Jumwa is a real leader, clean in her heart and no jealousy on any one.Jameni!! Ruto weka kazi mahali .
@cellinakangaijulius5015Ай бұрын
Hasante our sister hon.Aisha Jumwa am sure you will be fixed somewhere .....🙏🏼
@HFg-xk4rpАй бұрын
Waaaaaaaaa,president Ruto tena
@HFg-xk4rpАй бұрын
President Ruto tafadhali muangalie dada Aisha Jumwa umupangie kazi katika sehemu yeyote juu amesimama na ww tangia mwanzo.
@hassanabdihakim9950Ай бұрын
Alikupa ngapi Ruto je sema aisha juma cici hatujapata hizo amekupa
@atangastephen6670Ай бұрын
Speaking out of anger.
@saidomarwanje8505Ай бұрын
Hawa viongozi wa pwani ni wampumbavu sana,hawakusoma,hawajielewi, angalieni mashamba hayana hati miliki,umeme hakuna, barabara hakuna,
@abuhassan9552Ай бұрын
Ingawa hawakusoma lakini hawalali inje kama nyinyi hata cho hamuna nakazi zote mwaja tafuta huko ambako hawakusoma
@HalimaAbubakar-n6gАй бұрын
Sasa awa jameni
@HFg-xk4rpАй бұрын
President Ruto ndiye first president in Kenya since independence to visits all places and rural areas in Kenya in general.
@user-sr4qq8qi6pАй бұрын
Wewe joho achana na serikali ya ruto itakuja kukukosesha kura pwani jitoe kwa huo uteuzi
@robinsonoyaro1082Ай бұрын
Baba never fails. Deni ya Ruto tunayo jamii ya wajaluo.....
@janykavindu5498Ай бұрын
Wait 2027 all this being elected by ruto will miss vote's next election, ruto knows what he's doing
@josephmwawasi4793Ай бұрын
Wee ni ng`ombe tu Aishaer
@jonathanparlatimisadera3320Ай бұрын
Ngombe ya mama, kiburi chini,😂
@janjichibo1041Ай бұрын
Mwadanganywa nyinyi wananchi poleni hiyo siasa inazungumzwa hapo ni ya umasikini
@MitchellErminaАй бұрын
Tunataka mfanye kazi tumechoka na kelele zenu
@VirginiaKisilu-hi8bwАй бұрын
Huyu thought she was sent home,what she doing now akh hii nchi
@HajiKazungu-mv3ffАй бұрын
kwa mara ya kwanza kusikia mungaro akiongea pont
@happytimes9747Ай бұрын
Aisha umekua kwa serikali kutoka kitambo umefanya nini? Wewe ulikua kwa Raila ulipoona Raila atashindwa uliruka huko ukabadilika ghafla ruto uliye kua ukimtukana akawa mzuri, wewe unajutafutia pekeyako tu na sio watu wa kilifi angalia maisha ya watu wako yalivyo?? Unaskini hata maji ya kunywa hakuna watu wanateseka wewe uko sawa. Tu
@MitchellErminaАй бұрын
Kwani kenya ilikuwa wapi nalamu ilikuwa wapi maneno mengi na hakuna kitu hapo vijana wajinga walima wapi ata hawajui new constitution inasema nini niwanyika hawo nimaleso tu kwaviuno