Рет қаралды 23,922
Akizungumza na Rick Media Mwanamuziki Lavalava ambaye ni msanii wa WCB chini ya Diamond Platnumz amefunguka kuwa alikaa miaka miwili hajapata nafasi ya kuongea na Diamond Platnumz wakati anafukuzia mchongo wa kujiunga na Lebo hiyo
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZbin channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#LavaLava #Wcb #diamondplatnumz