Рет қаралды 24,535
Rose Mhando Atakiwa Kuombewa; Mchungaji Meshack
MWIMBAJI na Mchungaji wa Kanisani la Ufufuo na Uzima lililopo chini ya Bishop Dkt. Gwajima, Meshack Salum amesema kuwa watanzania wanapaswa kumwombea kutokana na masaibu yanayomkuba ili aweze kurudi katika hali yake ya uzima.
Mwimbaji wa kanisa hilo ameyasema hayo wakati akizungumzia wimbo wa video yake mpya ambao ameuimba.
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw...