 күн бұрын
Barnaba pole mkewako na mama mkwewako wote niwamoto nihatari
@user-nk4oq4ek9y21 күн бұрын
Karembo kweli mmpaka sauti jmn
@rogerabdallah43921 күн бұрын
Ushaanza umalaya
@user-nk4oq4ek9y21 күн бұрын
@@rogerabdallah439 sasa kama ni mrembo nisiseme kweli
@rogerabdallah43921 күн бұрын
@@user-nk4oq4ek9y aya 4 u
@aminakipande564518 күн бұрын
@@rogerabdallah439😂😂😂 kumekucha
@winniesimon85017 күн бұрын
Sio mzuri ni makeup
@jtheophil549921 күн бұрын
Kiki ya wimbo nimekaaa pale.
@user-gj2mm3ko8m21 күн бұрын
Sasa Raya unaganda Mic NDIO imekua mboro ama?I love Barnaba so much,I cried when he married, Mwache nimuchukue Mimi ❤❤❤❤🇰🇪 hao rafiki za mumeo sasa Diamond kamwaribu Barnaba😂😂😂tulia Mjinga wewe Na Wivu WA teenager, Wewe WA kwanza kurudi kwenu?😂😂😂Utarudi kwa mumeo au waache wenye uvumilivu.
@MJ-rr6dy21 күн бұрын
huyu si ndiyo alisema haachwi? au nilisikia vibaya
@taseleli918120 күн бұрын
Ndo huyo huyo
@user-xc7qj7ze7m21 күн бұрын
Mnaita watumichi wa mungu kufunga ndoa kumbe mna mitangazo yenu ya biashala
@jut116121 күн бұрын
Sasa unaolewa na mwanamuziki alafu akimshika mtu kiuno unaomba talaka. Kama alikua anataka mtu safi ambaye hana mambo mengi si angetafuta ustadhi
@florakimaro-vw7qj21 күн бұрын
Ni kweli kabisa kwani alikuwa ajui ni msani kumshika tu kiuno je angelala naye mjinga huyu ajielewi
@awatifalghanim110621 күн бұрын
Tanzania Mko nyuma sana kwenye biashara. Ikiwa kuna maduka mengi ya nguo ndio huwezi kufungua??? Fungua Duka la nguo na ulete nguo nzuri tuu utapata wateja.
@prosperidinya586416 күн бұрын
Kama Barnabas kaomba msamaha halafu huyu hataki, aachane naye. Halafu, kumbe ilikuwa kazini!!!
@justinendizeye71421 күн бұрын
Kijana wawatu mumemutharau sana,
@Maria-dg6ik21 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mamuumamuu187115 күн бұрын
Hakusoma uyu mwanamke😂😂
@mohammadoman896321 күн бұрын
Mpeni mtu nasaha msimtukane ili arudi kwenye ndoa yake
@halimambaga6116 күн бұрын
Kwan huyo Barnaba alikukuta Bikrame 😢😢
@justinendizeye71421 күн бұрын
Sasa unajichanganya kwa maneno, naskitika kwa kaka Yeti barnaba
@GraceMalley-ly2xn16 күн бұрын
Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.
@sisifaty918321 күн бұрын
Alikuwa anataka kutoka mjinga utajuta .kwani nyumba .maduka nini huoni mafuriko yanavyo kuja uliza Dubai matajiri wako huko mtoto kama kunasababu zingine hapo sawa
Apo kwenye kiuno napo nishida Ata mm nisingekubali lakini sio kuondoka kwako sio Sheria iyo mamaa
@RandB_Channel21 күн бұрын
Ivi huyu Raya anajielewa kweli? Kwani kuna sababu kubwa apo inaweza sababisha kuacha ndoa yako? Barnaba amutizame vizuri iko saha alikuwa amesha kuwa nakengine kabwana toka pale umesha tuchosha pumbavu we . Barnaba huyu dada atakusumbuwa sana ukiangaliya jinsi anavyo ongeya ataona hapa unahasara
@farijala089321 күн бұрын
Siku hizi hadi app zinaombwa misamaha 😅
@JudithKigalu-ue3in15 күн бұрын
Wewe dada unajivuna, ule ni mwanaume auwezi kumupangia mambo. Auwezi dumu kwenye ndoa kwa ayo maneno umezungumuza atari
@paulino272517 күн бұрын
Mpuuzi kwel huyu dada
@user-sp2hu8lb1c21 күн бұрын
❤❤❤wakwanza kuona
@pesaspy_tv21 күн бұрын
Sns na crown 👑 fm wana kamera kali sana
@RomanMwinyi20 күн бұрын
Ww mwenyewe sio mwana mke wa manaa sasa izoo nguo gani ivi mwana mke akiwa anajitambua alaf kaolewa ana wezaa kuvaa nguo kama izoo uyoo chulaa amna mwana mkee appoo
@user-xo4xq6rr3f21 күн бұрын
Aende na asiangalie nyuma tufyakwa 🙆
@roseb805215 күн бұрын
We Mama ninani I mean what if I love you
@mansuramustapha669819 күн бұрын
😂 hakuna muolewaji hapa, umeolewa na insta au mwanaume uliyemchagua