Am pastor frank Ugandan,I love bishop Robert is so humble man and he preaches the truth.
@lilliannyangela722713 күн бұрын
Wimbo mzuri sana. Nimebadilika Sasa” Dada Mungu akubariki kwa wimbo
@ismasnoa598913 күн бұрын
Shalom Shalom
@josephatnkoleki491113 күн бұрын
Na wasalimu kanisa la bwana uchuuda ni muzuri kufaamu mambo mingi iko na pita duniyani mungu akubariki sana mutumishi wa mungu ni mimi Josephine na toka Texas amen
@margaretnekesa201912 күн бұрын
Amene. BABA
@lilliannyangela722713 күн бұрын
Kweli Yesu anaokoa, naomba aokowe na wale makahaba walioshindikana, Yesu anaweza
@josephmdao914314 күн бұрын
Nimebalika ni nyimbo nzuli iwekeni kwa KZbin
@EldaJacob13 күн бұрын
Bwana yesu asifiwe watu wanatoa shuhuda nyingi sana na tunabarikiwa mie naomba mnisaidia baba katika maombi tangu nimeolewa na zaidi ya miez 7 lakini tangu nimeolewa ni magonjwa pia nakosa hamu ya tendo siendi siku za hedhi nkipima sina ujauzito naomba uniombee baba