Uzuri wa tunda ni Simba damu so wa kuhama hama Big up kwake ❤ Simba nguvu moja
@ashurahatibu506915 күн бұрын
akiwekewa mkataba wa kikazi na mipesa yuleee anaenda
@lazaroaloyce664915 күн бұрын
@@ashurahatibu5069 sidhani kwa tunda hata wanaompa kibunda hawatamuamini,yule mnyama kweli..
@user-cl1ut6oq1v18 күн бұрын
Kweli Hawa niwatani wa jadi ambae haamini atashangaaaa2🎉🎉❤❤
@paulwalker438318 күн бұрын
Nimependa vagi la tunda man
@shangwefisima399318 күн бұрын
Bibi harusi ni simba huyo 😂😂😂😂
@PillyKassembo16 күн бұрын
🔥🔥Tunda Man🔥🔥❤❤❤❤❤simba 💪💪1😘
@maikomatayo27949 күн бұрын
nimeipenda vibe la tunda mpira siyo uwadui bhna 🎉🎉❤❤❤
@malietamalieta965818 күн бұрын
Sio utani wa kutupigia shetani wetu makolo mkue mnajua nn maana ya utani wa jadi ndo uo asante vanillah na tundaman
@shangwefisima399318 күн бұрын
Yule alizidi...alikuwa anaapa mno 😂😂😂😂
@mamboshepea888817 күн бұрын
@@shangwefisima3993 Yanga hatunaga ushabiki wa kishamba kuongea mipasho na chuki za kichawi tumewaachia makolo kitambo😃😃😃😃😃
@shangwefisima399317 күн бұрын
@@mamboshepea8888 basi huyo shetani wenu ndo mshamba! Ndo maana kikamramba kitu.... alipata kinachomfaa!!! Wenzake huwa hawajimalizi vile na kuapa vile! Nahisi ni utopolo chipukizi yule
@user-gx4pk2zg1g14 күн бұрын
Eee hata nyieee hamjui utani toka
@user-ew7zb3jx7t16 күн бұрын
Simba ooooyooo Toka Oman
@errydeo886514 күн бұрын
we fala nini🤣🤣🤣kwani hiyo rugha gani?
@salamasaidi662013 күн бұрын
@@errydeo8865tofautisha l na r acha kujifanya mjuaji😂😂😂😂
@jumaMohammedi-rt2ys18 күн бұрын
2ndaman katish🤗
@scollamwanisisi273918 күн бұрын
Dah bibi harusi Simba dam sio wa kuunga kabsaaa Simba watu wa vibe hatar utazan sherehe Yao Simba
@ArafatyShabani14 күн бұрын
Kaka nimekubali simba tubaki pamoja ❤❤❤❤❤ simba nguvu moja
@mohamedbabu53315 күн бұрын
Bibi harusi saluteeeee
@ceankiiza994515 күн бұрын
Mm kama mwanachama na mshabikiki wa YANGA .HII nimeipendahaswa inaonesha kua mpila sio uadui sisi ni Familia ❤
@rodgersmwagu23916 күн бұрын
😊ND inavotakiwa safi sana
@user-wh5zz5dk2g16 күн бұрын
Aliyeona bi harus kachangamka😂😂😂
@user-tn3qw9nt4y14 күн бұрын
Kaka tunda nakupenda miaka yoteeeee❤❤❤❤❤❤ simba oyeeeeeee
@user-ng8tb1gn4h16 күн бұрын
Mnyama tunda Nouma ❤
@errydeo886514 күн бұрын
this was sooo beautifull; kolo hawakuli yanga wanye this
@ramadhanidhahabu950917 күн бұрын
Na tunda ndio kaondoka na kijiji sasaaa
@user-yz2uw1vr4j15 күн бұрын
umetisha tundra hao makolo2
@user-tq5op2rp1e18 күн бұрын
Aisee hingera sana
@omaryonga-hv3lk14 күн бұрын
Weeeee Tundamani weeeeee hatari sana kiukweli wanasimba tumefarijika...
