RICARDO MOMO ATOA ZA NDANI CHAMA, DUBE WAMESAINI YANGA, APANGA KIKOSI MSIMU UJAO,CHAMA,DUBE,AZIZ KI
Пікірлер: 37
@josephnyatugara64226 күн бұрын
Kiungo tungekomaa na bajana ingekua poa sana
@user-ip2we5uc7n6 күн бұрын
Yanga Uwezo tunao na Fainal Tungecheza, ila Akiongezeka Chama Fainali naiona tu labla watufanyie figisu kama msimu uliopita
@OS-pf6op6 күн бұрын
Yes, nafasi ya Aucho inahitaji 'back up'..👍🏿
@bakarikombo6882Күн бұрын
Aliye sema momo hajui ni mpuuzi tu
@JosefuMulima4 күн бұрын
Nikwrl yanga iwe na chama
@user-tp7ui4df8j6 күн бұрын
Yanga watafute mtu wa kukaba ili msaidie aucho,chama wann,pacome yupo zaidi yauyo,max,kii wapo saa izi chama na faridi,faridi zaidi uyo chama wann
@nelsonmungereza14586 күн бұрын
Sahihi, viongozi wanazingua mno aisee, wasilete chama, watafute mtu sahihi wa kucheza kumsaidia aucho
@errydeo88656 күн бұрын
Wewe! Yanga hata bila hao injuries,tulikua na uwezo wa kuingia NUSU FAINALI! Kama ISNGEKUA figisu! Kwani Mamelodi walitufunga?! WAT R U TALKING ABOUT!? YANGA KIKOSI KILIKUA KIPANA! HAO WALIPOUMIA HATUKUCHUKUA UBINGWA NA 3 games in hand? Wachambuzi wa aina gani nyie? Kauzeni karanga au anzisheni saloon! You kno nothing abt footie bro!
@babaabro88476 күн бұрын
Momo nimekuelewa kama na viongoz wamekusikia tutatoboa kimataifa
@JoshuaBenson-h3oКүн бұрын
😮wachezaj wangap? Waliosajiliwa yanga SC?
@user-ce3tx7mr8v6 күн бұрын
KIUNGO NI CHAMA
@mohamedikassimu70166 күн бұрын
Uko vizur kaka. Akili kubwa
@errydeo88656 күн бұрын
Akili gani!? Kama umamuona huyu ana akili,BASI HUNA AKILI! KAONGEA UPUUZI MTUPU!
@user-xh4lu3ot4m6 күн бұрын
Yaani jamaa shida yake kuongea tu ukimi wake kama una mashaka mashaka lakini ni mchambuzi mzuri sana anajuwa boli.
@user-xh4lu3ot4m6 күн бұрын
Huyu jamaa mpira anaujuwa
@nasoromsaga69116 күн бұрын
Yan hata mm nimemuelewa. Mchambuz yuko saw tujitahid kukata kadi2 mambo yatakuwa pw
@jackmabirangacharles93986 күн бұрын
Kweli wachambuzi hao Vichwa vyao havina tofauti na mayayi Viza Mchambuzi kweli Mwanduke peke yake tu Hawa Wengine ni chapli chapli
@errydeo88656 күн бұрын
Spoti on ! Wachambuzi mafala matupu ! Mzee wa data PEKE.YAKE NDO NAMUHESHIMU! NUMBERS DONT LIE!
@jonathansirkintungi74342 күн бұрын
Ukiona mtu anatukana badala ya kujibu hoja ujue yy ndiye akili hana. Mwenye akili anajibu hoja.
@user-ox1eg1ej6u6 күн бұрын
Momo. Huna. Ujuwalo. Kenge. Mkubwa
@MoseGerson6 күн бұрын
Hahaha 😂
@user-qj4be3wu8b6 күн бұрын
Za ndaaaaaaanikabisa wewe unakitu ila2
@user-xh4lu3ot4m6 күн бұрын
Ulimi sio ukimi sorry
@user-op7vm9mr3z6 күн бұрын
Mbona unajilambalamba midomo wewe kijana????
@user-ox1eg1ej6u6 күн бұрын
Haikuhusu. Kuuliza. Ivo
@jonathansirkintungi74343 күн бұрын
Wewe momo ni mla mihogo ulisoma wapi au wewe ni comedy?. Simba ni ya 5 afrika yanga ni ya ngapi? Kwenye afcon Senegal wameondolewa na timu ndogo ina maana walikuwa na wachezaji wabovu?. Shule yako ni ndogo sana. Tofauti ya simba na yanga ni upambanaji . Wachezaji wa simba pamoja na ubora wao walikosa usimamizi walicheza kifadha hawakujua mpira umebadilika. Wanchezaji wa yanga ni wa kawaida ila wamecheza kwa jihadi pamoja na hujuma zingine ambazo kina try again walishindwa kudhibiti zikawa zinawapa ushindi yanga. Try again si mtu sahihi kuongoza simba. Mabadiliko ya simba yatawarudisha kwenye mstari. Ninyi kina mo acheni ushabiki wa kijinga mwambieni msomali aache figisu acheze mpira tuone kama atamshinda simba au azamu kama kutakuwa na fair play.
@HassaniselemanPwicha3 күн бұрын
Huna akili wewe!
@jonathansirkintungi74342 күн бұрын
@@HassaniselemanPwicha ukiona mtu anatukana badala ya kujibu hoja ujue yy ndiye hana akili. Hatuwezi kutembea na waimba mapambio hawajui kitu ni kufuata yanayosemwa na watu wengine.