Рет қаралды 5,074
Mrembo Priska Kishuda amemuomba radhi mwanamitindo na mfanyabiashara Hamisa Mobetto baada ya Hamisa kumkasirikia kisa kuwa karibu na Familia ya Diamond Platnumz. Priska anasema kuwa hapo awali alikuwa mtu wa karibu sana na Hamisa ila ukaribu huo ulikufa baada ya Hamisa kujua kuwa mrembo huyo ameanza kuwa karibu na familia ya Diam
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZbin channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#HamisaMobetto #DiamondPlatnumz