@getrudaleonard832317 күн бұрын
Huu ndio utani mzr ss🥳🥳
@errydeo886518 күн бұрын
THIS IS SOOOOOO SWEET; NJE YA UWANJA NI NGUGU
@allymtunge553015 күн бұрын
Sherehe yao tunatamba sis
@user-zp8si1xm8g8 күн бұрын
Tunda baba huna bay❤
@UmmyHassani-fq4vb13 күн бұрын
Bi harusi simba dam vibe lake meliona lakini🤣🤣🤣😍😍🥰🥰🥰🥰
@aminasoud779717 күн бұрын
Aaah wapi mmechelewa
@honesthenry90116 күн бұрын
Nakubali
@hawamhanga295117 күн бұрын
😂😂😂😂woooyooo simba nguvu kweli🎉🎉🎉🎉🎉 bi harusi kapagawa
@stevemayala273915 күн бұрын
Hii imependeza sana
@OddoShawa17 күн бұрын
Simbaaaaaa weeeeee❤❤❤❤❤
@mamboshepea888817 күн бұрын
Keshahamia yanga kamfuata honey wake upo😂😂😂😂karibu home💚💛
@AshaShegao5 күн бұрын
hawez kuhama simba jaman
@karimumohamedi542111 күн бұрын
Simba ngumu moja
@fifo26212 күн бұрын
Mpira si uadui nmependa nyimbo ya simba kuimbwa ndani ya yanga hadi biarusi kacheza da
@OmanOman-dn6dj18 күн бұрын
❤❤❤simba❤❤
@abouamazing340614 күн бұрын
🔥🔥🔥unyama mwing tunda
@Amirimwashembe15 күн бұрын
Oya hii co pw hdi harus kachangamka aisee hadi raha😂
@karimumohamedi542111 күн бұрын
Hatar sana
@Namtumbo17 күн бұрын
Simbaaaaaa❤❤❤❤❤
@josephlawrence114515 күн бұрын
Tunda hajawaita watu waje mbele, walikuja wenyewe kwa vibe 😂. Naona dogo Kamwe anahangaika kuwaita watu wasogee mbele
@ThomasfrancisMvella15 күн бұрын
Ila cmba mmetisha....ingawa uwanjani Anna maajabu kwa sass
@user-yz2uw1vr4j15 күн бұрын
Simba kwanza❤❤❤❤
@user-tr8kz6wc1j16 күн бұрын
Simba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-qw7xs9vt5l6 күн бұрын
Mwanaume kashangaa kabix mke wake alivochngamka
@user-qd8bk1pq7d16 күн бұрын
Wew dogo mgeni kwenye utani
@OmaryFadhir-ie9ub18 күн бұрын
Simba na yanga ndo darb iz zngine ni mtanange
@AfsaAbdul17 күн бұрын
😂😂bi harusi the way alivyo changamka kisa simba 😂😂😂😂
@PaulKilongozi-qk2eg17 күн бұрын
Kwani sindio raha Ali kamwe anaitaka my wetu sindio huyo
@emanuelmlenge504417 күн бұрын
Tundaman Katiadoa 😅😂
@ThomasfrancisMvella15 күн бұрын
Am yanga fun,,,ila simba mmetisha....
@swaumuiddi14 күн бұрын
Nimependa😂😂😂😂
@YoungBrazu-xl2uz15 күн бұрын
Simba damuuuuuuu
@user-lf5mo3tp9k18 күн бұрын
Me yanga ila nimependa tu wanavotaniana
@user-lw8zv8jp3p6 күн бұрын
Huu sasa n ubabe
@CatherineAmos-zw8dx15 күн бұрын
Simba na Bubi harusi Oyeeeeeeeeeeeee
@mwanatumukombo449715 күн бұрын
Bi harusi kanuna au ndio sura yk
@habibuhabibu972816 күн бұрын
Simba nguvu mojaa😂😂
@Bmsecret15 күн бұрын
HAMNA NDOA HAPO
@swabialli85429 күн бұрын
Harusi ya nani kwani
@MarianaDonarld17 күн бұрын
Harudi ya nani?
@trice_yanga17 күн бұрын
bi harusi kachangamka kwenye simba hapo😂😂😂
@MacrinaLameck-yv2mu13 күн бұрын
Kumbe na wewe umeona eee maana alikua amepoa tunda kamchangamsha na vibe la simba
@Amirimwashembe15 күн бұрын
Bi harus alikua kapoa mpka kachangamka kwa viba la mwamba
@user-qd8bk1pq7d16 күн бұрын
Ally wew kila wakt upo kwenye ujinga tu , hizi timu sio maadui hizi timu ni watani wa jadi , ulizia Kwa baba ako
@EzekielMhapa-nf5sl13 күн бұрын
Sasa Ally kafanyaje hapo😂😂😂
@emanhokilinda32616 күн бұрын
Utani c uhasama kama alikua anaufanya manara👊👊👊
@vumiliamgendi14818 күн бұрын
Mbona bi harusi kanuna utafikili kalazimishwa
@Nuru956817 күн бұрын
Mwenzangu kakamaa uyo kama kamwagiwa Asidi😂😂
@LuciaSamwel-bo7cu17 күн бұрын
😂😂😂😂😂hajazoea hayo mambo anataka kaswida 😅
@stn487316 күн бұрын
Nimeshangaa, au ndio zile za huyu anataka akuoe alfu shwaaa
@naimamagwala136813 күн бұрын
Tumewaoa hata kwenye maisha halisi 😀😀😀 wanashukuru wamepata ndoa
@jumaalmasjuma170015 күн бұрын
Pamoja na mpira ila mahusiano mengine yaendelee
@user-ok4jk7tk3d13 күн бұрын
Ww tunda ww czani kama watakualika tena shughul xao ila umetisha kaka nimependa umewakela cmba ni yetu ss