Watu na kujudge, wale wamezoea kutoa watu kafara anaona pia huyu ametolewa kafara, mungu pekee ndo Anajua siku, dakika, sekunde na saa ya mtu. Let Joseph rest in eternal life 🕊️🕊️🕊️🕊️
@glaisfupa976019 күн бұрын
Mmmh masaa mawili tuu baada ya operation katutoka Mungu we wajua hili fumbo
@gracedavid66858 күн бұрын
Mambo tu unajua tu ambao tu pia tu kwamba tu tu tu tu mmoja tu pia tu tu pia
@ZawadiPeter-r8c20 күн бұрын
Mungu awafarij wafiw wot jaman
@tommlewa90676 күн бұрын
We mtangazaj umenitia aibu kukusikiliza tu zimekuwa nyingi duh!!
@Kingmasharshall13 күн бұрын
achen maneno ni mpango wa mungu tu
@markomahizi18 күн бұрын
Siri ya Mungu hiyo muachie mungu
@user-do1ug7de3g19 күн бұрын
Huyu mtangazaji ni nyanya poli
@JustinaMarwa-m1i15 күн бұрын
Tena iliooza
@KiriMpozi20 күн бұрын
Pole sana zablon singers 😢😢
@alexmosh12320 күн бұрын
Ni ukweli sio kifo Cha kawaida
@hadijaismail361918 күн бұрын
Kifo cha kawaida kinakuaje?
@johson696318 күн бұрын
Hakuna mtu wa mungu mwenye analete conspiracies kama hizi. Hawa ndio mashetani!
@sixmundisixmundikingo-c9e20 күн бұрын
Mungu awafariji wafiwa ote
@Eunicemakokha-gc9ss13 күн бұрын
Kwani wanatanzania wote ni fre mansions devil agents jamani
@EliasSamwel-jl2ub14 күн бұрын
Rise muhando amejuaj?
@LinusKiptui20 күн бұрын
Rip forever
@mamanbella546019 күн бұрын
Hicho kifo cha moyo kuuma na kusimama gafla hiyo ni kafara tumeshuhudia wengi
@Rafiki-ns7vd15 күн бұрын
Dhuuuu!!!!
@antlinekerubo990019 күн бұрын
Choose your headlines well" this is misleading
@limymasele2119 күн бұрын
Yaani ametikewa kafara na nani kwasababu kwaya nzima ni ndugu wa Familia moja je kunauwezekano huo?