Leonard nampenda sana hana roho mbaya yaan punch za mwenzie anacheka hataki kujifanya hasikii kixhekesho
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Hahaha
@EDNESSLUTUMO-xt1hq8 ай бұрын
Mbona na nd ancheka guys
@admirotv37026 ай бұрын
Mbn ndaro anacheka
@princekagame82035 ай бұрын
Anashuka kwasababu hiy
@hybridaccounts5 ай бұрын
Acha bias
@carlosleonard60502 жыл бұрын
Ndaro katembea na punch moja /mbili ya milembe na ombaomba but nado katisha...katembea na punch nyingi
@bullychandy65092 жыл бұрын
Hit za LEONARD ZOTE KAPIGA UBISHI TUU 😂😂 SAFI SANAA
@DeoShujaa2 жыл бұрын
WOTE WAMEFANYA VIZURI MNO, ila ingekua ni mtihani angefaulu LEONARDO ... ndaro alikua ana Point moja tu ya OMBAOMBA ila ameijaza nyama imekaa vizuri, ila Leonardo kaongelea vitu vingi sana vya kuhusu mkoa huo
@vickydan28692 жыл бұрын
Leonard hajawh kosea ila ndaro leo kafanya poa
@salummkululu3484Ай бұрын
Daaaah mwana unachuk binafsii aisee
@nicholausmbilinyi35872 жыл бұрын
Ndaro ni mzuri kwenye kuwakilisha punch zake..ila anazo chache..ila Leonardo ana punch nyingi sana...ila ku deliver bado hayuko poa sana..ila Leonardo ni mkali zaidi..ana material mengi sana
@franksamwel22922 жыл бұрын
Wote wamefanya vizuri ila Leonardo ana contents nyingi na zote ni funny 😀, ndalo ame dili na content moja ya omba omba ila kaijazia imekaa poa! Are the best for sure ila Leonard salute kaka
@newgeneration9524 Жыл бұрын
Leonardo alikuwa na kazi rahisi coz watu wa Kigoma wana vituko vingi so kupata points nyingi ni rahisi, hata hivo kuna vingine kasahau kama ufupi, weusi n.k ila mkoa wa Dodoma kuuchambua ni ngumu coz umepewa hadhi sana na serikali, so ni rahisi kuusifia kuliko kuupondea😀
@christianmtei74492 ай бұрын
Mh
@Mimy_keys2 жыл бұрын
Kwa hapo Leonardo ndo kauwa mana kaongelea points nyingi sn 🔥🙌👌
@elishangai7232 жыл бұрын
I think battle ya mikoa is the best, big up coy mzungu more creative man🔥
@alinotilucamoris61892 жыл бұрын
Na mkubali sana Leonardo lakini Ndaro kauwa😅😅😅😆🔥
@FestoNgurube-rj3ee11 ай бұрын
Yaan sema iv ndaro ni moto
@vicentmlumba5912 жыл бұрын
Kiukweli adi sasahivi kwangu ngoma drooo mmetisha🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ammyskills55882 жыл бұрын
Kituo Cha ombaomba daaa ndaro bhana 😂 mmetisha sana
@yowtz54502 жыл бұрын
upande chuma upande shaba🔥🔥😂😂😂😂WOTE MMETISHA
@ibrackibrahim69092 жыл бұрын
Ndaro and leonardo they on fire 🔥🔥🔥
@sadiqrifay54482 жыл бұрын
*Ndaro and leonardo on fire
@rhodaerasto61512 жыл бұрын
Another kigoma vs mbeya will be🔥🔥
@marokeyLFM Жыл бұрын
Ndoro na Leonard nikama comedy za mr been kwa mbali 😂😂😂😂😂😂🔥👌
@johnmathew27692 жыл бұрын
eet kipa kalud kwao kongo vita imeisha🤣🤣👏👏
@donkaloza6985 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@kimconscious53752 жыл бұрын
The best roast was this because these guys are very talented and they were listening to each in order to get point eg.ndaro on Leonardo point about mirembe few minutes later he use that point to punish him
@matoben3080 Жыл бұрын
9900090
@peterjosephat3493 Жыл бұрын
Thanks for good talent
@dennistunze19782 жыл бұрын
asante ndaro umetuheshimisha wa kigoma hongera ndaroooo leonaldo ameanza vibaya had nikawa naogopa
@wizmagotv72502 жыл бұрын
Leonard 😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@stevenhassan2692 жыл бұрын
Leonardo is 🔥🔥
@carlosleonard60502 жыл бұрын
Ahsante kwa ubunifu huu wa roastng koy
@alfredjohn56932 жыл бұрын
Wote wameua 🤣sema ndaro kamaliza mchezo
@agnessmichaels6114Ай бұрын
I love the way Leonard anakuwa serious 😂❤kichwa chini nn yn daah
@zekelly_025 Жыл бұрын
Leonardo waha umetumaliza😅😅😅😅 but ndaro super b Sana 🤣🤣🤣🤣
@AdolpheBahininwaАй бұрын
Wote wapo vizuri sana 😂😂 nawapa max
@kasukukasuku38962 жыл бұрын
Ndaro nishida🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@einsteinmboje47302 жыл бұрын
Leonardo Bado Ana Aibu Sana Jukwaani So Aongeze Confidence ... Ila Very Creative , Huyo Jamaa Wa Au Basi Anajiamini Sana Ndio Freestyle Zinakuja Kwa Urahisi.... Overall Hongereni Sana Mmejua Kunichekesha 😂
@mack_B.2 жыл бұрын
Mhhh Leonard Hana aibu Ana confidence Sana Tena Sana ukikutana nae live Yuko hvyohvyo Ila tu Ni mpole sio muongeaj Sana ndomn unamuona km hajiamin Ila very talented
@einsteinmboje47302 жыл бұрын
@@mack_B. Watu Wa Sanaa Watakua Wamenielewa ...Aibu Sio Ya Kuangalia Camera Ndugu ,Kutawala Jukwaa Ni Kitu Muhimu Sana Kwenye Sanaa ...Kwenye Creativity NADHANI Nimesema Hapo
@queenlizzyplatnumz49422 жыл бұрын
Uongo uongo uoooo😂😂😂😂😂😂😂
@fabiandanielkatikiro1478 Жыл бұрын
Leonard is fire 🔥🔥🔥🔥
@saxannjo61732 жыл бұрын
these guyz are talented
@benjaminsemwenda31522 жыл бұрын
Ogopa sana kutangulizwa na gari la udongo, Yani Leonardo alianza vizuri ila Ndalo kaja kummaliza....
@JamesMoses-jd1yq25 күн бұрын
Umeona eeee
@fabianmachele892 жыл бұрын
Daaah, ati jiskie upo nyumbani🤣🤣🤣🤣🤣
@zenjamaboys492 жыл бұрын
Ndaro umetisha blood
@championboy72 жыл бұрын
Waooo meen this is very special I enjoyed a lot
@cbegram61612 жыл бұрын
Aise maticha mkiona mastudent pale primary wanataniana msiwazingue, muwape support, si unaona ni ajira hii😅😅 ikiwezekana hata huko UMITASHUMTA waweke kipengele cha kutaniana🤣🤣🤣 . Ajira zipo, ila kuziweka kwenye system, kama wale wakorofi, hao ndiyo wanajeshi wenyewe sasa na mabodyguard huko wa wasanii😁😁 hii imekaaje wadau?
@WitnessMaloboАй бұрын
😅😅😅 umewaza mbal sana
@ephrahimrashid8165 Жыл бұрын
Ndaro umeua jpo Reonard huwa ni noma thank's My country for security
@ibrahimmayige97482 жыл бұрын
Nakubali sanaa🔥🔥🔥
@JacoboNyolobi-rt6bw3 ай бұрын
Nani kiongoz alisema Yesu ana mke😂😂hawajakosea kujenga milembe Dodoma🎉
@romakoko22922 жыл бұрын
Diamond na Baba Levo watauwa Leonardo 😂😂😂
@arodiacostantine6355 Жыл бұрын
You guys you are so amazing! You always made. My day you are so sweet ...all Cheka tu members❤❤❤💋
@user-dn2cy3nc7n3 ай бұрын
Wanaangalia CHINI SANA. AIBU SI AIBU WHY ? WAWE NA CONFIDENCE. KAZI NZURI ila wanaangusha kwenye UJASIRI
@maja7369 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥ameaanza kuomba mwingne 🙌🙌🙌
@startwithginegine18912 жыл бұрын
Ngoma dro irudiwe 😂😂😂
@reubenmhelela36972 жыл бұрын
hahahahaha...Ndarooooooooo
@eddyempire97972 жыл бұрын
Ahahahahaaa...... Ziwa Tanganyika limegomea Muungano
@rbayoub11812 жыл бұрын
Binafsi ndaro kauaaa..!
@naimunaimu23122 жыл бұрын
Ndaro tuheshimiane 😂
@walidibalinago77902 жыл бұрын
Ndaro and Leonardo is on fire🔥🔥🔥
@theafricanprincevivecongo8632 Жыл бұрын
Are
@emilkelvin1175 Жыл бұрын
Best ni ya eliud and said said
@mwashambaiddy80852 жыл бұрын
Ndaro u kill the show 🤣🤣🤣
@lukunielisha96 Жыл бұрын
Kabila la kgm MUHA ni HA na MSUKUMA ? NI toa Neno MSU . 😉😉😉😉😉
@hassanmoshi5439 Жыл бұрын
Hahahahahaha nimependa hii
@TarshComedian Жыл бұрын
This combination is huge 😂😂😂😂😂 hawa jamaa wanajua sana
@husseinwemmar62172 жыл бұрын
I wish ingekuwa kama rounds zingekuwa mbili mbili Cause mara nyingi huwa anayeanza huwa anakuwa roasted finally So ni vizuri kuwe na round mbili hata kama za dakika tatu tatu
@superfunnybaby_tz73512 жыл бұрын
Yeah umeongea la maana sana
@doctortechtv2590 Жыл бұрын
Perfect battle😂🔥
@johnco87562 жыл бұрын
So talented
@user-cl9hg3uc8e9 күн бұрын
Ndalo na Leonardo nawapenda sana😂😂😂😂
@HabibaSadi-sc2zl5 ай бұрын
Yan wewe Leonard nakupenda sana Yan unatufurahisha sana❤
@Lawizoo2 жыл бұрын
Ndalo is 🔥🔥😂😂😂
@georgegivan71242 жыл бұрын
Leonardo ni Genius 😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
@allydullah207 Жыл бұрын
Kabisa anii
@frankmose991 Жыл бұрын
Ndalo can have win ila Leornado is a stand up comedy genius😄😄😄 idea zake bhana daaahhh
@abasiyahya91982 жыл бұрын
Oi Mkigoma umeuwa 😂😂😝
@safariingi6312 Жыл бұрын
Ndaroooo big up Sana mkal
@ismailnashon1320 Жыл бұрын
Kigoma ameuaa 👍👍👍👍👍
@kitunganolwebo75702 жыл бұрын
Leonard kumbe mweu 🌚 Eti kigoma lazima utembee na dictionary ya french na English 🙄
@salumuseif33245 ай бұрын
hehehehehehehehehheehehehe
@barbanzahs94442 жыл бұрын
Ndaro umetisha
@chuxdanieldnl9076 Жыл бұрын
Et Vita imeisha😅😅😅
@adolphriwa38572 жыл бұрын
Show ya leo kali.Big up sn coy
@lekumolukumay68322 жыл бұрын
Hahahahahaha hatari kwa kweli
@pendobaharia72272 жыл бұрын
Big up Leonardo❤️❤️❤️❤️
@nasibndaro62812 жыл бұрын
wajina umeuwa hhahaahaha
@nigromarian3571 Жыл бұрын
all guys ur on fire🔥🔥 but ndaro u make may day
@frankvianey243810 ай бұрын
Mmeshajua matumiz ya mawese sasa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@edibilybussoro17002 жыл бұрын
Leonardo kanyooshwaaa
@omarmwarizo96782 жыл бұрын
😅😅😅😅ngoma droo
@ammyskills55882 жыл бұрын
Leonardo sio poa 😂
@andrewngasamabere27192 жыл бұрын
Fire 🔥
@nicholausmbilinyi35872 жыл бұрын
Leonardo achaneni nae kabisa aiseee..very intelligent
@LilyCruzzy-er2jn6 күн бұрын
Wapo vizuri wananifanya nicheke tu
@erickdioniz8277 Жыл бұрын
Nyie jamaa mko vizuri sana safi sana wote mmetisha
@aboubacarykhedra5836 Жыл бұрын
Wakimbizi tofauti na wakimbiaji, sema hili ni bato la kibabe... Mmetisha sana wajuba
@mceradj91732 жыл бұрын
Talented mamen unyama ni mwingi wote mmetisha
@nicolauswandao89882 жыл бұрын
Ndaro nouma "This is too much jokes don't dissappoint" iko poa sanaaa
@romanavarentine87552 жыл бұрын
Leonardo is fireeee
@cherimokavumo87962 жыл бұрын
Ndalo is FIRE 🤣😂😂
@SilyvesterMathias-px5mt Жыл бұрын
For sure
@musajacob334 Жыл бұрын
you made my night guys😃✊
@jacklinejacklinejonh6530 Жыл бұрын
Ndalo umefanana na mpenz wangu kila nkikuangalia nacheka tuu 🥰
@kianababako3492 жыл бұрын
Ndaro ume kill sana mwanangu u fire
@azaboicomedy2 жыл бұрын
PUNCH ZA KUTOSHA SANA 👊👊
@mapheneino2 жыл бұрын
Umetajwa mwanangu.. Upunguze MKITAMBI
@kinthermedia61642 жыл бұрын
Aza
@johnphilipoaugustino61002 жыл бұрын
Wote wametisha asee hahahha
@user-by9wo9km6t3 ай бұрын
Umetishaaaaaaa ndarooooooooo😅😅😅
@dbwaxvevo57802 жыл бұрын
Noma Sana hii ni kaliiiii balaa wanajua Sana Ndaro na Leonardo Mko vyemaa mazee
@catherineparsalaw5202 жыл бұрын
Amazing one😍
@manoatzofficial13842 жыл бұрын
Hahaha ndaro muuuaji kweliii
@princejunior4372 жыл бұрын
Ngoja baba levo awasikie
@hembedaudi Жыл бұрын
Ndaro na leonardo mtengwe...🙌🙌🙌
@africanpowermusic Жыл бұрын
Kituo chakuomba kiwekwe Dodoma hahhaa
@salomejoseph49322 жыл бұрын
Da iwe hiv hiv jmn😂😂😥
@BilaliBilaliamriАй бұрын
Mdogo wangu ndaro pole sana maana uyo mwamba ulienae apo sumu kwenye uchekeshaji